Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 7 | 7 Heri walio na huruma, maana watahurumiwa.~
2 Matt 9 13 | ya maneno haya: `Nataka huruma, wala si dhabihu.` Sikuja
3 Matt 9 36 | makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi
4 Matt 12 7 | ya maneno haya: `Nataka huruma wala si dhabihu`, hamngewahukumu
5 Matt 14 14 | mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao.~
6 Matt 15 22 | Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa
7 Matt 15 32 | akasema, "Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu
8 Matt 17 15 | akasema, "Mheshimiwa, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa,
9 Matt 18 27 | 27 Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha
10 Matt 20 34 | 34 Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na
11 Matt 23 23 | ya Sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ~ndiyo hasa
12 Mark 1 41 | 41 Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa
13 Mark 5 19 | aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma."~
14 Luke 1 48 | Kwa kuwa amemwangalia kwa huruma mtumishi wake mnyenyekevu.
15 Luke 1 50 | 50 Huruma yake kwa watu wanaomcha
16 Luke 1 54 | mtumishi wake, akikumbuka huruma yake.~
17 Luke 1 58 | habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja
18 Luke 1 78 | wetu ni mpole na mwenye huruma. Atasababisha pambazuko
19 Luke 6 36 | 36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na
20 Luke 6 36 | kama Baba yenu alivyo na huruma.~
21 Luke 7 13 | alipomwona mama huyo, alimwonea huruma, akamwambia, "Usilie."~
22 Luke 10 33 | naye alipomwona, alimwonea huruma.~
23 Luke 10 37 | akamjibu, "Ni yule aliyemwonea huruma." Yesu akamwambia, "Nenda
24 Luke 15 20 | alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia
25 Luke 16 24 | Baba Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye
26 Luke 17 13 | wakisema, "Yesu Mwalimu, tuonee huruma!"~
27 Luke 18 13 | alisema: `Ee Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.`~
28 Acts 20 29 | watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo.~
29 Roma 1 31 | ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.~
30 Roma 9 15 | ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka."~
31 Roma 9 16 | Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au
32 Roma 9 23 | alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha
33 Roma 11 30 | Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.~
34 Roma 11 31 | Hali kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi
35 Roma 11 31 | ili nao pia wapokee sasa huruma ya Mungu.~
36 Roma 11 33 | elimu ya Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na
37 Roma 12 1 | maadam Mungu ni mwenye huruma nyingi, nawasihi kwa moyo
38 Roma 12 8 | mwenye kutenda jambo la huruma na afanye hivyo kwa furaha.~
39 Roma 15 9 | kumtukuza Mungu kwa sababu ya huruma yake. Kama yasemavyo Maandiko
40 1Cor 7 25 | maoni yangu mimi ambaye kwa huruma yake Bwana nastahili kuaminiwa.~
41 2Cor 1 3 | Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja
42 2Cor 4 1 | 1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi
43 2Cor 10 1 | mbali nanyi, nawasihini kwa huruma na wema wake Kristo.~
44 Gala 6 16 | mwongozo huo nawatakia amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli -
45 Gala 6 16 | amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli - Wateule wa
46 Ephe 2 4 | 4 Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo
47 Colo 3 12 | hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole
48 1Tim 1 2 | imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu
49 1Tim 1 13 | Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani
50 1Tim 1 16 | 16 lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu
51 2Tim 1 2 | Timotheo. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu
52 2Tim 1 18 | 18 Bwana amjalie huruma katika Siku ile! Nawe wajua
53 2Tim 3 3 | upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali;
54 Titus 3 5 | alituokoa kwa sababu ya huruma yake, kwa njia ya Roho Mtakatifu
55 Hebr 2 17 | aliye mwaminifu na mwenye huruma katika kumtumikia Mungu,
56 Hebr 4 16 | na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati
57 Hebr 5 2 | dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya
58 Hebr 10 28 | ya Mose, huuawa bila ya huruma kukiwa na ushahidi wa watu
59 James 2 13| Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa
60 James 2 13| atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda
61 James 2 13| asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu.~
62 James 3 17| na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo
63 James 5 11| mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema.~
64 1Pet 1 3 | Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe
65 1Pet 2 10 | wakati mmoja hamkupewa huruma ya Mungu, lakini sasa mmeipokea.~
66 1Joh 3 17 | moyo mgumu bila kumwonea huruma, anawezaje kusema kwamba
67 2Joh 1 3 | 3 Neema na huruma na amani zitokazo kwa Mungu
68 Jude 1 2 | 2 Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.~
69 Jude 1 21 | awapeni uzima wa milele kwa huruma yake.~
70 Jude 1 22 | 22 Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;~
71 Jude 1 23 | na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni
|