1-500 | 501-840
Book, Chapter, Verse
1 Matt 2 16 | 16 Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota
2 Matt 2 22 | Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa
3 Matt 3 7 | Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu
4 Matt 3 8 | Onyesheni basi kwa matendo, kwamba mmetubu kweli.~
5 Matt 3 9 | 9 Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema, `
6 Matt 3 11 | ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu. Lakini yule anayekuja
7 Matt 4 12 | 12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani
8 Matt 5 23 | madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe,~
9 Matt 5 38 | 38 "Mmesikia kwamba ilisemwa: `Jicho kwa jicho,
10 Matt 5 43 | 43 "Mmesikia kwamba ilisemwa: `Mpende jirani
11 Matt 6 3 | unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata rafiki yako asijue
12 Matt 6 7 | wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati
13 Matt 6 18 | 18 ili mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane
14 Matt 6 32 | yenu wa mbinguni anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo vyote.~
15 Matt 8 4 | na Mose kuwathibitishia kwamba umepona."~
16 Matt 8 11 | 11 Basi, nawaambieni kwamba watu wengi watakuja kutoka
17 Matt 9 6 | 6 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo
18 Matt 9 28 | akawauliza, "Je, mnaamini kwamba naweza kuwafanyia jambo
19 Matt 10 32 | mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, mimi pia
20 Matt 10 34 | 34 "Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani.
21 Matt 11 21 | majivu zamani, ili kuonyesha kwamba wametubu.~
22 Matt 12 5 | hamjasoma katika Sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani
23 Matt 12 6 | 6 Basi, nawaambieni kwamba hapa pana kikuu*fd* kuliko
24 Matt 12 28 | Roho wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha
25 Matt 12 41 | watakihukumu kizazi hiki kwamba kina hatia. Maana Waninewi
26 Matt 12 42 | kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. Maana yeye alisafiri
27 Matt 14 4 | 4 kwamba alikuwa amemwambia Herode, "
28 Matt 15 12 | wakamwambia, "Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa
29 Matt 15 17 | 17 Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani
30 Matt 16 11 | Inawezekanaje hamwelewi ya kwamba sikuwa nikisema juu ya mikate?
31 Matt 16 12 | Hapo wanafunzi wakafahamu kwamba aliwaambia wajihadhari siyo
32 Matt 16 20 | wanafunzi wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.~
33 Matt 17 4 | Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! Ukipenda nitajenga
34 Matt 17 13 | hao wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya
35 Matt 19 4 | katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu
36 Matt 20 21 | mama akamwambia, "Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa
37 Matt 20 25 | akawaita, akawaambia, "Mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala
38 Matt 20 30 | ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo,
39 Matt 21 26 | watu maana wote wanakubali kwamba Yohane ni nabii."~
40 Matt 21 45 | hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.~
41 Matt 22 16 | Wakamwuliza, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na ~
42 Matt 22 16 | wewe ni mtu mwaminifu, na ~kwamba wafundisha njia ya Mungu
43 Matt 22 23 | Hao ndio wale ~wasemao kwamba wafu hawafufuki. ~
44 Matt 22 34 | 34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha ~
45 Matt 22 43 | akawaambia, "Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho ~Mtakatifu
46 Matt 23 31 | mnathibitisha ninyi wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa watu ~
47 Matt 24 32 | kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.~
48 Matt 24 33 | yote yakitendeka, jueni kwamba yuko karibu sana.*fk*~
49 Matt 26 2 | 2 "Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa
50 Matt 26 53 | 53 Je, hamjui kwamba ningeweza kumwomba Baba
51 Matt 26 54 | Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"~
52 Matt 26 55 | mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang`anyi? Kila
53 Matt 27 3 | ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu,
54 Matt 27 18 | hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu
55 Matt 27 24 | Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba
56 Matt 27 24 | kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza,
57 Matt 27 63 | Mheshimiwa, tunakumbuka kwamba yule mdanganyifu alisema
58 Matt 27 64 | wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa
59 Matt 28 5 | Ninyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.~
60 Matt 28 7 | mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na
61 Mark 1 4 | alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na
62 Mark 1 44 | Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."~
63 Mark 2 1 | Kafarnaumu, watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani.~
