110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu
Book, Chapter, Verse
1 Matt 22 46 | fr 22:44 ~\f Taz Zab 110:1 ~~~ ~
2 Matt 23 39 | ie ~\fr 23:39 \f Taz Zab 118:26 ~~~~ ~
3 Luke 1 76 | 76 Nawe mwanangu, utaitwa,
4 Luke 1 77 | 77 kuwatangazia watu kwamba
5 Luke 1 78 | 78 Mungu wetu ni mpole na mwenye
6 Luke 1 79 | 79 na kuwaangazia wote wanaokaa
7 Luke 1 80 | 80 Mtoto akakua, akapata nguvu
8 Matt 26 39 | yangu, kama inawezekana, aacha kikombe*fo* hiki cha mateso
9 Acts 25 21 | alikata rufani, akaomba aachwe kizuizini mpaka uamuzi wa
10 Rev 4 6 | angavu kama jiwe linga`aalo sana. Katika pande zote
11 Hebr 11 6 | anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba
12 Acts 16 3 | 3 Paulo alitaka Timotheo aandamane naye safarini, kwa hiyo
13 Rev 9 11 | jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni,
14 Luke 1 5 | Zakaria, wa kikundi cha Abia. Mke wake alikuwa anaitwa
15 Mark 2 26 | hili lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani Mkuu. Na
16 Luke 3 1 | alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,~
17 Luke 16 24 | huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika
18 John 19 1 | Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.~
19 Acts 7 31 | hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya
20 Acts | Acts~
21 Matt 20 19 | watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa;
22 2Tim 3 12 | kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.~
23 Luke 3 28 | mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana
24 1Joh 5 17 | 17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi
25 Acts 27 2 | 2 Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia
26 Luke 3 33 | mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa
27 Acts 27 27 | na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane
28 1Cor 14 26 | lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa
29 Ephe 4 6 | ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko
30 Luke 7 4 | wakasema: "Huyu anastahili afanyiwe jambo hilo,~
31 Phil 1 2 | nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.~
32 Luke 1 43 | hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?~
33 2Cor 10 7 | ni wa Kristo? Sawa! Basi, afikirie vilevile kwamba sisi pia
34 John 20 9 | yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).~
35 Luke 1 9 | desturi, kuingia hekaluni ili afukize ubani.~
36 Roma 12 7 | kipaji cha kufundisha na afundishe.~
37 1Cor 11 6 | kunyolewa; basi, afadhali afunike kichwa chake.~
38 Acts 3 19 | tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.~
39 Acts 21 1 | 1 Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda
40 Mark 15 29 | vichwa vyao na kusema, "Aha! Wewe mwenye kuvunja Hekalu
41 John 16 29 | wanafunzi wake wakamwambia, "Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa
42 Matt 20 21 | Huyo mama akamwambia, "Ahidi kwamba katika Ufalme wako,
43 2Cor 5 21 | lakini Mungu alimfanya ahusike na dhambi kwa ajili yetu,
44 Colo 4 8 | Ndiyo maana namtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni
45 Luke 15 8 | atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa
46 2The 2 17 | 17 aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni
47 Ephe 1 18 | 18 Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona
48 2Tim 1 16 | 16 Bwana aihurumie jamaa ya Onesiforo, kwa
49 Roma 8 3 | yetu sisi wenye dhambi, ili aikabili dhambi, na kwa mwili huo
50 1Cor 14 26 | Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho,
51 John 3 23 | alikuwa akibatiza watu huko Ainoni, karibu na Salemu, maana
52 2The 3 5 | 5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo
53 Luke 15 8 | kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.~
54 1Cor 7 17 | Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa
