Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library
Alphabetical    [«  »]
busara 17
bustani 7
bustanini 7
bwana 699
bwanaarusi 1
bwanamaneno 1
bwawa 3
Frequency    [«  »]
865 maana
840 kwamba
773 wake
699 bwana
590 wote
579 kristo
576 ninyi

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

bwana

1-500 | 501-699

    Book, Chapter, Verse
501 Gala 1 19 | isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.~ 502 Gala 5 10 | Kutokana na kuungana kwetu na Bwana, nina tumaini kubwa kwamba 503 Gala 6 14 | chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana 504 Gala 6 18 | nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina.~ ~ 505 Ephe 1 2 | kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.~ 506 Ephe 1 3 | Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, 507 Ephe 1 15 | niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa 508 Ephe 1 17 | 17 ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, 509 Ephe 3 11 | amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu.~ 510 Ephe 4 1 | mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha 511 Ephe 4 5 | 5 Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo 512 Ephe 4 17 | 17 Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena 513 Ephe 5 8 | katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga:~ 514 Ephe 5 10 | kujua yale yanayompendeza Bwana.~ 515 Ephe 5 17 | jaribuni kujua matakwa ya Bwana.~ 516 Ephe 5 19 | tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani 517 Ephe 5 20 | ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.~ 518 Ephe 5 22 | wawatii waume zao kama kumtii Bwana.~ 519 Ephe 6 7 | radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.~ 520 Ephe 6 8 | atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana.~ 521 Ephe 6 9 | pia kama vile wao, mnaye Bwana yuleyule mbinguni, kwake 522 Ephe 6 10 | imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake 523 Ephe 6 21 | na mtumishi mwaminifu wa Bwana, atawapeni habari zangu 524 Ephe 6 23 | Mungu Baba na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.~ 525 Ephe 6 24 | ya Mungu wote wanaompenda Bwana wetu Yesu Kristo kwa mapendo 526 Colo 1 3 | tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati 527 Colo 1 10 | mtaweza kuishi kama anavyotaka Bwana na kutenda daima yanayompendeza. 528 Colo 2 6 | mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano 529 Colo 3 13 | Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.~ 530 Colo 3 17 | fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu 531 Colo 3 18 | kwani ndivyo apendavyo Bwana.~ 532 Colo 3 20 | daima maana hiyo humpendeza Bwana.~ 533 Colo 3 22 | wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.~ 534 Colo 3 23 | moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.~ 535 Colo 3 24 | wake. Mtumikieni Kristo Bwana!~ 536 Colo 4 1 | mkikumbuka kwamba nanyi pia mnaye Bwana mbinguni.~ 537 Colo 4 7 | mwenzetu katika kazi ya Bwana, atawapeni habari zangu 538 Colo 4 17 | huduma aliyokabidhiwa na Bwana.~ 539 1The 1 1 | watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo.~ 540 1The 1 3 | jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo 541 1The 1 6 | mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea 542 1The 1 8 | na bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia 543 1The 2 15 | 15 ambao walimuua Bwana Yesu na manabii, wakatutesa 544 1The 2 19 | tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, 545 1The 3 8 | imara katika kuungana na Bwana.~ 546 1The 3 11 | Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie 547 1The 3 12 | 12 Bwana awawezeshe ninyi kupendana 548 1The 3 13 | Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja 549 1The 4 1 | na kuwasihi kwa jina la Bwana Yesu mfanye vema zaidi.~ 550 1The 4 2 | tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.~ 551 1The 4 6 | hayo na kuwaonya kwamba Bwana atawaadhibu wanaofanya mambo 552 1The 4 15 | tunalowaambieni ni fundisho la Bwana; sisi tulio hai, ambao tutakuwa 553 1The 4 15 | tutakuwa tumebaki, wakati Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia 554 1The 4 16 | tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka 555 1The 4 17 | nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa 556 1The 4 17 | tutakuwa daima pamoja na Bwana.~ 557 1The 5 2 | wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo 558 1The 5 9 | tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,~ 559 1The 5 23 | yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.~ 560 1The 5 27 | Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote 561 1The 5 28 | 28 Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.~Chapter 562 2The 1 1 | wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo.~ 563 2The 1 2 | kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.~ 564 2The 1 7 | Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka mbinguni 565 2The 1 8 | wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu.