Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
amekuwako 2
amekuweka 1
amekwenda 4
amekwisha 35
amekwishaanza 1
amelaaniwa 1
amelala 18
Frequency    [«  »]
36 yasema
36 yasemavyo
35 aibu
35 amekwisha
35 anaweza
35 kidunia
35 makanisa

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

amekwisha

   Book, Chapter, Verse
1 Matt 5 28| mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake.~ 2 Matt 17 12| Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja nao hawakumtambua, 3 Matt 26 48| kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha wapa ishara akisema: "Yule 4 Mark 5 26| 26 Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga 5 Mark 5 26| wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata 6 Mark 5 35| wakamwambia, "Binti yako amekwisha kufa. Ya nini kuendelea 7 Mark 7 30| amelala kitandani, na pepo amekwisha mtoka.~ 8 Mark 9 13| Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka 9 Mark 15 44| kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita jemadari, 10 Mark 15 45| jemadari kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu Yosefu 11 Luke 8 43| na miwili, ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote kwa 12 Luke 23 8 | alipomwona Yesu. Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo 13 John 3 18| hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini 14 John 5 14| aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani 15 John 5 25| Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia 16 John 11 17| alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.~ 17 John 13 10| kunawa isipokuwa miguu, maana amekwisha takata mwili wote. Ninyi 18 John 15 24| ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na 19 John 16 11| sababu mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa.~ 20 Acts 5 10| vijana walipoingia, walimkuta amekwisha kufa; hivyo wakamtoa nje, 21 Acts 8 9 | aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika 22 Acts 14 19| hadi nje ya mji wakidhani amekwisha kufa.~ 23 Acts 17 31| 31 Kwa maana amekwisha weka siku ambayo atauhukumu 24 Acts 20 9 | ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa.~ 25 Acts 22 29| wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo.~ ~ ~~ ~ 26 Acts 28 4 | waliambiana, "Bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka 27 Roma 5 5 | haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo 28 Roma 6 9 | Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na 29 1Cor 5 7 | maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.~ 30 1The 3 6 | 6 Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari 31 Hebr 7 15| anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea.~ 32 Hebr 9 11| 11 Lakini Kristo amekwisha fika, akiwa Kuhani Mkuu 33 Hebr 11 16| kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji.~ 34 Hebr 13 23| kwamba ndugu yetu Timotheo amekwisha funguliwa gerezani. Kama 35 1Joh 4 3 | anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!~


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License