Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 25 | Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto
2 Matt 2 9 | mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya
3 Matt 3 11 | kuliko mimi. Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye
4 Matt 5 18 | dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo
5 Matt 5 19 | Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote,
6 Matt 5 36 | chako, maana huwezi kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe
7 Matt 5 46 | ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo!~
8 Matt 5 47 | kitu kisicho cha kawaida? Hata watu wasiomjua Mungu nao
9 Matt 6 3 | maskini, fanya hivyo kwamba hata rafiki yako asijue ufanyalo.~
10 Matt 6 8 | yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.~
11 Matt 6 13 | Mwovu.`*fa* na utukufu, hata milele. Amina.~
12 Matt 6 26 | wala hawana ghala yoyoye. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni
13 Matt 6 29 | 29 Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari
14 Matt 8 9 | 9 Maana, hata mimi niliye mtu chini ya
15 Matt 8 24 | dhoruba kali ikatokea ziwani, hata mawimbi yakaanza kuifunika
16 Matt 8 27 | mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na mawimbi vinamtii!"~
17 Matt 8 28 | walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu
18 Matt 10 29 | huuzwa kwa senti tano. Lakini hata mmoja wao haanguki chini
19 Matt 10 30 | Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa
20 Matt 11 11 | kuliko Yohane mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo
21 Matt 11 19 | watoza ushuru na wahalifu!` Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa
22 Matt 11 22 | 22 Hata hivyo nawaambieni, Siku
23 Matt 12 22 | na pepo. Yesu akamponya hata, akaweza kusema na kuona.~
24 Matt 13 2 | makubwa ya watu yalimzunguka hata Yesu akapanda mashua, akaketi.
25 Matt 13 12 | lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.~
26 Matt 13 33 | akaichanganya na unga pishi tatu, hata unga wote ukaumuka."~
27 Matt 13 44 | akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa
28 Matt 13 54 | anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, wakasema, "
29 Matt 14 7 | 7 hata akaahidi kwa kiapo kumpa
30 Matt 15 16 | 16 Yesu akasema, "Hata nyinyi hamwelewi?~
31 Matt 15 27 | kweli, Mheshimiwa; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka
32 Matt 17 20 | kama tu mkiwa na imani, hata iwe ndogo kama mbegu ya
33 Matt 17 25 | alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, "
34 Matt 18 14 | yenu wa mbinguni hapendi hata mmoja wa hawa wadogo apotee.~
35 Matt 20 6 | 6 Hata mnamo saa kumi na moja jioni,
36 Matt 20 10 | wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja
37 Matt 21 21 | si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: `Ng`
38 Matt 21 32 | waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote
39 Matt 23 4 | wenyewe hawataki kunyosha hata kidole wapate kuibeba. ~
40 Matt 23 23 | wanafiki! Mnatoza watu ~zaka, hata juu ya majani yenye harufu
41 Matt 24 2 | Kweli nawaambieni, hakuna hata jiwe moja litakalosalia
42 Matt 24 24 | kuwapotosha ikiwezekana hata wateule wa Mungu.~
43 Matt 25 29 | Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.~
44 Matt 26 33 | 33 Petro akamwambia Yesu "Hata kama wote watakuwa na mashaka
45 Matt 26 35 | 35 Petro akamwambia, "Hata kama ni lazima nife pamoja
46 Matt 26 38 | Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa
47 Matt 26 40 | hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja?~
48 Matt 26 70 | ya wote akisema, "Sijui hata unasema nini."~
49 Matt 27 14 | 14 Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu
50 Matt 27 14 | hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa
51 Matt 28 4 | wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.~
52 Mark 1 7 | mimi, ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba
53 Mark 1 27 | anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!"~
54 Mark 1 45 | mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia
55 Mark 1 45 | nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, watu wakamwendea
56 Mark 2 2 | wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana
57 Mark 2 28 | hiyo, Mwana wa Mtu ni Bwana hata wa Sabato."~ ~
58 Mark 3 20 | watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze
59 Mark 4 1 | mkubwa wa watu ulimzunguka hata ikambidi aingie katika mashua
