Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 28| nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha
2 Matt 5 32| anamfanya azini; na mtu akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.~
3 Matt 14 4 | halali kwako kuishi na huyo mwanamke!"~
4 Matt 19 4 | mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,~
5 Matt 19 7 | nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na
6 Mark 5 25| 25 Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa wa kutokwa
7 Mark 5 26| 26 Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka
8 Mark 5 33| 33 Hapo huyo mwanamke, akifahamu yaliyompata,
9 Mark 7 25| 25 Mwanamke mmoja ambaye binti yake
10 Mark 10 6 | Mungu aliumba mwanamume na mwanamke.~
11 Mark 10 12| 12 Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa
12 Luke 2 36| Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana,
13 Luke 4 26| kwa mjane yeyote ila kwa mwanamke mjane wa Sarepta, Sidoni.~
14 Luke 7 38| yakamdondokea Yesu miguuni. Huyo mwanamke akaipangusa miguu ya Yesu
15 Luke 7 39| kweli nabii angejua huyu mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba
16 Luke 7 44| 44 Halafu akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni, "Unamwona
17 Luke 7 44| kumwambia Simoni, "Unamwona huyu mwanamke, sivyo? Basi, mimi nilipoingia
18 Luke 7 44| kunawa miguu yangu; lakini mwanamke huyu ameniosha miguu yangu
19 Luke 7 45| kwa kunibusu, lakini huyu mwanamke tangu nilipoingia hapa amekuwa
20 Luke 7 46| mafuta kichwani, lakini huyu mwanamke amefanya hivyo kwa kunipaka
21 Luke 7 48| Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, "Umesamehewa dhambi zako."~
22 Luke 7 50| Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa;
23 Luke 8 43| 43 Kulikuwa na mwanamke mmoja kati ya lile kundi
24 Luke 8 44| 44 Huyo mwanamke alimfuata Yesu nyuma, akagusa
25 Luke 8 47| 47 Yule mwanamke alipoona kwamba hawezi kujificha,
26 Luke 10 38| katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha
27 Luke 11 27| Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi
28 Luke 13 11| 11 Na hapo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa
29 Luke 15 8 | 8 "Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za
30 Luke 16 18| anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.~
31 Luke 20 32| Mwishowe akafa pia yule mwanamke.~
32 Luke 20 33| siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani?
33 John 4 7 | 7 Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka
34 John 4 9 | 9 Lakini huyo mwanamke akamwambia, "Wewe ni Myahudi;
35 John 4 9 | Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba
36 John 4 15| 15 Huyo mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa,
37 John 4 17| 17 Huyo mwanamke akamwambia, "Mimi sina mume."
38 John 4 19| 19 Huyo Mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa,
39 John 4 27| wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: "
40 John 4 27| au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?"~
41 John 8 3 | na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika
42 John 8 4 | wakamwuliza Yesu, "Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika
43 John 8 5 | Sheria yetu Mose alituamuru mwanamke kama huyu apigwe mawe. Basi,
44 John 8 9 | akabaki peke yake, na yule mwanamke amesimama palepale.~
45 John 8 10| alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, "Wako wapi wale watu? Je,
46 John 8 11| 11 Huyo mwanamke akamjibu, "Mheshimiwa, hakuna
47 Acts 9 36| Kulikuwa na mfuasi mmoja mwanamke mjini Yopa aitwaye Tabitha (
48 Acts 9 36| maana yake, Paa). Huyo mwanamke alikuwa akitenda mema na
49 Acts 16 14| waliotusikiliza alikuwa mwanamke mmoja mcha Mungu aitwaye
50 Acts 17 34| walikuwa Dionisio wa Areopago, mwanamke mmoja aitwaye Damari na
51 Roma 7 2 | 2 Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na
52 Roma 7 2 | sheria haimtawali tena huyo mwanamke.~
53 Roma 7 3 | 3 Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume
54 Roma 7 3 | mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na
55 1Cor 7 2 | mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.~
56 1Cor 7 12| mke asiyeamini, na huyo mwanamke akakubali kuendelea kuishi
57 1Cor 7 13| 13 Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini,
58 1Cor 7 34| 34 naye amegawanyika. Mwanamke asiyeolewa au bikira hujishughulisha
59 1Cor 7 34| na roho kwa Bwana. Lakini mwanamke aliyeolewa hujishughulisha
60 1Cor 7 39| 39 Mwanamke huwa amefungwa na mumewe
61 1Cor 11 5 | 5 Na mwanamke akisali au kutangaza ujumbe
62 1Cor 11 5 | anayefanya hivyo ni sawa tu na mwanamke aliyenyoa kichwa chake.~
63 1Cor 11 6 | 6 Mwanamke asiyefunika kichwa chake,
64 1Cor 11 6 | zake. Lakini ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa;
65 1Cor 11 7 | utukufu wake Mungu; lakini mwanamke ni kioo cha utukufu wa mwanamume.~
66 1Cor 11 8 | 8 Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa
67 1Cor 11 8 | hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.~
68 1Cor 11 9 | Mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, ila mwanamke aliumbwa kwa
69 1Cor 11 9 | kwa ajili ya mwanamke, ila mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume.~
70 1Cor 11 10| 10 Ndiyo maana mwanamke hufunika kichwa chake, iwe
71 1Cor 11 11| Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume,
72 1Cor 11 11| naye mwanamume si kitu bila mwanamke.~
73 1Cor 11 12| 12 Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume,
74 1Cor 11 12| hivyo mwanamume huzaliwa na mwanamke; kila kitu hutoka kwa Mungu.~
75 1Cor 11 13| Amueni wenyewe: Je, inafaa mwanamke kumwomba Mungu bila kuvaa
76 1Cor 11 15| 15 lakini kwa mwanamke kuwa na nywele ni heshima
77 1Cor 14 35| nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya
78 Gala 3 28| na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja katika
79 Gala 4 4 | alimtuma Mwanawe aliyezaliwa na mwanamke, akaishi chini ya Sheria~
80 Gala 4 22| watoto wawili: mmoja kwa mwanamke mtumwa, na wa pili kwa mwanamke
81 Gala 4 22| mwanamke mtumwa, na wa pili kwa mwanamke huru.~
82 Gala 4 23| 23 Yule wa mwanamke mtumwa alizaliwa kama kawaida,
83 Gala 4 23| kawaida, lakini yule wa mwanamke huru alizaliwa kutokana
84 1Tim 2 12| 12 Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume;
85 1Tim 2 14| Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja
86 1Tim 2 15| 15 Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto,
87 1Tim 5 5 | 5 Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu
88 1Tim 5 6 | 6 Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya
89 Rev 2 20 | yako: wewe unamvumilia yule mwanamke Yezabeli anayejiita nabii
90 Rev 12 1 | mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi
91 Rev 17 3 | jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu.
92 Rev 17 4 | 4 Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi
93 Rev 17 6 | 6 Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa
94 Rev 17 7 | nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye
95 Rev 17 9 | ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa
96 Rev 17 18 | 18 "Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji
|