Book, Chapter, Verse
1 Matt 13 18 | ninyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.~
2 Matt 13 20 | iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye ujumbe huo
3 Matt 13 22 | kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye huo ujumbe,
4 Matt 13 23 | iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa mtu ausikiaye ujumbe
5 Matt 13 24 | 24 Yesu akawaambia watu mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni
6 Matt 13 31 | 31 Yesu akawaambia watu mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni
7 Matt 13 33 | 33 Yesu akawaambia mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni
8 Matt 13 36 | wakamwambia, "Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani."~
9 Matt 15 15 | akadakia, "Tufafanulie huo mfano."~
10 Matt 21 33 | Yesu akasema, "Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye
11 Matt 22 | Mfano wa karamu ya arusi~\r ~\
12 Matt 24 32 | 32 "Kwa mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu matawi yake
13 Mark 4 13 | akawauliza, "Je, ninyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa
14 Mark 4 13 | Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote?~
15 Mark 4 18 | penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaolisikia hilo
16 Mark 7 17 | walimwuliza maana ya huo mfano.~
17 Mark 12 12 | wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. Kwa
18 Mark 13 28 | 28 "Kwa mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu matawi yake
19 Luke 5 36 | 36 Yesu akawaambia mfano huu: "Hakuna mtu akataye
20 Luke 6 39 | 39 Akawaambia mfano huu: "Je, kipofu anaweza
21 Luke 6 47 | 47 Nitawapeni mfano unaofaa kuonyesha alivyo
22 Luke 8 4 | kila mji. Naye akawaambia mfano huu:~
23 Luke 8 9 | wakamwuliza Yesu maana ya mfano huo.~
24 Luke 8 11 | 11 "Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno
25 Luke 12 16 | 16 Kisha akawaambia mfano: "Kulikuwa na tajiri mmoja
26 Luke 12 24 | 24 Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni
27 Luke 12 41 | Petro akamwambia, "Bwana, mfano huo ni kwa ajili yetu tu,
28 Luke 13 6 | 6 Kisha, Yesu akawaambia mfano huu: "Mtu mmoja alikuwa
29 Luke 14 7 | nafasi za heshima, akawaambia mfano:~
30 Luke 15 3 | 3 Yesu akawajibu kwa mfano:~
31 Luke 18 1 | Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonyesha kwamba ni lazima
32 Luke 18 9 | Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wa wale ambao walijiona
33 Luke 19 11 | wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia
34 Luke 20 9 | akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "Mtu mmoja alilima
35 Luke 20 19 | wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na
36 Luke 21 29 | 29 Kisha akawaambia mfano: "Angalieni mtini na miti
37 John 10 6 | 6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa
38 John 13 15 | 15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama
39 Acts 20 35 | Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi
40 Roma 1 23 | wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa,
41 Roma 1 23 | wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama
42 Roma 15 5 | msimamo mmoja kufuatana na mfano wake Kristo Yesu,~
43 1Cor 4 6 | kielelezo kwenu: kutokana na mfano wangu mimi na Apolo nataka
44 1Cor 4 16 | hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.~
45 1Cor 10 6 | Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi
46 1Cor 10 18 | 18 Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao,
47 1Cor 11 7 | chake, kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na kioo cha utukufu
48 2Cor 3 18 | tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi
49 2Cor 4 4 | utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu.~
50 Gala 3 6 | 6 Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye
51 Gala 3 15 | 15 Ndugu, nitawapeni mfano kutoka maisha yetu ya kila
52 Gala 4 24 | 24 Mambo hayo yamekuwa mfano; mama hao wawili ni mfano
53 Gala 4 24 | mfano; mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza
54 Gala 4 25 | Sinai ulioko Arabia, na ni mfano wa Yerusalemu ya sasa, ulio
55 Ephe 4 24 | utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha
56 Colo 1 15 | 15 Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana; ni
57 Colo 3 10 | Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu
58 1The 1 6 | 6 Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana.
59 1The 1 7 | 7 Kwa hiyo ninyi mmekuwa mfano mzuri kwa waumini wote wa
60 2The 3 7 | kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi
61 2The 3 9 | sababu tunataka kuwapeni mfano.~
62 1Tim 1 16 | wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye
63 1Tim 4 12 | kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi
64 Titus 2 7 | wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu
65 Hebr 1 3 | wa utukufu wa Mungu, na mfano kamili wa hali ya Mungu
66 Hebr 8 5 | Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko
67 Hebr 8 5 | kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani."~
68 Hebr 9 9 | 9 Jambo hili ni mfano wa nyakati za sasa. Linaonyesha
69 Hebr 9 23 | 23 Vitu hivi ambavyo ni mfano tu wa mambo halisi ya mbinguni,
70 Hebr 9 24 | mikono ya watu, ambapo ni mfano tu wa kile kilicho halisi.
71 James 3 9 | watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu.~
72 James 5 10| 10 Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika
73 1Pet 2 21 | ajili yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo wake.~
74 1Pet 3 6 | 6 Sara kwa mfano alimtii Abrahamu na kumwita
75 1Pet 3 21 | 21 ambayo yalikuwa mfano wa ubatizo unaowaokoa ninyi
76 1Pet 5 3 | ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.~
77 2Pet 2 6 | kwa moto, akaifanya iwe mfano wa mambo yatakayowapata
78 3Joh 1 11 | 11 Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema.
79 3Joh 1 11 | usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye mema
80 Rev 18 21 | nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia,
|