Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
bikira 5
bila 171
bimkubwa 2
binadamu 75
binafsi 13
binamu 1
bingwa 1
Frequency    [«  »]
76 kuona
76 naam
76 pale
75 binadamu
75 kulikuwa
75 kwangu
75 macho

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

binadamu

   Book, Chapter, Verse
1 Matt 4 4 | katika Maandiko Matakatifu: `Binadamu hataishi kwa mikate tu, 2 Matt 9 8 | wakamtukuza Mungu aliyewapa binadamu uwezo wa namna hiyo.~ 3 Matt 16 17 | mwana wa Yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, 4 Matt 19 6 | alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe."~ 5 Matt 19 26 | akawatazama, akasema, "Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, 6 Matt 24 22 | hazingalipunguzwa, hakuna binadamu yeyote ambaye angeokoka; 7 Mark 2 27 | Sabato iliwekwa kwa ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili 8 Mark 2 27 | ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili ya Sabato!~ 9 Mark 10 9 | alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe."~ 10 Mark 10 27 | akawatazama, akawaambia, "Kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa 11 Mark 13 20 | asingepunguza siku hizo, hakuna binadamu ambaye angeokolewa. Lakini 12 Luke 7 28 | kusema, "Nawaambieni, kati ya binadamu wote hakuna aliye mkubwa 13 Luke 18 2 | anamcha Mungu wala kumjali binadamu.~ 14 Luke 18 4 | simchi Mungu wala simjali binadamu,~ 15 Luke 18 27 | akajibu, "Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu."~ 16 Luke 20 6 | Na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga 17 John 6 63 | Roho ndiye atiaye uzima; binadamu peke yake hawezi. Maneno 18 John 10 33 | kuwa Mungu hali wewe ni binadamu tu."~ 19 Acts 2 17 | asema Bwana, nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto 20 Acts 4 12 | kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine 21 Acts 5 29 | Lazima tumtii Mungu, na siyo binadamu.~ 22 Acts 5 38 | shughuli hii yao imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.~ 23 Acts 7 48 | katika nyumba zilizojengwa na binadamu; kama nabii asemavyo:~ 24 Acts 10 26 | Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu."~ 25 Acts 14 11 | imetujia katika sura za binadamu!"~ 26 Acts 14 15 | mambo hayo? Sisi pia ni binadamu kama ninyi. Na, tuko hapa 27 Acts 17 29 | lililochongwa na kutiwa nakshi na binadamu.~ 28 Acts 22 18 | upesi kwa maana watu wa hapa binadamu hawataukubali ushuhuda wako 29 Roma 1 18 | ya uasi na uovu wote wa binadamu ambao kwa njia zao mbaya 30 Roma 1 23 | wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, 31 Roma 2 9 | Mateso na maumivu yatampata binadamu yeyote atendaye uovu. Yatawapata 32 Roma 2 16 | atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.~ 33 Roma 3 4 | mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. Kama Maandiko 34 Roma 3 20 | 20 Maana hakuna binadamu yeyote anayekubaliwa kuwa 35 Roma 5 12 | kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda 36 Roma 5 18 | mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, kadhalika kitendo 37 Roma 8 3 | kwa sababu ya udhaifu w binadamu. Mungu alimtuma Mwanae akiwa 38 Roma 9 12 | mwenyewe, na si matendo ya binadamu.~ 39 Roma 9 20 | 20 Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji 40 1Cor 1 25 | busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa 41 1Cor 1 25 | nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.~ 42 1Cor 1 26 | hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu 43 1Cor 1 28 | yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.~ 44 1Cor 2 1 | lugha, au kwa hekima ya binadamu.~ 45 1Cor 2 5 | ya Mungu, na si hekima ya binadamu.~ 46 1Cor 2 9 | kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, 47 1Cor 2 13 | tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa 48 1Cor 10 13 | mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye 49 1Cor 15 39 | vyote si sawa. Miili ya binadamu ni ya namna moja, ya wanyama 50 2Cor 5 19 | kutia maanani dhambi zao binadamu. Yeye ametupa ujumbe kuhusu 51 2Cor 12 4 | akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka.~ 52 Gala 1 2 | si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, 53 Gala 1 10 | nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka 54 Gala 1 12 | mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. 55 Gala 1 16 | bila kutafuta maoni ya binadamu,~ 56 Ephe 6 12 | vyenu si vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi 57 Colo 1 26 | ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini 58 1The 2 13 | si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, 59 1Tim 2 5 | anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu,~ 60 Hebr 1 3 | nguvu. Baada ya kuwapatia binadamu msamaha wa dhambi zao, aliketi 61 Hebr 8 2 | iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. ic~ 62 Hebr 13 6 | msaada wangu, sitaogopa. Binadamu atanifanya nini?"~ 63 James 2 8 | Maandiko Matakatifu: "Mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda 64 James 3 7 | 7 Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, 65 James 4 12| wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?~ 66 James 5 17| 17 Eliya alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo 67 1Pet 1 24 | Maandiko yasemavyo: "Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu 68 2Pet 1 21 | unaotokana na matakwa ya binadamu, bali watu walinena ujumbe 69 2Pet 2 16 | hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo 70 1Joh 4 2 | kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa 71 1Joh 5 9 | Ikiwa twaukubali ushahidi wa binadamu, ushahidi wa Mungu una uzito 72 2Joh 1 7 | Kristo amekuja kwetu akawa binadamu. Mtu asemaye hivyo ni mdanganyifu 73 Jude 1 15 | 15 kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa 74 Rev 9 7 | nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.~ 75 Rev 14 4 | Wamekombolewa kutoka miongoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License