55 1Cor 7 39 | mumewe kwa muda wote mumewe aishipo. Lakini mumewe akifa, mama
56 1Pet 4 6 | yao ya kiroho waishi kama aishivyo Mungu.~
57 Matt 24 47 | atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.~
58 Luke 5 3 | Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na
59 Rev 14 6 | Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani,
60 Colo 4 17 | 17 Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa
61 Acts 7 17 | Wakati ulipotimia Mungu aitimize ahadi aliyompa Abrahamu,
62 Matt 4 1 | Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.~
63 1The 5 2 | Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.~
64 Luke 6 48 | 48 Huyo anafanana na mtu ajengaye nyumba, ambaye amechimba
65 1Cor 11 28 | 28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale
66 1Pet 3 11 | 11 Na ajiepushe na uovu, atende mema, atafute
67 1Cor 10 12 | Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.~
68 Luke 23 35 | Amewaokoa wengine; sasa na ajiokoe mwenyewe, kama yeye ndiye
69 Ephe 5 27 | 27 kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na
70 Gala 6 1 | na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa
71 Hebr 9 25 | Kristo hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi,~
72 Acts 19 33 | Wayahudi walimfanya Aleksanda ajitokeze mbele, baadhi ya watu katika
73 Acts 1 21 | ni lazima mtu mwingine ajiunge nasi kama shahidi wa ufufuo
74 1Cor 1 31 | kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana."~ ~ ~~ ~
75 John 6 56 | wangu na kunywa damu yangu, akaa ndani yangu, nami nakaa
76 John 20 8 | akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.~
77 Matt 14 7 | 7 hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana
78 Luke 14 16 | mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi.~
79 Acts 16 23 | ndani, na askari wa gereza akaamriwa kuwaweka chini ya ulinzi
80 Rev 10 6 | 6 akaapa kwa jina la Mungu aishiye
81 Matt 21 29 | Sitaki!` Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.~
82 Acts 11 28 | alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa
83 Mark 14 72 | utanikana mara tatu." Petro akabubujika machozi.~ ~ ~~ ~
84 Mark 6 22 | binti yake Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode
85 John 10 39 | Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.~
86 Mark 15 36 | 36 Mtu mmoja akakimbia, akachovya sifongo katika siki, akaiweka
87 Luke 20 10 | wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba
88 Matt 15 15 | 15 Petro akadakia, "Tufafanulie huo mfano."~
89 2Tim 1 10 | kwa njia ya Habari Njema akadhihirisha uzima usio kufa. ~
90 Luke 14 28 | kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama
91 John 9 6 | hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu
92 1Pet 3 18 | Aliuawa kimwili lakini akafanywa hai kiroho;~
93 2Cor 5 15 | ajili yake yeye aliyekufa, akafufuliwa kwa ajili yao.~
94 Acts 9 40 | akasema, "Tabitha, amka" Naye akafumbua macho yake na alipomwona
95 Acts 24 2 | Paulo aliitwa na Tertulo akafungua mashtaka hivi: "Mheshimiwa
96 1Pet 1 20 | kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa
97 Mark 9 20 | naye mtoto akaanguka chini, akagaagaa na kutoka povu kinywani.
98 Matt 2 23 | 23 akahamia katika mji uitwao Nazareti.
99 Rev 20 13 | waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.~
100 Mark 14 52 | Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.~
101 Roma 8 3 | dhambi, na kwa mwili huo akaiangamiza dhambi.~
102 Luke 7 38 | Yesu kwa nywele zake. Kisha akaibusu na kuipaka yale marashi.~
103 Matt 13 33 | chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga pishi tatu, hata
104 Matt 27 48 | akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu
105 Acts 7 13 | kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu jamaa ya Yosefu.~
106 2Pet 2 6 | akaiteketeza kwa moto, akaifanya iwe mfano wa mambo yatakayowapata
