Book, Chapter, Verse
1 Matt 3 1 | Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:~
2 Matt 4 17| wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, "Tubuni, maana
3 Matt 4 23| akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme
4 Matt 11 1 | hapo, akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.~
5 Mark 3 14| fb* wakae naye, awatume kuhubiri~
6 Luke 4 43| yeye akawaambia, "Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa
7 Luke 9 2 | Halafu akawatuma waende kuhubiri Ufalme wa Mungu na kuponya
8 Acts 4 29| Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.~
9 Acts 4 31| Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.~
10 Acts 5 42| kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo,
11 Acts 6 4 | tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu."~
12 Acts 9 20| 20 Mara alianza kuhubiri katika masunagogi kwamba
13 Acts 14 21| Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko Derbe
14 Acts 14 25| 25 Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda
15 Acts 15 35| kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la Bwana, pamoja na
16 Acts 16 6 | Roho Mtakatifu hakuwaruhusu kuhubiri huo ujumbe mkoani Asia.~
17 Acts 18 5 | wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia Wayahudi
18 Acts 18 9 | maono: "Usiogope, endelea kuhubiri tu bila kufa moyo,~
19 Acts 20 11| mkate, akala. Aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri,
20 Acts 26 20| 20 Ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa Damasko,
21 Roma 1 1 | niliyeteuliwa na kuitwa kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema ya Mungu.~
22 Roma 1 9 | kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Habari Njema ya Mwanae,
23 1Cor 1 5 | elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,~
24 1Cor 1 17| hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri
25 2Cor 2 12| 12 Nilipofika Troa kuhubiri Habari Njema ya Kristo,
26 Gala 2 7 | Mungu alikuwa amenituma kuhubiri Habari Njema kwa watu wa
27 1The 3 2 | kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo.
28 1Tim 4 13| hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.~
29 1Tim 5 17| wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha.~
30 1Tim 6 2 | Unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.~
31 2Tim 1 11| na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema, ~
32 Titus 2 1| 1 Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.~
33 Rev 1 9 | kisiwani Patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe wa Mungu na ukweli
|