Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
njaa 37
njama 5
njano 1
nje 128
njema 148
njenje 2
njia 209
Frequency    [«  »]
132 28
132 chochote
132 ufalme
128 nje
127 kwake
127 nawaambieni
127 waliokuwa

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

nje

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 13| Haifai kitu tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu.~ 2 Matt 7 15| wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwa 3 Matt 8 12| katika Ufalme huo watatupwa nje, gizani, ambako watalia 4 Matt 12 14| Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza 5 Matt 12 46| zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye.~ 6 Matt 12 47| yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe."~ 7 Matt 15 17| tumboni na baadaye hutupwa nje chooni?~ 8 Matt 21 12| akaingia Hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na 9 Matt 21 17| Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, 10 Matt 21 39| Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, 11 Matt 22 13| miguu na mikono ~mkamtupe nje gizani; huko atalia na kusaga 12 Matt 23 25| Mnasafisha ~kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa 13 Matt 23 26| kikombe ndani kwanza na nje kutakuwa ~safi pia. ~ 14 Matt 23 27| yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, ~ 15 Matt 23 28| ninyi mnaonekana na watu kwa nje kuwa wema, lakini ~kwa ndani 16 Matt 25 30| asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na 17 Matt 26 69| 69 Petro alikuwa ameketi nje uani. Basi, mtumishi mmoja 18 Matt 26 75| mara tatu." Basi, akatoka nje akalia sana.~ ~~ ~ 19 Matt 27 5 | fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga.~ 20 Mark 1 33| wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango.~ 21 Mark 1 45| waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata 22 Mark 3 6 | Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja 23 Mark 3 31| walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka 24 Mark 3 32| yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona."~ 25 Mark 4 11| Mungu, lakini wale walio nje wataambiwa kila kitu kwa 26 Mark 5 40| wakamcheka. Basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama 27 Mark 7 15| kinachoingia ndani ya mtu toka nje ambacho chaweza kumtia mtu 28 Mark 7 18| kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,~ 29 Mark 7 19| tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni?" (Kwa kusema hivyo, 30 Mark 8 23| huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate 31 Mark 11 15| Hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na 32 Mark 12 8 | wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu. 33 Mark 14 68| Petro akaondoka, akaenda nje uani. Hapo jogoo akawika.~ 34 Luke 1 10| walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza 35 Luke 1 22| 22 Alipotoka nje, hakuweza kusema nao. Ikawa 36 Luke 4 29| 29 Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa 37 Luke 5 27| Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja 38 Luke 8 20| mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.~ 39 Luke 11 39| huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu 40 Luke 11 40| ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza 41 Luke 13 25| mlango. Ninyi mtasimama nje na kuanza kupiga hodi mkisema: ` 42 Luke 13 28| lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!~ 43 Luke 13 33| sababu si sawa nabii auawe nje ya Yerusalemu.~ 44 Luke 15 28| nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.~ 45 Luke 19 45| Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara~ 46 Luke 20 15| 15 Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, 47 Luke 22 62| 62 Hapo akatoka nje, akalia sana.~ 48 Luke 24 50| 50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua 49 John 2 15| kamba, akawafukuza wote nje ya Hekalu pamoja na kondoo 50 John 6 37| watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu,~ 51 John 7 24| 24 Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki."~ 52 John 9 22| Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi.~ 53 John 10 3 | jina lake na kuwaongoza nje.~ 54 John 10 4 | 4 Akisha watoa nje huwatangulia mbele nao kondoo 55 John 11 31| walipomwona ameinuka na kutoka nje ghafla, walimfuata. Walidhani 56 John 11 43| sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"~ 57 John 11 44| aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu 58 John 13 30| kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku.