Book, Chapter, Verse
1 Matt 26 18 | Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie: `Mwalimu anasema,
2 Luke 3 15 | walikuwa wanatazamia kitu fulani; basi, wakaanza kujiuliza
3 Luke 7 3 | za Yesu, aliwatuma wazee fulani Wayahudi waende kumwomba
4 Luke 10 8 | 8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha,
5 Luke 11 1 | moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali,
6 Luke 11 24 | mchafu akifukuzwa kwa mtu fulani, huzururazurura jangwani
7 Luke 13 1 | 1 Wakati huo watu fulani walikuja, wakamweleza Yesu
8 Luke 15 8 | mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha,
9 Luke 20 20 | kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema,
10 Luke 20 28 | kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha mjane
11 John 5 5 | alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote
12 Acts 6 9 | 9 Lakini watu fulani wakatokea ili wabishane
13 Acts 7 16 | kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.~
14 Acts 15 22 | waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma
15 Acts 15 33 | Baada ya kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga
16 Acts 27 26 | tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani."~
17 Roma 6 16 | wenyewe kama watumwa na kumtii fulani, mnakuwa kweli watumwa wake
18 Roma 6 19 | wenyewe.) Kama vile wakati fulani mlivyojitolea ninyi wenyewe
19 Roma 14 5 | Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko
20 Roma 14 6 | 6 Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa
21 Roma 14 6 | naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza
22 Roma 14 6 | naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili
23 Roma 14 14 | mtu akidhani kwamba kitu fulani ni najisi, basi, kwake huwa
24 Roma 15 15 | kuwakumbusheni juu ya mambo fulani. Nimefanya hivyo kwa sababu
25 1Cor 13 12 | uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye
26 1Cor 14 6 | ufunuo wa Mungu au ujuzi fulani au ujumbe wa Mungu au mafundisho
27 1Cor 14 6 | ujumbe wa Mungu au mafundisho fulani.~
28 1Cor 14 11 | maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu
29 1Cor 16 6 | Labda nitakaa kwenu kwa muda fulani, au huenda nitakaa pamoja
30 1Cor 16 7 | kukaa kwenu kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu.~
31 2Cor 1 14 | mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika
32 2Cor 11 1 | kama mimi ni mjinga kiasi fulani! Naam, nivumilieni kidogo.~
33 Gala 6 1 | Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa
34 1The 2 5 | kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni shahidi!~
35 1The 2 7 | Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa
36 2The 2 2 | hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana
37 1Tim 1 3 | ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho
38 1Tim 4 3 | kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba
39 Hebr 2 6 | 6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: "Mtu ni
40 Hebr 3 4 | nyumba hujengwa na mjenzi fulani - na Mungu ndiye mjenzi
41 Hebr 4 4 | Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: "Mungu
42 Hebr 11 19 | kuwafufua wafu: na kwa namna fulani kweli Abrahamu alimpata
43 James 4 13| kesho tutakwenda katika mji fulani na kukaa huko mwaka mzima
44 Jude 1 5 | Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua:
45 Rev 13 18 | tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita
|