107 Acts 13 8 | huyo mkuu wa kisiwa asije akaigeukia imani ya Kikristo.~
108 Mark 15 23 | na manemane, lakini yeye akaikataa.~
109 1Cor 16 17 | kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo
110 Rev 13 12 | huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo
111 Matt 13 46 | akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.~
112 Luke 24 12 | Alipoinama kuchungulia ndani, akaiona tu ile sanda. Akarudi nyumbani
113 Matt 13 31 | haradali aliyotwaa mtu mmoja, akaipanda katika shamba lake.~
114 Luke 7 38 | Yesu miguuni. Huyo mwanamke akaipangusa miguu ya Yesu kwa nywele
115 2Pet 2 6 | miji ya Sodoma na Gomora, akaiteketeza kwa moto, akaifanya iwe
116 Acts 9 10 | maono, "Anania!" Anania akaitika, "Niko hapa, Bwana."~
117 Luke 23 13 | 13 Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu,
118 Hebr 11 11 | hutimiza ahadi zake, kwa hiyo akajaliwa kuchukua mimba ingawaje
119 Acts 7 26 | Waisraeli wawili wakipigana, akajaribu kuwapatanisha, akisema: `
120 Acts 2 43 | ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu.~
121 John 5 19 | Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu.~
122 Acts 8 40 | 40 Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika
123 Matt 27 5 | Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga.~
124 Acts 5 36 | mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana na watu
125 Luke 18 4 | mjane; lakini, mwishowe akajisemea: `Ingawa mimi simchi Mungu
126 Mark 5 29 | chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa
127 Acts 26 1 | Paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi:~
128 Ephe 2 9 | yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.~
129 Acts 8 27 | 27 Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari.
130 Acts 5 2 | mkewe akiwa anajua, Anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata
131 John 6 15 | 15 Yesu akajua ya kuwa watu walitaka kumchukua
132 Matt 27 3 | wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani
133 2Pet 2 16 | 16 akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake.