60 Mark 4 25 | atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa."~
61 Mark 4 32 | Matawi yake huwa makubwa hata ndege wa angani huweza kujenga
62 Mark 4 37 | mawimbi yakaipiga ile mashua hata ikaanza kujaa maji.~
63 Mark 4 41 | wanaulizana, "Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?"~ ~~ ~
64 Mark 6 23 | utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni nusu ya ufalme
65 Mark 6 31 | wanafika hapo na kuondoka hata Yesu na wanafunzi wake hawakuweza
66 Mark 7 18 | 18 Naye akawaambia, "Je, hata ninyi hamwelewi? Je, hamwelewi
67 Mark 7 28 | akasema, "Sawa, Bwana, lakini hata mbwa walio chini ya meza
68 Mark 9 6 | Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.~
69 Mark 9 12 | kwanza kutayarisha yote. Hata hivyo, kwa nini basi imeandikwa
70 Mark 9 26 | Mtoto alionekana kama maiti, hata wengine walisema, "Amekufa!"~
71 Mark 10 1 | akaenda mkoani Yudea na hata ng`ambo ya mto Yordani.
72 Mark 11 14 | akauambia mtini, "Tangu leo hata milele mtu yeyote asile
73 Mark 11 20 | ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.~
74 Mark 11 25 | awasamehe ninyi makosa yenu.*fg* hata Baba yenu aliye mbinguni
75 Mark 13 2 | majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalosalia
76 Mark 14 29 | 29 Petro akamwambia "Hata kama wote watakuwa na mashaka
77 Mark 14 31 | Lakini Petro akasisitiza, "Hata kama ni lazima nife pamoja
78 Mark 14 34 | Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa
79 Mark 14 37 | umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?"~
80 Mark 14 59 | 59 Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukupatana.~
81 Mark 14 61 | yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani Mkuu akamwuliza
82 Mark 14 65 | Bashiri ni nani aliyekupiga!" Hata watumishi wakamchukua, wakampiga
83 Mark 14 67 | alimtazama, akamwambia, "Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu
84 Mark 15 5 | Lakini Yesu hakujibu neno, hata pilato akashangaa.~
85 Mark 15 32 | msalabani ili tuone na kuamini." Hata watu wale waliosulubiwa
86 Mark 16 13 | wakaenda wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.~
87 Luke 1 36 | 36 Ujue pia kwamba hata Elisabeti, jamaa yako, naye
88 Luke 1 43 | 43 Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike
89 Luke 1 50 | wanaomcha hudumu kizazi hata kizazi.~
90 Luke 1 55 | Abrahamu na wazawa wake hata milele."~
91 Luke 3 16 | kuliko mimi ambaye sistahili hata kumfungulia kamba za viatu
92 Luke 4 26 | 26 Hata hivyo, Eliya hakutumwa kwa
93 Luke 4 27 | kulikuwa na wenye ukoma wengi. Hata hivyo, hakuna yeyote aliyetakaswa
94 Luke 4 35 | akamtoka bila kumdhuru hata kidogo.~
95 Luke 5 6 | hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.~
96 Luke 5 7 | mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.~
97 Luke 5 33 | hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya
98 Luke 6 32 | gani? Hakuna! Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale
99 Luke 6 33 | mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo
100 Luke 6 34 | je, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi huwakopesha
101 Luke 6 38 | kikashindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika. Kwa maana kipimo
102 Luke 7 7 | maana sikujiona nastahili hata kuja kwako; amuru tu, na
103 Luke 7 9 | Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli."~
104 Luke 7 28 | kuliko Yohane Mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo
105 Luke 7 35 | 35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa
106 Luke 8 13 | neno hulipokea kwa furaha. Hata hivyo, kama zile mbegu,
107 Luke 8 18 | lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani kuwa anacho,
108 Luke 8 25 | wakiambiana, "Huyu ni nani basi, hata anaamuru dhoruba na mawimbi,
109 Luke 9 3 | chakula, wala fedha, wala hata koti la ziada.~
110 Luke 9 32 | wamelemewa na usingizi mzito, hata hivyo waliamka, wakauona
111 Luke 10 11 | 11 `Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana
112 Luke 10 14 | 14 Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi
113 Luke 10 17 | furaha, wakisema, "Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja
114 Luke 10 20 | 20 Hata hivyo, msifurahi kwa sababu
115 Luke 11 14 | yule mtu akaweza kuongea hata umati wa watu ukashangaa.~
116 Luke 11 42 | sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea
117 Luke 11 46 | ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.~
