Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
kaa 2
kabila 24
kabisa 114
kabla 93
kaburi 21
kaburini 23
kadha 4
Frequency    [«  »]
94 zote
93 34
93 abrahamu
93 kabla
92 lile
92 manabii
92 walio

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

kabla

   Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 18| ameposwa na Yosefu. Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume 2 Matt 5 12| walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.~ 3 Matt 6 8 | anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.~ 4 Matt 8 29| Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya wakati wake?"~ 5 Matt 10 23| katika miji yote ya Israeli kabla Mwana wa Mtu hajafika.~ 6 Matt 15 2 | mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!"~ 7 Matt 16 28| papahapa ambao hawatakufa kabla ya kumwona Mwana wa Mtu 8 Matt 17 25| alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu 9 Matt 21 31| wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu.~ 10 Matt 24 14| 14 Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari 11 Matt 24 25| Sikilizeni, nimekwisha kuwaonya kabla ya wakati.~ 12 Matt 24 34| kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.~ 13 Matt 24 38| 38 Maana nyakati hizo, kabla ya gharika kuu, watu walikuwa 14 Matt 26 17| 17 Siku ya kwanza kabla ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa 15 Matt 26 34| Kweli nakwambia, usiku huu kabla jogoo hajawika, utanikana 16 Matt 26 75| maneno aliyoambiwa na Yesu: "Kabla jogoo hajawika, utanikana 17 Matt 27 63| yule mdanganyifu alisema kabla ya kufa ati, `Baada ya siku 18 Mark 1 35| 35 Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, 19 Mark 7 3 | ya wazee wao: hawali kitu kabla ya kunawa mikono ipasavyo.~ 20 Mark 9 1 | papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu 21 Mark 13 23| nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.~ 22 Mark 13 30| kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.~ 23 Mark 14 1 | 1 Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu ya Pasaka na 24 Mark 14 30| Kweli nakwambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, 25 Mark 14 72| alivyokuwa amemwambia: "Kabla jogoo hajawika mara mbili, 26 Luke 2 21| alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.~ 27 Luke 2 26| amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana.~ 28 Luke 9 27| papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu."~ 29 Luke 17 25| 25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke 30 Luke 19 13| 13 Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi 31 Luke 21 12| 12 Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni 32 Luke 21 14| mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,~ 33 Luke 21 32| hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.~ 34 Luke 22 15| Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu.~ 35 Luke 22 34| Nakwambia wewe Petro, kabla jogoo hajawika leo utakuwa 36 Luke 22 61| ameambiwa na Bwana: "Leo kabla jogoo hajawika, utanikana 37 John 1 15| kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa."`~ 38 John 1 30| kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa!`~ 39 John 1 48| Ulipokuwa chini ya mtini hata kabla Filipo hajakuita, nilikuona."~ 40 John 4 49| Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa."~ 41 John 7 51| Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua 42 John 8 58| akawaambia, "Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi 43 John 10 8 | Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang` 44 John 11 55| Yerusalemu ili wajitakase kabla ya sikukuu hiyo.~ 45 John 12 1 | 1 Siku sita kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu 46 John 13 1 | 1 Ilikuwa kabla ya sikukuu ya Pasaka. Yesu 47 John 13 19| nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea 48 John 13 38| yangu? Kweli nakwambia, kabla jogoo hajawika utanikana 49 John 14 29| Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea 50 John 15 18| kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.~ 51 John 17 5 | ule utukufu niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu.~ 52 John 17 24| ulionipa; kwa kuwa ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu.~ 53 Acts 1 2 | alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni 54 Acts 2 20| utakuwa mwekundu kama damu, kabla ya kutokea ile siku kuu 55 Acts 2 31| 31 Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na 56 Acts 5 4 | 4 Kabla ya kuliuza lilikuwa mali 57 Acts 5 35| Wananchi wa Israeli, tahadhari kabla ya kutekeleza hicho mnachotaka 58 Acts 7 2 | alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.~ 59 Acts 12 6 | 6 Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode 60 Acts 13 24| 24 Kabla ya kuja kwake Yesu, Yohane 61 Acts 17 26| kote. Aliamua na kupanga kabla kabisa lini na wapi mataifa 62 Acts 18 14| 14 Kabla tu Paulo hajaanza kusema, 63 Acts 22 25| kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?"~ 64 Acts 23 15| Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu."~ 65 Acts 23 23| Kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.~ 66 Acts 25 16| Waroma kumtoa mtu aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na 67 Roma 4 10| Je, Abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada 68 Roma 4 10| ama baada ya kutahiriwa? Kabla ya kutahiriwa, na si baada 69 Roma 4 11| imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. Kwa hiyo, 70 Roma 4 12| yetu Abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.~ 71 Roma 5 13| 13 Kabla ya Sheria kuwako, dhambi 72 Roma 9 11| uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa 73 Roma 9 11| wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema 74 Roma 16 7 | tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.~ 75 1Cor 4 5 | 5 Basi, msihukumu kabla ya wakati wake acheni mpaka 76 1Cor 12 2 | 2 Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa 77 1Cor 15 8 | niliyekuwa kama mtu aliyezaliwa kabla ya wakati.~ 78 Gala 1 15| alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.~ 79 Gala 1 17| wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza 80 Gala 2 12| 12 Awali, kabla ya watu kadhaa waliokuwa 81 Gala 3 8 | Maandiko Matakatifu yalionyesha kabla kwamba Mungu atawakubali 82 Gala 3 23| 23 Kabla ya kujaliwa imani, Sheria 83 Ephe 1 4 | 4 Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu 84 Colo 1 17| 17 Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana 85 1The 2 2 | na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. 86 2Tim 1 9 | hiyo katika Kristo Yesu kabla mwanzo wa nyakati; ~ 87 2Tim 4 21| 21 Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, 88 Titus 1 2| uongo, alituahidia uzima huo kabla ya mwanzo wa nyakati,~ 89 Hebr 11 5 | Maandiko yasema kwamba kabla ya kuchukuliwa kwake, yeye 90 Hebr 11 13| wakiwa na imani. Walikufa kabla ya kupokea mambo ambayo 91 1Pet 1 20| alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa 92 Rev 2 5 | pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukayaache madhambi 93 Rev 3 2 | chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa.


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License