Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 6 | kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda;
2 Matt 5 18 | nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya Sheria itakayoondolewa,
3 Matt 5 19 | hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbiguni.
4 Matt 8 26 | na mawimbi; kukawa shwari kabisa.~
5 Matt 11 11 | hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni,
6 Matt 12 13 | Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.~
7 Matt 15 7 | wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:~
8 Matt 19 10 | hivyo, ni afadhali kutooa kabisa."~
9 Mark 3 26 | kudumu, bali utaangamia kabisa.~
10 Mark 4 39 | upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa.~
11 Mark 5 34 | Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako."~
12 Mark 9 22 | majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie
13 Luke 6 49 | ikaanguka na kuharibika kabisa!"~ ~~ ~
14 Luke 7 10 | walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.~
15 Luke 7 28 | hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu ni
16 Luke 17 1 | wanafunzi wake, "Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha
17 Luke 18 5 | hapa, na mwisho atanichosha kabisa!"`~
18 Luke 19 48 | wakimsikiliza kwa makini kabisa.~ ~ ~~ ~
19 Luke 20 18 | likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa."~
20 Luke 20 39 | Mwalimu, umejibu vema kabisa."~
21 John 7 23 | nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?~
22 John 10 41 | juu ya mtu huyu ni kweli kabisa."~
23 John 11 56 | Mwaonaje? Yaonekana kwamba haji kabisa kwenye sikukuu, au sivyo?"~
24 John 13 22 | Wanafunzi wakatazama wasiweze kabisa kujua anasema nani.~
25 John 16 29 | Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.~
26 Acts 1 3 | namna ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona,
27 Acts 2 24 | kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.~
28 Acts 3 16 | kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona
29 Acts 3 26 | kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake."~ ~ ~~ ~
30 Acts 4 10 | anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake
31 Acts 6 14 | wa Nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia
32 Acts 9 22 | huko Damasko walivurugika kabisa.~
33 Acts 10 25 | mbele yake na kuinama chini kabisa.~
34 Acts 15 15 | 15 Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama
35 Acts 16 24 | katika chumba cha ndani kabisa cha gereza na kuifunga miguu
36 Acts 17 26 | Aliamua na kupanga kabla kabisa lini na wapi mataifa hayo
37 Acts 20 12 | kijana nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.~
38 Roma 3 18 | 18 Hawajali kabisa kumcha Mungu."~
39 Roma 7 22 | 22 Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia
40 Roma 8 20 | katika hali ya kutojiweza kabisa, si kwa hiari yao, ila vilifanywa
41 Roma 8 39 | ulimwengu wa juu, wala wa chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote
42 Roma 11 11 | wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na
43 1Cor 2 10 | kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu.~
44 1Cor 4 9 | mitume tuwe watu wa mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa
45 1Cor 5 10 | ninyi kuihama dunia hii kabisa!~
46 1Cor 6 7 | kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! Je, haingekuwa jambo bora
47 1Cor 6 18 | 18 Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine
48 1Cor 15 9 | 9 Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala
49 1Cor 15 18 | wameungana na Kristo wamepotea kabisa.~
50 1Cor 15 34 | Baadhi yenu hawamjui Mungu kabisa. Hii nawaambieni, ni aibu
51 1Cor 16 9 | 9 Mlango uko wazi kabisa kwa ajili ya kazi yangu
52 1Cor 16 12 | wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara
53 1Cor 16 15 | Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo
54 2Cor 1 13 | Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,~
55 2Cor 2 7 | akahuzunika mno na kukata tamaa kabisa.~
56 2Cor 4 2 | 2 Tumeyaacha kabisa mambo yote ya aibu na ya
57 2Cor 5 4 | kile chenye kufa kimezwe kabisa na uhai.~
58 2Cor 6 9 | mwonavyo, sisi ni wazima kabisa.~
59 2Cor 6 11 | unyofu; mioyo yetu iko wazi kabisa.~
60 2Cor 7 1 | roho zetu, tuwe watakatifu kabisa, na tuishi kwa kumcha Mungu.~
61 2Cor 7 16 | naweza kuwategemea ninyi kabisa katika kila jambo.~~ ~
62 2Cor 8 5 | jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao
63 2Cor 9 3 | matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema.~
64 2Cor 11 4 | au habari njema tofauti kabisa na ile mliyopokea kutoka
65 2Cor 12 9 | udhaifu." Basi, ni radhi kabisa kujivunia udhaifu wangu
66 2Cor 12 14 | 14 Sasa niko tayari kabisa kuja kwenu mara ya tatu,
67 2Cor 12 15 | 15 Mimi ni radhi kabisa kutumia nilicho nacho, na
68 2Cor 12 15 | kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu.
69 Gala 1 13 | kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.~
70 Gala 2 12 | hao watu kufika, aliacha kabisa kula pamoja na watu wa mataifa
71 Ephe 1 14 | kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu
72 Ephe 3 19 | upitao elimu yote, mjazwe kabisa utimilifu wote wa Mungu.~
73 Ephe 4 8 | Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa
74 Ephe 4 9 | kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani.~
75 Ephe 5 27 | lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro
76 Colo 2 14 | masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.~
77 Colo 3 5 | 5 Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani
78 Colo 4 12 | mkomae na kuwa thabiti kabisa katika mambo yote anayotaka
79 1The 4 3 | watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.~
80 2The 2 3 | mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.~
81 1Tim 1 15 | na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni
82 1Tim 2 1 | 1 Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala,
83 1Tim 4 9 | Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.~
84 1Tim 5 16 | wale waliobaki peke yao kabisa.~
85 2Tim 1 12 | Lakini niko bado timamu kabisa kwani namjua yule niliyemwamini,
86 2Tim 2 18 | 18 Hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia
87 2Tim 3 5 | wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.~
88 2Tim 3 14 | uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa
89 2Tim 3 17 | awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.~ ~~ ~
90 2Tim 4 6 | wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati
91 Titus 3 11| wa namna hiyo amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha
92 Phil 1 8 | ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika
93 Hebr 2 10 | alimfanya Yesu kuwa mkamilifu kabisa kwa njia ya mateso, ili
94 Hebr 4 12 | wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo
95 Hebr 7 25 | yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu
96 Hebr 11 1 | tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona.~
97 James 2 8 | mtakuwa mnafanya vema kabisa.~
98 1Pet 1 13 | hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni
99 1Pet 2 12 | Mungu unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni
100 1Pet 4 19 | wao ambaye ni wa kuaminika kabisa.~ ~~ ~
101 2Pet 1 4 | zawadi hizo mpate kuziepa kabisa tamaa mbaya zilizomo duniani,
102 2Pet 2 13 | ni kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza
103 2Pet 3 14 | fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu,
104 1Joh 2 1 | Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa.~
105 1Joh 2 29 | kwamba Kristo ni mwadilifu kabisa; basi, mnapaswa kujua pia
106 1Joh 3 3 | vile Kristo alivyo safi kabisa.~
107 1Joh 3 7 | Kristo alivyo mwadilifu kabisa.~
108 3Joh 1 9 | kuwa kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza.~
109 Jude 1 12 | wa majira yake, wamekufa kabisa.~
110 Rev 3 2 | kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona
111 Rev 7 14 | Mwanakondoo, yakawa meupe kabisa.~
112 Rev 8 13 | nikasikia tai akiruka juu kabisa angani anasema kwa sauti
113 Rev 12 4 | kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.~
114 Rev 18 21 | atakavyotupwa na kupotea kabisa.~
|