~ 566 2The 1 12 | Kwa namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu 567 2The 1 12 | neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.~ ~ 568 2The 2 1 | 1 Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa 569 2The 2 2 | ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa 570 2The 2 8 | Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa 571 2The 2 13 | ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua 572 2The 2 14 | sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.~ 573 2The 2 16 | 16 Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe 574 2The 3 1 | tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa 575 2The 3 3 | 3 Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni 576 2The 3 4 | 4 Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa 577 2The 3 5 | 5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika 578 2The 3 6 | tunawaamuru kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mjiepushe 579 2The 3 12 | 12 Kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo tunawaamuru 580 2The 3 16 | 16 Bwana mwenyewe ndiye chanzo cha 581 2The 3 16 | siku zote kwa kila namna. Bwana awe nanyi nyote.~ 582 2The 3 18 | Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 583 1Tim 1 2 | Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.~ 584 1Tim 1 12 | 12 Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa 585 1Tim 1 14 | 14 Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake 586 1Tim 5 22 | kwa ajili ya kumtumikia Bwana. Usishiriki dhambi za wengine; 587 1Tim 6 3 | hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho 588 1Tim 6 14 | mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo.~ 589 1Tim 6 15 | pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.~ 590 2Tim 1 2 | Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu. ~ 591 2Tim 1 8 | usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione haya kwa 592 2Tim 1 16 | 16 Bwana aihurumie jamaa ya Onesiforo, 593 2Tim 1 18 | 18 Bwana amjalie huruma katika Siku 594 2Tim 2 7 | Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote.~ 595 2Tim 2 19 | yameandikwa maneno haya: "Bwana anawafahamu wale walio wake," 596 2Tim 2 19 | Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu."~ 597 2Tim 2 21 | amewekwa wakfu, anamfaa Bwana wake na yupo tayari kwa 598 2Tim 2 22 | watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi.~ 599 2Tim 2 24 | 24 Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa 600 2Tim 3 11 | udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo 601 2Tim 4 8 | ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa 602 2Tim 4 14 | amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo 603 2Tim 4 17 | 17 Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa 604 2Tim 4 18 | 18 Bwana ataniokoa na mambo yote 605 2Tim 4 22 | 22 Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni 606 Phil 1 3 | Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.~ 607 Phil 1 5 | habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako 608 Phil 1 16 | mtumwa na kama ndugu katika Bwana.~ 609 Phil 1 20 | hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama 610 Phil 1 25 | Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.~ 611 Hebr 1 10 | 10 Pia alisema: "Bwana, wewe uliumba dunia hapo 612 Hebr 2 3 | wokovu mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu 613 Hebr 3 5 | mwaminifu katika nyumba yote ya Bwana kama mtumishi, na alinena 614 Hebr 3 9 | walinijaribu na kunichunguza, asema Bwana, ingawa walikuwa wameyaona 615 Hebr 7 13 | 13 Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote 616 Hebr 7 21 | wakati Mungu alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza 617 Hebr 8 2 | ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. ic~ 618 Hebr 8 8 | aliposema: "Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano 619 Hebr 8 9 | hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.~ 620 Hebr 8 10 | Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini 621 Hebr 8 11 | atakayemwambia ndugu yake: `Mjue Bwana.` Maana watu wote, wadogo 622 Hebr 10 16 | katika siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni 623 Hebr 10 25 | kama mwonavyo, Siku ile ya Bwana inakaribia.~ 624 Hebr 10 30 | na ambaye alisema pia, "Bwana atawahukumu watu wake."~ 625 Hebr 12 5 | Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.~ 626 Hebr 12 6 | 6 Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, 627 Hebr 12 14 | hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama hayo.~ 628 Hebr 13 6 | maana tunathubutu kusema: "Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa. 629 Hebr 13 20 | 20 Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye 630 James 1 1 | mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia 631 James 1 7 | chochote kile kutoka kwa Bwana.~ 632 James 2 1 | zangu, mkiwa mnamwamini Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, 633 James 2 1 | mnamwamini Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwabague watu 634 James 3 9 | Kwa ulimi sisi twamshukuru Bwana na Baba yetu. Kwa ulimi 635 James 4 10| 10 Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.