Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
kaskazini-magharibi 1
kasoro 1
kati 150
katika 1170
katikati 17
kavu 14
kawaida 22
Frequency    [«  »]
1473 watu
1440 ni
1234 lakini
1170 katika
1087 mtu
1086 kama
1007 basi

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

katika

1-500 | 501-1000 | 1001-1170

     Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 20 | malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, "Yosefu, 2 Matt 1 21 | atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao."~ 3 Matt 2 6 | 6 `Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda, kwa vyovyote 4 Matt 2 12 | 12 Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode; 5 Matt 2 13 | wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto, akamwambia, "Amka! 6 Matt 2 19 | wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,~ 7 Matt 2 20 | na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale 8 Matt 2 21 | pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli.~ 9 Matt 2 22 | huko. Naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika 10 Matt 2 22 | katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya,~ 11 Matt 2 23 | 23 akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo 12 Matt 3 1 | alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:~ 13 Matt 3 6 | dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.~ 14 Matt 3 13 | alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea 15 Matt 4 4 | Yesu akamjibu, "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: `Binadamu 16 Matt 4 16 | mwanga mkubwa. Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha 17 Matt 4 23 | wilayani Galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari 18 Matt 4 24 | 24 Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria. Wagonjwa 19 Matt 5 19 | huyo atakuwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbiguni. Lakini 20 Matt 5 19 | wengine, huyo atakuwa mkubwa katika Ufalme wa mbinguni.~ 21 Matt 5 20 | Sheria, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.~ 22 Matt 5 22 | Pumbavu` atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.~ 23 Matt 5 29 | mwili wako wote kutupwa katika moto wa Jehanamu.~ 24 Matt 5 30 | kuliko mwili wako wote uende katika moto wa Jehanamu.~ 25 Matt 6 2 | kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili 26 Matt 6 5 | hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe 27 Matt 6 5 | kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. 28 Matt 6 13 | 13 Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe 29 Matt 6 22 | mwili wako wote utakuwa katika mwanga.~ 30 Matt 6 23 | mwili wako wote utakuwa katika giza. Basi, ikiwa mwanga 31 Matt 7 16 | Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika 32 Matt 7 16 | katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!~ 33 Matt 7 21 | Bwana, Bwana,` ataingia katika Ufalme wa mbinguni; ila 34 Matt 8 10 | sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli aliye na imani kama 35 Matt 8 11 | Abrahamu, Isaka na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni.~ 36 Matt 8 12 | ambao wangalipaswa kuwa katika Ufalme huo watatupwa nje, 37 Matt 8 28 | 28 Yesu alifika katika nchi ya Wagerasi,*fb* ng` 38 Matt 8 28 | mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo.~ 39 Matt 8 34 | 34 Basi, watu wote katika mji ule walitoka, wakamwendea 40 Matt 8 34 | walipomwona, wakamsihi aondoke katika nchi yao.~ ~~ ~ 41 Matt 9 1 | akavuka ziwa na kufika katika mji wake.~ 42 Matt 9 8 | 8 Watu wote katika ule umati walipoona hayo, 43 Matt 9 9 | aitwaye Mathayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Basi, Yesu 44 Matt 9 16 | atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu. Maana kiraka 45 Matt 9 17 | hakuna mtu awekaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Akifanya 46 Matt 9 17 | vikaharibika. Ila divai mpya hutiwa katika viriba vipya, na vyote viwili, 47 Matt 9 26 | Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.~ 48 Matt 9 31 | wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.~ 49 Matt 9 33 | hili halijapata kuonekana katika Israeli!"~ 50 Matt 9 35 | yote na vijiji, akafundisha katika masunagogi yao akihubiri 51 Matt 10 5 | mataifa mengine, wala msiingie katika mji wa Wasamaria.~ 52 Matt 10 11 | 11 "Mkiingia katika mji wowote au kijiji, tafuteni 53 Matt 10 14 | kuwasikilizeni, basi mtokapo katika nyumba hiyo au mji huo, 54 Matt 10 17 | mahakamani na kuwapiga viboko katika masunagogi yao.~ 55 Matt 10 23 | 23 "Watu wakiwadhulumu katika mji mmoja, kimbilieni mji 56 Matt 10 23 | hamtamaliza ziara yenu katika miji yote ya Israeli kabla 57 Matt 10 27 | 27 Ninalowaambieni ninyi katika giza, lisemeni katika mwanga; 58 Matt 10 27 | ninyi katika giza, lisemeni katika mwanga; na jambo mlilosikia 59 Matt 10 28 | kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu.~ 60 Matt 11 1 | akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.~ 61 Matt 11 8 | wanaovaa mavazi maridadi hukaa katika nyumba za wafalme.~ 62 Matt 11 10 | 10 "Huyu ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: `Tazama, 63 Matt 11 11 | yule aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkubwa 64 Matt 12 1 | huo, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano siku ya 65 Matt 12 4 | 4 Yeye aliingia katika Nyumba ya Mungu pamoja na 66 Matt 12 5 | 5 Au je, hamjasoma katika Sheria kwamba kila siku 67 Matt 12 9 | Yesu alitoka hapo, akaenda katika sunagogi lao.~ 68 Matt 12 21 | 21 Katika jina lake mataifa yatakuwa 69 Matt 12 32 | Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika 70 Matt 12 32 | katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao.~ 71 Matt 12 35 | Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema; na mtu 72 Matt 12 35 | mbaya hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbaya.~ 73 Matt 13 1 | Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi 74 Matt 13 23 | 23 Ile mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa 75 Matt 13 24 | mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.~ 76 Matt 13 27 | shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako. Sasa magugu 77 Matt 13 31 | aliyotwaa mtu mmoja, akaipanda katika shamba lake.~ 78 Matt 13 32 | angani huja na kujenga viota katika matawi yake."~ 79 Matt 13 41 | wake wawakusanye kutoka katika Ufalme wake wale wote wenye 80 Matt 13 42 | 42 na kuwatupa katika tanuru ya moto, na huko 81 Matt 13 43 | wema watang`ara kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Sikieni 82 Matt 13 50 | 50 na kuwatupa hao wabaya katika tanuru ya moto. Huko watalia 83 Matt 13 52 | na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na 84 Matt 13 54 | akawa anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, 85 Matt 13 57 | hakosi kuheshimiwa, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake!"~ 86 Matt 14 6 | 6 Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa 87 Matt 14 8 | akaomba, "Nipe papahapa katika sinia kichwa cha Yohane 88 Matt 14 11 | 11 Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, 89 Matt 14 19 | 19 Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha akaitwaa ile 90 Matt 14 35 | walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. Basi, wakamletea 91 Matt 15 21 | mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.~ 92 Matt 15 39 | akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.~ ~~ ~ 93 Matt 16 27 | Maana, Mwana wa Mtu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja 94 Matt 16 28 | kumwona Mwana wa Mtu akija katika Ufalme wake."~ ~~ ~ 95 Matt 17 5 | na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: "Huyu ni Mwanangu 96 Matt 18 1 | wakamwuliza, "Ni nani aliye mkuu katika Ufalme wa mbinguni?"~ 97 Matt 18 3 | watoto, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.~ 98 Matt 18 4 | huyo ndiye aliye mkubwa katika Ufalme wa mbinguni.~ 99 Matt 18 8 | Ni afadhali kwako kuingia katika uzima bila mkono au mguu, 100 Matt 18 8 | au mguu, kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na 101 Matt 18 9 | Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa chongo, kuliko 102 Matt 18 9 | ukiwa chongo, kuliko kutupwa katika moto wa Jehanamu ukiwa na 103 Matt 19 1 | alitoka Galilaya, akaenda katika mkoa wa Yudea, ng`ambo ya 104 Matt 19 4 | akawajibu, "Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba 105 Matt 19 17 | aliye mwema. Ukitaka kuingia katika uzima, shika amri."~ 106 Matt 19 23 | sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.~ 107 Matt 19 24 | zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko 108 Matt 19 24 | kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni."~ 109 Matt 19 28 | Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu 110 Matt 19 28 | cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata 111 Matt 19 28 | ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu 112 Matt 20 1 | mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake.~ 113 Matt 20 2 | siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.~ 114 Matt 20 4 | Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami 115 Matt 20 7 | Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu.`~ 116 Matt 20 21 | akamwambia, "Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa wanangu 117 Matt 21 1 | Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma 118 Matt 21 11 | 11 Watu katika ule umati wakasema, "Huyu 119 Matt 21 11 | nabii Yesu, kutoka Nazareti katika mkoa wa Galilaya."~ 120 Matt 21 13 | Akawaambia, "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: `Nyumba 121 Matt 21 22 | imani, chochote mtakachoomba katika sala, mtapata."