118 Luke 12 1 | walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu
119 Luke 12 6 | mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.~
120 Luke 12 7 | 7 Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa
121 Luke 12 24 | wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha.
122 Luke 12 27 | Hayafanyi kazi wala hayafumi. Hata hivyo, nawahakikishieni
123 Luke 12 27 | nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari
124 Luke 12 38 | wao atawakuta wanakesha hata ikiwa atarudi usiku wa manane
125 Luke 12 51 | nimekuja kuleta amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.~
126 Luke 13 6 | lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja.~
127 Luke 13 11 | ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama wima.~
128 Luke 13 15 | zizini ampeleke kunywa maji, hata kama siku hiyo ni ya Sabato?~
129 Luke 13 19 | kuipanda shambani mwake; ikaota hata ikawa mti. Ndege wa angani
130 Luke 13 33 | 33 Hata hivyo, kwa leo, kesho na
131 Luke 14 5 | akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?"~
132 Luke 14 24 | maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa
133 Luke 14 26 | ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe,
134 Luke 14 33 | Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi
135 Luke 15 19 | 19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama
136 Luke 15 21 | nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.`~
137 Luke 15 28 | kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani.
138 Luke 15 29 | nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini?
139 Luke 15 29 | Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye
140 Luke 16 17 | na dunia kupita, kuliko hata herufi moja ya Sheria kufutwa.~
141 Luke 16 31 | Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka
142 Luke 17 6 | imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali,
143 Luke 18 8 | Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na
144 Luke 18 13 | amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni,
145 Luke 18 34 | 34 Lakini wao hawakuelewa hata kidogo jambo hilo; walikuwa
146 Luke 19 26 | Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.~
147 Luke 19 44 | kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa
148 Luke 20 8 | 8 Yesu akawaambia, "Hata mimi sitawaambia ninafanya
149 Luke 20 16 | walisema: "Hasha! Yasitukie hata kidogo!"~
150 Luke 20 37 | kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo
151 Luke 21 6 | zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia
152 Luke 21 18 | 18 Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa
153 Luke 22 27 | anayeketi mezani kula chakula! Hata hivyo, mimi niko hapa kati
154 Luke 22 33 | pamoja nawe gerezani, na hata kufa."~
155 Luke 22 42 | ukiondoe kwangu kikombe hiki; hata hivyo, mapenzi yako yatimizwe,
156 Luke 22 60 | akasema, "Bwana wee; sijui hata unachosema!" Na papo hapo,
157 Luke 22 67 | Lakini Yesu akawaambia, "Hata kama nikiwaambieni, hamtasadiki;~
158 Luke 22 68 | 68 na hata kama nikiwaulizeni swali,
159 Luke 23 15 | 15 Wala si mimi tu, bali hata Herode hakuona kosa lolote,
160 Luke 23 40 | akisema: "Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu
161 John 1 3 | vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa
162 John 1 27 | yangu, lakini mimi sistahili hata kumfungua kamba za viatu
163 John 1 48 | Ulipokuwa chini ya mtini hata kabla Filipo hajakuita,
164 John 2 10 | huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa
165 John 3 16 | aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee,
166 John 5 41 | 40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja
167 John 6 7 | fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande
168 John 6 39 | ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa,
169 John 6 64 | 64 Hata hivyo, wako baadhi yenu
170 John 6 70 | sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Hata hivyo, mmoja wenu ni Ibilisi!"~
171 John 7 5 | 5 Hata ndugu zake hawakumwamini!)~
172 John 7 13 | 13 Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu
173 John 7 19 | Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja
174 John 7 19 | Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria.
175 John 7 22 | Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato.~
176 John 7 23 | Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria
177 John 7 26 | hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa
178 John 7 28 | na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata
179 John 7 28 | hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka
180 John 7 48 | 48 Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu,
181 John 8 10 | wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?"~
182 John 8 11 | akamjibu, "Mheshimiwa, hakuna hata mmoja!" Naye Yesu akamwambia, "
183 John 8 14 | 14 Yesu akawajibu, "Hata kama ninajishuhudia mwenyewe,
184 John 8 16 | 16 Hata nikihukumu, hukumu yangu
185 John 8 37 | ninyi ni wazawa wa Abrahamu. Hata hivyo, mnataka kuniua kwa
186 John 8 40 | ukweli niliousikia kwa Mungu; hata hivyo, ninyi mwataka kuniua.
187 John 8 53 | Abrahamu ambaye alikufa? Hata na manabii walikufa. Wewe
188 John 9 2 | mtu huyu, ama wazazi wake, hata akazaliwa kipofu?"~
189 John 10 38 | Lakini ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, walau ziaminini
190 John 11 22 | 22 Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba
191 John 11 25 | uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi:~
192 John 12 42 | 42 Hata hivyo, wengi wa viongozi
193 John 13 28 | 28 Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale
194 John 14 12 | ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, maana nakwenda
195 John 15 6 | kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota
196 John 16 5 | yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `
197 John 17 12 | nimewalinda, wala hakuna hata mmoja wao aliyepotea, isipokuwa
198 John 18 9 | Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.")~
199 John 19 36 | Matakatifu yatimie: "Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."~
200 John 21 12 | mkafungue kinywa." Hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kumwuliza: "
201 John 21 25 | baada ya lingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha
202 Acts 1 8 | ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia."~
203 Acts 2 18 | 18 Naam, hata watumishi wangu, wanaume
204 Acts 2 43 | yalifanyika kwa njia ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu.~
205 Acts 3 10 | Hekalu, wakashangaa mno hata wasiweze kuelewa yaliyompata.~
206 Acts 3 13 | kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha
207 Acts 4 32 | mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu
208 Acts 5 13 | hakuthubutu kujiunga nao. Hata hivyo, watu wengine wasiokuwa
209 Acts 5 33 | waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.~
210 Acts 6 8 | tele, akampa nguvu nyingi hata akawa anatenda miujiza na
211 Acts 7 5 | 5 Mungu hakumpa hata sehemu moja ya nchi hii
212 Acts 7 5 | nchi hii iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia kumpa
213 Acts 7 10 | Farao, mfalme wa Misri, hata Farao akamweka awe mkuu
214 Acts 7 31 | alistaajabu sana kuona jambo hilo hata akasogea karibu ili achungulie;
215 Acts 7 48 | 48 "Hata hivyo, Mungu Mkuu haishi
216 Acts 8 13 | 13 Hata Simoni aliamini; baada ya
217 Acts 8 32 | yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.~
218 Acts 11 3 | na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!~
219 Acts 11 17 | Kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu kumpinga Mungu?"~
220 Acts 12 14 | ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule
221 Acts 13 10 | kilicho cha kweli; hukomi hata mara moja kujaribu kuzipotosha
222 Acts 13 25 | yangu na mimi sistahili hata kuzifungua kamba za viatu
223 Acts 13 27 | yanayosomwa kila Sabato. Hata hivyo, waliyafanya maneno
224 Acts 13 41 | kitu ambacho hamtakiamini hata kama mtu akiwaelezeni."`~
225 Acts 13 46 | 46 Hata hivyo, Paulo na Barnaba
226 Acts 14 1 | Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki
227 Acts 14 17 | 17 Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha
228 Acts 16 14 | Bwana aliufungua moyo wake hata akayapokea yale maneno Paulo
229 Acts 16 18 | anafanya hivyo kwa siku nyingi hata siku moja Paulo alikasirika,
230 Acts 16 37 | wanataka kutufungulia kwa siri! Hata kidogo! Ni lazima wao wenyewe
231 Acts 17 27 | kupapasapapasa, yapate kumfikia. Hata hivyo lakini, Mungu hayuko
232 Acts 17 29 | kuwa kama dhahabu, fedha au hata jiwe lililochongwa na kutiwa
233 Acts 18 17 | Galio hakujali kitendo hicho hata kidogo.~
234 Acts 19 2 | Mtakatifu?" Nao wakamjibu, "La! Hata kusikia kwamba kuna Roho
235 Acts 19 10 | kwa muda wa miaka miwili hata wakazi wote wa Asia, Wayahudi