64 Mark 2 10 | 10 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka
65 Mark 3 21 | maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.~
66 Mark 4 38 | kumwambia, "Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?"~
67 Mark 5 29 | akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.~
68 Mark 5 30 | 30 Yesu alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia
69 Mark 6 20 | Yohane kwa maana alijua kwamba yeye ni mtu mwema na mtakatifu,
70 Mark 7 2 | 2 Waliona kwamba baadhi ya wanafunzi wake
71 Mark 7 11 | mama yake, lakini akasema kwamba kitu hicho ni Korbani (yaani
72 Mark 7 18 | hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu
73 Mark 9 5 | Mwalimu, ni vizuri sana kwamba tuko hapa. Basi, afadhali
74 Mark 9 11 | walimu wa Sheria wanasema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"~
75 Mark 9 12 | katika Maandiko Matakatifu kwamba Mwana wa Mtu atapatwa na
76 Mark 10 42 | akawaita, akawaambia, "Mnajua kwamba wale wanaofikiriwa kuwa
77 Mark 10 47 | 47 Aliposikia kwamba ni Yesu wa Nazareti aliyekuwa
78 Mark 11 23 | moyoni mwake, ila akaamini kwamba mambo yote anayosema yanafanyika,
79 Mark 11 24 | na kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa.~
80 Mark 11 32 | watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.)~
81 Mark 12 12 | Sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu.
82 Mark 12 14 | wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema
83 Mark 12 18 | 18 Masadukayo wasemao kwamba hakuna ufufuo walimwendea
84 Mark 12 28 | mabishano yao. Alipoona kwamba Yesu aliwajibu vyema, akajitokeza
85 Mark 12 32 | Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mmoja tu wala hakuna
86 Mark 12 34 | 34 Yesu alipoona kwamba huyu mtu alimjibu kwa ujasiri,
87 Mark 12 35 | walimu wa Sheria wanasema ya kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?~
88 Mark 13 4 | ishara gani itakayoonyesha kwamba mambo haya karibu yatimizwe?"~
89 Mark 13 28 | kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.~
90 Mark 13 29 | hayo yakitendeka, jueni kwamba Mwana wa Mtu yuko karibu
91 Mark 14 35 | chini kifudifudi, akasali kwamba, kama ingewezekana, asiipitie
92 Mark 14 48 | marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang`anyi?~
93 Mark 14 64 | mwaonaje?" Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.~
94 Mark 15 10 | hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi
95 Mark 15 44 | Pilato alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa.
96 Mark 15 45 | alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa,
97 Mark 16 7 | wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya.
98 Mark 16 11 | 11 Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria
99 Mark 16 11 | ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona,
100 Luke 1 22 | nao. Ikawa dhahiri kwao kwamba alikuwa ameona maono Hekaluni.
101 Luke 1 36 | 36 Ujue pia kwamba hata Elisabeti, jamaa yako,
102 Luke 1 45 | Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokwambia."~
103 Luke 1 58 | jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa,
104 Luke 1 71 | 71 kwamba atatuokoa mikononi mwa adui
105 Luke 1 73 | alichomwapia Abrahamu baba yetu, ni kwamba atatujalia sisi~
106 Luke 1 77 | 77 kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa
107 Luke 2 26 | Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona
108 Luke 2 49 | nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba
109 Luke 3 7 | Ni nani aliyewadokezea kwamba mngeweza kuiepuka ghadhabu
110 Luke 3 8 | Basi, onyesheni kwa matendo kwamba mmetubu. Msianze sasa kusema: `
111 Luke 4 41 | kusema, maana walimfahamu kwamba yeye ndiye Kristo.~
112 Luke 5 14 | Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."~
113 Luke 5 24 | 24 Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo
114 Luke 6 44 | na matunda yake. Ni wazi kwamba watu hawachumi tini katika
115 Luke 7 37 | mabaya. Alipopata habari kwamba Yesu yuko nyumbani kwa huyo
116 Luke 7 39 | mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi."~
117 Luke 7 43 | Simoni akamjibu, "Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni
118 Luke 8 20 | 20 Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa
119 Luke 8 45 | aliyenigusa?" Wote wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa.
120 Luke 8 47 | 47 Yule mwanamke alipoona kwamba hawezi kujificha, akajitokeza
121 Luke 8 53 | wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.~
122 Luke 9 8 | 8 Wengine walisema kwamba Eliya ametokea, na wengine
123 Luke 9 8 | ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa
124 Luke 9 33 | Yesu, "Bwana, ni vizuri kwamba tupo hapa: basi, tujenge
125 Luke 10 3 | 3 Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo
126 Luke 10 11 | tunawakung`utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.`~
