Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
ukuta 8
ukutani 2
ukuu 6
ukweli 122
ulafi 3
ulaghai 1
ule 146
Frequency    [«  »]
126 huu
125 uzima
124 bado
122 ukweli
121 29
120 moyo
120 mtoto

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

ukweli

    Book, Chapter, Verse
1 Matt 16 17 | binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila Baba yangu aliye 2 Mark 5 33 | mbele ya Yesu na kusema ukweli wote.~ 3 Mark 7 6 | ninyi! Nabii Isaya alitabiri ukweli juu yenu alipoandika: `Watu 4 Mark 12 14 | mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu 5 Mark 12 14 | kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, 6 Luke 1 4 | uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa.~ 7 Luke 20 21 | ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.~ 8 John 1 14 | wa Baba; amejaa neema na ukweli.~ 9 John 3 21 | Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja kwenye mwanga, ili 10 John 4 2 | 2 Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza 11 John 5 34 | Yohane naye aliushuhudia ukweli.~ 12 John 8 32 | 32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru."~ 13 John 8 32 | 32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru."~ 14 John 8 40 | 40 Mimi nimewaambieni ukweli niliousikia kwa Mungu; hata 15 John 8 44 | mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani 16 John 8 44 | msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake. Kila asemapo 17 John 8 45 | 45 Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana ninyi hamniamini.~ 18 John 8 46 | dhambi? Ikiwa basi nasema ukweli, kwa nini hamniamini?~ 19 John 9 24 | kipofu, wakamwambia, "Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua 20 John 10 35 | Maandiko Matakatifu yasema ukweli daima.~ 21 John 14 6 | akamjibu, "Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye 22 John 16 7 | 7 Lakini, nawaambieni ukweli: afadhali kwenu mimi niende 23 John 16 13 | kweli atawaongoza kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa 24 John 17 17 | 17 Waweke wakfu kwa ukweli; neno lako ni ukweli.~ 25 John 17 17 | kwa ukweli; neno lako ni ukweli.~ 26 John 17 19 | pia wafanywe wakfu katika ukweli.~ 27 John 18 37 | ulimwenguni kuwaambia watu juu ya ukweli. Kila mtu wa ukweli hunisikiliza."~ 28 John 18 37 | juu ya ukweli. Kila mtu wa ukweli hunisikiliza."~ 29 John 18 38 | 38 Pilato akamwambia, "Ukweli ni kitu gani?" Pilato alipokwisha 30 John 19 35 | kuamini. Na hayo aliyosema ni ukweli, tena yeye anajua kwamba 31 John 19 35 | yeye anajua kwamba anasema ukweli.)~ 32 Acts 2 16 | 16 Ukweli ni kwamba jambo hili ni 33 Acts 14 3 | naye Bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa juu 34 Acts 25 11 | hiyo. Lakini kama hakuna ukweli katika mashtaka waliyotoa 35 Acts 26 25 | mheshimiwa Festo: Ninachosema ni ukweli mtupu.~ 36 Roma 1 18 | njia zao mbaya wanaupinga ukweli usijulikane.~ 37 Roma 1 25 | 25 Wanaubadili ukweli juu ya Mungu kwa uongo; 38 Roma 2 20 | picha kamili ya elimu na ukweli.~ 39 Roma 9 1 | 1 Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo 40 Roma 11 25 | Ndugu zangu, napenda mjue ukweli huu uliofichika msije mkajiona 41 Roma 16 26 | 26 Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia 42 1Cor 5 10 | 10 Ukweli ni kwamba sikuwa na maana 43 1Cor 12 20 | 20 Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili 44 1Cor 13 6 | hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.~ 45 1Cor 15 20 | 20 Lakini ukweli ni kwamba Kristo amefufuliwa 46 2Cor 1 18 | 18 Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia 47 2Cor 2 14 | Yeye hutufanya tuueneze ukweli wa Kristo kama harufu nzuri, 48 2Cor 4 2 | Mungu; bali tunaudhihirisha ukweli kwa kuufanya ukweli, na 49 2Cor 4 2 | tunaudhihirisha ukweli kwa kuufanya ukweli, na hivyo kujiweka chini 50 2Cor 7 14 | sikudanganyika. Tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia 51 2Cor 7 14 | ya Tito kumekuwa jambo la ukweli mtupu.~ 52 2Cor 11 10 | 10 Naahidi kwa ule ukweli wa Kristo ulio ndani yangu, 53 2Cor 12 6 | maana ningekuwa nasema ukweli mtupu. Lakini sitajivuna; 54 2Cor 13 8 | Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza 55 2Cor 13 8 | tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.~ 56 Gala 1 7 | Habari Njema" nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, 57 Gala 2 5 | Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Habari Njema ubaki nanyi 58 Gala 2 14 | kuwa msimamo wao kuhusu ukweli wa Habari Njema haukuwa 59 Gala 4 16 | kwa sababu ya kuwaambieni ukweli?