236 Acts 19 26 | iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.~
237 Acts 19 32 | hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika.
238 Acts 19 32 | ukavurugika. Wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.~
239 Acts 20 20 | 20 Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria hadharani
240 Acts 20 25 | Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona
241 Acts 20 27 | 27 Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio
242 Acts 20 30 | 30 Hata kutoka miongoni mwenu watatokea
243 Acts 20 33 | 33 Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu,
244 Acts 21 13 | ndani kule Yerusalemu, ila hata kufa kwa ajili ya Bwana
245 Acts 21 28 | mahali hapa patakatifu. Hata sasa amewaingiza watu wa
246 Acts 22 4 | 4 Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata
247 Acts 22 29 | kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule mkuu wa jeshi aliogopa
248 Acts 23 10 | Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba
249 Acts 23 15 | yake. Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu."~
250 Acts 25 25 | ametenda chochote kibaya hata astahili kupewa adhabu ya
251 Acts 26 11 | yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji ya
252 Acts 27 9 | mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa
253 Acts 27 20 | iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka
254 Acts 27 22 | ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza
255 Acts 27 34 | kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa
256 Acts 28 5 | kiumbe motoni na hakuumizwa hata kidogo.~
257 Roma 1 26 | amewaacha wafuate tamaa mbaya. Hata wanawake wanabadili matumizi
258 Roma 1 32 | mambo hayo wao wenyewe, bali hata huwapongeza wale wanaofanya
259 Roma 3 4 | 4 Hata kidogo! Mungu hubaki mwaminifu
260 Roma 3 6 | 6 Hata kidogo! Ingekuwa hivyo,
261 Roma 3 9 | bora zaidi kuliko wengine? Hata kidogo! Kwa maana nimekwisha
262 Roma 3 10 | Matakatifu yasemavyo: "Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!~
263 Roma 3 12 | hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.~
264 Roma 3 19 | walio chini ya Sheria hiyo, hata hawawezi kuwa na kisingizio
265 Roma 3 31 | imani kuibatilisha Sheria? Hata kidogo; bali tunaipa Sheria
266 Roma 5 14 | Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi
267 Roma 6 2 | 2 Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi
268 Roma 6 13 | 13 Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu
269 Roma 6 15 | Sheria bali chini ya neema? Hata kidogo!~
270 Roma 7 7 | kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria,
271 Roma 7 13 | kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba,
272 Roma 8 20 | hivyo kwa mapenzi ya Mungu. Hata hivyo yapo matumaini,~
273 Roma 8 23 | hivyo viumbe peke yake, bali hata sisi tulio na huyo Roho,
274 Roma 8 32 | 32 Mungu hakumhurumia hata mwanae wa pekee, bali alimtoa
275 Roma 9 11 | anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa
276 Roma 9 14 | Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!~
277 Roma 9 20 | Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu?
278 Roma 9 27 | Israeli anapaaza sauti: "Hata kama watoto wa Israeli ni
279 Roma 10 20 | 20 Tena Isaya anathubutu hata kusema: "Wale ambao hawakunitafuta
280 Roma 11 1 | Mungu amewakataa watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni
281 Roma 11 11 | je, Wayahudi wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata
282 Roma 11 11 | hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na kosa
283 Roma 11 18 | waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia,
284 Roma 11 35 | aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu
285 Roma 11 36 | yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina.~ ~ ~~ ~
286 Roma 14 4 | 4 Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi
287 Roma 14 15 | hauongozwi na mapendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe
288 1Cor 1 7 | 7 hata hampungukiwi kipaji chochote
289 1Cor 1 26 | wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu;
290 1Cor 1 28 | yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo
291 1Cor 2 6 | 6 Hata hivyo, sisi tunatumia lugha
292 1Cor 2 10 | Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya
293 1Cor 3 2 | hamkuwa tayari kukipokea. Hata sasa hamko tayari.~
294 1Cor 4 15 | 15 Maana hata kama mnao maelfu ya walezi
295 1Cor 5 1 | mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu.
