Book, Chapter, Verse
1 Matt 7 24| anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake
2 Matt 10 16| kati ya mbwa mwitu. Muwe na busara kama nyoka, na wapole kama
3 Matt 24 45| mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka
4 Matt 25 2 | na watano walikuwa wenye busara.~
5 Matt 25 4 | 4 Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika
6 Matt 25 8 | wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: `Tupeni mafuta yenu kidogo
7 Matt 25 9 | 9 Lakini wale wenye busara wakawaambia, `Hayatatutosha
8 Luke 12 42| aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka
9 Luke 16 8 | mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. Kwa maana watu wa dunia
10 Luke 16 8 | maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko
11 1Cor 1 25| upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu;
12 1Cor 3 10| kama mwashi stadi mwenye busara, kuweka msingi ambao juu
13 1Cor 4 10| Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika kuungana na Kristo!
14 1Cor 10 15| Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo
15 2Cor 11 19| 19 Ninyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia
16 1Tim 2 9 | wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae
17 Titus 2 2| wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa
|