Book, Chapter, Verse
1 Matt 1 22 | Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana
2 Matt 2 8 | Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."~
3 Matt 2 15 | Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa
4 Matt 3 7 | wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, "
5 Matt 3 12 | chombo cha kupuria nafaka, ili aipure nafaka yake; akusanye
6 Matt 3 13 | Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.~
7 Matt 4 1 | alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.~
8 Matt 5 15 | ila huiweka juu ya kinara ili iwaangazie wote waliomo
9 Matt 5 16 | wenu uangaze mbele ya watu, ili wayaone matendo yenu mema,
10 Matt 5 45 | 45 ili mpate kuwa watoto wa Baba
11 Matt 6 2 | katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni,
12 Matt 6 5 | na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni,
13 Matt 6 18 | 18 ili mtu yeyote asijue kwamba
14 Matt 6 25 | na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi
15 Matt 8 17 | 17 Alifanya hivyo ili yale aliyosema nabii Isaya
16 Matt 11 21 | kujipaka majivu zamani, ili kuonyesha kwamba wametubu.~
17 Matt 12 17 | 17 ili yale aliyosema nabii Isaya
18 Matt 13 35 | 35 ili jambo lililonenwa na nabii
19 Matt 14 15 | zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie
20 Matt 18 16 | mmoja au wawili pamoja nawe, ili kwa mawaidha ya mashahidi
21 Matt 18 25 | vyote alivyokuwa navyo, ili deni lilipwe.~
22 Matt 19 13 | wakamletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono na kuwaombea.
23 Matt 19 16 | nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?"~
24 Matt 20 19 | watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko
25 Matt 21 4 | 4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii
26 Matt 21 34 | wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno
27 Matt 21 38 | ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!`~
28 Matt 23 5 | hufanya matendo yao yote ili watu wawaone. Huvaa tepe
29 Matt 23 15 | Mnasafiri ~baharini na nchi kavu ili kumpata mtu mmoja afuate
30 Matt 24 9 | 9 "Kisha watawatoeni ili mteswe na kuuawa. Mataifa
31 Matt 24 20 | 20 Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku
32 Matt 26 2 | na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe."~
33 Matt 26 12 | mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.~
34 Matt 26 28 | kwa ajili ya watu wengi ili kuwaondolea dhambi.~
35 Matt 26 41 | 41 Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu.
36 Matt 26 56 | Lakini haya yote yametendeka ili Maandiko ya manabii yatimie."
37 Matt 26 58 | ndani pamoja na walinzi ili apate kuona mambo yatakavyokuwa.~
38 Matt 27 64 | lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba
39 Mark 1 4 | watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao.~
40 Mark 3 2 | mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.~
41 Mark 3 9 | wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.~
42 Mark 3 10 | wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.~
43 Mark 4 12 | 12 ili, `Watazame kweli, lakini
44 Mark 9 22 | amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi,
45 Mark 10 13 | walimletea Yesu watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi
46 Mark 10 17 | Mwalimu mwema, nifanyeje ili niupate uzima wa milele?"~
47 Mark 10 48 | 48 Watu wengi walimkemea ili anyamaze, lakini yeye akazidi
48 Mark 11 13 | majani mengi. Akauendea ili aone kama ulikuwa na tunda
49 Mark 11 25 | mtu aliyewakosea chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni
50 Mark 12 7 | ndiye mrithi, basi, tumuue ili urithi wake uwe wetu!`~
51 Mark 12 13 | kikundi cha Herode walitumwa ili wamtege Yesu kwa maneno
52 Mark 13 9 | wafalme kwa sababu yangu ili mpate kunishuhudia kwao.~
53 Mark 13 18 | 18 Ombeni ili mambo hayo yasitukie nyakati
54 Mark 13 22 | watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa Mungu,
55 Mark 13 36 | 36 Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta
56 Mark 14 10 | alienda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.~
57 Mark 14 38 | akawaambia, "Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu.
58 Mark 15 32 | Basi, na ashuke msalabani ili tuone na kuamini." Hata
59 Mark 16 1 | Yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.~
60 Luke 1 4 | 4 ili nawe uweze kujionea mwenyewe
61 Luke 1 9 | desturi, kuingia hekaluni ili afukize ubani.~
62 Luke 2 22 | wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.~
63 Luke 2 24 | 24 Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili
64 Luke 2 27 | walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa
65 Luke 3 3 | watu watubu na kubatizwa ili Mungu awaondolee dhambi.~
66 Luke 3 7 | anawaambia watu wengi waliofika ili awabatize: "Enyi kizazi