296 1Cor 5 3 | mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo
297 1Cor 5 11 | mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.~
298 1Cor 6 2 | nini hamstahili kuhukumu hata katika mambo madogo?~
299 1Cor 6 3 | kila siku, tutawahukumu hata malaika?~
300 1Cor 6 4 | wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?~
301 1Cor 6 5 | kwenu! Ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye
302 1Cor 6 15 | sehemu ya mwili wa kahaba? Hata kidogo!~
303 1Cor 7 9 | 9 Hata hivyo, kama mtu hawezi kujizuia
304 1Cor 7 15 | 15 Hata hivyo, ikiwa yule asiyeamini
305 1Cor 8 5 | 5 Hata kama viko vitu viitwavyo
306 1Cor 8 5 | duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana
307 1Cor 8 6 | 6 hata hivyo, kwetu sisi yuko Mungu
308 1Cor 9 2 | 2 Hata kama kwa watu wengine mimi
309 1Cor 9 15 | 15 Lakini, mimi sikutumia hata mojawapo ya haki hizo. Na
310 1Cor 10 5 | 5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza
311 1Cor 10 20 | 20 Hata kidogo! Ninachosema ni kwamba
312 1Cor 11 11 | 11 Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke
313 1Cor 11 14 | 14 Hata maumbile yenyewe huonyesha
314 1Cor 11 17 | nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa ninyi hongera
315 1Cor 11 21 | chakula chake mwenyewe, hata hutokea kwamba baadhi yenu
316 1Cor 13 1 | 1 Hata kama nikinena lugha za watu
317 1Cor 13 1 | nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama
318 1Cor 13 2 | naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima,
319 1Cor 14 10 | mbalimbali ulimwenguni, na hakuna hata mojawapo isiyo na maana.~
320 1Cor 14 21 | nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza."`~
321 1Cor 15 8 | Baada ya wote, akanitokea hata mimi, mimi niliyekuwa kama
322 1Cor 15 11 | 11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio
323 1Cor 15 41 | jua, wa mwezi na wa nyota; hata nyota nazo huhitilafiana
324 2Cor 1 8 | zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote
325 2Cor 3 7 | utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze
326 2Cor 4 16 | sababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje
327 2Cor 5 8 | tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie
328 2Cor 5 16 | hatumpimi mtu yeyote kibinadamu. Hata kama kwa wakati mmoja tulimpima
329 2Cor 7 5 | 5 Hata baada ya kufika Makedonia
330 2Cor 7 8 | 8 Maana, hata kama kwa barua ile yangu
331 2Cor 8 2 | furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi,
332 2Cor 8 3 | wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,~
333 2Cor 8 17 | hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe
334 2Cor 8 22 | hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi
335 2Cor 10 8 | 8 Hata kama nimezidi katika kujivuna
336 2Cor 10 8 | kuwajenga na sio wa kubomoa - hata hivyo sijutii hata kidogo.~
337 2Cor 10 8 | kubomoa - hata hivyo sijutii hata kidogo.~
338 2Cor 10 10 | pamoja nasi ni mtu dhaifu, na hata anapoongea maneno yake ni
339 2Cor 11 1 | Laiti mngenivumilia kidogo, hata kama mimi ni mjinga kiasi
340 2Cor 11 14 | 14 Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia
341 2Cor 11 19 | wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!~
342 2Cor 11 20 | 20 Mnamvumilia hata mtu anayewafanya ninyi watumwa,
343 2Cor 11 22 | 22 Je, wao ni Waebrania? Hata mimi. Je, wao ni Waisraeli?
344 2Cor 11 22 | mimi. Je, wao ni Waisraeli? Hata mimi. Wao ni wazawa wa Abrahamu?