~ 636 James 4 15| 15 Mngalipaswa kusema: "Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya 637 James 5 4 | yenu kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu.~ 638 James 5 7 | zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapokuja. Tazameni mkulima 639 James 5 8 | maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia.~ 640 James 5 10| ambao walinena kwa jina la Bwana.~ 641 James 5 11| wa Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. 642 James 5 11| alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema.~ 643 James 5 14| kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.~ 644 James 5 15| imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana atampatia nafuu, na dhambi 645 1Pet 1 3 | Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma 646 1Pet 1 25 | 25 Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo 647 1Pet 2 3 | Matakatifu: "Mmegundua kwamba Bwana ni mwema."~ 648 1Pet 2 4 | 4 Basi, mwendeeni Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa 649 1Pet 2 13 | kibinadamu, kwa ajili ya Bwana: utii kwa mfalme aliye mtawala 650 1Pet 3 6 | Abrahamu na kumwita yeye bwana. Ninyi mmekuwa sasa binti 651 1Pet 3 12 | 12 Maana Bwana huwatazama kwa wema waadilifu 652 1Pet 3 15 | Lakini mtukuzeni Kristo kama Bwana mioyoni mwenu. Muwe tayari 653 2Pet 1 2 | katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.~ 654 2Pet 1 8 | kupata faida katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.~ 655 2Pet 1 11 | katika Utawala wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.~ 656 2Pet 1 14 | mwili huu wenye kufa, kama Bwana alivyoniambia waziwazi.~ 657 2Pet 1 16 | juu ya ukuu wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, hatukutegemea 658 2Pet 2 1 | mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia 659 2Pet 2 9 | 9 Kwa hiyo, basi, Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa 660 2Pet 2 11 | kuwatukana hao mbele ya Bwana.~ 661 2Pet 2 20 | ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, 662 2Pet 3 2 | watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na 663 2Pet 3 8 | msisahau kitu kimoja! Mbele ya Bwana, hakuna tofauti kati ya 664 2Pet 3 9 | 9 Bwana hakawii kutimiza yale aliyoahidi 665 2Pet 3 10 | 10 Siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Siku 666 2Pet 3 15 | Mnapaswa kuuona uvumilivu wa Bwana kuwa ni nafasi anayowapeni 667 2Pet 3 18 | katika neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. 668 1Joh 5 11 | milele, na uzima huo uko kwa Bwana.~ 669 Jude 1 4 | aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu 670 Jude 1 5 | mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli 671 Jude 1 9 | kwa matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."~ 672 Jude 1 12 | mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe 673 Jude 1 14 | watu hawa: "Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu 674 Jude 1 17 | hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.~ 675 Jude 1 21 | Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni 676 Jude 1 25 | mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa 677 Rev 1 8 | ni Alfa na Omega," asema Bwana Mungu Mwenye Uwezo, aliyeko, 678 Rev 1 10 | Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa na Roho, nikasikia 679 Rev 4 8 | mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, 680 Rev 4 11 | 11 "Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili 681 Rev 6 10 | wakalia kwa sauti kubwa: "Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, 682 Rev 11 4 | mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia.~ 683 Rev 11 8 | barabara za mji mkuu ambapo Bwana wao alisulubiwa; jina la 684 Rev 11 15 | utawala juu ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye 685 Rev 11 17 | 17 wakisema: "Bwana Mungu Mwenye uwezo, uliyeko 686 Rev 14 13 | wanakufa wakiwa wameungana na Bwana." Naye Roho asema, "Naam! 687 Rev 15 3 | na wimbo wa Mwanakondoo: "Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo 688 Rev 15 4 | 4 Bwana, ni nani asiyekucha wewe? 689 Rev 16 7 | madhabahuni ikisema, "Naam, Bwana Mungu Mwenye Uwezo! Hukumu 690 Rev 17 14 | atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa 691 Rev 18 8 | njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ni 692 Rev 18 23 | tena ndani yako; sauti za bwana arusi na bibi arusi hazitasikika 693 Rev 19 6 | ikisema, "Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo 694 Rev 19 16 | jina: "Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana."~ 695 Rev 21 22 | hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule 696 Rev 22 5 | wa taa au wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao 697 Rev 22 6 | ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu ambaye huwapa manabii 698 Rev 22 20 | Amina. Na iwe hivyo! Njoo Bwana Yesu!~ 699 Rev 22 21 | Nawatakieni nyote neema ya Bwana Yesu. Amen.~


1-500 | 501-699

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License