134 Matt 22 7 | 7 Yule mfalme akakasirika, akawatuma askari wake wakawaangamize ~
135 Mark 8 25 | tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona
136 Luke 6 12 | alikwenda mlimani kusali, akakesha huko usiku kucha akimwomba
137 John 13 26 | akatwaa kipande cha mkate, akakichovya katika sahani, akampa Yuda,
138 Luke 4 17 | kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:~
139 Rev 8 5 | akakichukua hicho chetezo, akakijaza moto wa madhabahuni akakitupa
140 Mark 6 28 | 28 akakileta katika sinia, akampa msichana
141 Luke 8 29 | alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi
142 Hebr 9 19 | husopo na pamba nyekundu, akakinyunyizia kile kitabu cha Sheria na
143 1Cor 12 24 | ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile
144 Rev 8 5 | akakijaza moto wa madhabahuni akakitupa duniani. Kukawa na ngurumo,
145 Rev 5 7 | 7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono
146 Acts 4 32 | aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi,
147 Gala 2 13 | cha unafiki, naye Barnaba akakumbwa na huo unafiki wao.~
148 Luke 12 58 | mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu
149 Luke 12 58 | mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia
150 1Tim 3 7 | nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego
151 Acts 14 13 | Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na shada za maua
152 Luke 22 66 | na walimu wa Sheria. Yesu akaletwa mbele ya Baraza hilo.~
153 Rev 20 2 | yaani Ibilisi au Shetani - akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja.~
154 Acts 21 32 | akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao
155 Matt 28 2 | akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.~
156 Rev 20 2 | 2 Akalikamata lile joka - nyoka wa kale,
157 Matt 13 44 | kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.~
158 John 20 1 | Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni
159 Luke 22 51 | Akaligusa sikio la mtu huyo akaliponya.~
160 Gala 3 17 | Mungu alifanya agano lake akalithibitisha; Sheria ambayo ilitokea
161 Acts 4 37 | alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha,
162 Matt 28 2 | alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.~
163 Acts 12 23 | hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa.~
164 Luke 7 28 | 28 Yesu akamalizia kwa kusema, "Nawaambieni,
165 Acts 8 38 | wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.~
166 Acts 15 40 | 40 Naye Paulo akamchagua Sila, na baada ya ndugu
167 Acts 20 11 | akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. Aliendelea
168 John 13 6 | 6 Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro
169 Luke 23 25 | 25 Akamfungua kutoka gerezani yule waliyemtaka,
170 Matt 4 3 | 3 Basi, mshawishi akamjia, akamwambia, "Ikiwa wewe
171 Acts 23 16 | akaenda ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo.~
172 Matt 18 28 | denari mia moja. Akamkamata, akamkaba koo akisema, `Lipa deni
173 Matt 26 49 | 49 Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, "Shikamoo,
174 Luke 19 6 | Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.~
175 Mark 5 19 | 19 Lakini Yesu akamkatalia. Badala yake akamwambia, "
176 Ephe 1 20 | nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.~
177 Luke 22 56 | ameketi karibu na moto, akamkodolea macho, akasema, "Mtu huyu
178 Mark 9 36 | akamsimamisha kati yao, akamku mbatia, halafu akawaambia,~
179 Luke 2 7 | akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata
180 Acts 7 21 | binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.~
181 John 19 13 | Pilato aliposikia maneno hayo akamleta Yesu nje, akaketi juu ya
182 Mark 12 2 | mtumishi wake kwa wale wakulima akamletee sehemu ya mazao ya shamba
183 Mark 6 20 | mwema na mtakatifu, na hivyo akamlinda. Herode alipenda kumsikiliza
184 Acts 28 3 | nyoka akatoka katika kuni akamnasa Paulo mkononi na kujishikilia
185 Luke 10 34 | divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka
186 John 12 14 | 14 Yesu akampata mwana punda mmoja akapanda
187 Mark 10 21 | 21 Yesu akamtazama, akampenda, akamwambia, "Umepungukiwa
188 Matt 17 14 | mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,~
189 Mark 6 25 | 25 Msichana akamrudia mfalme mbio akamwomba, "
190 James 5 19| kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha,~
191 Acts 9 41 | 41 Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita
192 Luke 1 40 | katika nyumba ya Zakariya, akamsalimu Elisabeti.~
193 Matt 18 27 | bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende
194 Luke 11 22 | akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda, huyo huziteka
195 Luke 3 22 | 22 na Roho Mtakatifu akamshukia akiwa na umbo kama la njiwa.
196 Acts 8 30 | akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika
197 Acts 24 24 | Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini
198 Mark 8 23 | akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea
199 Mark 7 33 | 33 Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia
200 Luke 10 34 | 34 Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia
201 Mark 1 26 | 26 Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa
202 Roma 4 20 | nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.~
203 Matt 8 15 | homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.~
204 Acts 7 24 | kumwokoa, na kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri.~
205 Luke 10 34 | katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.~
206 Luke 2 7 | wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza
207 Hebr 11 21 | mmoja wa wana wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea ile fimbo
208 Matt 22 25 | akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake
209 Mark 15 15 | huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani.
210 1Cor 3 6 | Mimi nilipanda mbegu, Apolo akamwagilia maji; lakini aliyeiotesha
211 Acts 8 31 | mtu kunielewesha?" Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi
212 Luke 5 29 | 29 Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani
213 Mark 6 23 | 23 Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba,
214 John 13 24 | 24 Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: "Mwulize anasema
215 John 18 16 | mjakazi, mngoja mlango, akamwingiza Petro ndani.~