~ 59 John 15 6 | asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje 60 John 15 6 | nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota 61 John 18 16| Petro alikuwa amesimama nje, karibu na mlango. Basi, 62 John 18 16| kwa Kuhani Mkuu alitoka nje akasema na mjakazi, mngoja 63 John 18 29| hiyo, Pilato aliwaendea nje, akasema, "Mna mashtaka 64 John 18 38| aliwaendea tena Wayahudi nje, akawaambia, "Mimi sioni 65 John 19 4 | 4 Pilato akatoka tena nje, akawaambia, "Tazameni, 66 John 19 4 | akawaambia, "Tazameni, namleta nje kwenu, mpate kujua kwamba 67 John 19 5 | 5 Basi, Yesu akatoka nje amevaa taji ya miiba na 68 John 19 13| maneno hayo akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha 69 John 20 11| Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku 70 Acts 1 18| matumbo yake yakamwagika nje.~ 71 Acts 4 15| Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki 72 Acts 5 6 | wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.~ 73 Acts 5 10| amekwisha kufa; hivyo wakamtoa nje, wakamzika karibu na mume 74 Acts 5 19| milango ya gereza, akawatoa nje, akawaambia,~ 75 Acts 5 34| akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.~ 76 Acts 5 41| 41 Basi, mitume wakatoka nje ya ule mkutano wa halmashauri 77 Acts 7 19| kwa kuwalazimisha waweke nje watoto wao wachanga ili 78 Acts 7 21| 21 na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, 79 Acts 7 58| 58 wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. 80 Acts 8 3 | katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, 81 Acts 9 40| 40 Petro aliwatoa nje wote, akapiga magoti, akasali. 82 Acts 10 25| anaingia, Kornelio alitoka nje kumlaki, akapiga magoti 83 Acts 12 9 | 9 Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo 84 Acts 12 10| ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika 85 Acts 12 13| Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana 86 Acts 12 14| Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.~ 87 Acts 14 13| hekalu la Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na 88 Acts 14 19| Paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani amekwisha 89 Acts 16 13| Siku ya Sabato tulitoka nje ya mji, tukaenda kando ya 90 Acts 16 30| 30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, "Waheshimiwa, 91 Acts 21 5 | wao walitusindikiza mpaka nje ya mji. Tulipofika pwani, 92 Acts 21 30| Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje ya Hekalu na papo hapo milango 93 Acts 27 18| kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.~ 94 Roma 2 28| si kila anayeonekana kwa nje kuwa Myahudi ni Myahudi 95 1Cor 5 12| langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. 96 1Cor 6 18| Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda 97 1Cor 9 21| 21 Na kwa wale walio nje ya Sheria, naishi kama wao, 98 1Cor 9 21| Sheria, naishi kama wao, nje ya Sheria, ili niwapate 99 1Cor 9 21| ili niwapate hao walio nje ya Sheria. Hii haimaanishi 100 1Cor 9 21| haimaanishi kwamba mimi niko nje ya sheria ya Mungu, maana 101 2Cor 4 16| hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani 102 2Cor 5 12| wanaojivunia hali yao ya nje zaidi kuliko jinsi walivyo 103 2Cor 7 5 | upande tulikabiliwa na taabu: nje ugomvi; ndani hofu.~ 104 2Cor 10 7 | Ninyi hutazama mambo kwa nje tu. Je, yupo mtu yeyote 105 2Cor 11 33| kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, 106 Gala 2 6 | hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje - watu hawa hawakuwa na 107 Gala 5 4 | mmejitenga mbali na Kristo; mko nje ya neema ya Mungu.~ 108 Ephe 2 12| mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa 109 Ephe 2 19| wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na 110 1Tim 3 7 | njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa 111 2Tim 3 5 | 5 Kwa nje wataonekana kama watu wenye 112 Hebr 9 2 | hema ambayo sehemu yake ya nje iliitwa Mahali Patakatifu. 113 Hebr 9 6 | kila siku katika hema ya nje kutoa huduma zao.~ 114 Hebr 9 8 | kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia 115 Hebr 13 11| hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.~ 116 Hebr 13 12| mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.~ 117 Hebr 13 13| 13 Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana 118 3Joh 1 10| na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.~ 119 Rev 4 8 | vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika 120 Rev 5 1 | kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa na mihuri saba.~ 121 Rev 11 2 | Lakini uache ukumbi ulio nje ya Hekalu; usiupime, maana 122 Rev 12 9 | joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka 123 Rev 12 10 | na mchana, sasa ametupwa nje.~ 124 Rev 14 20 | hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka 125 Rev 20 8 | 8 Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa 126 Rev 20 13 | 13 Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; 127 Rev 20 13 | kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. 128 Rev 22 15 | wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji.~


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License