~ 122 Matt 21 28 | leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.`~ 123 Matt 21 31 | na waasherati wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu.~ 124 Matt 21 42 | Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? `Jiwe 125 Matt 22 36 | Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika Sheria ya Mose?" ~ 126 Matt 23 6 | Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima 127 Matt 23 6 | karamu na viti vya heshima katika ~masunagogi. ~ 128 Matt 23 15 | astahili maradufu kwenda katika moto wa Jehanamu ~kuliko 129 Matt 23 24 | Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza 130 Matt 23 30 | hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!> ~ 131 Matt 23 34 | wengine mtawapiga ~viboko katika masunagogi yenu na kuwasaka 132 Matt 23 34 | masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji. ~ 133 Matt 25 4 | busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.~ 134 Matt 25 10 | tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango 135 Matt 25 21 | mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi 136 Matt 25 23 | mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi 137 Matt 25 25 | Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali 138 Matt 25 27 | basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua 139 Matt 25 31 | Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika 140 Matt 25 41 | enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa 141 Matt 26 3 | wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, Kuhani 142 Matt 26 23 | Atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.* 143 Matt 26 29 | nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu."~ 144 Matt 26 30 | wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.~ 145 Matt 26 41 | kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i tayari 146 Matt 27 6 | wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana 147 Matt 27 19 | Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake 148 Matt 27 19 | akampelekea ujumbe: "Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, 149 Matt 27 19 | maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake."~ 150 Matt 27 29 | kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga 151 Matt 27 45 | saa tisa, nchi yote ikawa katika giza.~ 152 Matt 27 48 | akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, 153 Matt 27 53 | wakatoka makaburini, wakaingia katika Mji Mtakatifu, wakaonekana 154 Matt 27 60 | jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha 155 Mark 1 2 | Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: " 156 Mark 1 5 | dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.~ 157 Mark 1 9 | Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani.~ 158 Mark 1 20 | wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, 159 Mark 1 21 | ilipofika Sabato, Yesu akaingia katika Sunagogi, akaanza kufundisha.~ 160 Mark 1 28 | zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya.~ 161 Mark 1 29 | 29 Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja 162 Mark 1 38 | Yesu akawaambia, "Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri 163 Mark 1 39 | mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.~ 164 Mark 1 45 | Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi; ikamlazimu 165 Mark 2 14 | mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, " 166 Mark 2 21 | anayekata kiraka kutoka katika nguo mpya na kukishonea 167 Mark 2 21 | nguo mpya na kukishonea katika nguo kuukuu. Kama akifanya 168 Mark 2 22 | hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Kama akifanya 169 Mark 2 22 | vitaharibika. Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!"~ 170 Mark 2 23 | Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano. Walipokuwa 171 Mark 3 1 | 1 Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa 172 Mark 4 1 | ulimzunguka hata ikambidi aingie katika mashua na kuketi. Watu wakawa 173 Mark 4 1 | kuketi. Watu wakawa wamekaa katika nchi kavu, kando ya ziwa.~ 174 Mark 4 2 | mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,~ 175 Mark 4 8 | 8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikakua na 176 Mark 4 20 | zile mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. Hawa hulisikia 177 Mark 4 32 | huweza kujenga viota vyao katika kivuli chake."~ 178 Mark 4 36 | wa watu, wakamchukua Yesu katika mashua alimokuwa. Palikuwapo 179 Mark 5 1 | 1 Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ng`ambo 180 Mark 5 10 | Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.~ 181 Mark 5 17 | wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.