216 Mark 1 41 | 41 Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono
217 Acts 23 18 | akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi,
218 2Tim 4 10 | ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike.
219 Gala 1 15 | ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.~
220 Acts 12 11 | Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa Herode
221 Acts 23 18 | Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako
222 Rev 17 3 | Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona
223 John 9 11 | aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka machoni na kuniambia: `Nenda
224 2Tim 1 17 | kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata. ~
225 Rev 21 10 | akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana.
226 1Tim 1 12 | mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie,~
227 1Cor 15 8 | 8 Baada ya wote, akanitokea hata mimi, mimi niliyekuwa
228 Rev 7 13 | 13 Mmoja wa hao wazee akaniuliza, "Hawa waliovaa mavazi meupe
229 Mark 15 46 | 46 Hapo Yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha
230 Rev 12 5 | fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na
231 Matt 19 9 | isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini."~
232 Acts 23 10 | mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa
233 1Tim 3 16 | Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa
234 Hebr 10 17 | 17 Kisha akaongeza kusema: "Sitakumbuka tena
235 Acts 1 26 | kura ikampata Mathia, naye akaongezwa katika idadi ya wale mitume
236 John 2 11 | kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi
237 Acts 1 18 | kiovu. Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika
238 Matt 20 2 | 2 Akapatana nao kuwalipa dinari moja
239 Luke 18 38 | 38 Naye akapaza sauti akisema, "Yesu, Mwana
240 Mark 7 31 | aliondoka wilayani Tiro, akapitia Sidoni, akafika ziwa Galilaya
241 Mark 14 52 | 52 Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka,
242 Luke 8 44 | la vazi lake. Papo hapo akaponywa ugonjwa wake wa kutokwa
243 Acts 20 26 | rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja wenu, mimi sina lawama
244 Hebr 12 15 | Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza neema ya Mungu. Muwe waangalifu
245 Matt 2 21 | mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli.~
246 John 21 7 | maana hakuwa amelivaa), akarukia majini.~
247 Rev 13 13 | akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke
248 Hebr 4 1 | ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.~
249 Luke 4 15 | watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.~
250 Mark 1 42 | ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.~
251 Acts 10 10 | 10 Aliona njaa, akatamani kupata chakula. Chakula
252 John 5 7 | alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo
253 Luke 1 67 | akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka ujumbe wa Mungu:~
254 Luke 5 36 | akawaambia mfano huu: "Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na
255 Acts 9 28 | Saulo alikaa pamoja nao, akatembelea Yerusalemu yote akihubiri
256 1Joh 2 1 | Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye
257 John 2 15 | 15 Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza
258 Acts 10 21 | 21 Basi, Petro akateremka chini, akawaambia hao watu, "
259 Acts 7 32 | Isaka na Yakobo!` Mose akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu
260 Acts 14 3 | juu ya Bwana, naye Bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa
261 John 13 5 | 5 Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza
262 John 13 29 | kwamba alikuwa amemwambia akatoe chochote kwa maskini.~
263 Luke 24 31 | wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.~
264 Rev 1 6 | 6 akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani,
265 Acts 16 15 | nyumbani kwangu mkakae." Akatuhimiza twende.~
266 2Tim 1 9 | 9 Yeye alituokoa, akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe,
267 2The 2 16 | alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini
268 Ephe 1 9 | alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika,
269 1The 2 4 | alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia
270 Colo 1 13 | alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa
271 Acts 17 2 | nao Sabato tatu mfululizo, akatumia Maandiko Matakatifu.~
272 Acts 27 6 | inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani.~
273 Hebr 9 12 | damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele.~
274 Mark 10 50 | 50 Naye akatupilia mbali vazi lake, akaruka
275 Rev 20 10 | aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka
276 John 4 28 | 28 Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda
277 Luke 24 30 | pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.~
278 Titus 1 3 | wakati ufaao ulipowadia, akaudhihirisha katika ujumbe wake. Mimi
279 Luke 7 9 | hayo, alishangaa; halafu akauelekea ule umati wa watu uliokuwa
280 Rev 20 3 | Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko
281 Mark 5 30 | kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia ule umati wa watu, akauliza, "
282 Mark 8 34 | 34 Kisha akauita umati wa watu pamoja na
283 Mark 4 39 | 39 Basi, akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha
284 2Pet 2 16 | alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii.~
285 Luke 13 6 | kuchuma matunda yake, lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja.~
286 John 19 38 | Hivyo Yosefu alikwenda, akauondoa mwili wa Yesu.~
287 Mark 5 27 | habari za Yesu, na hivyo akaupenya msongamano wa watu kutoka
288 Matt 13 20 | asikiaye ujumbe huo na mara akaupokea kwa furaha.~
289 Luke 23 53 | 53 Kisha, akaushusha mwili huo kutoka msalabani,
290 Mark 15 46 | akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia
291 Rev 13 12 | yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo
292 Matt 13 46 | ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua
293 Mark 8 7 | visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu
294 Matt 9 1 | 1 Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji
295 John 21 11 | Petro akapanda mashuani, akavuta hadi nchi kavu ule wavu
296 Hebr 11 22 | katika nchi ya Misri, na pia akawaachia maagizo kuhusu mifupa yake.~
297 1Pet 2 21 | aliteseka kwa ajili yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo
298 Acts 10 23 | 23 Petro akawaalika ndani, akawapa mahali pa
299 Luke 10 23 | 23 Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, "
300 Luke 24 27 | 27 Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye
301 Mark 6 22 | Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake.
302 Mark 6 34 | aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama
303 1Pet 2 9 | aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.~
304 2Tim 2 25 | wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata
305 1Cor 7 5 | mara, ili Shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.~
306 Mark 16 10 | Maria Magdalene akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na
307 Luke 15 28 | 28 Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia
308 Luke 9 11 | alikokwenda, walimfuata. Yesu akawakaribisha akawazungumzia juu ya Ufalme
309 Mark 5 43 | 43 Yesu akawakataza sana wasimjulishe mtu jambo
310 Hebr 3 12 | ndugu, jihadharini asije akawako yeyote miongoni mwenu aliye
311 Luke 1 52 | kutoka vitu vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu.~
312 Acts 5 26 | wake walikwenda Hekaluni, akawaleta. Lakini hawakuwakamata kwa
313 Mark 5 40 | Lakini wao wakamcheka. Basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba
314 Luke 24 50 | 50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania,
315 Acts 13 20 | hamsini ilipita, halafu akawapatia waamuzi wawaongoze mpaka
316 Matt 20 2 | dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.~
317 Ephe 1 13 | kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule
318 Mark 10 16 | 16 Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono,
319 John 20 22 | 22 Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, "Pokeeni Roho
320 Acts 21 40 | alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa
321 Matt 27 3 | wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu
322 Mark 5 13 | 13 Naye akawaruhusu. Basi, hao pepo wachafu
323 Acts 16 33 | aliwachukua saa ileile ya usiku akawasafisha majeraha yao, kisha yeye
324 Matt 28 9 | Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: "Salamu." Hao wanawake
325 Acts 19 16 | aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa
326 Roma 9 4 | aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao,
327 Acts 19 6 | mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza kusema lugha mbalimbali
328 Acts 7 19 | Alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea vibaya babu zetu kwa kuwalazimisha
329 Acts 18 5 | wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia Wayahudi kwamba Yesu ndiye
330 Luke 4 39 | Mara yule mama akainuka, akawatumikia.~
331 Luke 7 21 | waliopagawa na pepo wabaya, akawawezesha vipofu wengi kuona tena.~
332 Luke 9 11 | walimfuata. Yesu akawakaribisha akawazungumzia juu ya Ufalme wa Mungu,
333 Acts 12 4 | Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi
334 Luke 12 54 | 54 Yesu akayaambia tena makundi ya watu, "Mnapoona
335 Matt 9 29 | 29 Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, "Na
336 Acts 16 14 | aliufungua moyo wake hata akayapokea yale maneno Paulo aliyokuwa
337 Gala 2 20 | Mungu aliyenipenda hata akayatoa maisha yake kwa ajili yangu.~
338 John 9 2 | huyu, ama wazazi wake, hata akazaliwa kipofu?"~
339 Luke 24 45 | 45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa
340 Acts 4 37 | na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi
341 Luke 3 20 | 20 Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane
342 Matt 8 26 | mnaogopa?" Basi, akainuka, akazikemea pepo na mawimbi; kukawa
343 John 2 15 | na kondoo na ng`ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja
344 Rev 14 19 | akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa
345 Matt 27 5 | 5 Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka
346 Rev 16 15 | naja kama mwizi! Heri mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije
347 Acts 8 31 | akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye.~
348 1Cor 7 11 | 11 lakini kama akiachana naye, basi abaki bila kuolewa;
349 1Cor 7 37 | Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa
350 Acts 8 13 | baada ya kubatizwa ilikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia
351 Acts 8 35 | 35 Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko
352 1Cor 7 40 | atakuwa na heri zaidi kama akibaki hivyo alivyo. Hayo ni maoni
353 1Pet 1 11 | Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata
354 Matt 14 8 | 8 Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, "
355 Mark 11 16 | yeyote kupitia Hekaluni akichukua kitu.~
356 1Tim 2 15 | kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu
357 Hebr 11 21 | Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea ile fimbo yake.~
358 Mark 13 3 | juu ya mlima wa Mizeituni akielekea Hekalu, Petro, Yakobo, Yohane
359 1Joh 2 27 | aliwamiminieni Roho wake. Na kama akiendelea kukaa ndani yenu, hamhitaji
360 Mark 5 33 | 33 Hapo huyo mwanamke, akifahamu yaliyompata, akajitokeza
361 Matt 21 37 | Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: `Watamheshimu mwanangu.`~
362 Mark 6 1 | akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.~
363 Luke 2 37 | huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.~
364 Luke 15 4 | mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea,
365 Luke 18 24 | 24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, "Jinsi gani
366 Ephe 4 28 | 28 Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze
367 Luke 7 45 | nilipoingia hapa amekuwa akiibusu miguu yangu.~
368 Luke 15 9 | 9 Akiipata, atawaita rafiki na jirani
369 2The 2 4 | ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu.~
370 1Cor 3 18 | Mtu yeyote miongoni mwenu akijidhania mwenye hekima mtindo wa
371 Luke 18 13 | macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: `
372 Matt 24 48 | Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: `Bwana wangu anakawia
373 Acts 8 28 | Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.~
374 John 9 8 | siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?"~
375 Rev 21 20 | tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolito, la nane
376 John 5 20 | kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya
377 Luke 14 8 | 8 "Kama mtu akikualika arusini, usiketi mahali
378 Matt 5 41 | 41 Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita
379 1Cor 8 10 | dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula
380 Matt 5 40 | 40 Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia
381 Matt 18 15 | ukamwonye mkiwa ninyi peke yenu. Akikusikia utakuwa umempata ndugu yako.~
382 Acts 9 2 | Kiyahudi kule Damasko, ili akikuta huko wanaume au wanawake
383 2Cor 11 29 | pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi.
