Book, Chapter, Verse
1 Matt 10 42 | mfuasi wangu, hatakosa kamwe kupata tuzo lake."~ ~~ ~
2 Matt 19 29 | atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.~
3 Mark 3 20 | na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.~
4 Mark 6 31 | wanafunzi wake hawakuweza kupata nafasi ya kula chakula.
5 Mark 9 41 | Kristo, hakika hatakosa kupata tuzo lake.~
6 Luke 2 40 | 40 Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na
7 Luke 5 5 | samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema,
8 Luke 5 9 | wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.~
9 Luke 6 7 | Sheria na Mafarisayo walitaka kupata kisingizio cha kumshtaki
10 Luke 15 17 | 17 Alipoanza kupata akili akafikiri: `Mbona
11 Luke 21 36 | salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika
12 John 5 42 | 41 "Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.~
13 John 10 9 | ataingia na kutoka, na kupata malisho.~
14 Acts 3 5 | akawageukia, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.~
15 Acts 7 11 | kubwa. Babu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.~
16 Acts 9 22 | 22 Saulo alizidi kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha
17 Acts 10 10 | 10 Aliona njaa, akatamani kupata chakula. Chakula kilipokuwa
18 Acts 13 48 | waliokuwa wamechaguliwa kupata uzima wa milele, wakawa
19 Acts 14 21 | Habari Njema huko Derbe na kupata wafuasi wengi, walifunga
20 Acts 16 19 | walipoona kwamba tumaini lao la kupata mali limekwisha, waliwakamata
21 Acts 23 15 | mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu
22 Acts 23 20 | kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu
23 Acts 27 3 | kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.~
24 Roma 1 13 | sasa nimezuiwa. Ningependa kupata mafanikio mema kati yenu
25 Roma 15 24 | safarini kwenda Spania na kupata msaada wenu kwa safari hiyo
26 1Cor 9 10 | wawili wana haki ya kutumaini kupata sehemu ya mavuno.~
27 1Cor 12 31 | 31 Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami
28 1Cor 14 1 | Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho,
29 1Cor 14 12 | ninyi, maadam mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini
30 1Cor 15 29 | ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi,
31 2Cor 6 8 | 8 Tuko tayari kupata heshima na kudharauliwa,
32 2Cor 12 13 | upande wangu sikuwasumbueni kupata msaada wenu? Samahani kwa
33 1The 3 3 | mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.~
34 1Tim 2 15 | mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika
35 1Tim 5 17 | watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale
36 1Tim 6 10 | wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga
37 2Tim 2 5 | yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii
38 2Tim 2 6 | amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.~
39 2Tim 2 15 | 15 Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu
40 Titus 1 2 | msingi wake ni tumaini la kupata uzima wa milele. Mungu ambaye
41 Titus 1 11| wanafanya hivyo kwa nia mbaya ya kupata faida ya fedha.~
42 Hebr 4 1 | alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema.
43 Hebr 4 1 | kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.~
44 Hebr 4 11 | 11 Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo
45 Hebr 10 29 | Roho wa Mungu, anastahili kupata adhabu kali ya namna gani?~
46 James 4 2 | tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati,
47 James 4 13| mzima tukifanya biashara na kupata faida."~
48 1Pet 1 4 | 4 na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu
49 2Pet 1 8 | zitawawezesheni kuwa watendaji na kupata faida katika kumjua Bwana
50 2Pet 2 15 | Beori, ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya udanganyifu,~
51 2Pet 2 20 | upotovu wa ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana na Mwokozi
|