127 Luke 10 13 | katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.~
128 Luke 10 40 | akamwambia, "Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike
129 Luke 11 18 | utasimamaje? Mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo
130 Luke 11 20 | uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha
131 Luke 11 31 | kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye alisafiri
132 Luke 11 32 | kitakapohukumiwa, na watashuhudia kwamba kizazi hiki kina hatia.
133 Luke 11 38 | Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.~
134 Luke 11 50 | 50 Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa
135 Luke 12 6 | 6 Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa
136 Luke 12 8 | mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, Mwana wa
137 Luke 12 8 | mbele ya malaika wa Mungu kwamba mtu huyo ni wake.~
138 Luke 12 27 | hivyo, nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na
139 Luke 12 30 | Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo.~
140 Luke 12 39 | 39 Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua
141 Luke 15 4 | na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya
142 Luke 16 1 | Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri
143 Luke 16 22 | 22 "Ikatokea kwamba huyo maskini akafa, malaika
144 Luke 16 25 | akamjibu: `Kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika
145 Luke 17 15 | 15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa alirudi akimtukuza
146 Luke 18 1 | aliwasimulia mfano kuonyesha kwamba ni lazima kusali daima bila
147 Luke 18 11 | au wazinzi. Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza
148 Luke 19 11 | na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa
149 Luke 19 22 | ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye
150 Luke 20 6 | mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii."~
151 Luke 20 19 | makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu,
152 Luke 20 21 | wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo
153 Luke 20 21 | mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe
154 Luke 20 27 | Masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia
155 Luke 20 28 | Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani
156 Luke 20 37 | 37 Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu,
157 Luke 20 41 | akawauliza, "Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?~
158 Luke 21 7 | ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?"~
159 Luke 21 15 | maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili
160 Luke 21 20 | majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji
161 Luke 21 30 | 30 Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani,
162 Luke 21 30 | kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.~
163 Luke 21 31 | hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.~
164 Luke 22 52 | marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang`anyi?~
165 Luke 22 70 | akasema, "Ninyi mnasema kwamba mimi ndiye."~
166 Luke 23 7 | 7 Alipojua kwamba Yesu alikuwa chini ya utawala
167 Luke 23 14 | mtu huyu kwangu mkisema kwamba alikuwa anawapotosha watu.
168 Luke 23 15 | amemrudisha kwangu. Ni dhahiri kwamba mtu huyu hakufanya chochote
169 Luke 23 23 | kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu ni lazima asulubiwe.
170 Luke 23 24 | 24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.~
171 Luke 23 39 | alimtukana akisema: "Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi,
172 Luke 24 21 | Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli.
173 Luke 24 23 | wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia
174 Luke 24 23 | na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.~
175 Luke 24 28 | wanakwenda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;~
176 Luke 24 39 | mikono na miguu yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni
177 Luke 24 44 | nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha
178 Luke 24 46 | Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku
179 Luke 24 47 | 47 na kwamba ni lazima, kwa jina lake,
180 John 1 34 | nimeona na ninawaambieni kwamba huyu ndiye Mwana wa Mungu."~
181 John 1 50 | umeamini kwa kuwa nimekwambia kwamba nilikuona chini ya mtini?
182 John 2 17 | Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: "Upendo
183 John 2 18 | Utafanya muujiza gani kuonyesha kwamba unayo haki kufanya mambo
184 John 2 22 | wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini
185 John 3 2 | akamwambia, "Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa
186 John 3 7 | 7 Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima
187 John 3 33 | ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.~
188 John 4 1 | 1 Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na
189 John 4 2 | 2 Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila
190 John 4 17 | akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume.~
191 John 4 20 | huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu
192 John 4 25 | mama akamwambia, "Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo,
193 John 4 42 | wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi
194 John 4 44 | mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika
195 John 4 51 | walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.~
196 John 4 53 | 53 Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo
197 John 5 7 | amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa
198 John 5 16 | akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.~
199 John 5 19 | bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo
200 John 5 33 | ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu
201 John 5 35 | 34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi
202 John 5 37 | ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.~
203 John 5 40 | Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima
204 John 5 43 | Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni
205 John 5 46 | 45 Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba.
206 John 6 22 | pili wa ziwa walitambua kwamba kulikuwa na mashua moja
207 John 6 24 | Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo
208 John 6 36 | 36 Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.~
209 John 6 42 | Basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?"~
210 John 6 46 | 46 Hii haina maana kwamba yupo mtu aliyemwona Baba,
211 John 6 61 | alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa
212 John 6 65 | Ndiyo maana niliwaambieni kwamba hakuna awezaye kuja kwangu
213 John 6 69 | Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu
214 John 7 7 | sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.~
215 John 7 22 | desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa
216 John 7 26 | viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?~
217 John 7 52 | Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe
218 John 8 17 | Imeandikwa katika Sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili
219 John 8 24 | dhambi zenu. Kama msipoamini kwamba `Mimi ndimi`, mtakufa katika
220 John 8 27 | 27 Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao
221 John 8 28 | Mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba `Mimi ndimi`, na kwamba
222 John 8 28 | kwamba `Mimi ndimi`, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe,
223 John 8 37 | 37 Najua kwamba ninyi ni wazawa wa Abrahamu.
224 John 8 48 | wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria, na tena
225 John 8 52 | wakasema, "Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu! Abrahamu
226 John 9 8 | na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini
227 John 9 18 | wa Wayahudi hawakusadiki kwamba mtu huyo alikuwa kipofu
228 John 9 20 | wake wakajibu, "Tunajua kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba
229 John 9 20 | kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba alizaliwa kipofu.~
230 John 9 22 | hao walikuwa wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba
231 John 9 22 | kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa
232 John 9 24 | mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi."~
233 John 9 29 | 29 Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini
234 John 9 31 | 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu
235 John 9 32 | wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya
236 John 9 35 | 35 Yesu alisikia kwamba walikuwa wamemfukuzia mbali,
237 John 9 41 | tunaona`, na hiyo yaonyesha kwamba mna hatia bado.~ ~ ~~ ~
238 John 10 35 | waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba Maandiko Matakatifu yasema
239 John 10 38 | mpate kujua na kutambua kwamba Baba yuko ndani yangu, nami
240 John 11 6 | 6 Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu
241 John 11 13 | 13 Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala
242 John 11 15 | nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate
243 John 11 20 | Basi, Martha aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakuja, akaenda
244 John 11 22 | 22 Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba
245 John 11 24 | Martha akamjibu, "Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo,
246 John 11 27 | akamwambia, "Ndiyo Bwana! Naamini kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana
247 John 11 40 | akamwambia, "Je, sikukwambia kwamba ukiamini utaona utukufu
248 John 11 42 | 42 Najua kwamba unanisikiliza daima. Lakini
249 John 11 42 | hapa ili wapate kuamini kwamba wewe ndiwe uliyenituma."~
250 John 11 50 | 50 Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja
251 John 11 51 | Mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya
252 John 11 56 | wakaulizana, "Mwaonaje? Yaonekana kwamba haji kabisa kwenye sikukuu,
253 John 11 57 | Mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko
254 John 12 9 | Wayahudi wengi walisikia kwamba Yesu alikuwa Bethania. Basi,
255 John 12 16 | tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa
256 John 12 16 | yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea
257 John 12 18 | ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara
258 John 12 26 | ni lazima anifuate, hivyo kwamba popote pale nilipo mimi
259 John 12 34 | tunaambiwa na Sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje
260 John 12 42 | hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.~
261 John 13 1 | sikukuu ya Pasaka. Yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni
262 John 13 3 | 3 Yesu alijua kwamba Baba alikuwa amemkabidhi
263 John 13 3 | amemkabidhi kila kitu, na kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu
264 John 13 29 | fedha, baadhi yao walidhani kwamba Yesu alikuwa amemwambia
265 John 13 29 | vilivyohitajiwa kwa sikukuu, au kwamba alikuwa amemwambia akatoe
266 John 13 35 | Mkipendana, watu wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu."~
267 John 14 10 | 10 Je, huamini kwamba mimi niko ndani ya Baba,
268 John 14 11 | Mnapaswa kuniamini ninaposema kwamba mimi niko ndani ya Baba
269 John 14 20 | Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba,
270 John 14 31 | ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo
271 John 15 18 | ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia
272 John 15 22 | sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.~
273 John 16 4 | yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. "Sikuwaambieni
274 John 16 8 | atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi,
275 John 16 15 | vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho Mtakatifu atawaambieni
276 John 16 19 | 19 Yesu alijua kwamba walitaka kumwuliza, basi
277 John 16 21 | hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.~
278 John 16 26 | jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba
279 John 16 27 | mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.~
280 John 16 30 | 30 Sasa tunajua kwamba wewe unajua kila kitu, na
281 John 16 30 | yeyote; kwa hiyo tunaamini kwamba umetoka kwa Mungu."~
282 John 17 7 | 7 Sasa wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka
283 John 17 8 | nao wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako, na
284 John 17 8 | nimetoka kwako, na wanaamini kwamba wewe ulinituma.~
285 John 17 21 | ulimwengu upate kuamini kwamba wewe ulinituma.~
286 John 17 23 | ili ulimwengu upate kujua kwamba wewe ulinituma, na kwamba
287 John 17 23 | kwamba wewe ulinituma, na kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda
288 John 17 25 | nakujua. Hawa nao wanajua kwamba wewe ulinituma.~
289 John 18 8 | akawaambia, "Nimekwisha waambieni kwamba mimi ndiye. Basi, kama mnanitafuta
290 John 18 14 | aliyekuwa amewashauri Wayahudi kwamba ni afadhali mtu mmoja afe
291 John 18 37 | Yesu akajibu, "Wewe umesema kwamba mimi ni Mfalme. Mimi nimezaliwa
292 John 18 39 | 39 Lakini, mnayo desturi kwamba mimi niwafungulie mfungwa
293 John 19 4 | namleta nje kwenu, mpate kujua kwamba mimi sikuona hatia yoyote
294 John 19 10 | Husemi nami? Je, hujui kwamba ninayo mamlaka ya kukufungua
295 John 19 28 | 28 Yesu alijua kwamba yote yalikuwa yametimia;
296 John 19 33 | walipomfikia Yesu waliona kwamba alikwisha kufa, na hivyo
297 John 19 35 | ukweli, tena yeye anajua kwamba anasema ukweli.)~
298 John 20 9 | Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka
299 John 20 15 | Unamtafuta nani?" Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani,
300 John 20 18 | kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.~
301 John 20 31 | zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa
302 John 21 4 | lakini wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa yeye.~
303 John 21 15 | akajibu, "Naam, Bwana; wajua kwamba mimi nakupenda." Yesu akamwambia, "
304 John 21 16 | akamjibu, "Naam, Bwana; wajua kwamba nakupenda." Yesu akamwambia, "
305 John 21 17 | wewe wajua yote; wewe wajua kwamba mimi nakupenda." Yesu akamwambia, "
306 John 21 23 | miongoni mwa wale ndugu kwamba mwanafunzi huyo hafi. Lakini
307 John 21 23 | Lakini Yesu hakumwambia kwamba mwanafunzi huyo hafi, ila, "
308 John 21 24 | kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.~
309 Acts 1 3 | ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona,
310 Acts 1 18 | 18 "Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa
311 Acts 2 8 | 8 Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia
312 Acts 2 16 | 16 Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema
313 Acts 2 23 | mwenyewe Mungu alikwisha amua kwamba Yesu angetiwa mikononi mwenu;
