Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 25| 25 Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua
2 Matt 5 20| walimu wa Sheria, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.~
3 Matt 5 34| mimi nawaambieni, msiape kamwe; wala kwa mbingu, maana
4 Matt 7 23| nitawaambia: `Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi
5 Matt 10 42| ni mfuasi wangu, hatakosa kamwe kupata tuzo lake."~ ~~ ~
6 Matt 18 3 | kama watoto, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.~
7 Matt 23 8 | 8 Lakini ninyi msiitwe kamwe <Mwalimu,> maana mwalimu
8 Matt 24 35| maneno yangu hayatapita kamwe.~
9 Matt 26 33| kukuacha, mimi sitakuacha kamwe."~
10 Matt 26 35| pamoja nawe, sitakukana kamwe." Wale wanafunzi wengine
11 Mark 2 12| Mungu wakisema, "Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili."~
12 Mark 3 29| Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya
13 Mark 13 31| maneno yangu hayatapita kamwe.~
14 Mark 14 29| kukuacha, mimi sitakukana kamwe!"~
15 Mark 14 31| pamoja nawe, sitakuacha kamwe." Wanafunzi wote pia wakasema
16 John 3 5 | kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa
17 John 5 25| wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka
18 John 5 38| hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala
19 John 6 35| anayeniamini hataona kiu kamwe.~
20 John 7 46| wakawajibu, "Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu
21 John 7 52| kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!" [[[~
22 John 8 12| Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na
23 John 8 33| Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote
24 John 11 26| anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?"~
25 John 13 8 | Wewe hutaniosha miguu kamwe!" Yesu akamjibu, "Nisipokuosha
26 Acts 6 13| walisema, "Mtu huyu haachi kamwe kusema maneno ya kupakashifu
27 Acts 10 14| La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi
28 Acts 11 8 | najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.`~
29 Acts 14 8 | alikuwa hajapata kutembea kamwe.~
30 Roma 2 1 | unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea haidhuru wewe
31 Roma 8 18| wakati huu wa sasa si kitu kamwe kama tukiyafananisha na
32 Roma 14 13| bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au
33 1Cor 8 13| ndugu yangu, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu
34 1Cor 10 20| pepo, sio Mungu. Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na
35 1Cor 13 8 | 8 Upendo hauna kikomo kamwe. Kama kuna vipaji vya kutangaza
36 Gala 1 10| ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.~
37 Gala 6 14| Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba
38 Ephe 1 16| 16 sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili
39 Ephe 4 29| Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara
40 Ephe 5 3 | wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu.~
41 Colo 3 8 | maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.~
42 Hebr 1 5 | Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "
43 Hebr 1 13| 13 Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "
44 Hebr 3 10| hawa zimepotoka, hawajapata kamwe kuzijua njia zangu.`~
45 Hebr 8 4 | hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako makuhani
46 Hebr 10 4 | fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.~
47 Hebr 13 5 | mwenyewe amesema: "Sitakuacha kamwe, wala sitakutupa."~
48 Hebr 13 9 | masharti hayo hayakumsaidia kamwe mtu yeyote aliyeyafuata.~
49 James 2 1| utukufu, msiwabague watu kamwe.~
50 1Pet 1 14| Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya
51 2Pet 1 10| mkiishi namna hiyo hamtaanguka kamwe.~
52 2Pet 2 21| afadhali kwao kama wasingalijua kamwe njia hiyo ya uadilifu kuliko
53 1Joh 2 19| ionekane wazi kwamba hawakuwa kamwe wa kwetu.~
54 1Joh 3 6 | atendaye dhambi hakupata kamwe kumwona, wala kumjua Kristo.~
55 1Joh 4 12| aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana
56 Rev 3 12 | wangu, na hawatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yao
57 Rev 14 5 | 5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia
|