67 Luke 3 12 | watoza ushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, "
68 Luke 4 16 | desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu
69 Luke 4 29 | kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini.~
70 Luke 4 42 | alipokuwa, wakajaribu kumzuia ili asiondoke kwao.~
71 Luke 5 15 | makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa
72 Luke 5 32 | wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu."~
73 Luke 6 34 | huwakopesha wenye dhambi wenzao ili warudishiwe kima kilekile!~
74 Luke 8 10 | hao huambiwa kwa mifano, ili wakitazama wasiweze kuona,
75 Luke 8 16 | Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate
76 Luke 9 45 | lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa
77 Luke 9 52 | kijiji kimoja cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.~
78 Luke 10 25 | Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?"~
79 Luke 11 33 | bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate
80 Luke 11 54 | 54 ili wapate kumnasa kwa maneno
81 Luke 12 22 | ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi
82 Luke 12 36 | wao arudi kutoka arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha
83 Luke 12 42 | atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?~
84 Luke 12 58 | naye mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele
85 Luke 14 10 | keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji wako atakapokuja
86 Luke 14 23 | uwashurutishe watu kuingia ili nyumba yangu ijae.~
87 Luke 14 28 | kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha
88 Luke 16 4 | Naam, najua la kufanya, ili nitakapofukuzwa kazi, watu
89 Luke 16 9 | kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni, mweze
90 Luke 16 26 | ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka kuja kwenu kutoka
91 Luke 16 28 | maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku
92 Luke 18 15 | walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi
93 Luke 18 18 | Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uzima wa
94 Luke 19 4 | mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa
95 Luke 19 12 | safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme,
96 Luke 19 15 | aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata
97 Luke 20 14 | ndiye mrithi. Basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu.`~
98 Luke 21 22 | hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.~
99 Luke 21 36 | waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita
100 Luke 22 8 | Nendeni mkatuandalie karamu ili tupate kula Pasaka."~
101 Luke 22 32 | Lakini mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe
102 Luke 22 43 | kutoka mbinguni, akamtokea ili kumtia moyo.~
103 Luke 24 45 | akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko
104 John 1 7 | juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote
105 John 1 22 | yako mwenyewe? Tuambie, ili tuwapelekee jibu wale waliotutuma."~
106 John 1 31 | nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua."~
107 John 3 15 | 15 ili kila anayemwamini awe na
108 John 3 16 | akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee,
109 John 3 17 | hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali
110 John 3 21 | ukweli huja kwenye mwanga, ili matendo yake yaonekane yametendwa
111 John 3 28 | Kristo, lakini nimetumwa ili nimtangulie!`~
112 John 4 15 | Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije
113 John 5 24 | 23 ili watu wote wamheshimu Mwana
114 John 5 35 | lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.~
115 John 5 41 | ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima. ic~
116 John 6 5 | Filipo, "Tununue wapi mikate ili watu hawa wapate kula?"~
117 John 6 17 | 17 wakapanda mashua ili wavuke kwenda Kafarnaumu.
118 John 6 28 | wakamwuliza, "Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za
119 John 6 30 | wakamwambia, "Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini?
120 John 7 3 | Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi
121 John 8 59 | 59 Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha,
122 John 9 3 | wake; ila alizaliwa kipofu ili nguvu ya Mungu ionekane
123 John 9 36 | Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini."~
124 John 10 17 | kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.~
125 John 10 31 | Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.~
126 John 11 4 | kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu
127 John 11 15 | yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini. Haya, twendeni
128 John 11 42 | ya watu hawa waliopo hapa ili wapate kuamini kwamba wewe
129 John 11 55 | wengi walikwenda Yerusalemu ili wajitakase kabla ya sikukuu
