Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 19 | 19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana
2 Matt 4 16 | nchi ya giza na kivuli cha kifo, mwanga umewaangazia!"~
3 Matt 16 18 | nitalijenga kanisa langu; wala kifo chenyewe hakitaweza kulishinda.~
4 Matt 27 24 | Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu
5 Luke 1 79 | wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika
6 Luke 9 31 | wakazungumza naye juu ya kifo chake ambacho angekikamilisha
7 Luke 11 51 | kumwagwa damu ya Abeli mpaka kifo cha Zakariya ambaye walimuua
8 Luke 23 15 | kinachostahili adhabu ya kifo.~
9 John 5 25 | bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.~
10 John 11 4 | Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza
11 John 11 13 | kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.~
12 John 11 19 | na Maria kuwafariji kwa kifo cha kaka yao.~
13 John 12 33 | hivyo alionyesha atakufa kifo gani).~
14 John 18 32 | aliyosema Yesu kuonyesha atakufa kifo gani.)~
15 Acts 1 3 | wa siku arobaini baada ya kifo chake aliwatokea mara nyingi
16 Acts 2 24 | akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana
17 Acts 2 24 | maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.~
18 Acts 5 28 | mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo."~
19 Acts 7 4 | akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu alimtoa
20 Acts 13 27 | kumhukumu Yesu adhabu ya kifo.~
21 Acts 25 11 | linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa adhabu
22 Acts 25 25 | astahili kupewa adhabu ya kifo. Lakini, kwa vile Paulo
23 Acts 26 31 | kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo."~
24 Roma 1 32 | mithili hiyo, wanastahili kifo. Zaidi ya hayo, siyo tu
25 Roma 5 10 | alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile
26 Roma 5 12 | ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika
27 Roma 5 12 | ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya
28 Roma 5 14 | Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao
29 Roma 5 15 | ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya
30 Roma 5 17 | kwa dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu
31 Roma 5 21 | dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala
32 Roma 6 3 | tulibatizwa na kuungana na kifo chake.~
33 Roma 6 4 | Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja
34 Roma 6 9 | kutoka wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.~
35 Roma 6 16 | dhambi, na matokeo yake ni kifo, au wa utii, na matokeo
36 Roma 6 21 | matokeo ya mambo haya ni kifo!~
37 Roma 6 23 | maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa
38 Roma 7 5 | yetu, na kuchuma pato la kifo.~
39 Roma 7 10 | kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.~
40 Roma 7 13 | kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo
41 Roma 7 13 | kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa
42 Roma 8 2 | katika sheria ya dhambi na kifo.~
43 Roma 8 6 | 6 Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima
44 Roma 8 36 | ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha: tunatendewa
45 Roma 8 38 | kututenganisha na upendo wake: wala kifo, wala uhai; wala malaika,
46 1Cor 1 17 | za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.~
47 1Cor 1 18 | 18 Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni
48 1Cor 3 22 | Kefa, ulimwengu, maisha na kifo; mambo ya sasa na ya baadaye,
49 1Cor 11 26 | kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka atakapokuja.~
50 1Cor 15 20 | lao wale waliolala katika kifo.~
51 1Cor 15 21 | 21 Maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na
52 1Cor 15 26 | mwisho atakayeangamizwa ni kifo.~
53 1Cor 15 31 | 31 Ndugu, mimi nakikabili kifo kila siku! Fahari niliyo
54 1Cor 15 54 | lile neno lililoandikwa: "Kifo kimeangamizwa ushindi umekamilika!"~
55 1Cor 15 55 | 55 "Kifo, ushindi wako uko wapi?
56 1Cor 15 56 | 56 Ukali wa kifo hutokana na dhambi, nayo
57 2Cor 1 10 | alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa;
58 2Cor 2 16 | wanaopotea, harufu hiyo ni kifo; lakini kwa wale wanaookolewa,
59 2Cor 3 6 | sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.~
60 2Cor 3 7 | Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu
61 2Cor 3 7 | kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi
62 2Cor 4 10 | tukichukua mwilini mwetu kifo cha Kristo, ili uhai wake
63 2Cor 4 11 | yetu yote tunakabiliwa na kifo daima kwa ajili ya Yesu,
64 2Cor 4 12 | maana kwamba ndani yetu kifo kinafanya kazi, lakini ndani
65 2Cor 5 14 | kwamba wote wanashiriki kifo chake.~
66 2Cor 7 10 | huzuni ya kidunia huleta kifo.~
67 2Cor 11 23 | nyingi zaidi na nimekaribia kifo mara nyingi.~
68 Colo 1 22 | 22 Lakini sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa
69 2Tim 1 10 | Yeye amekomesha nguvu za kifo, na kwa njia ya Habari Njema
70 2Tim 4 17 | nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.~
71 Hebr 2 9 | na heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka.~
72 Hebr 2 14 | Alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize Ibilisi,
73 Hebr 2 14 | ambaye ana mamlaka juu ya kifo,~
74 Hebr 2 15 | kwa sababu ya hofu yao ya kifo.~
75 Hebr 5 7 | uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu
76 Hebr 6 1 | vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini Mungu;~
77 Hebr 9 14 | kutokana na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia Mungu
78 Hebr 9 15 | walizoahidiwa. Watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa
79 Hebr 9 16 | wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo
80 Hebr 9 17 | kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana
81 Hebr 12 2 | inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, bila kujali juu
82 James 1 15| nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.~
83 James 5 20| ataiokoa roho yake kutoka kifo, na dhambi nyingi zitaondolewa.~
84 1Joh 3 14 | tumekwisha pita kutoka katika kifo na kuingia katika uzima
85 1Joh 3 14 | na upendo hubaki katika kifo.~
86 1Joh 5 6 | ubatizo wake na kwa damu ya kifo chake. Hakuja kwa maji tu,
87 1Joh 5 16 | dhambi isiyompeleka kwenye kifo anapaswa kumwombea kwa Mungu,
88 1Joh 5 16 | waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi yenye
89 1Joh 5 16 | yenye kumpeleka mtu kwenye kifo nami sisemi kwamba mnapaswa
90 1Joh 5 17 | isiyompeleka mtu kwenye kifo.~
91 Rev 1 18 | milele. Ninazo funguo za kifo na Kuzimu.~
92 Rev 2 11 | wanaoshinda hawataumizwa na kifo cha pili.~
93 Rev 6 8 | mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma.
94 Rev 9 6 | Muda huo watu watatafuta kifo lakini hawatakipata; watatamani
95 Rev 9 6 | watatamani kufa lakini kifo kitawakimbia.~
96 Rev 11 10 | waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya
97 Rev 13 12 | ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.~
98 Rev 20 6 | wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu
99 Rev 20 13 | wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje
100 Rev 20 14 | 14 Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani
101 Rev 20 14 | Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.~
102 Rev 21 4 | maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio,
103 Rev 21 8 | na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili."~
|