Book, Chapter, Verse
1 Matt 4 24| pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake;
2 Matt 8 10| alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, "Kweli nawaambieni,
3 Matt 8 16| jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye,
4 Matt 8 16| Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.~
5 Matt 8 33| mambo yaliyowapata wale watu waliokuwa wamepagawa.~
6 Matt 11 16| kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa
7 Matt 14 33| 33 Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia,
8 Matt 15 30| viwete, bubu na wengine wengi waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele
9 Matt 15 31| ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa wamelemaa wamepona, viwete
10 Matt 21 12| Hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu
11 Matt 21 12| akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti
12 Matt 21 12| fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa.~
13 Matt 25 10| akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja
14 Matt 26 51| 51 Mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha
15 Matt 26 71| akamwona, akawaambia wale waliokuwa pale, "Mtu huyu alikuwa
16 Matt 26 73| 73 Baadaye kidogo, watu waliokuwa pale wakamwendea Petro,
17 Matt 27 39| 39 Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana
18 Matt 27 54| 54 Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona
19 Mark 1 34| Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali;
20 Mark 2 6 | Baadhi ya walimu wa Sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni
21 Mark 2 26| ni makuhani tu peke yao waliokuwa wameruhusiwa kula mikate
22 Mark 3 11| 11 Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu
23 Mark 3 22| 22 Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, "
24 Mark 3 34| 34 Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "
25 Mark 7 1 | Mafarisayo na walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika
26 Mark 11 5 | 5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza "
27 Mark 11 15| akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu
28 Mark 11 15| Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na
29 Mark 11 15| wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.~
30 Mark 14 4 | 4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika wakajisemea, "
31 Mark 14 47| 47 Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na
32 Mark 14 69| akaanza tena kuwaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, "Mtu huyu
33 Mark 14 70| tena. Baadaye kidogo, watu waliokuwa wamesimama hapo wakamwambia
34 Mark 15 29| 29 Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana,
35 Mark 16 10| akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati
36 Mark 16 14| maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.~
37 Luke 2 38| huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa
38 Luke 4 28| 28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia
39 Luke 4 40| lilipokuwa linatua, wote waliokuwa na wagonjwa wao mbalimbali
40 Luke 5 7 | 7 Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje
41 Luke 5 10| Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu
42 Luke 6 10| Baada ya kuwatazama wote waliokuwa pale, akamwambia yule mtu, "
43 Luke 6 18| 18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.~
44 Luke 7 14| akaligusa lile jeneza, na wale waliokuwa wanalichukua wakasimama.
45 Luke 7 21| alikuwa anawaponya watu wengi waliokuwa wanateseka kwa magonjwa
46 Luke 7 29| wa Mungu; hao ndio wale waliokuwa wameupokea ubatizo wa Yohane.~
47 Luke 7 32| 32 Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana,
48 Luke 7 49| 49 Na hapo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, "
49 Luke 9 32| wakawaona na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye.~
50 Luke 11 52| hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie."~
51 Luke 14 15| 15 Mmoja wa wale waliokuwa wameketi pamoja na Yesu
52 Luke 19 24| 24 Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: `Mnyang`anyeni hizo
53 Luke 22 63| 63 Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga
54 Luke 23 27| miongoni mwao wakiwemo wanawake waliokuwa wanaomboleza na kumlilia.~
55 Luke 23 48| 48 Watu wale wote waliokuwa wamekusanyika hapo kwa ajili
56 Luke 24 33| na mmoja na wale wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika~
57 John 1 40| alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema
58 John 2 16| 16 Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, "Ondoeni
59 John 6 11| akamshukuru Mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo
60 John 9 8 | Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali
61 John 9 40| 40 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye walisikia maneno
62 John 11 31| 31 Basi, Wayahudi waliokuwa nyumbani pamoja na Maria
63 John 11 45| 45 Basi, Wayahudi wengi waliokuwa wamefika kwa Maria walipoona