130 John 12 27 | Lakini ndiyo maana nimekuja - ili nipite katika saa hii.~
131 John 12 35 | Tembeeni mngali mnao huo mwanga ili giza lisiwapate; maana atembeaye
132 John 12 36 | mnao huo mwanga uaminini ili mpate kuwa watu wa mwanga."
133 John 12 40 | wasinigeukie, asema Bwana, ili nipate kuwaponya."~
134 John 12 46 | nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki
135 John 13 15 | 15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.~
136 John 13 19 | sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini
137 John 14 3 | na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi.~
138 John 14 13 | kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.~
139 John 14 29 | sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini.~
140 John 15 11 | Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani
141 John 16 4 | nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke
142 John 16 24 | langu. Ombeni nanyi mtapata ili furaha yenu ikamilike.~
143 John 16 33 | Nimewaambieni mambo haya ili mpate kuwa na amani katika
144 John 17 1 | imefika! Mtukuze Mwanao ili naye Mwana apate kukutukuza.~
145 John 17 2 | mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote
146 John 17 11 | tafadhali uwaweke salama ili wawe kitu kimoja kama sisi
147 John 17 12 | yule aliyelazimika kupotea ili Maandiko Matakatifu yapate
148 John 17 13 | mambo haya ulimwenguni, ili waweze kushiriki kikamilifu
149 John 17 19 | mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia wafanywe wakfu katika
150 John 17 21 | 21 Naomba ili wote wawe kitu kimoja. Baba!
151 John 17 22 | utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi
152 John 17 23 | wakamilishwe na kuwa kitu kimoja, ili ulimwengu upate kujua kwamba
153 John 17 24 | pamoja nami pale nilipo, ili wauone utukufu wangu ulionipa;
154 John 17 26 | nitaendelea kufanya hivyo, ili upendo ulio nao kwangu uwe
155 John 18 9 | 9 Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: "
156 John 18 28 | ikulu. Ilikuwa alfajiri, nao ili waweze kula Pasaka, hawakuingia
157 John 19 16 | akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua
158 John 19 24 | Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu
159 John 19 28 | yalikuwa yametimia; na, ili Maandiko Matakatifu yapate
160 John 19 35 | hilo ametoa habari zake ili nanyi mpate kuamini. Na
161 John 19 36 | 36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: "
162 John 20 31 | Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu
163 Acts 1 25 | 25 ili achukue nafasi hii ya huduma
164 Acts 2 38 | kwa jina la Yesu Kristo ili mpate kuondolewa dhambi
165 Acts 3 2 | kila siku na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale
166 Acts 3 19 | tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.~
167 Acts 3 20 | 20 Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika
168 Acts 4 17 | 17 Lakini ili tupate kuzuia jambo hili
169 Acts 4 26 | watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo
170 Acts 4 28 | 28 Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia
171 Acts 5 15 | juu ya vitanda na mikeka ili Petro akipita, walau kivuli
172 Acts 5 31 | akawa kiongozi na Mwokozi, ili awawezeshe watu wa Israeli
173 Acts 6 2 | kulihubiri neno la Mungu ili tushughulikie ugawaji wa
174 Acts 6 9 | Lakini watu fulani wakatokea ili wabishane na Stefano. Baadhi
175 Acts 7 7 | nitawatoa katika nchi hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa.`~
176 Acts 7 19 | nje watoto wao wachanga ili wafe.~
177 Acts 7 31 | hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia
178 Acts 8 15 | waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;~
179 Acts 8 19 | Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono,
180 Acts 9 2 | ya Kiyahudi kule Damasko, ili akikuta huko wanaume au
181 Acts 9 12 | ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena."~
182 Acts 9 17 | njiani kuja hapa, amenituma ili upate kuona tena na kujazwa
183 Acts 9 24 | milango ya kuingia mjini ili wapate kumwua.~
184 Acts 10 9 | nyumba yapata saa sita mchana ili kusali.~
185 Acts 10 22 | akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho
186 Acts 11 29 | uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa
187 Acts 13 7 | aliwaita Barnaba na Saulo ili asikie neno la Mungu.~
188 Acts 13 8 | Kigiriki), alijaribu kuwapinga ili kumzuia huyo mkuu wa kisiwa
189 Acts 13 15 | jambo la kuwaambia watu ili kuwapa moyo, semeni."~
190 Acts 14 2 | watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu.~
191 Acts 14 22 | tupitie katika taabu nyingi ili tuingie katika ufalme wa
192 Acts 15 7 | niihubiri Habari Njema, ili watu wa mataifa wapate kusikia
193 Acts 16 36 | Mahakimu wametuma ujumbe ili mfunguliwe. Sasa mnaweza