314 Acts 2 30 | kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa
315 Acts 2 36 | wanapaswa kufahamu kwa hakika kwamba huyo Yesu mliyemsulubisha
316 Acts 3 12 | mnatukodolea macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu
317 Acts 3 17 | Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda
318 Acts 3 18 | kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake
319 Acts 3 26 | ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi
320 Acts 4 2 | walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo
321 Acts 4 2 | ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.~
322 Acts 4 10 | wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele
323 Acts 4 13 | wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa
324 Acts 4 13 | kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.~
325 Acts 4 16 | anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika,
326 Acts 5 26 | kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba watu wangewapiga mawe.~
327 Acts 5 39 | imeanzishwa na Mungu, siyo tu kwamba hamtaweza kuwashinda, bali
328 Acts 6 1 | Kigiriki walinung`unika kwamba wajane wao walikuwa wanasahauliwa
329 Acts 7 12 | Yakobo alipopata habari kwamba huko Misri kulikuwa na nafaka,
330 Acts 7 25 | 25 Alidhani kwamba Waisraeli wenzake wangeelewa
331 Acts 7 25 | Waisraeli wenzake wangeelewa kwamba Mungu angemtumia yeye kuwakomboa,
332 Acts 8 14 | Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea
333 Acts 8 18 | 18 Hapo Simoni aling`amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume
334 Acts 8 20 | zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya
335 Acts 8 23 | 23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na mfungwa
336 Acts 8 40 | akajibu, "Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa
337 Acts 9 20 | kuhubiri katika masunagogi kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.~
338 Acts 9 22 | jinsi alivyothibitisha wazi kwamba Yesu ndiye Kristo, Wayahudi
339 Acts 9 26 | walimwogopa, na hawakuweza kuamini kwamba yeye amekuwa mfuasi.~
340 Acts 9 37 | 37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha
341 Acts 9 38 | hiyo wafuasi waliposikia kwamba Petro alikuwa Luda, wakawatuma
342 Acts 10 28 | akawaambia, "Ninyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote amekatazwa
343 Acts 10 34 | kusema: "Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.~
344 Acts 10 42 | watu wote na kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa
345 Acts 10 43 | wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini
346 Acts 11 1 | ndugu kule Yudea walisikia kwamba watu wa mataifa mengine
347 Acts 11 28 | uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika
348 Acts 12 11 | Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake
349 Acts 12 14 | akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama
350 Acts 12 15 | Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, "
351 Acts 13 24 | akiwahubiria watu wote wa Israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa.~
352 Acts 13 38 | Jueni wazi, ndugu zangu, kwamba ujumbe kuhusu kusamehewa
353 Acts 13 38 | njia ya Yesu Kristo; na ya kwamba kila mmoja anayemwamini
354 Acts 15 7 | Ndugu zangu, ninyi mnafahamu kwamba hapo awali Mungu alipenda
355 Acts 15 8 | mioyo ya watu, alithibitisha kwamba amewakubali kwa kuwapa nao
356 Acts 15 11 | Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tunaokolewa
357 Acts 15 24 | 24 Tumesikia kwamba watu wengine kutoka huku
358 Acts 16 3 | walioishi sehemu hizo walijua kwamba baba yake Timotheo alikuwa
359 Acts 16 10 | kukawia, tukiwa na hakika kwamba Mungu ametuita tuwapelekee
360 Acts 16 15 | akisema, "Kama kweli mmeona kwamba mimi namwamini Bwana, karibuni
361 Acts 16 19 | yule msichana walipoona kwamba tumaini lao la kupata mali
362 Acts 16 27 | gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka
363 Acts 16 38 | jambo hilo, nao waliposikia kwamba Paulo na Sila walikuwa raia
364 Acts 17 3 | Aliyaeleza na kuonyesha kwamba ilimbidi Kristo kuteswa
365 Acts 17 13 | Thesalonika walipogundua kwamba Paulo alikuwa anahubiri
366 Acts 17 15 | maagizo kutoka kwa Paulo kwamba Sila na Timotheo wamfuate
367 Acts 17 22 | Wananchi wa Athene! Ninaona kwamba ninyi, kwa vyovyote, ni
368 Acts 17 23 | 23 Sababu yenyewe ni kwamba katika pitapita yangu niliangalia
369 Acts 17 25 | kwa mikono ya watu kana kwamba anahitaji chochote kile,
370 Acts 17 30 | 30 Mungu alifanya kama kwamba haoni nyakati zile watu
371 Acts 18 5 | akawathibitishia Wayahudi kwamba Yesu ndiye Kristo.~
372 Acts 19 2 | wakamjibu, "La! Hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia."~
373 Acts 19 4 | Yohane ulikuwa wa kuonyesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia
374 Acts 19 25 | akawaambia, "Wananchi, mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana
