Book, Chapter, Verse
1 Matt 7 5 | hapo ndipo utaona waziwazi kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi
2 Matt 28 12 | kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha~
3 Mark 5 42 | watu wakashangaa kupita kiasi.~
4 Mark 14 5 | Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa
5 Luke 6 42 | na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi
6 Luke 14 28 | gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha kutosha cha kumalizia?~
7 Luke 16 5 | yule wa kwanza: `Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?`~
8 Luke 16 7 | mwingine: `Wewe unadaiwa kiasi gani?` Yeye akamjibu: `Magunia
9 Luke 19 13 | watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na
10 Luke 19 25 | Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!`~
11 Luke 24 25 | akawaambia, "Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito
12 John 2 6 | kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu.
13 John 19 39 | mchanganyiko wa manemane na ubani kiasi cha kilo thelathini.~
14 Acts 5 8 | akamwambia, "Niambie! Je, kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata
15 Acts 5 8 | Yeye akamjibu, "Naam, ni kiasi hicho."~
16 Acts 7 16 | kwa kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.~
17 Acts 24 23 | kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe
18 Acts 24 25 | uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu
19 Roma 12 3 | Fikira zenu na ziwe na kiasi kufuatana na kipimo cha
20 1Cor 6 5 | miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo
21 1Cor 11 18 | kati yenu. Nami naamini kiasi,~
22 1Cor 13 12 | uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye
23 1Cor 16 2 | Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato
24 2Cor 1 8 | hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini
25 2Cor 1 14 | maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba
26 2Cor 3 7 | imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,~
27 2Cor 8 2 | hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini
28 2Cor 9 4 | tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.~
29 2Cor 10 13 | sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki
30 2Cor 11 1 | hata kama mimi ni mjinga kiasi fulani! Naam, nivumilieni
31 2Cor 12 7 | kunipiga nisijivune kupita kiasi.~
32 Gala 1 13 | nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.~
33 Gala 3 3 | 3 Je, mu wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote
34 Gala 5 23 | 23 upole na kuwa na kiasi. Hakuna Sheria inayoweza
35 1The 5 6 | tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.~
36 1The 5 8 | mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na
37 1Tim 3 2 | mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni
38 1Tim 3 11 | wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo
39 Titus 2 2 | kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu;
40 Titus 2 5 | 5 wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri
41 Titus 2 6 | wahimize vijana wawe na kiasi.~
42 Titus 2 12| tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na
43 Hebr 12 4 | ninyi hamjapigana mpaka kiasi cha kumwaga damu yenu.~
44 2Pet 1 6 | 6 kuwa na kiasi katika elimu yenu, uvumilivu
45 2Pet 1 6 | uvumilivu katika kuwa na kiasi, uchaji wa Mungu katika
46 Rev 6 6 | kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na
47 Rev 14 20 | shinikizo hilo mtiririko mrefu kiasi cha mita mia tatu na kina
48 Rev 14 20 | mita mia tatu na kina chake kiasi cha mita mia mbili.~ ~~ ~
|