Book, Chapter, Verse
1 Matt 8 29| 29 Nao wakaanza kupiga kelele, "Una shauri gani nasi,
2 Matt 9 27| wawili walimfuata wakipiga kelele, "Mwana wa Daudi, utuhurumie!"~
3 Matt 12 19| Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika
4 Matt 14 26| wakasema, "Ni mzimu!" Wakapiga kelele kwa hofu.~
5 Matt 15 23| anatufuatafuata akipiga kelele."~
6 Matt 25 6 | Usiku wa manane kukawa na kelele: `Haya, haya! Bwana arusi
7 Mark 5 39| akawaambia, "Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa,
8 Luke 4 41| waliwatoka watu wengi, wakapiga kelele wakisema: "Wewe u Mwana
9 Luke 8 28| Alipomwona Yesu, alipiga kelele na kujitupa chini mbele
10 Luke 9 39| na mara humfanya apige kelele; humtia kifafa, na povu
11 Luke 23 18| 18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja: "Mwondoe huyo, utufungulie
12 Luke 23 21| 21 lakini wao wakapiga kelele: "Msulubishe, msulubishe!"~
13 Luke 23 23| Lakini wao wakazidi kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu
14 John 18 40| 40 Hapo wakapiga kelele: "La! Si huyu ila Baraba!"
15 John 19 12| lakini Wayahudi wakapiga kelele: "Ukimwachilia huyu mtu,
16 Acts 7 57| kikao cha Baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa
17 Acts 8 7 | wengi waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi
18 Acts 12 22| 22 Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, "Hii
19 Acts 14 11| alichofanya Paulo, ulianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: "
20 Acts 16 17| alimfuata Paulo na sisi, akipiga kelele na kusema, "Hawa watu ni
21 Acts 17 6 | kwa wakuu wa mji, wakapiga kelele: "Watu hawa wamekuwa wakivuruga
22 Acts 19 28| hasira, wakaanza kupiga kelele: "Mkuu ni Artemi, wa Efeso!"~
23 Acts 19 34| kwa sauti moja walipiga kelele: "Mkuu ni Artemi wa Efeso!"
24 Acts 21 28| 28 wakipiga kelele: "Wananchi wa Israeli, msaada,
25 Acts 21 36| watu walimfuata wakipiga kelele, "Muulie mbali!" ic~
26 Acts 22 24| kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.~
27 Acts 23 9 | 9 Kelele ziliongezeka na baadhi ya
28 Acts 25 24| walinilalamikia wakipiga kelele kwamba hastahili kuishi
29 Ephe 4 31| uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila
30 Rev 16 18 | 18 Kukatokea umeme, kelele, ngurumo na tetemeko kubwa
|