~ 182 Mark 6 1 | Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa 183 Mark 6 2 | ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. Wengi waliomsikia 184 Mark 6 4 | hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake 185 Mark 6 25 | Nataka unipe sasa hivi katika sinia kichwa cha Yohane 186 Mark 6 28 | 28 akakileta katika sinia, akampa msichana naye 187 Mark 6 33 | wakawatambua. Hivyo wengi wakatoka katika kila mji, wakakimbilia huko 188 Mark 6 36 | watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue 189 Mark 6 47 | naye alikuwa peke yake katika nchi kavu.~ 190 Mark 6 55 | kwa haraka wakazunguka katika nchi ile yote, wakaanza 191 Mark 7 21 | Kwa maana kutoka ndani, katika moyo wa mtu, hutoka mawazo 192 Mark 7 24 | wilaya ya Tiro. Huko aliingia katika nyumba moja na hakutaka 193 Mark 8 14 | walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.~ 194 Mark 8 27 | wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. 195 Mark 8 38 | 38 Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali 196 Mark 8 38 | huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja 197 Mark 9 7 | na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu, "Huyu ni Mwanangu 198 Mark 9 12 | kwa nini basi imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba 199 Mark 9 17 | 17 Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, " 200 Mark 9 43 | mikono miwili na kwenda katika moto wa Jehanamu.*fe*~ 201 Mark 9 45 | ukate! Afadhali kuingia katika uzima bila mguu mmoja, kuliko 202 Mark 9 45 | miguu yote miwili na kutupwa katika moto wa Jehanamu.*ff*~ 203 Mark 9 47 | ling`oe! Afadhali kuingia katika utawala wa Mungu ukiwa na 204 Mark 9 47 | yako yote mawili na kutupwa katika moto wa Jehanamu.~ 205 Mark 10 15 | kama mtoto mdogo hataingia katika Ufalme huo."~ 206 Mark 10 23 | vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!"~ 207 Mark 10 24 | ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu!~ 208 Mark 10 25 | rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko 209 Mark 10 25 | sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu."~ 210 Mark 10 30 | mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima 211 Mark 10 37 | mwingine upande wako wa kushoto katika utukufu wa Ufalme wako."~ 212 Mark 10 46 | naye Yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi 213 Mark 11 2 | 2 akawaambia, "Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. 214 Mark 12 26 | hamjasoma kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka 215 Mark 12 28 | akajitokeza akamwuliza, "Katika amri zote ni ipi iliyo ya 216 Mark 12 38 | 38 Katika mafundisho yake, Yesu alisema, " 217 Mark 12 38 | kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,~ 218 Mark 12 39 | kuchukua nafasi za heshima katika karamu.~ 219 Mark 12 41 | wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya Hekalu. Matajiri 220 Mark 12 43 | wengine wote waliotia fedha katika sanduku la hazina.~ 221 Mark 13 9 | mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. Mtapelekwa mbele 222 Mark 13 26 | watamwona Mwana wa Mtu akija katika mawingu kwa nguvu nyingi 223 Mark 14 14 | 14 mpaka katika nyumba atakayoingia, mkamwambie 224 Mark 14 20 | anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.~ 225 Mark 14 23 | akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe hicho.~ 226 Mark 14 25 | siku ile nitakapoinywa upya katika Ufalme wa Mungu."~ 227 Mark 14 26 | wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.~ 228 Mark 14 32 | 32 Basi, wakafika katika bustani iitwayo Gethsemane. 229 Mark 14 38 | kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, 230 Mark 14 62 | kulia wa Mwenyezi, akija katika mawingu ya mbinguni."~ 231 Mark 15 16 | walimpeleka Yesu ndani ukumbini, katika ikulu, wakakusanya kikosi 232 Mark 15 36 | akakimbia, akachovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, 233 Mark 15 46 | akauzungushia sanda. Akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa 234 Luke 1 39 | haraka hadi mji mmoja ulioko katika milima ya Yuda.~ 235 Luke 1 40 | 40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakariya, akamsalimu 236 Luke 1 51 | amewatawanya wenye kiburi katika mawazo ya mioyo yao;~ 237 Luke 1 61 | Wakamwambia, "Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?"~ 238 Luke 1 65 | hizo zikaenea kila mahali katika milima ya Yudea.~ 239 Luke 1 79 | kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze 240 Luke 1 79 | kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya amani."~ 241 Luke 2 3 | kujiandikisha, kila mtu katika mji wake.~ 242 Luke 2 7 | sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.~ 243 Luke 2 8 | 8 Katika sehemu hizo, walikuwako 244 Luke 2 11 | 11 Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa 245 Luke 2 23 | 23 Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: " 246 Luke 2 24 | njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana.~ 247 Luke 2 34 | na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara 248 Luke 2 49 | Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?"~ 249 Luke 2 52 | Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi 250 Luke 3 3 | 3 Basi, Yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana 251 Luke 3 4 | 4 Ndivyo ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: " 252 Luke 4 1 | 1 Yesu alitoka katika mto Yordani akiwa amejaa 253 Luke 4 14 | na habari zake zikaenea katika sehemu zote za jirani.~ 254 Luke 4 15 | akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa 255 Luke 4 16 | siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa 256 Luke 4 23 | Kafarnaumu, yafanye hapa pia katika kijiji chako."`~ 257 Luke 4 24 | nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake.~ 258 Luke 4 25 | kulikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli nyakati 259 Luke 4 25 | nusu; kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.~ 260 Luke 4 27 | 27 Tena, katika nchi ya Israeli nyakati 261 Luke 4 28 | 28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia 262 Luke 4 31 | akashuka mpaka Kafarnaumu katika mkoa wa Galilaya, akawa 263 Luke 4 32 | Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.~ 264 Luke 4 33 | 33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na 265 Luke 4 37 | zake zikaenea mahali pote katika mkoa ule.~ 266 Luke 4 38 | 38 Yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani 267 Luke 4 43 | Njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana 268 Luke 4 44 | 44 Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.~ ~~ ~ 269 Luke 5 3 | 3 Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya 270 Luke 5 7 | Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. 271 Luke 5 12 | 12 Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, 272 Luke 5 17 | walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, 273 Luke 5 36 | cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya 274 Luke 5 37 | hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo 275 Luke 5 38 | 38 Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!~ 276 Luke 6 1 | Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano, na wanafunzi 277 Luke 6 6 | ya Sabato, Yesu aliingia katika sunagogi, akafundisha. Mle 278 Luke 6 41 | kukiona kibanzi kilicho katika jicho la mwenzio, usione 279 Luke 6 41 | mwenzio, usione boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe?~ 280 Luke 6 42 | ngoja nikuondoe kibanzi katika jicho lako,` na huku huioni 281 Luke 6 42 | huku huioni boriti iliyoko katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki 282 Luke 6 42 | kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako.~ 283 Luke 6 44 | kwamba watu hawachumi tini katika michongoma, wala hawachumi 284 Luke 6 44 | michongoma, wala hawachumi zabibu katika mbigili.~ 285 Luke 6 45 | hutoa yaliyo mema kutoka katika hazina bora iliyo moyoni 286 Luke 6 45 | mbaya hutoa yaliyo mabaya katika hazina mbaya iliyo moyoni 287 Luke 7 9 | imani kubwa namna hii hata katika Israeli."~ 288 Luke 7 11 | Baadaye kidogo Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, 289 Luke 7 17 | Habari hizo zikaenea kote katika Uyahudi na katika nchi za 290 Luke 7 17 | zikaenea kote katika Uyahudi na katika nchi za jirani.~ 291 Luke 7 25 | kuishi maisha ya anasa, hukaa katika majumba ya wafalme!~ 292 Luke 7 27 | Yohane ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: `Hapa 293 Luke 7 28 | yule aliye mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu ni mkubwa 294 Luke 7 37 | 37 Basi, katika mji ule kulikuwa na mama 295 Luke 8 1 | Baada ya hayo, Yesu alipitia katika miji na vijiji akitangaza 296 Luke 8 8 | 8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikaota na 297 Luke 8 23 | ndani ya mashua, wakawa katika hatari.~ 298 Luke 8 39 | akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu 299 Luke 9 4 | humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.~ 300 Luke 9 5 | wakikataa kuwakaribisha, tokeni katika mji huo, nanyi mnapotoka 301 Luke 9 14 | Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini."~ 302 Luke 9 26 | huyo wakati atakapokuja katika utukufu wake na wa Baba 303 Luke 9 35 | 35 Sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: "Huyu ndiye 304 Luke 9 38 | 38 Hapo, mtu mmoja katika lile kundi akapaaza sauti, 305 Luke 10 1 | wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo 306 Luke 10 5 | 5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni 307 Luke 10 5 | wasalimuni hivi: `Amani iwe katika nyumba hii!