Book, Chapter, Verse
1 Matt 9 30 | Msimwambie mtu yeyote jambo hili."~
2 Matt 9 33 | wakashangaa na kusema, "Jambo kama hili halijapata kuonekana katika
3 Matt 16 22 | Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!"~
4 Matt 19 11 | wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa
5 Matt 19 12 | Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee."~
6 Matt 19 26 | akasema, "Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa
7 Matt 21 4 | 4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa
8 Matt 21 42 | akawaambia, "Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? `
9 Matt 21 42 | Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu!`~
10 Matt 24 43 | 43 Lakini kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua
11 Matt 28 14 | mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha
12 Mark 1 44 | Usimwambie mtu yeyote jambo hili, ila nenda ukajionyeshe
13 Mark 2 12 | Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili."~
14 Mark 2 26 | iliyowekwa mbele ya Mungu. Jambo hili lilifanyika wakati Abiathari
15 Mark 12 11 | Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu."`~
16 Mark 12 33 | anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi kuliko dhabihu
17 Mark 14 58 | akisema, `Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono,
18 Luke 2 15 | Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."~
19 Luke 4 3 | Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate."~
20 Luke 4 21 | akaanza kuwaambia, "Andiko hili mlilosikia likisomwa, limetimia
21 Luke 4 36 | wakashangaa, wakawa wanaambiana, "Hili ni jambo la ajabu, maana
22 John 2 19 | akawaambia, "Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku
23 John 2 20 | Wayahudi wakasema, "Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka
24 John 5 10 | mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.~
25 John 5 29 | 28 Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo
26 John 6 61 | akawauliza, "Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?~
27 John 9 3 | 3 Yesu akajibu, "Jambo hili halikutukia kwa sababu ya
28 John 9 7 | Siloamu." (maana ya jina hili ni "aliyetumwa"). Basi,
29 John 9 30 | 30 Naye akawajibu, "Hili ni jambo la kushangaza!
30 Acts 2 16 | 16 Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii
31 Acts 3 12 | nini mnashangazwa na jambo hili? Mbona mnatukodolea macho
32 Acts 4 7 | wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina
33 Acts 4 17 | ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu,
34 Acts 9 21 | waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule Yerusalemu? Tena alikuja
35 Acts 9 42 | 42 Habari ya tukio hili ilienea kila mahali huko
36 Acts 10 16 | 16 Jambo hili lilifanyika mara tatu, kisha
37 Acts 13 17 | 17 Mungu wa taifa hili la Israeli aliwateua babu
38 Acts 15 2 | 2 Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa,
39 Acts 15 15 | 15 Jambo hili ni sawa kabisa na maneno
40 Acts 15 18 | Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.`~
41 Acts 17 19 | wakasema, "Tunataka kujua jambo hili jipya ulilokuwa unazungumzia.~
42 Acts 17 31 | amewathibitishia wote jambo hili kwa kumfufua mtu huyo kutoka
43 Acts 17 32 | kukusikia tena juu ya jambo hili!"~
44 Acts 18 14 | Wayahudi! Kama kweli jambo hili lingekuwa juu ya uhalifu
45 Acts 19 32 | alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata
46 Acts 24 3 | 3 Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa
47 Acts 24 10 | umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi.~
48 Acts 26 26 | yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.~
49 Acts 28 25 | zao, Paulo alisema jambo hili, "Kweli ni sawa yale aliyoyanena
50 Roma 1 17 | watu kuwa waadilifu; jambo hili hufanyika kwa imani, tangu
51 Roma 2 29 | ambaye ametahiriwa moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si
52 Roma 3 21 | manabii hushuhudia jambo hili.~
53 Roma 4 16 | 16 Kwa sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba
54 Roma 4 24 | 24 Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao
55 Roma 9 1 | Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.~
56 Roma 10 12 | 12 Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna
57 Roma 11 27 | 27 Hili ndilo agano nitakalofanya
58 1Cor 1 23 | aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu
59 1Cor 7 17 | kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa
60 1Cor 11 16 | kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi
61 1Cor 11 22 | La hasha! Si kuhusu jambo hili.~
62 1Cor 15 31 | inanifanya nitangaze jambo hili.~
63 2Cor 3 12 | 12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi
64 2Cor 7 7 | mnavyotaka kunitetea. Jambo hili linanifurahisha sana.~
65 2Cor 7 11 | hamna hatia kuhusu jambo hili.~
66 2Cor 8 10 | 10 Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili:
67 2Cor 8 10 | hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza
68 2Cor 11 6 | lakini elimu ninayo; jambo hili tumelionyesha wazi kwenu,
69 2Cor 11 17 | alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama
70 2Cor 12 8 | Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.~
71 Gala 2 17 | wenye dhambi, je, jambo hili lina maana kwamba Kristo
72 Gala 3 14 | 14 Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka
73 Ephe 1 14 | aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu
74 Ephe 2 8 | kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu,
75 Ephe 3 3 | Nimeandika kwa ufupi juu ya jambo hili,~
76 Ephe 6 1 | wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.~
77 1The 4 6 | kumpunja mwenzake kuhusu jambo hili. Tulikwisha waambieni hayo
78 1The 4 15 | 15 Hili tunalowaambieni ni fundisho
79 2The 2 2 | inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani,
80 2The 2 14 | Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema
81 1Tim 2 3 | 3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu
82 Titus 3 8 | 8 Jambo hili ni kweli. Ninakutaka uyatilie
83 Phil 1 19 | 19 Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe:
84 Hebr 4 5 | 5 Tena jambo hili lasemwa pia: "Hawataingia
85 Hebr 4 7 | 7 Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka
86 Hebr 5 11 | Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni,
87 Hebr 7 2 | Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni "Mfalme wa
88 Hebr 7 15 | 15 Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani
89 Hebr 8 1 | katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye Kuhani Mkuu
90 Hebr 8 9 | 9 Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya
91 Hebr 8 10 | 10 Na hili ndilo agano nitakalofanya
92 Hebr 9 9 | 9 Jambo hili ni mfano wa nyakati za sasa.
93 Hebr 10 16 | 16 "Hili ndilo agano nitakalofanya
94 Hebr 12 1 | 1 Sisi tunalo kundi hili kubwa la mashahidi mbele
95 Hebr 12 27 | 27 Neno hili: "tena" linatuonyesha kwamba
96 James 1 19| wapenzi, kumbukeni jambo hili! Kila mtu na awe mwepesi
97 1Pet 5 12 | kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli.
98 2Pet 3 17 | wangu, mmekwisha jua jambo hili. Basi, muwe na tahadhari
99 1Joh 3 3 | kila mtu aliye na tumaini hili katika Kristo, hujiweka
100 1Joh 5 16 | atampatia uzima. Nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi
101 2Joh 1 5 | moja kwako: tupendane. Ombi hili si amri mpya, bali ni amri
102 Rev 20 14 | ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha
103 Rev 21 5 | Tena akaniambia, "Andika hili, maana maneno haya ni ya
104 Rev 22 17 | Njoo!" Kila mtu asikiaye hili, na aseme,"Njoo!" Kisha,
|