Book, Chapter, Verse
1 Matt 9 13| Nataka huruma, wala si dhabihu.` Sikuja kuwaita watu wema,
2 Matt 12 7 | Nataka huruma wala si dhabihu`, hamngewahukumu watu wasio
3 Mark 12 33| hili ni muhimu zaidi kuliko dhabihu na sadaka zote za kuteketezwa."~
4 Acts 7 42| Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda wa miaka
5 Acts 21 26| za kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili
6 Acts 24 17| wenzangu msaada na kutoa dhabihu.~
7 Roma 15 16| mataifa mengine wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu,
8 Roma 15 16| inayokubaliwa na Mungu, dhabihu iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.~
9 Ephe 5 2 | yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu nzuri na tambiko
10 2Tim 4 6 | niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu
11 Hebr 5 3 | dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu,
12 Hebr 7 27| wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili
13 Hebr 8 3 | kumtolea Mungu vipawa na dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu
14 Hebr 9 9 | Linaonyesha kwamba zawadi na dhabihu zinazotolewa kwa Mungu haziwezi
15 Hebr 9 14| Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa Mungu. Damu
16 Hebr 9 23| vitu vya mbinguni huhitaji dhabihu iliyo bora zaidi.~
17 Hebr 9 26| kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu.~
18 Hebr 9 28| hivyo Kristo naye alijitoa dhabihu mara moja tu kwa ajili ya
19 Hebr 10 1 | tu cha mema yanayokuja. Dhabihu zilezile hutolewa daima,
20 Hebr 10 1 | yawezaje, basi, kwa njia ya dhabihu hizo, kuwafanya wale wanaoabudu
21 Hebr 10 2 | tena kuwa na dhambi, na dhabihu hizo zote zingekoma.~
22 Hebr 10 3 | 3 Lakini dhabihu hizo hufanyika kila mwaka
23 Hebr 10 5 | alimwambia Mungu: "Hukutaka dhabihu wala sadaka, lakini umenitayarishia
24 Hebr 10 8 | Hutaki, wala hupendezwi na dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa
25 Hebr 10 9 | Hivyo Mungu alibatilisha dhabihu za zamani na mahali pake
26 Hebr 10 9 | zamani na mahali pake akaweka dhabihu nyingine moja.~
27 Hebr 10 10| tunatakaswa dhambi zetu kwa ile dhabihu ya mwili wake aliyotoa mara
28 Hebr 10 12| 12 Lakini Kristo alitoa dhabihu moja tu kwa ajili ya dhambi,
29 Hebr 10 12| tu kwa ajili ya dhambi, dhabihu ifaayo milele, kisha akaketi
30 Hebr 10 14| 14 Basi, kwa dhabihu yake moja tu, amewafanya
31 Hebr 10 18| hakutakuwa na haja tena ya kutoa dhabihu za kuondoa dhambi.~
32 Hebr 10 26| kufahamu ukweli, hakuna dhabihu iwezayo kutolewa tena kwa
33 Hebr 11 4 | imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu iliyokuwa bora zaidi kuliko
34 Hebr 11 17| hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,~
35 Hebr 13 11| Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini
36 Hebr 13 15| ya Yesu, tumtolee Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani sifa
37 Hebr 13 16| kusaidiana, maana hizi ndizo dhabihu zinazompendeza Mungu.~
38 1Pet 2 5 | makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza
|