Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
kadha 4
kadhaa 31
kadhalika 52
kadiri 33
kaeni 14
kafarnaumu 16
kahaba 2
Frequency    [«  »]
34 waadilifu
33 48
33 jua
33 kadiri
33 kaisari
33 kizazi
33 kuhubiri

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

kadiri

   Book, Chapter, Verse
1 Matt 16 27| ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake.~ 2 Matt 25 15| 15 Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu 3 Matt 27 65| walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo."~ 4 Mark 4 33| namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.~ 5 Mark 7 36| juu ya jambo hilo. Lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi 6 John 6 11| samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka.~ 7 Acts 2 4 | kusema lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.~ 8 Acts 2 45| vyao kisha wakagawana fedha kadiri ya mahitaji ya kila mmoja.~ 9 Acts 4 35| hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.~ 10 Acts 11 29| waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote 11 Roma 7 18| lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa 12 Roma 9 5 | wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka 13 Roma 12 6 | kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake.~ 14 Roma 12 18| 18 Kadiri inavyowezekana kwa upande 15 1Cor 1 21| 21 Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu 16 1Cor 16 2 | wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe 17 2Cor 1 5 | 5 Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi 18 2Cor 1 5 | yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa 19 2Cor 7 9 | na kutubu. Mmehuzunishwa kadiri ya mpango wa Mungu, na kwa 20 2Cor 8 3 | kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. 21 2Cor 8 11| fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.~ 22 2Cor 9 7 | Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na 23 Ephe 3 16| 16 Namwomba Mungu, kadiri ya utajiri wa utukufu wake, 24 Ephe 4 7 | mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na 25 Colo 3 10| kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate 26 1Tim 6 12| 12 Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano 27 2Tim 1 8 | kwa ajili ya Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu. ~ 28 Hebr 2 4 | vipaji vya Roho Mtakatifu kadiri ya mapenzi yake.~ 29 Hebr 9 22| 22 Naam, kadiri ya Sheria karibu kila kitu 30 1Pet 1 17| yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. 31 1Joh 5 14| kwamba tukimwomba chochote kadiri ya mapenzi yake, yeye hutusikiliza.~ 32 Rev 18 7 | Mpeni mateso na uchungu kadiri ya kujigamba kwake, na kuishi 33 Rev 20 12 | kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa


Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License