375 Acts 19 26 | kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa
376 Acts 19 27 | 27 Hivyo iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa na
377 Acts 19 35 | wa Efeso, kila mtu anajua kwamba mji huu wa Efeso ni mlinzi
378 Acts 20 3 | kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa wanamfanyia
379 Acts 20 20 | 20 Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria
380 Acts 20 23 | 23 Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia
381 Acts 20 23 | ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo
382 Acts 20 26 | ninawathibitishieni rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja
383 Acts 20 29 | 29 Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu
384 Acts 20 31 | hiyo, muwe macho mkikumbuka kwamba kwa muda wa miaka mitatu,
385 Acts 20 34 | 34 Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa mikono
386 Acts 20 35 | Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi mithili
387 Acts 20 38 | lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi,
388 Acts 21 20 | Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi
389 Acts 21 21 | 21 Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi
390 Acts 21 21 | wasiwatahiri watoto wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi.~
391 Acts 21 22 | dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili hapa.~
392 Acts 21 24 | Hivyo watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa
393 Acts 21 24 | hazina msingi wowote, na kwamba wewe binafsi bado unaishi
394 Acts 21 29 | Sababu ya kusema hivyo ni kwamba walikuwa wamemwona Trofimo
395 Acts 21 29 | na Paulo mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza
396 Acts 22 19 | Bwana, wao wanajua wazi kwamba mimi ni yule aliyekuwa anapitapita
397 Acts 22 20 | 20 Na kwamba wakati shahidi wako Stefano
398 Acts 22 29 | jeshi aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na
399 Acts 22 29 | Paulo ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga
400 Acts 23 6 | huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza
401 Acts 23 6 | mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."~
402 Acts 23 8 | hiki: Masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna
403 Acts 23 9 | katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea
404 Acts 23 10 | hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande.
405 Acts 23 14 | wakasema, "Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa
406 Acts 23 15 | Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili
407 Acts 23 20 | Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata
408 Acts 23 22 | akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo.~
409 Acts 23 27 | kama nisingalifahamishwa kwamba yeye ni raia wa Roma na
410 Acts 23 29 | 29 Niligundua kwamba mashtaka yenyewe yalihusu
411 Acts 23 29 | Sheria yao na hivyo sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili
412 Acts 23 30 | 30 Nilipofahamishwa kwamba Wayahudi walikuwa wamefanya
413 Acts 23 34 | mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa
414 Acts 24 5 | 5 Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno.
415 Acts 24 9 | mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.
416 Acts 24 10 | kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa
417 Acts 24 11 | 11 Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na
418 Acts 24 15 | wao wanalo tumaini hilo, kwamba watu, wema na wabaya, watafufuka.~
419 Acts 24 21 | kwa sababu ya kushikilia kwamba wafu watafufuliwa!"`~
420 Acts 24 26 | huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa
421 Acts 25 16 | 16 Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa
422 Acts 25 19 | lakini Paulo anashikilia kwamba yu hai.~
423 Acts 25 24 | walinilalamikia wakipiga kelele kwamba hastahili kuishi tena.~
424 Acts 26 5 | kushuhudia, kama wakipenda, kwamba tangu mwanzo niliishi kama
425 Acts 26 8 | mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?~
426 Acts 26 9 | mimi mwenyewe niliamini kwamba ni wajibu wangu kufanya
427 Acts 26 20 | na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao.~
428 Acts 26 23 | kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia
429 Acts 26 26 | mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana
430 Acts 26 27 | imani na manabii? Najua kwamba unaamini."~
431 Acts 26 29 | akamjibu, "Namwomba Mungu kwamba, kwa muda mfupi au mrefu,
432 Acts 27 10 | 10 "Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida
433 Acts 27 17 | kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye
434 Acts 27 25 | Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa.~
435 Acts 27 30 | mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga
436 Acts 27 42 | wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na
437 Acts 28 1 | kwenye nchi kavu, tuligundua kwamba kile kisiwa kinaitwa Malta.~