`~ 308 Luke 10 7 | 7 Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa 309 Luke 10 10 | 10 Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, 310 Luke 10 10 | wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:~ 311 Luke 10 13 | gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba 312 Luke 10 26 | akamwuliza, "Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?"~ 313 Luke 10 34 | ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.~ 314 Luke 10 38 | Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke 315 Luke 11 4 | waliotukosea; wala usitutie katika majaribu."`~ 316 Luke 11 27 | akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi la watu, akasema 317 Luke 11 34 | mwili wako wote utakuwa katika mwanga. Jicho lako likiwa 318 Luke 11 34 | na mwili wako pia utakuwa katika giza.~ 319 Luke 11 43 | mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa 320 Luke 12 3 | gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong` 321 Luke 12 5 | ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, 322 Luke 12 13 | 13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, " 323 Luke 13 6 | Mtu mmoja alikuwa na mtini katika shamba lake. Mtu huyu akaenda 324 Luke 13 10 | Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.~ 325 Luke 13 19 | angani wakajenga viota vyao katika matawi yake."~ 326 Luke 13 26 | nawe; na wewe ulifundisha katika vijiji vyetu.`~ 327 Luke 13 28 | Yakobo, na manabii wote wapo katika Ufalme wa Mungu, lakini 328 Luke 13 29 | watakuja na kukaa kwenye karamu katika Ufalme wa Mungu.~ 329 Luke 14 15 | yule atakayekula chakula katika Ufalme wa Mungu."~ 330 Luke 14 23 | akamwambia mtumishi: `Nenda katika barabara na vichochoro vya 331 Luke 15 14 | kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.~ 332 Luke 16 9 | zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele.~ 333 Luke 16 10 | 10 Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu 334 Luke 16 10 | madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote 335 Luke 16 10 | na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu 336 Luke 16 10 | madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.~ 337 Luke 16 12 | kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni 338 Luke 16 24 | achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi 339 Luke 16 24 | wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.`~ 340 Luke 16 25 | kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye Lazaro akapokea 341 Luke 17 12 | 12 Alipokuwa anaingia katika kijiji kimoja, watu kumi 342 Luke 17 26 | Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Mtu.~ 343 Luke 17 27 | wakati ule Noa alipoingia katika safina. Gharika ikatokea 344 Luke 18 2 | 2 Alisema: "Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu 345 Luke 18 3 | 3 Katika mji huohuo, kulikuwa pia 346 Luke 18 17 | kama mtoto mdogo, hataingia katika Ufalme huo."~ 347 Luke 18 24 | vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!~ 348 Luke 18 25 | zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko 349 Luke 18 25 | sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu."~ 350 Luke 19 1 | mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.~ 351 Luke 19 9 | akamwambia, "Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu 352 Luke 19 17 | Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka 353 Luke 19 20 | yako; niliificha salama katika kitambaa,~ 354 Luke 19 30 | 30 akawaambia: "Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. 355 Luke 19 37 | Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, 356 Luke 19 39 | ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia 357 Luke 20 36 | Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu.~ 358 Luke 20 37 | alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika 359 Luke 20 37 | katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu 360 Luke 20 42 | Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: `Bwana alimwambia 361 Luke 20 46 | huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi 362 Luke 20 46 | kuchukua nafasi za heshima katika karamu.~ 363 Luke 21 1 | walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,~ 364 Luke 21 3 | huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.~ 365 Luke 21 12 | watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; 366 Luke 21 23 | kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu 367 Luke 21 24 | wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu 368 Luke 21 25 | 25 "Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa 369 Luke 21 27 | watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu 370 Luke 21 36 | kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, 371 Luke 21 37 | lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa 372 Luke 22 16 | hadi hapo itakapokamilika katika Ufalme wa Mungu."