194 Acts 17 5 | kuwapata humo Paulo na Sila ili wawalete hadharani.~
195 Acts 17 11 | Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema
196 Acts 17 27 | 27 Alifanya hivyo, ili mataifa hayo yapate kumfuata,
197 Acts 20 7 | Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile Paulo
198 Acts 20 16 | meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia.
199 Acts 20 30 | watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya
200 Acts 20 34 | kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji yangu
201 Acts 22 5 | Damasko. Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao
202 Acts 22 5 | wamefungwa mpaka Yerusalemu ili waadhibiwe.~
203 Acts 22 24 | akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi
204 Acts 22 25 | Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza
205 Acts 23 3 | chokaa! Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku
206 Acts 23 15 | ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia
207 Acts 24 17 | kadhaa, nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu
208 Acts 25 13 | Bernike walifika Kaisarea ili kutoa heshima zao kwa Festo.~
209 Acts 25 26 | mbele yako mfalme Agripa, ili baada ya kumchunguza, niweze
210 Acts 26 16 | simama wima. Nimekutokea ili nikuweke rasmi kuwa mtumishi
211 Acts 26 18 | Shetani, wamgeukie Mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa
212 Acts 26 23 | kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa
213 Acts 27 34 | chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi.
214 Roma 1 5 | nimepewa neema ya kuwa mtume, ili kwa ajili yake niwaongoze
215 Roma 1 11 | ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi
216 Roma 3 8 | na kusema: tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine
217 Roma 3 25 | yao kwake. Alifanya hivyo ili apate kuonyesha kwamba yeye
218 Roma 4 25 | ya dhambi zetu, akafufuka ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu
219 Roma 6 1 | twendelee kubaki katika dhambi ili neema ya Mungu iongezeke?~
220 Roma 6 4 | tukazikwa pamoja naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa
221 Roma 6 6 | ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe,
222 Roma 7 4 | aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema
223 Roma 7 13 | Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni
224 Roma 8 3 | yetu sisi wenye dhambi, ili aikabili dhambi, na kwa
225 Roma 8 29 | wapate kufanana na Mwanae, ili Mwana awe wa kwanza miongoni
226 Roma 9 11 | 11 Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao
227 Roma 9 17 | Farao: "Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu
228 Roma 10 4 | Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu anayeamini akubaliwe
229 Roma 11 11 | watu wa mataifa mengine, ili Wayahudi wapate kuwaonea
230 Roma 11 31 | Wayahudi wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma
231 Roma 11 32 | watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote.~
232 Roma 14 9 | Kristo alikufa, akafufuka ili wapate kuwa Bwana wa wazima
233 Roma 15 2 | kumpendeza jirani yake kwa wema ili huyo apate kujijenga katika
234 Roma 15 4 | ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja
235 Roma 15 6 | 6 ili ninyi nyote, kwa nia moja
236 Roma 15 9 | 9 ili nao watu wa mataifa mengine
237 Roma 15 16 | kuihubiri Habari Njema ya Mungu ili watu wa mataifa mengine
238 Roma 15 18 | amekifanya kwa kunitumia mimi ili watu wa mataifa wapate kutii.
239 Roma 16 26 | umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.~
240 1Cor 1 27 | ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima;
241 1Cor 1 27 | ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.~
242 1Cor 1 28 | ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali
243 1Cor 2 12 | tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa
244 1Cor 4 8 | mngekuwa kweli watawala, ili nasi pia tuweze kutawala
245 1Cor 5 5 | mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na
246 1Cor 5 7 | mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa
247 1Cor 5 10 | wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu
248 1Cor 7 5 | kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali.
249 1Cor 7 5 | Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije akawajaribu
250 1Cor 9 12 | tumestahimili kila kitu ili tusiiwekee kizuizi chochote
251 1Cor 9 19 | nimejifanya mtumwa wa kila mtu ili nimpatie Kristo watu wengi
252 1Cor 9 20 | Wayahudi nimeishi kama Myahudi ili niwapate Wayahudi; yaani,
253 1Cor 9 20 | nimejiweka chini ya Sheria kwao, ili niwapate hao walio chini
254 1Cor 9 21 | kama wao, nje ya Sheria, ili niwapate hao walio nje ya
255 1Cor 9 22 | dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu.
