Book, Chapter, Verse
1 Matt 8 13| Na mtumishi wake akapona saa ileile.~
2 Matt 9 22| imekuponya." Mama huyo akapona saa ileile.~
3 Matt 14 15| Mahali hapa ni nyikani, na saa zimepita. Basi, uwaage watu
4 Matt 15 28| binti yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo.~
5 Matt 20 3 | 3 Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu
6 Matt 20 5 | shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya
7 Matt 20 5 | akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.~
8 Matt 20 6 | 6 Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka
9 Matt 20 9 | wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea
10 Matt 20 12| walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea
11 Matt 24 36| Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye
12 Matt 24 44| maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."~
13 Matt 24 50| atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua.~
14 Matt 25 13| kwa maana hamjui siku wala saa.~
15 Matt 26 40| kukesha pamoja nami hata saa moja?~
16 Matt 26 45| na kupumzika? Tazameni! Saa yenyewe imefika, na Mwana
17 Matt 27 45| 45 Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa,
18 Matt 27 45| Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi yote ikawa katika
19 Matt 27 46| 46 Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti
20 Mark 6 35| 35 Saa za mchana zilikwisha pita.
21 Mark 13 11| juu ya yale mtakayosema; saa ile itakapofika, semeni
22 Mark 13 32| hakuna mtu ajuaye siku au saa hiyo itakuja lini; wala
23 Mark 14 35| ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso.~
24 Mark 14 37| umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?"~
25 Mark 14 41| kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa
26 Mark 15 25| 25 Ilikuwa saa tatu asubuhi walipomsulubisha.~
27 Mark 15 33| 33 Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa
28 Mark 15 33| Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini
29 Mark 15 34| 34 Saa tisa alasiri Yesu akalia
30 Luke 2 38| 38 Saa hiyohiyo alijitokeza mbele,
31 Luke 10 21| 21 Saa ileile, Yesu akafurahi kwa
32 Luke 12 39| kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha,
33 Luke 12 40| maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."~
34 Luke 12 46| atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua; atamkatilia mbali
35 Luke 22 14| 14 Saa ilipotimia, Yesu akakaa
36 Luke 22 59| 59 Kama saa moja baadaye, mtu mwingine
37 Luke 23 44| 44 Ilikuwa yapata saa sita mchana; jua likaacha
38 Luke 23 44| likafunika nchi yote mpaka saa tisa,~
39 Luke 24 33| 33 Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemu:
40 John 1 39| siku hiyo. Ilikuwa yapata saa kumi jioni.~
41 John 2 4 | usiniambie la kufanya. Saa yangu bado."~
42 John 4 6 | ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.~
43 John 4 52| 52 Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao
44 John 4 52| nao wakamwambia, "Jana saa saba mchana, homa ilimwacha."~
45 John 4 53| akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: "
46 John 7 8 | kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika."~
47 John 7 30| aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.~
48 John 8 20| aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.~
49 John 11 9 | 9 Yesu akajibu, "Je, saa za mchana si kumi na mbili?
50 John 12 23| 23 Yesu akawaambia, "Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa
51 John 12 27| niseme: `Baba, usiruhusu saa hii inifikie`? Lakini ndiyo
52 John 12 27| nimekuja - ili nipite katika saa hii.~
53 John 13 1 | Pasaka. Yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni
54 John 16 4 | nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke
55 John 16 21| huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini
56 John 17 1 | mbinguni, akasema, "Baba, saa imefika! Mtukuze Mwanao
57 John 19 14| 14 Ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio
58 John 19 27| ndiye mama yako." Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua
59 Acts 2 15| kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?~
60 Acts 3 1 | 1 Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane
61 Acts 5 7 | 7 Baada ya muda wa saa tatu hivi, mke wake, bila
62 Acts 10 3 | 3 Yapata saa tisa mchana, aliona dhahiri
63 Acts 10 9 | ya paa la nyumba yapata saa sita mchana ili kusali.~
64 Acts 10 30| akasema, "Siku tatu zilizopita saa kama hii, saa tisa alasiri,
65 Acts 10 30| zilizopita saa kama hii, saa tisa alasiri, nilikuwa nikisali
66 Acts 16 33| Yule askari aliwachukua saa ileile ya usiku akawasafisha
67 Acts 19 34| kupayukapayuka hivyo kwa muda wa saa mbili.~
68 Acts 22 6 | karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa
69 Acts 23 23| tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.~
70 Acts 26 13| wakati nilipokuwa njiani, saa sita mchana, niliona mwanga
71 1Cor 15 30| nini kujitia hatarini kila saa?~
72 Rev 3 3 | mwizi, na wala hutaijua saa nitakapokujia.~
73 Rev 8 1 | mbinguni kwa muda wa nusu saa.~
74 Rev 9 15 | wametayarishwa kwa ajili ya saa hiyo ya siku ya mwezi huo,
75 Rev 14 7 | Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu
76 Rev 17 12 | ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama.~
77 Rev 18 10 | wenye nguvu! Kwa muda wa saa moja tu adhabu yako imekupata."~
78 Rev 18 17 | 17 Kwa saa moja tu utajiri wako umetoweka!"
79 Rev 18 19 | utajiri wake. Kwa muda wa saa moja tu umepoteza kila kitu!"~
|