~ 60 Gala 5 7 | aliyewazuia kuuzingatia ukweli?~ 61 Ephe 4 15 | 15 Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua 62 Ephe 4 21 | wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.~ 63 Ephe 4 25 | anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni 64 Ephe 5 9 | wema kamili, uadilifu na ukweli.~ 65 Ephe 5 13 | yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;~ 66 Ephe 5 32 | 32 Kuna ukweli uliofichika katika maneno 67 Ephe 6 14 | 14 Basi, simameni imara! Ukweli uwe kama ukanda kiunoni 68 Colo 2 17 | tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.~ 69 1The 4 13 | 13 Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha 70 2The 2 10 | hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.~ 71 2The 2 12 | ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa.~ 72 2The 2 13 | watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.~ 73 1Tim 2 4 | waokolewe na wapate kuujua ukweli.~ 74 1Tim 2 7 | niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo!~ 75 1Tim 2 7 | imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo!~ 76 1Tim 3 9 | kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.~ 77 1Tim 3 15 | ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.~ 78 1Tim 4 3 | na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani.~ 79 1Tim 6 5 | zimeharibika, na ambao hawana tena ukweli. Wanadhani dini ni njia 80 1Tim 6 13 | aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato,~ 81 2Tim 2 18 | wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu 82 2Tim 2 25 | kutubu, wakapata kuujua ukweli.~ 83 2Tim 3 7 | hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.~ 84 2Tim 3 8 | 8 Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre 85 2Tim 3 14 | Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali 86 2Tim 3 16 | yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, 87 2Tim 4 4 | 4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.~ 88 Titus 1 1 | na kuwaongoza waufahamu ukweli wa dini yetu,~ 89 Titus 1 13| 13 Naye alitoboa ukweli kwa sababu hiyo, unapaswa 90 Titus 1 14| yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli.~ 91 Hebr 10 26 | makusudi baada ya kufahamu ukweli, hakuna dhabihu iwezayo 92 James 1 18| alituzaa kwa neno lake la ukweli, ili tuwe namna ya matunda 93 James 3 14| na kusema uongo dhidi ya ukweli.~ 94 James 5 19| mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha,~ 95 1Pet 1 22 | Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho 96 2Pet 1 12 | yafahamu, na mko imara katika ukweli mlioupokea.~ 97 2Pet 2 2 | wengine wataipuuza Njia ya ukweli.~ 98 1Joh 1 8 | tunajidanganya wenyewe na ukweli haumo ndani yetu.~ 99 1Joh 2 4 | basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.~ 100 1Joh 2 8 | ninayowaandikieni ni amri mpya, na ukweli wake unaonekana ndani ya 101 1Joh 2 8 | linatoweka, na mwanga wa ukweli umekwisha anza kuangaza.~ 102 1Joh 2 20 | Kristo, na hivyo mnaujua ukweli.~ 103 1Joh 2 21 | nawaandikieni, si kwa kuwa hamuujui ukweli, bali kwa sababu mnaujua; 104 1Joh 2 21 | wowote haupatikani katika ukweli.~ 105 1Joh 3 19 | hakika kwamba sisi ni watu wa ukweli; na hatutakuwa na wasiwasi 106 1Joh 4 6 | tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.~ 107 1Joh 5 6 | ni kweli, kwani Roho ni ukweli.~ 108 2Joh 1 1 | bali pia wote wanaoujua ule ukweli wanawapenda ninyi,~ 109 2Joh 1 2 | 2 kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.~ 110 2Joh 1 3 | zitakuwa pamoja nasi katika ukweli na upendo.~ 111 2Joh 1 4 | watoto wako wanaishi katika ukweli kama Baba alivyotuamuru.~ 112 3Joh 1 3 | ya uaminifu wako kuhusu ukweli; naam, wewe unaishi daima 113 3Joh 1 3 | wewe unaishi daima katika ukweli.~ 114 3Joh 1 4 | watoto wangu wanaishi katika ukweli.~ 115 3Joh 1 8 | katika kazi yao kwa ajili ya ukweli.~ 116 3Joh 1 12 | anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia 117 Rev 1 2 | kuhusu ujumbe wa Mungu na ukweli uliofunuliwa na Yesu Kristo.~ 118 Rev 1 9 | kuhubiri ujumbe wa Mungu na ukweli wa Yesu.~ 119 Rev 12 11 | Mwanakondoo na kwa nguvu ya ukweli walioutangaza; maana hawakuyathamini 120 Rev 12 17 | za Mungu na kuuzingatia ukweli wa Yesu.~ 121 Rev 19 10 | zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu 122 Rev 19 10 | Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License