256 1Cor 9 22 | Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao
257 1Cor 9 25 | nidhamu kali; hufanya hivyo ili wajipatie taji iharibikayo!
258 1Cor 10 11 | wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho
259 1Cor 11 15 | nywele zake ndefu amepewa ili zimfunike.~
260 1Cor 11 19 | tofauti ziweko miongoni mwenu, ili wale walio thabiti wapate
261 1Cor 11 32 | tunafunzwa tuwe na nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja
262 1Cor 11 34 | na ale nyumbani kwake, ili kukutana kwenu kusisababishe
263 1Cor 12 25 | 25 ili kusiweko na utengano katika
264 1Cor 14 5 | kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.~
265 1Cor 14 19 | maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko
266 1Cor 14 31 | mmoja baada ya mwingine, ili nyote mpate kujifunza na
267 1Cor 15 28 | vyote chini ya Utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote.~
268 1Cor 16 2 | fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe na haja ya kufanya
269 1Cor 16 6 | nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate kunisaidia niendelee
270 1Cor 16 11 | na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana
271 2Cor 1 4 | katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine
272 2Cor 1 9 | watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu
273 2Cor 1 15 | nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.~
274 2Cor 1 16 | na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari
275 2Cor 2 7 | kumsamehe mtu huyo na kumpa moyo ili asije akahuzunika mno na
276 2Cor 2 11 | 11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye;
277 2Cor 3 13 | kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone
278 2Cor 4 7 | kama vyombo vya udongo, ili ionekane wazi kwamba nguvu
279 2Cor 4 10 | mwilini mwetu kifo cha Kristo, ili uhai wake Yesu pia udhihirike
280 2Cor 4 11 | daima kwa ajili ya Yesu, ili uzima wake Yesu udhihirike
281 2Cor 4 15 | haya ni kwa faida yenu; ili kama vile neema ya Mungu
282 2Cor 5 3 | tunapaswa kuvikwa namna hiyo ili tusije tukasimama mbele
283 2Cor 5 4 | kuvalishwa ule usiokufa, ili kile chenye kufa kimezwe
284 2Cor 5 10 | kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apokee anayostahili
285 2Cor 5 12 | za kuona fahari juu yenu, ili mpate kuwajibu wale wanaojivunia
286 2Cor 5 15 | kwa ajili ya watu wote, ili wanaoishi wasiishi kwa ajili
287 2Cor 5 21 | na dhambi kwa ajili yetu, ili sisi kwa kuungana naye,
288 2Cor 8 8 | walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo
289 2Cor 8 9 | maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake,
290 2Cor 8 14 | kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa
291 2Cor 9 3 | nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane
292 2Cor 9 11 | ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu
293 2Cor 11 7 | mshahara; nilijinyenyekeza ili nipate kuwakweza ninyi.
