Book, Chapter, Verse
1 Matt 8 19| 19 Mwalimu mmoja wa Sheria akamwendea,
2 Matt 8 19| akamwendea, akamwambia, "Mwalimu, mimi nitakufuata kokote
3 Matt 9 11| wakawaambia wanafunzi wake, "Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza
4 Matt 10 24| Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumishi si mkuu
5 Matt 10 25| Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama
6 Matt 12 38| Mafarisayo wakamwambia Yesu, "Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka
7 Matt 13 52| akawaambia, "Hivyo basi, kila mwalimu wa Sheria aliye mwanafunzi
8 Matt 17 24| Petro, wakamwuliza, "Je, mwalimu wenu hulipa fedha ya zaka?"~
9 Matt 19 16| alimjia Yesu, akamwuliza, "Mwalimu, nifanye kitu gani chema
10 Matt 22 16| cha ~Herode. Wakamwuliza, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni
11 Matt 22 24| 24 Basi, wakamwambia, "Mwalimu, Mose alisema mtu aliyeoa
12 Matt 22 36| 36 "Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika
13 Matt 23 7 | kupendelea kuitwa na ~watu: <Mwalimu.> ~
14 Matt 23 8 | Lakini ninyi msiitwe kamwe <Mwalimu,> maana mwalimu wenu ni
15 Matt 23 8 | msiitwe kamwe <Mwalimu,> maana mwalimu wenu ni mmoja ~tu, nanyi
16 Matt 26 18| mtu fulani, mkamwambie: `Mwalimu anasema, wakati wangu umefika;
17 Matt 26 25| kumsaliti, akamwuliza, "Mwalimu! Je, ni mimi?" Yesu akamjibu, "
18 Matt 26 49| akamwambia, "Shikamoo, Mwalimu!" Kisha akambusu.~
19 Mark 4 38| wakamwamsha na kumwambia, "Mwalimu, je, hujali kwamba sisi
20 Mark 5 35| nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?"~
21 Mark 9 5 | Petro akamwambia Yesu, "Mwalimu, ni vizuri sana kwamba tuko
22 Mark 9 17| umati wa watu akamjibu, "Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako,
23 Mark 9 38| 38 Yohane akamwambia, "Mwalimu, tumemwona mtu mmoja akitoa
24 Mark 10 17| mbele yake, akamwuliza, "Mwalimu mwema, nifanyeje ili niupate
25 Mark 10 20| 20 Naye akamjibu, "Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia
26 Mark 10 35| walimwendea Yesu wakamwambia, "Mwalimu, tunataka utufanyie kitu
27 Mark 10 51| Huyo kipofu akamwambia, "Mwalimu, naomba nipate kuona."~
28 Mark 11 21| aliukumbuka, akamwambia Yesu, "Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani,
29 Mark 12 14| Wakamwendea, wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni
30 Mark 12 19| 19 "Mwalimu, Mose alituagiza hivi: `
31 Mark 12 32| 32 Basi, yule mwalimu wa Sheria akamwambia, "Vyema
32 Mark 12 32| Sheria akamwambia, "Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu
33 Mark 13 1 | wanafunzi wake alimwambia, "Mwalimu, tazama jinsi mawe haya
34 Mark 14 14| mkamwambie mwenye nyumba, `Mwalimu anasema: wapi chumba changu
35 Mark 14 45| moja kwa moja, akasema, "Mwalimu!" Kisha akambusu.~
36 Luke 3 12| wabatizwe, wakamwuliza, "Mwalimu, tufanye nini?"~
37 Luke 6 40| 40 Mwanafunzi hamshindi mwalimu wake, lakini kila mwanafunzi
38 Luke 6 40| akisha hitimu huwa kama mwalimu wake.~
39 Luke 7 40| Simoni akamwambia, "Ndio Mwalimu, sema." Yesu akasema,~
40 Luke 8 45| aliyemgusa. Naye Petro akasema, "Mwalimu, umati wa watu umekuzunguka
41 Luke 8 49| ameshakufa, ya nini kumsumbua Mwalimu zaidi?"~
42 Luke 9 38| akapaaza sauti, akasema, "Mwalimu! Ninakusihi umwangalie mwanangu -
43 Luke 10 25| 25 Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama
44 Luke 10 25| akamwuliza akitaka kumtega, "Mwalimu, nifanye nini ili nipate
45 Luke 10 37| 37 Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, "Ni
46 Luke 11 45| walimu wa Sheria akamwambia, "Mwalimu, maneno yako yanatukashifu
47 Luke 12 13| umati wa watu akamwambia, "Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane
48 Luke 13 23| Mtu mmoja akamwuliza, "Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?"~
49 Luke 17 13| Wakapaza sauti wakisema, "Yesu Mwalimu, tuonee huruma!"~
50 Luke 18 18| Myahudi, alimwuliza Yesu, "Mwalimu mwema, nifanye nini ili
51 Luke 19 39| watu, wakamwambia Yesu, "Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi
52 Luke 20 21| wapelelezi wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba unasema
53 Luke 20 28| 28 "Mwalimu, Mose alituandikia kwamba
54 Luke 20 39| walimu wa Sheria wakasema, "Mwalimu, umejibu vema kabisa."~
55 Luke 21 7 | 7 Basi, wakamwuliza, "Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini?
56 Luke 22 11| Mwambieni mwenye nyumba: `Mwalimu anakuuliza, kiko wapi kile
57 John 1 38| wakamjibu, "Rabi (yaani Mwalimu), unakaa wapi?"~
58 John 1 49| Nathanieli akamwambia, "Mwalimu, wewe ni Mwana wa Mungu.
59 John 3 2 | tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana
60 John 3 10| Yesu akamjibu, "Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui
61 John 3 26| wakamwendea Yohane na kumwambia, "Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja
62 John 4 31| walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula."~
63 John 6 25| pili wa ziwa walimwuliza, "Mwalimu, ulifika lini hapa?"~
64 John 8 4 | Kisha wakamwuliza Yesu, "Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa
65 John 9 2 | wanafunzi wakamwuliza, "Mwalimu! Ni nani aliyetenda dhambi:
66 John 11 8 | Wanafunzi wakamwambia, "Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu
67 John 11 28| yake, akamwabia faraghani, "Mwalimu yuko hapa, anakuita."~
68 John 13 13| 13 Ninyi mwaniita Mwalimu na Bwana, nanyi mwasema
69 John 13 14| ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu, nimewaosha ninyi miguu,
70 John 20 16| Kiebrania, "Raboni" (yaani "Mwalimu").~
71 Acts 5 34| Gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa Sheria na aliyeheshimika
72 Roma 2 20| kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado.
73 1Cor 1 20| mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa
74 Gala 6 6 | la Mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake.~
75 1Tim 2 7 | nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze
76 2Tim 1 11| amenichagua mimi niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari
77 2Tim 2 24| kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu,~
|