Book, Chapter, Verse
1 Matt 6 24| Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja.~
2 Matt 12 29| mwenye nguvu na kumnyang`anya mali yake, bila kwanza kumfunga
3 Matt 12 29| atakapoweza kumnyang`anya mali yake.~
4 Matt 13 22| ulimwengu huu na anasa za mali huusonga ujumbe huo, naye
5 Matt 19 21| mkamilifu, nenda ukauze mali yako uwape maskini hiyo
6 Matt 19 22| huzuni, maana alikuwa na mali nyingi.~
7 Matt 20 15| sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona
8 Matt 24 47| mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.~
9 Matt 25 14| watumishi wake, akawakabidhi mali yake.~
10 Matt 25 25| katika ardhi. Chukua basi mali yako.`~
11 Mark 3 27| mwenye nguvu na kumnyang`anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga
12 Mark 3 27| atakapoweza kumnyang`anya mali yake.~
13 Mark 4 19| ulimwengu huu, anasa za mali na tamaa za kila namna huwaingia
14 Mark 5 26| alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu
15 Mark 10 22| huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.~
16 Mark 12 44| walitoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa
17 Luke 4 7 | 7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."~
18 Luke 6 30| na mtu akikunyang`anya mali yako usimtake akurudishie.~
19 Luke 8 3 | walikuwa wakiwatumikia kwa mali yao wenyewe.~
20 Luke 8 14| zao, husongwa na wasiwasi, mali na anasa za maisha, na hawazai
21 Luke 8 43| alikuwa amekwisha tumia mali yake yote kwa waganga, hakuna
22 Luke 10 30| majambazi, wakamnyang`anya mali yake na kumpiga, wakamwacha
23 Luke 11 21| anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.~
24 Luke 12 18| nitahifadhi mavuno yangu yote na mali yangu.~
25 Luke 12 19| kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi.`~
26 Luke 12 21| kwa mtu anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe,
27 Luke 12 33| 33 Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada.
28 Luke 12 44| Hakika atampa madaraka juu ya mali yake yote.~
29 Luke 15 12| wangu.` Naye akawagawia mali yake.~
30 Luke 15 30| mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba,
31 Luke 16 1 | alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake.~
32 Luke 16 2 | ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi
33 Luke 16 9 | jifanyieni marafiki kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni,
34 Luke 16 11| ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani
35 Luke 16 11| nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?~
36 Luke 16 12| hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani
37 Luke 16 12| ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?~
38 Luke 16 13| Hamwezi kumtumikia Mungu na mali."~
39 Luke 17 31| asishuke nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa
40 Luke 19 8 | nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang`
41 Luke 21 4 | zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa
42 John 10 12| mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwa mwitu
43 Acts 2 44| waliendelea kuwa kitu kimoja na mali zao waligawana pamoja.~
44 Acts 2 45| 45 Walikuwa wakiuza mali na vitu vyao kisha wakagawana
45 Acts 4 32| chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana
46 Acts 5 4 | Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza,
47 Acts 7 5 | sehemu moja ya nchi hii iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia
48 Acts 13 19| watu wake ile nchi kuwa mali yao.~
49 Acts 16 19| kwamba tumaini lao la kupata mali limekwisha, waliwakamata
50 Roma 4 13| kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa
51 Roma 14 8 | tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana.~
52 1Cor 6 7 | zaidi kwenu kunyang`anywa mali yenu?~
53 1Cor 6 19| kwa Mungu? Ninyi basi, si mali yenu wenyewe.~
54 1Cor 10 26| Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana."~
55 1Cor 12 15| mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma
56 1Cor 12 16| mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja
57 1Cor 13 3 | 3 Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini,
58 2Cor 1 22| aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho
59 2Cor 11 8 | nyingine niliwapokonya wao mali yao nipate kuwatumikia ninyi.~
60 2Cor 12 14| Maana ninachotafuta si mali zenu, bali ni ninyi wenyewe.
61 Gala 4 1 | tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake.~
62 1Tim 6 17| wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali
63 1Tim 6 18| tayari kuwashirikisha wengine mali zao.~
64 Hebr 10 34| wafungwa, na mliponyang`anywa mali yenu mlistahimili kwa furaha,
65 Hebr 10 34| maana mlijua kwamba mnayo mali bora zaidi na ya kudumu
66 James 5 2| 2 Mali zenu zimeoza, na nguo zenu
67 James 5 3| moto. Ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho!~
68 2Pet 2 14| imezoea kuwa na tamaa ya mali. Wapo chini ya laana ya
69 1Joh 3 17| 17 Basi, mtu akiwa na mali za hapa duniani, halafu
70 Rev 19 1 | Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!~
|