294 2Cor 11 12 | kama ninavyofanya sasa, ili nisiwape nafasi wale wanaotafuta
295 2Cor 11 16 | nichukueni kama mpumbavu ili nami nipate kuwa na cha
296 2Cor 11 32 | akiulinda mji wa Damasko ili apate kunikamata.~
297 2Cor 12 8 | mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.~
298 2Cor 12 9 | kujivunia udhaifu wangu ili uwezo wake Kristo ukae juu
299 2Cor 13 10 | barua hii nikiwa mbali, ili nitakapofika kwenu nisilazimike
300 Gala 1 4 | mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu
301 Gala 2 4 | kuungana na Kristo Yesu, ili wapate kutufanya watumwa.~
302 Gala 2 5 | Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Habari Njema ubaki
303 Gala 2 16 | tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu
304 Gala 3 14 | mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule
305 Gala 3 19 | Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu
306 Gala 3 24 | mpaka alipokuja Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe
307 Gala 4 5 | waliokuwa chini ya Sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu.~
308 Gala 4 17 | Wanataka kuwatenganisha nami ili ninyi muwahangaikie wao.~
309 Ephe 1 4 | katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila
310 Ephe 1 13 | mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni
311 Ephe 1 17 | 17 ili Mungu wa Bwana wetu Yesu
312 Ephe 2 15 | amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili
313 Ephe 3 8 | lakini amenijalia neema yake, ili niwahubirie watu wa mataifa
314 Ephe 4 12 | kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,~
315 Ephe 4 14 | wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa
316 Ephe 4 29 | hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji
317 Ephe 5 26 | 26 Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu
318 Ephe 6 6 | tu wakati wanapowatazama ili mjipendekeze kwao, bali
319 Ephe 6 13 | hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika muweze
320 Ephe 6 19 | 19 Niombeeni nami pia ili niongeapo Mungu anijalie
321 Ephe 6 20 | kifungoni. Ombeni, basi, ili niweze kuwa hodari katika
322 Colo 1 11 | nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili mweze kustahimili kila kitu
323 Colo 1 18 | aliyefufuliwa kutoka wafu, ili awe na nafasi ya kwanza
324 Colo 1 28 | kuwafundisha wote kwa hekima yote, ili tuweze kumleta kila mmoja
325 Colo 2 2 | kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi
326 Colo 3 10 | wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.~
327 Colo 4 3 | Vilevile, mtuombee sisi pia ili Mungu atupe fursa ya kuuhubiri
328 Colo 4 4 | 4 Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa
329 Colo 4 8 | 8 Ndiyo maana namtuma, ili aichangamshe mioyo yenu
330 Colo 4 12 | anawaombeeni ninyi kwa bidii ili mpate kusimama imara, mkomae
331 1The 2 12 | tuliwafarijini na kuwahimiza ili mpate kuishi maisha yampendezayo
332 1The 3 2 | Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,~
333 1The 3 10 | mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni
334 1The 3 10 | ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote
335 1The 4 1 | namna mnavyopaswa kuishi ili kumpendeza Mungu. Na kweli
336 1The 4 13 | wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama
337 1The 5 9 | 9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu
338 1The 5 10 | alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe
339 2The 2 10 | hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.~
340 2The 2 17 | mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema
341 2The 3 1 | Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea
342 2The 3 2 | 2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu
343 2The 3 8 | na taabu mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote
344 2The 3 12 | nidhamu na kufanya kazi ili wajipatie maslahi yao wenyewe.~
345 1Tim 1 16 | Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu
346 1Tim 1 20 | nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane
347 1Tim 2 2 | wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya
348 1Tim 3 7 | watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka
349 1Tim 4 3 | aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao
350 1Tim 5 14 | watoto na kutunza nyumba zao ili adui zetu wasipewe nafasi
351 1Tim 5 16 | kuliachilia kanisa mzigo huo, ili kanisa liweze kuwatunza
352 1Tim 5 20 | dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.~
353 1Tim 6 1 | wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu
354 2Tim 1 1 | niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uzima tulioahidiwa
355 2Tim 1 4 | usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha. ~
356 2Tim 2 4 | shughuli za maisha ya kawaida ili aweze kumpendeza mkuu wa
357 2Tim 2 10 | ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi
358 2Tim 3 17 | 17 ili mtu anayemtumikia Mungu
359 Titus 1 5 | 5 Nilikuacha Krete ili urekebishe yale mambo ambayo
