Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 22| ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya,~
2 Matt 4 12| Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.~
3 Matt 13 3 | mifano. "Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.~
4 Mark 1 14| alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari
5 Mark 2 13| 13 Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati
6 Mark 3 20| 20 Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu
7 Mark 4 3 | 3 "Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.~
8 Mark 6 46| 46 Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.~
9 Luke 2 4 | wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani
10 Luke 2 5 | 5 Alikwenda kujiandikisha pamoja na
11 Luke 4 16| 16 Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa,
12 Luke 5 16| 16 Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu,
13 Luke 6 12| 12 Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha
14 Luke 7 1 | aliyotaka watu wasikie, Yesu alikwenda Kafarnaumu.~
15 Luke 7 11| 11 Baadaye kidogo Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao
16 Luke 8 5 | 5 "Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa
17 Luke 14 1 | Siku moja ya Sabato, Yesu alikwenda kula chakula nyumbani kwa
18 Luke 23 52| 52 Basi, yeye alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe
19 John 7 10| kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara
20 John 7 14| ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha.~
21 John 8 2 | Kesho yake asubuhi na mapema alikwenda tena Hekaluni. Watu wote
22 John 11 28| Baada ya kusema hayo, Martha alikwenda kumwita Maria, dada yake,
23 John 12 36| kusema maneno hayo, Yesu alikwenda zake na kujificha mbali
24 John 18 1 | Yesu alipokwisha sema hayo, alikwenda ng`ambo ya kijito Kedroni,
25 John 19 38| akamruhusu. Hivyo Yosefu alikwenda, akauondoa mwili wa Yesu.~
26 John 20 1 | na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile
27 Acts 7 15| 15 Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu
28 Acts 8 3 | alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa
29 Acts 9 1 | kuwaua wafuasi wa Bwana. Alikwenda kwa Kuhani Mkuu,~
30 Acts 10 38| alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema
31 Acts 11 25| 25 Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo~
32 Acts 12 12| 12 Alipotambua hivyo alikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani
33 Acts 18 2 | wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona,~
34 Acts 21 18| 18 Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo,
35 Acts 25 6 | akarudi Kaisarea. Kesho yake alikwenda barazani, akaamuru Paulo
36 Acts 28 8 | ana homa na kuhara. Paulo alikwenda kumwona na baada ya kusali,
37 1Pet 3 19| kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa
38 1Pet 3 22| 22 ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa
|