384 1Cor 3 17 | 17 Basi, mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu;
385 John 20 6 | Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo
386 Matt 18 12 | Mtu akiwa na kondoo mia, akimpoteza mmoja, hufanyaje? Huwaacha
387 John 1 33 | Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa
388 Luke 17 16 | mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.~
389 Luke 1 64 | vikafunguliwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.~
390 Matt 5 32 | anamfanya azini; na mtu akimwoa mwanamke aliyepewa talaka,
391 1Joh 5 16 | 16 Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi
392 Matt 15 14 | viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia
393 Acts 23 22 | jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba
394 Hebr 11 10 | 10 Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi imara,
395 Acts 22 18 | 18 Nilimwona Bwana akiniambia: `Haraka! Ondoka Yerusalemu
396 Matt 18 21 | akamwuliza, "Je, ndugu yangu akinikosea, nimsamehe mara ngapi? Mara
397 Luke 9 26 | 26 Mtu akinionea aibu mimi na mafundisho
398 John 14 23 | 23 Yesu akamjibu, "Mtu akinipenda atashika neno langu, na
399 1Cor 16 7 | kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu.~
400 Luke 18 35 | mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.~
401 Rev 22 18 | kitabu hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya,
402 Mark 5 5 | alikaa makaburini na milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa
403 Luke 23 2 | akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa kodi kwa Kaisari
404 Luke 13 22 | yake kwenda Yerusalemu huku akipitia mijini na vijijini, akihubiri.~
405 Luke 15 8 | ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha
406 James 5 19| Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine
407 Rev 22 19 | 19 Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya
408 Mark 14 39 | 39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.~
409 Rev 8 13 | nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani anasema
410 Mark 9 18 | atokwe na povu kinywani, akisaga meno na kuwa mkavu mwili
411 Rev 3 20 | mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua
412 Luke 10 39 | huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.~
413 Acts 8 30 | gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii
414 Acts 11 28 | wakati Klaudio alipokuwa akitawala).~
415 Acts 7 24 | Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa,
416 Acts 9 39 | nguo ambazo Dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa hai.~
417 1Pet 4 16 | 16 Lakini kama mtu akiteseka kwa sababu ni Mkristo, basi
418 Acts 18 28 | kuwashinda Wayahudi hadharani akithibitisha kwa Maandiko Matakatifu
419 Roma 2 26 | mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya Sheria, hakika
420 Roma 3 5 | tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (Hapa naongea kibinadamu).~
421 Luke 17 3 | yako akikukosea, mwonye; akitubu, msamehe.~
422 Luke 14 5 | mtoto wake au ng`ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata
423 Luke 21 2 | akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.~
424 2Pet 3 15 | yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na Mungu.~
425 Roma 12 6 | Mwenye kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake.~
426 Gala 1 23 | walichosikia: "Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri
427 Mark 11 23 | 23 Nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: `Ng`oka ukajitose
428 2Cor 11 32 | ya mfalme Areta, alikuwa akiulinda mji wa Damasko ili apate
429 2Cor 5 17 | 17 Mtu yeyote akiungana na Kristo huwa kiumbe kipya,
430 Matt 16 26 | atayapata. Je, mtu atafaidi nini akiupata utajiri wote wa ulimwengu
431 2Cor 5 19 | Ndiyo kusema: Mungu, amekuwa akiupatanisha ulimwengu naye kwa njia
432 Hebr 1 3 | hali ya Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu kwa neno lake
433 Hebr 2 8 | hivyo, hatuoni bado mtu akivitawala vitu vyote sasa.~
434 Mark 13 34 | anayeondoka nyumbani kwenda safari akiwaachia watumishi wake madaraka,
435 1Cor 10 27 | Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda,
436 Acts 13 41 | hamtakiamini hata kama mtu akiwaelezeni."`~
437 Mark 4 34 | wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.~
438 Luke 10 6 | 6 Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani
439 John 8 36 | 36 Kama mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.~
440 Luke 23 2 | wakisema: "Tulimkuta mtu huyu akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa
441 Rev 12 10 | aliyesimama mbele ya Mungu akiwashtaki usiku na mchana, sasa ametupwa