438 Acts 28 6 | watu walikuwa wakitazamia kwamba angevimba au hapohapo angeanguka
439 Acts 28 6 | kwa muda mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa na jambo
440 Acts 28 8 | 8 Basi, ikawa kwamba baba yake Publio alikuwa
441 Acts 28 18 | 18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yeyote,
442 Acts 28 22 | kuhusu hicho kikundi ni kwamba kinapingwa kila mahali."~
443 Acts 28 28 | na kusema, "Jueni basi, kwamba ujumbe wa Mungu juu ya wokovu
444 Roma 1 4 | alithibitishwa kwa uwezo mkuu kwamba ni Mwana wa Mungu kwa kufufuliwa
445 Roma 1 9 | Mwanae, ni shahidi wangu kwamba ninawakumbukeni~
446 Roma 1 13 | Ndugu zangu, nataka mjue kwamba mara nyingi nilikusudia
447 Roma 1 32 | 32 Wanajua kwamba Sheria ya Mungu yasema kwamba
448 Roma 1 32 | kwamba Sheria ya Mungu yasema kwamba watu wanaoishi mithili hiyo,
449 Roma 1 32 | Zaidi ya hayo, siyo tu kwamba wanafanya mambo hayo wao
450 Roma 2 2 | 2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale
451 Roma 2 4 | saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake huo una shabaha
452 Roma 2 15 | Mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya Sheria yameandikwa
453 Roma 2 23 | Sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja Sheria unamdharau
454 Roma 2 26 | hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.~
455 Roma 3 5 | uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa haki,
456 Roma 3 5 | tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (
457 Roma 3 8 | walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa
458 Roma 3 9 | nimekwisha bainisha hapo mwanzoni kwamba Wayahudi na watu wa mataifa
459 Roma 3 19 | 19 Tunajua kwamba Sheria huwahusu walio chini
460 Roma 3 20 | Sheria ni kumwonyesha tu mtu kwamba ametenda dhambi.~
461 Roma 3 25 | hivyo ili apate kuonyesha kwamba yeye ni mwadilifu. Hapo
462 Roma 3 26 | Mungu mwenyewe huonyesha kwamba yeye ni mwadilifu na kwamba
463 Roma 3 26 | kwamba yeye ni mwadilifu na kwamba humkubali kuwa mwadilifu
464 Roma 4 11 | kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba Mungu alimkubali kuwa mwadilifu
465 Roma 4 13 | Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali
466 Roma 4 16 | hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo yatokana na neema
467 Roma 4 16 | yatokana na neema ya Mungu, na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo
468 Roma 4 19 | haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama
469 Roma 4 21 | 21 Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza
470 Roma 5 3 | pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi,~
471 Roma 5 8 | Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati
472 Roma 5 9 | Kristo, ni dhahiri zaidi kwamba atatuokoa katika ghadhabu
473 Roma 5 10 | tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uzima wa
474 Roma 5 17 | lakini, ni dhahiri zaidi kwamba alichokifanya yule mtu mmoja,
475 Roma 6 3 | 3 Maana, mnajua kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana
476 Roma 6 6 | 6 Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa
477 Roma 6 8 | pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pia pamoja naye.~
478 Roma 6 9 | 9 Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa
479 Roma 6 16 | 16 Mnajua kwamba mkijitolea ninyi wenyewe
480 Roma 7 7 | 7 Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo!
481 Roma 7 13 | 13 Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha
482 Roma 7 13 | changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri
483 Roma 7 14 | 14 Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini
484 Roma 7 16 | matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria
485 Roma 7 18 | 18 Najua kwamba hamna jema lolote ndani
486 Roma 7 20 | matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo,
487 Roma 7 21 | kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.~
488 Roma 7 23 | 23 Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya
489 Roma 8 16 | roho zetu na kuthibitisha kwamba sisi ni watoto wa Mungu.~
490 Roma 8 22 | 22 Kwa maana tunajua kwamba mpaka hivi sasa, viumbe
491 Roma 8 28 | 28 Tunajua kwamba, katika mambo yote, Mungu
492 Roma 8 38 | 38 Maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha
493 Roma 9 6 | 6 Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika;
494 Roma 9 11 | Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua,
495 Roma 9 12 | 12 Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia
496 Roma 9 18 | 18 Ni wazi,basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote
497 Roma 10 2 | kuthibitisha kwa niaba yao kwamba wanayo bidii ya kumtafuta
498 Roma 10 9 | ukikiri kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana na kuamini
499 Roma 10 9 | na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka wafu,
500 Roma 10 19 | nauliza: je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu?
1-500 | 501-840 |