64 John 12 2 | Lazaro alikuwa mmoja wa wale waliokuwa mezani pamoja na Yesu.~
65 John 12 17| 17 Kundi la watu wale waliokuwa pamoja naye wakati alipomwita
66 John 12 20| kadhaa miongoni mwa watu waliokuwa wamefika Yerusalemu kuabudu
67 John 12 29| 29 Umati wa watu waliokuwa wamesimama hapo walisikia
68 Acts 1 10| anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa wamevaa nguo nyeupe walisimama
69 Acts 1 21| Anapaswa kuwa mmoja wa wale waliokuwa katika kundi letu wakati
70 Acts 2 47| aliwaongezea idadi ya watu waliokuwa wakiokolewa.~ ~ ~~ ~
71 Acts 3 2 | aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia Hekaluni.~
72 Acts 3 9 | 9 Watu wote waliokuwa hapo walimwona akitembea
73 Acts 4 6 | Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.~
74 Acts 4 34| aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa
75 Acts 5 16| wakiwaleta wagonjwa wao na wale waliokuwa na pepo wachafu, nao wote
76 Acts 5 17| Kuhani Mkuu na wenzake waliokuwa wa kikundi cha Masadukayo
77 Acts 6 15| 15 Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza
78 Acts 8 7 | 7 Maana pepo wachafu waliokuwa wamewapagaa watu wengi waliwatoka
79 Acts 8 7 | kubwa; na pia watu wengi waliokuwa wamepooza viungo na waliolemaa
80 Acts 8 14| 14 Wale mitume waliokuwa kule Yerusalemu walipopata
81 Acts 9 7 | 7 Wale watu waliokuwa wanasafiri pamoja na Saulo
82 Acts 9 21| yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule
83 Acts 9 32| alifika pia kwa watu wa Mungu waliokuwa wanaishi Luda.~
84 Acts 10 38| akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na Ibilisi.~
85 Acts 10 44| Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wanasikiliza ujumbe huo.~
86 Acts 11 11| 11 Ghafla, watu watatu waliokuwa wametumwa kwangu kutoka
87 Acts 11 29| ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.~
88 Acts 13 1 | kulikuwa na watu wengine waliokuwa manabii na walimu; miongoni
89 Acts 13 43| watu wa mataifa mengine waliokuwa wameongokea dini ya Kiyahudi
90 Acts 13 48| ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uzima
91 Acts 15 5 | 5 Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo
92 Acts 15 33| kisha wakarudi kwa wale waliokuwa wamewatuma.*fb*~
93 Acts 19 12| wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa
94 Acts 19 13| jina la Bwana Yesu kwa wale waliokuwa wamepagawa na pepo wabaya.
95 Acts 19 14| walikuwa miongoni mwa hao waliokuwa wanafanya hivyo.~
96 Acts 19 19| 19 Wengine waliokuwa wameshughulikia mambo ya
97 Acts 19 25| wafanyakazi pamoja na wengine waliokuwa na kazi kama hiyo, akawaambia, "
98 Acts 19 31| wengine wa huo mkoa wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimtumia
99 Acts 21 12| sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende
100 Acts 21 27| zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka katika mkoa wa
101 Acts 22 5 | walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko Damasko. Nilikwenda
102 Acts 22 12| aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi Damasko.~
103 Acts 22 19| nguvuni na kuwapiga wale waliokuwa wanakuamini.~
104 Acts 22 20| kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.`~
105 Acts 23 2 | Mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo
106 Acts 23 4 | 4 Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia
107 Acts 25 7 | Paulo alipofika, Wayahudi waliokuwa wametoka Yerusalemu walimzunguka
108 Acts 26 30| mkoa, Bernike na wale wote waliokuwa pamoja nao, walisimama.~
109 Roma 9 25| kitabu cha Hosea: "Wale waliokuwa `Si watu wangu` nitawaita: `
110 Roma 9 31| 31 hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo
111 2Cor 12 21| tamaa zao mbaya na uzinzi waliokuwa wamefanya.~ ~~ ~
112 Gala 2 12| Awali, kabla ya watu kadhaa waliokuwa wametumwa na Yakobo kuwasili
113 Gala 4 5 | 5 apate kuwakomboa wale waliokuwa chini ya Sheria ili sisi
114 2Tim 3 14| ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.~
115 Hebr 2 15| 15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote
116 Hebr 7 28| Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu;
117 Hebr 9 13| 13 Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika
118 1Pet 2 25| Ninyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia
119 1Pet 3 19| alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.~
120 Rev 16 2 | kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama,
121 Rev 17 1 | Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, "
122 Rev 19 17 | na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, "Njoni!
123 Rev 19 20 | alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama,
124 Rev 20 4 | Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya
125 Rev 20 13 | Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu
126 Rev 20 13 | kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa
127 Rev 21 9 | mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa
|