345 2Cor 11 22 | Wao ni wazawa wa Abrahamu? Hata mimi.~
346 2Cor 11 23 | ni watumishi wa Kristo? Hata mimi - nanena hayo kiwazimu -
347 2Cor 12 6 | kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa
348 2Cor 12 15 | kutumia nilicho nacho, na hata kujitolea mimi mwenyewe
349 2Cor 13 4 | 4 Maana hata kama alisulubiwa kwa sababu
350 2Cor 13 7 | bali mpate kutenda mema, hata kama sisi tunaonekana kuwa
351 Gala 1 8 | 8 Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika
352 Gala 1 15 | yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita
353 Gala 2 3 | 3 Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni
354 Gala 2 5 | 5 Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Habari
355 Gala 2 13 | 13 Hata ndugu wengine Wayahudi walimuunga
356 Gala 2 17 | anasaidia utendaji wa dhambi? Hata kidogo!~
357 Gala 2 20 | Mwana wa Mungu aliyenipenda hata akayatoa maisha yake kwa
358 Gala 3 21 | inapingana na ahadi za Mungu? Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa
359 Gala 4 9 | wale pepo maskini na dhaifu hata kutaka kuwatumikia tena?~
360 Gala 4 12 | muwe kama mimi, kwa vile hata mimi nimekuwa kama ninyi.
361 Gala 4 14 | 14 Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau
362 Gala 4 15 | kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang`oa macho yenu na
363 Ephe 2 3 | 3 Na hata sisi sote tulikuwa kama
364 Ephe 2 5 | 5 hata, ingawa tulikuwa tumekufa
365 Ephe 2 21 | kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa
366 Ephe 4 29 | 29 Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni
367 Ephe 5 12 | yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.~
368 Colo 2 4 | yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.~
369 1The 2 4 | nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza
370 1The 2 8 | 8 Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha
371 1The 2 16 | 16 Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria
372 1The 4 10 | ndugu tunawaombeni mfanye hata zaidi.~
373 2The 2 4 | au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani
374 2The 2 7 | 7 Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika
375 1Tim 2 15 | 15 Hata hivyo, mwanamke ataokolewa
376 1Tim 5 13 | wakati wao wakizurura nyumba hata nyumba; tena ubaya zaidi
377 1Tim 5 21 | maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu
378 1Tim 5 25 | mema huonekana waziwazi, na hata yale ambayo si dhahiri hayawezi
379 1Tim 6 2 | yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao
380 1Tim 6 10 | wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na
381 2Tim 4 17 | pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe
382 Titus 1 12| 12 Hata mmoja wa manabii wao, ambaye
383 Phil 1 21 | tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.~
384 Hebr 1 5 | Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "
385 Hebr 1 13 | Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "
386 Hebr 2 2 | ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye hakuufuata
387 Hebr 2 6 | Mtu ni nini ee Mungu, hata umfikirie; mwanaadamu ni
388 Hebr 2 6 | umfikirie; mwanaadamu ni nini hata umjali?~
389 Hebr 2 8 | vyote yaani bila kuacha hata kimoja. Hata hivyo, hatuoni
390 Hebr 2 8 | bila kuacha hata kimoja. Hata hivyo, hatuoni bado mtu
391 Hebr 3 12 | mbaya hivyo na asiyeamini hata kujitenga na Mungu aliye
392 Hebr 7 6 | hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya
393 Hebr 7 7 | 7 Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki
394 Hebr 7 13 | lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata
395 Hebr 9 18 | 18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa
396 Hebr 11 11 | 11 Kwa imani hata Sara aliamini kwamba Mungu
397 Hebr 11 17 | ahadi ya Mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa
398 Hebr 11 39 | kwa sababu ya imani yao. Hata hivyo, hawakupokea yale
399 Hebr 12 9 | tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa
400 Hebr 12 17 | 17 Ninyi mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile
401 Hebr 12 20 | Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa
402 Hebr 12 21 | yalionekana ya kutisha mno, hata Mose akasema, "Naogopa na
403 James 2 11| alisema pia "Usiue". Kwa hiyo, hata ikiwa hukuzini lakini umeua,
404 James 2 19| Mungu mmoja? Sawa! Lakini hata pepo huamini hilo, na hutetemeka
405 James 4 12| kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?~
406 James 4 14| 14 Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa
407 1Pet 1 7 | kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika,
408 1Pet 1 12 | Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.~
409 1Pet 2 12 | unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni kwamba
410 1Pet 2 20 | Lakini kama mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu
411 1Pet 3 14 | 14 Lakini, hata kama itawapasa kuteseka
412 2Pet 3 9 | ajili yenu, maana hapendi hata mmoja wenu apotee, bali
413 2Pet 3 18 | Utukufu uwe kwake, sasa na hata milele! Amina.~
414 1Joh 2 8 | 8 Hata hivyo, amri hii ninayowaandikieni
415 1Joh 3 1 | jinsi Baba alivyotupenda mno hata tunaitwa watoto wa Mungu!
416 1Joh 3 20 | 20 Kwa maana, hata kama dhamiri yetu yatuhukumu,
417 1Joh 4 10 | bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka
418 3Joh 1 5 | mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.~
419 3Joh 1 10 | ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka
420 Jude 1 9 | 9 Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya
421 Jude 1 12 | kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa
422 Jude 1 23 | na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa
423 Jude 1 25 | tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina.~
424 Rev 1 7 | mawingu! Kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. Makabila
425 Rev 2 10 | 10 Usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu
426 Rev 2 10 | siku kumi. Muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni
427 Rev 2 13 | hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi
428 Rev 3 8 | ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu,
429 Rev 7 1 | dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi,
430 Rev 8 12 | na ya nyota ikapata pigo; hata mwangaza ukapoteza theluthi
431 Rev 13 13 | akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka
432 Rev 13 15 | ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua
433 Rev 17 8 | awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda
434 Rev 18 13 | kukokotwa, watumwa wao na hata maisha ya watu.~
|