360 Titus 1 13| unapaswa kuwakaripia vikali, ili wawe na imani kamilifu.~
361 Titus 2 4 | 4 ili wawazoeze kina mama vijana
362 Titus 2 5 | nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.~
363 Titus 2 8 | yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata
364 Titus 2 10| wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie
365 Titus 2 14| mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika
366 Titus 3 7 | 7 ili kwa neema yake tupate kukubaliwa
367 Titus 3 8 | uyatilie mkazo mambo haya, ili wale wanaomwamini Mungu,
368 Titus 3 13| mwana sheria Zena na Apolo ili waweze kuanza ziara zao
369 Titus 3 14| wao katika kutenda mema ili wasaidie katika mahitaji
370 Phil 1 6 | 6 Naomba ili imani hiyo unayoshiriki
371 Hebr 2 1 | zaidi yote tuliyosikia, ili tusije tukapotoshwa.~
372 Hebr 2 9 | chini zaidi kuliko malaika, ili kwa neema ya Mungu afe kwa
373 Hebr 2 10 | kabisa kwa njia ya mateso, ili awalete watoto wengi waushiriki
374 Hebr 2 14 | ubinadamu wao. Alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize
375 Hebr 2 17 | ndugu zake kwa kila namna, ili awe Kuhani Mkuu wao aliye
376 Hebr 2 17 | katika kumtumikia Mungu, ili dhambi za watu ziondolewe.~
377 Hebr 3 13 | mnapaswa kusaidiana daima, ili mtu yeyote miongoni mwenu
378 Hebr 4 1 | alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa
379 Hebr 4 11 | tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni
380 Hebr 4 16 | Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema
381 Hebr 6 11 | bidii hiyohiyo mpaka mwisho, ili yale mnayotumainia yapate
382 Hebr 9 14 | na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia Mungu
383 Hebr 9 15 | aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa na Mungu
384 Hebr 9 25 | lakini Kristo hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi,~
385 Hebr 10 36 | Mnahitaji kuwa na uvumilivu, ili mweze kufanya anayotaka
386 Hebr 11 28 | inyunyizwe juu ya milango, ili yule Malaika Mwangamizi
387 Hebr 11 35 | kufunguliwa, wakateswa mpaka kufa ili wapate kufufuliwa na kuingia
388 Hebr 12 9 | zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.~
389 Hebr 12 13 | katika njia iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe,
390 Hebr 12 15 | ya Mungu. Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati
391 Hebr 12 16 | 16 Jihadharini ili miongoni mwenu pasiwe na
392 Hebr 12 27 | vitatetemeshwa na kutoweka ili vibaki vile visivyotetemeshwa.~
393 Hebr 13 19 | 19 Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi
394 Hebr 13 21 | awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze mapenzi yake;
395 James 1 18| kwa neno lake la ukweli, ili tuwe namna ya matunda ya
396 James 2 5 | maskini katika ulimwengu huu ili wapate kuwa matajiri katika
397 James 3 3 | farasi lijamu kinywani mwao ili watutii; na kwa njia hiyo
398 James 4 3 | mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa
399 James 5 16| dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. Sala ya
400 1Pet 2 2 | maziwa halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua
401 1Pet 2 12 | unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni
402 1Pet 2 21 | yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo wake.~
403 1Pet 3 1 | ya mamlaka ya waume zenu, ili kama wako waume wowote wasioamini
404 1Pet 3 18 | mwema kwa ajili ya waovu, ili awapeleke ninyi kwa Mungu.
405 1Pet 4 7 | na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali.~
406 1Pet 4 11 | nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu
407 1Pet 4 13 | mnashiriki mateso ya Kristo ili mweze kuwa na furaha tele
408 1Pet 5 6 | mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.~
409 2Pet 1 3 | mambo yote tunayohitaji, ili tuishi maisha ya kumcha
410 2Pet 1 4 | thamani ambazo alituahidia, ili kwa zawadi hizo mpate kuziepa
411 1Joh 1 3 | tunachowatangazieni ninyi pia ili nanyi mpate kushirikiana
412 1Joh 4 9 | Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.~
413 1Joh 5 20 | Mungu amekuja, akatupa elimu ili tumjue Mungu wa kweli; tuishi
414 2Joh 1 8 | jihadharini ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia,
415 2Joh 1 12 | kuzungumza nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ikamilike.~
416 3Joh 1 8 | tunapaswa kuwasaidia watu hawa, ili nasi tupate kushiriki katika
417 Rev 1 1 | alimpa Kristo ufunuo huu ili awaonyeshe watumishi wake
418 Rev 2 23 | Tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa yote yatambue kwamba
419 Rev 3 11 | basi, ulicho nacho sasa, ili usije ukanyang`anywa na
420 Rev 7 1 | wakishika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo:
421 Rev 11 3 | nitawatuma mashahidi wangu wawili ili watangaze ujumbe wa Mungu
422 Rev 12 15 | yakamfuata huyo mama nyuma ili yamchukue.~
423 Rev 16 15 | akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko
424 Rev 18 4 | Watu wangu, ondokeni kwake, ili msishirikiane naye katika
425 Rev 20 3 | kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha
|