442 Luke 2 46 | Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.~
443 Roma 9 22 | alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo
444 Acts 15 41 | alipitia Siria na Kilikia akiyaimarisha makanisa.~ ~~ ~
445 Acts 9 1 | Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali vya kuwaua
446 Rev 5 6 | Mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe
447 Acts 10 22 | Aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize
448 1Tim 4 12 | 12 Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana,
449 Jude 1 9 | alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."~
450 2Cor 10 11 | 11 Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya
451 Matt 5 42 | 42 Akuombaye mpe, na mtu akitaka kukukopa
452 Luke 6 30 | anya mali yako usimtake akurudishie.~
453 Luke 7 27 | ninamtuma akutangulie, akutayarishie njia."`~
454 Luke 14 10 | mwenyeji wako atakapokuja akwambie: `Rafiki, njoo hapa mbele,
455 Acts 16 29 | 29 Baada ya kumwita mtu alete taa, huyo askari wa gereza
456 Gala 2 12 | baada ya hao watu kufika, aliacha kabisa kula pamoja na watu
457 Hebr 2 2 | ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.~
458 2Pet 2 6 | 6 Mungu aliadhibu miji ya Sodoma na Gomora,
459 Hebr 11 28 | 28 Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, akaamuru
460 Roma 9 4 | akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake,
461 Acts 24 22 | anaifahamu hiyo Njia vizuri, aliahirisha kesi hiyo. Akawaambia, "
462 1Tim 3 16 | Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa
463 Acts 20 4 | mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo
464 Luke 19 5 | Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, "Zakayo,
465 Acts 21 38 | Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili
466 Hebr 6 13 | alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe,
467 Mark 12 6 | 6 Alibakiwa bado na mtu mmoja, yaani
468 Hebr 10 9 | mapenzi yako." Hivyo Mungu alibatilisha dhabihu za zamani na mahali
469 Luke 3 21 | wamekwisha batizwa, Yesu naye alibatizwa. Na alipokuwa akisali, mbingu
470 Acts 12 13 | 13 Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi
471 Matt 14 6 | Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode
472 Hebr 10 36 | anayotaka Mungu na kupokea kile alichoahidi.~
473 Hebr 6 15 | uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na Mungu.~
474 Acts 4 9 | juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete
475 John 20 7 | 7 na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa
476 John 13 5 | kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.~
477 Acts 13 45 | walijaa wivu, wakapinga alichokuwa anasema Paulo na kumtukana.~
478 Luke 1 73 | 73 Kiapo alichomwapia Abrahamu baba yetu, ni kwamba
479 Luke 16 1 | karani wake. Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali
480 2Cor 11 17 | Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili
481 2Tim 1 12 | aweza kukilinda salama kile alichonikabidhi, mpaka Siku ile. ~
482 John 18 11 | alani. Je, nisinywe kikombe alichonipa Baba?"~
483 Ephe 1 9 | 9 Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake
484 Acts 7 44 | alifanye; nakala kamili ya kile alichoonyeshwa.~
485 Gala 6 7 | Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.~
486 John 10 6 | lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.~
487 Hebr 2 9 | heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka.~
488 2Cor 10 15 | mwenu kufuatana na kipimo alichotuwekea Mungu.~
489 1Tim 4 4 | 4 Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna
490 Rev 18 6 | mara mbili zaidi ya kile alichowapeni.~
491 Luke 9 49 | 49 Yohane alidakia na kusema, "Bwana, tumemwona
492 Acts 7 44 | Mungu alivyomwambia Mose alifanye; nakala kamili ya kile alichoonyeshwa.~
493 Acts 19 35 | 35 Hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, "
494 Acts 8 33 | 33 Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna
495 Ephe 3 9 | aliye Muumba wa vitu vyote alificha siri hiyo yake tangu milele,~
496 Matt 9 21 | 21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: "Nikigusa tu vazi
497 John 8 4 | Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.~
498 Matt 7 29 | walimu wao wa Sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.~ ~~ ~
499 Acts 7 22 | 22 Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya
500 Acts 12 4 | ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini
501 Matt 14 6 | mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,~
502 Colo 2 14 | 14 alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa
|