Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 37 | basi iwe kweli `Siyo`. Chochote kinachozidi hayo hutoka
2 Matt 13 34 | kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,~
3 Matt 14 7 | kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.~
4 Matt 17 20 | nao utakwenda. Hakuna chochote ambacho hakingewezekana
5 Matt 18 25 | 25 Mtu huyo hakuwa na chochote cha kulipa; hivyo bwana
6 Matt 19 3 | kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?"~
7 Matt 21 19 | akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. Basi
8 Matt 21 22 | 22 Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika sala,
9 Matt 23 3 | hiyo shikeni na kutekeleza chochote watakachowaambieni. Lakini ~
10 Matt 23 20 | kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote ~kilichowekwa juu yake. ~
11 Matt 27 24 | alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa
12 Mark 4 34 | 34 Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini
13 Mark 6 8 | na kuwaamuru, "Msichukue chochote mnapokwenda isipokuwa fimbo
14 Mark 6 22 | akamwambia huyo msichana, "Niombe chochote utakacho, nami nitakupa."~
15 Mark 6 23 | 23 Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba, nitakupa:
16 Mark 7 4 | 4 Tena hawali kitu chochote kutoka sokoni mpaka wamekiosha
17 Mark 11 25 | sameheni kila mtu aliyewakosea chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni
18 Mark 13 11 | ile itakapofika, semeni chochote mtakachopewa, maana si ninyi
19 Mark 16 18 | Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru.
20 Luke 4 2 | Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia
21 Luke 6 49 | maneno yangu lakini asifanye chochote, huyo anafanana na mtu aliyejenga
22 Luke 8 17 | 17 "Chochote kilichofichwa kitafichuliwa
23 Luke 9 3 | Mnaposafiri msichukue chochote: msichukue fimbo, wala mkoba,
24 Luke 9 13 | chakula." Wakamjibu, "Hatuna chochote ila mikate mitano na samaki
25 Luke 10 19 | zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.~
26 Luke 10 35 | akamwambia, `Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa
27 Luke 11 8 | kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji.~
28 Luke 22 35 | wala viatu, mlitindikiwa chochote?" Wakajibu, "La."~
29 Luke 23 15 | kwamba mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya
30 Luke 23 41 | Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya."~
31 Luke 24 41 | akawauliza, "Mnacho chakula chochote hapa?"~
32 John 2 25 | 25 Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya watu, maana aliyajua
33 John 8 28 | ndimi`, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema
34 John 9 33 | Mungu, hangeweza kufanya chochote!"~
35 John 11 22 | Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa."~
36 John 12 6 | hivyo, si kwa kuwa alijali chochote juu ya maskini, bali kwa
37 John 12 19 | Mnaona? Hatuwezi kufanya chochote! Tazameni, ulimwengu wote
38 John 13 29 | alikuwa amemwambia akatoe chochote kwa maskini.~
39 John 14 13 | 13 Na chochote mtakachoomba kwa jina langu
40 John 14 14 | 14 Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.~
41 John 15 5 | bila mimi hamwezi kufanya chochote.~
42 John 15 7 | ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.~
43 John 15 16 | Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.~
44 John 16 23 | 23 Siku hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, chochote
45 John 16 23 | chochote. Kweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba Baba kwa
46 John 16 24 | 24 Mpaka sasa hamjaomba chochote kwa jina langu. Ombeni nanyi
47 John 18 20 | Wayahudi wote; na wala sijasema chochote kwa siri.~
48 John 21 3 | lakini usiku huo hawakupata chochote.~
49 Acts 3 2 | na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia
50 Acts 3 3 | Hekaluni, aliwaomba wampe chochote.~
51 Acts 4 32 | mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake
52 Acts 7 11 | hawakuweza kupata chakula chochote.~
53 Acts 8 36 | hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?"*
54 Acts 9 8 | macho yake hakuweza kuona chochote; hivyo wale watu wakamwongoza
55 Acts 9 9 | wakati huo hakula au kunywa chochote.~
56 Acts 10 14 | Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu."~
57 Acts 10 22 | nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema."~
58 Acts 10 33 | mbele ya Mungu, kusikiliza chochote ambacho bwana amekuamuru
59 Acts 11 8 | nikasema: `La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu
60 Acts 11 29 | kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu
61 Acts 13 10 | Ibilisi! Wewe ni adui wa chochote kile kilicho cha kweli;
62 Acts 17 25 | watu kana kwamba anahitaji chochote kile, kwa maana yeye mwenyewe
63 Acts 19 36 | basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari.~
64 Acts 20 20 | nyumbani mwenu na kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni.~
65 Acts 21 25 | mambo tuliyoamua: wasile chochote kilichotambikiwa miungu
66 Acts 23 9 | yao kwa nguvu: "Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu
67 Acts 23 14 | tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo
68 Acts 23 29 | sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili auawe au
69 Acts 24 19 | kutoa mashtaka yao kama wana chochote cha kusema dhidi yangu.~
70 Acts 25 5 | yao juu yake kama amefanya chochote kiovu."~
71 Acts 25 25 | sikuona kuwa alikuwa ametenda chochote kibaya hata astahili kupewa
72 Acts 26 31 | waliambiana, "Mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya
73 Acts 27 33 | bila kula; hamjala kitu chochote.~
74 Acts 28 17 | mimi, ingawa sikufanya chochote kibaya wala kupinga desturi
75 Acts 28 19 | Kaisari, ingawa sikuwa na chochote cha kuwashtaki wananchi
76 Acts 28 21 | kutoa habari rasmi au kusema chochote kibaya juu yako.~
77 Roma 3 19 | hawawezi kuwa na kisingizio chochote, na ulimwengu wote uko chini
78 Roma 8 39 | chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote kitakachoweza kututenga
79 Roma 14 14 | hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili
80 Roma 14 21 | kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha
81 Roma 14 23 | haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika
82 Roma 15 18 | Sithubutu kusema kitu kingine chochote isipokuwa tu kile ambacho
83 1Cor 1 7 | hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea
84 1Cor 1 29 | hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.~
85 1Cor 2 2 | Nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua
86 1Cor 6 12 | sitaki kutawaliwa na kitu chochote.~
87 1Cor 8 2 | anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.~
88 1Cor 9 12 | kitu ili tusiiwekee kizuizi chochote Habari Njema ya Kristo.~
89 1Cor 10 25 | 25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila
90 1Cor 10 31 | 31 Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au
91 1Cor 13 3 | sina upendo hiyo hainifai chochote.~
92 1Cor 14 6 | itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni
93 2Cor 3 5 | kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe,
94 2Cor 6 3 | kumwekea mtu yeyote kizuio chochote.~
95 2Cor 6 10 | twaonekana kuwa watu tusio na chochote, kumbe tuna kila kitu.~
96 2Cor 6 12 | Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko
97 2Cor 7 1 | hizi zote, na tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua miili
98 Gala 5 2 | kutahiriwa, Kristo hatawafaidia chochote.~
99 Gala 6 14 | Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana
100 Ephe 5 5 | wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala wa Kristo
101 Ephe 5 27 | lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo.~
102 Colo 2 23 | lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.~ ~~ ~
103 1The 3 10 | uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani
104 2The 3 11 | wavivu na ambao hawafanyi chochote, isipokuwa tu kujiingiza
105 1Tim 1 10 | wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho
106 1Tim 6 4 | amejaa majivuno na wala hajui chochote. Ni mtu wa kupenda ubishi
107 1Tim 6 7 | 7 Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua
108 1Tim 6 7 | duniani, wala hatutachukua chochote.~
109 2Tim 3 3 | walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;~
110 Titus 1 15| walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa
111 Titus 2 8 | zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.~
112 Phil 1 14 | 14 Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi
113 Hebr 4 2 | Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini
114 Hebr 4 13 | 13 Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya
115 Hebr 8 13 | alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu
116 James 1 4 | watimilifu, bila kupungukiwa chochote.~
117 James 1 7 | asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana.~
118 James 5 12| dunia, wala kwa kitu kingine chochote. Semeni "Ndiyo" kama maana
119 2Pet 2 12 | Watu hao ambao hutukana chochote kile wasichoelewa, ni sawa
120 2Pet 2 13 | kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao
121 2Pet 2 19 | maana mtu ni mtumwa wa chochote kile kinachomtawala.~
122 1Joh 2 10 | katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza
123 1Joh 2 15 | Msiupende ulimwengu, wala chochote kilicho cha ulimwengu. Mtu
124 1Joh 3 22 | na twaweza kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii
125 1Joh 5 14 | hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya mapenzi yake,
126 Jude 1 10 | Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale
127 Rev 3 2 | 2 Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla
128 Rev 3 17 | ninajitosheleza, sina haja ya kitu chochote.` Kumbe, hujui kwamba wewe
129 Rev 21 27 | 27 Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia
130 Rev 22 3 | 3 Hapana kitu chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa
131 Rev 22 18 | hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, Mungu
132 Rev 22 19 | Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii
|