~ 373 Luke 22 30 | Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu, na mtaketi 374 Luke 22 30 | ufalme wangu, na mtaketi katika viti vya enzi kuyahukumu 375 Luke 22 39 | ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi 376 Luke 22 40 | Salini, msije mkaingia katika kishawishi."~ 377 Luke 22 44 | 44 Akiwa katika uchungu mkubwa, alisali 378 Luke 22 46 | Amkeni msali, msije mkaingia katika kishawishi."~ 379 Luke 23 4 | watu, "Sioni kosa lolote katika mtu huyu."~ 380 Luke 23 5 | watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya Yudea; alianza 381 Luke 23 19 | ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya 382 Luke 23 42 | Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako."~ 383 Luke 23 51 | hakuwa amekubaliana nao katika kitendo chao.~ 384 Luke 23 53 | sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa 385 Luke 24 13 | wake Yesu wakawa wanakwenda katika kijiji kimoja kiitwacho 386 Luke 24 26 | kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?"~ 387 Luke 24 27 | mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia 388 Luke 24 35 | na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.~ 389 Luke 24 41 | 41 Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu 390 Luke 24 44 | yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika 391 Luke 24 44 | katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika 392 Luke 24 44 | katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi."~ 393 John 1 11 | 11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao 394 John 1 45 | Mose aliandika juu yake katika kitabu cha Sheria, na ambaye 395 John 3 5 | Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.~ 396 John 3 10 | akamjibu, "Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo 397 John 4 4 | 4 na katika safari hiyo ilimbidi apitie 398 John 4 9 | ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.)~ 399 John 4 44 | kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake."~ 400 John 5 25 | pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.~ 401 John 6 21 | Walifurahi kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili 402 John 6 22 | pale, na Yesu hakuingia katika mashua pamoja na wanafunzi 403 John 6 59 | hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.~ 404 John 7 1 | Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea 405 John 7 12 | Kulikuwa na minong`ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao 406 John 7 31 | 31 Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, 407 John 7 40 | 40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno 408 John 7 42 | Yanasema: `Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa 409 John 7 43 | kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.~ 410 John 8 3 | mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati 411 John 8 4 | Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.~ 412 John 8 5 | 5 Katika Sheria yetu Mose alituamuru 413 John 8 17 | 17 Imeandikwa katika Sheria yenu ya kwamba ushahidi 414 John 8 21 | mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi, 415 John 8 24 | maana niliwaambieni mtakufa katika dhambi zenu. Kama msipoamini 416 John 8 24 | kwamba `Mimi ndimi`, mtakufa katika dhambi zenu."~ 417 John 8 44 | tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo 418 John 9 7 | akamwambia, "Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu." (maana 419 John 9 11 | kuniambia: `Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.` Basi, 420 John 9 34 | Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi; unawezaje kutufundisha 421 John 10 1 | yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia 422 John 10 23 | akawa anatembea Hekaluni katika ukumbi wa Solomoni.~ 423 John 10 24 | wakamwuliza, "Utatuacha katika mashaka mpaka lini? Kama 424 John 10 34 | akawajibu, "Je, haikuandikwa katika Sheria yenu: `Mimi nimesema, 425 John 11 54 | mahali karibu na jangwa, katika mji uitwao Efraimu. Akakaa 426 John 12 6 | mara kwa mara aliiba kutoka katika hiyo hazina.~ 427 John 12 21 | Filipo, mwenyeji wa Bethsaida katika Galilaya, wakasema, "Mheshimiwa, 428 John 12 24 | punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, 429 John 12 25 | anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka 430 John 12 27 | maana nimekuja - ili nipite katika saa hii.~ 431 John 13 5 | 5 Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha 432 John 13 26 | cha mkate nilichochovya katika sahani, ndiye." Basi, akatwaa 433 John 13 26 | kipande cha mkate, akakichovya katika sahani, akampa Yuda, mwana 434 John 15 4 | kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi 435 John 15 9 | alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.~ 436 John 15 10 | Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami 437 John 15 10 | amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.~ 438 John 15 25 | yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: `Wamenichukia 439 John 16 33 | ili mpate kuwa na amani katika kuungana nami. Ulimwenguni 440 John 17 19 | ili nao pia wafanywe wakfu katika ukweli.~ 441 John 18 20 | Kila mara nimefundisha katika masunagogi na Hekaluni, 442 John 19 29 | Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu 443 John 19 40 | kufuatana na desturi ya Wayahudi katika kuzika.~ 444 John 19 41 | palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kulikuwa na 445 John 20 25 | na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono 446 John 20 30 | nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki.~ 447 Acts 1 1 | 1 Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika 448 Acts 1 8 | mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi 449 Acts 1 8 | wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, 450 Acts 1 13 | Walipofika mjini waliingia katika chumba ghorofani ambamo 451 Acts 1 19 | 19 Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari 452 Acts 1 20 | 20 Basi, imeandikwa katika kitabu cha Zaburi: `Nyumba 453 Acts 1 20 | mwingine achukue nafasi yake katika huduma hiyo.`~ 454 Acts 1 21 | mmoja wa wale waliokuwa katika kundi letu wakati wote Bwana 455 Acts 1 26 | Mathia, naye akaongezwa katika idadi ya wale mitume wengine 456 Acts 2 5 | wamchao Mungu, waliotoka katika kila nchi duniani.~ 457 Acts 2 17 | 17 `Katika siku zile za mwisho, asema 458 Acts 2 24 | alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana 459 Acts 2 26 | furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini;~ 460 Acts 2 27 | kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu 461 Acts 2 40 | watu akisema, "Jiokoeni katika kizazi hiki kiovu."~ 462 Acts 2 41 | wapatao elfu tatu wakaongezeka katika kile kikundi siku hiyo.~ 463 Acts 2 46 | kumega mkate, walikutana katika nyumba zao na wakakishiriki 464 Acts 3 16 | 16 Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa 465 Acts 4 24 | habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, " 466 Acts 5 12 | walikuwa wakikutana pamoja katika ukumbi wa Solomoni.~ 467 Acts 5 16 | Watu wengi walifika kutoka katika miji ya kando kando ya Yerusalemu, 468 Acts 5 28 | mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika Yerusalemu na mnakusudia 469 Acts 6 1 | wao walikuwa wanasahauliwa katika ugawaji wa mahitaji ya kila 470 Acts 6 15 | 15 Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea 471 Acts 7 3 | Mungu alimwambia: `Ondoka katika nchi yako; waache watu wa 472 Acts 7 3 | watu wa ukoo wako; nenda katika nchi nitakayokuonyesha!`~ 473 Acts 7 4 | tena Harani akaja kukaa katika nchi hii mnayokaa sasa.~ 474 Acts 7 6 | Wazao wako watapelekwa katika nchi inayotawaliwa na watu 475 Acts 7 7 | watumwa. Kisha nitawatoa katika nchi hiyo ili waje kuniabudu 476 Acts 7 10 | 10 akamwokoa katika taabu zake zote. Mungu alimjalia 477 Acts 7 11 | Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, 478 Acts 7 13 | 13 Katika safari yao ya pili, Yosefu 479 Acts 7 16 | mpaka Shekemu, ikazikwa katika kaburi Abrahamu alilonunua 480 Acts 7 29 | alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya Midiani na huko 481 Acts 7 30 | wa Bwana alimtokea Mose katika kichaka kilichokuwa kinawaka 482 Acts 7 35 | yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa kinawaka 483 Acts 7 36 | kufanya miujiza na maajabu katika nchi ya Misri, katika bahari 484 Acts 7 36 | maajabu katika nchi ya Misri, katika bahari ya Shamu na jangwani 485 Acts 7 37 | atawateulieni nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu ninyi wenyewe.`~ 486 Acts 7 42 | anga, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii: `Enyi 487 Acts 7 48 | hivyo, Mungu Mkuu haishi katika nyumba zilizojengwa na binadamu; 488 Acts 7 57 | 57 Hapo, watu wote katika kile kikao cha Baraza, wakapiga 489 Acts 8 1 | walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za 490 Acts 8 3 | kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje 491 Acts 8 5 | 5 Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri 492 Acts 8 8 | 8 Kukawa na furaha kubwa katika mji ule.~ 493 Acts 8 9 | amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza 494 Acts 8 21 | sehemu yoyote wala haki katika kazi hiyo kwa maana moyo 495 Acts 8 25 | walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria.~ 496 Acts 8 30 | akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii Isaya. 497 Acts 8 40 | akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari 498 Acts 9 10 | Anania. Bwana akamwambia katika maono, "Anania!" Anania 499 Acts 9 11 | Barabara ya Moja kwa Moja, na katika nyumba ya Yuda umtake mtu 500 Acts 9 12 | 12 na katika maono ameona mtu aitwaye


1-500 | 501-1000 | 1001-1170

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License