110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu
Book, Chapter, Verse
503 Acts 20 3 | anajitayarisha kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa
504 1Tim 3 16 | akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa
505 1Cor 2 7 | iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya
506 John 12 6 | alikuwa mwizi, mara kwa mara aliiba kutoka katika hiyo hazina.~
507 Acts 7 8 | 8 Halafu Mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano.
508 Acts 5 19 | Lakini usiku malaika wa Bwana aliifungua milango ya gereza, akawatoa
509 Matt 13 44 | iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi
510 Mark 2 26 | mikate hiyo. Lakini Daudi aliila, tena akawapa na wenzake."~
511 Hebr 6 17 | 17 Naye Mungu aliimarisha ahadi yake kwa kiapo; na
512 John 20 11 | Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,~
513 Acts 24 9 | yote yalikuwa kweli. jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu
514 Acts 9 8 | 8 Saulo aliinuka, na alipofumbua macho yake
515 Acts 2 33 | 33 Yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia
516 Hebr 9 21 | 21 Vilevile Mose aliinyunyizia damu ile hema na vyombo
517 John 8 56 | alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi."~
518 Ephe 2 15 | 15 Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja
519 Hebr 12 17 | nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.~
520 Acts 15 9 | wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.~
521 Acts 12 14 | 14 Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi
522 Roma 4 13 | haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii Sheria, bali kwa kuwa aliamini,
523 Luke 15 13 | akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.~
524 John 5 19 | kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali
525 Acts 17 17 | 17 Alijadiliana na Wayahudi na watu wengine
526 John 12 6 | Alisema hivyo, si kwa kuwa alijali chochote juu ya maskini,
527 Rev 13 15 | 15 Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu
528 John 11 33 | pamoja naye wanalia pia, alijawa na huzuni na kufadhaika
529 Hebr 5 8 | alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso.~
530 Mark 16 9 | alipofufuka mapema Jumapili, alijionyesha kwanza kwa Maria Magdalene,
531 Mark 5 28 | 28 Alifanya hivyo, maana alijisemea, "Nikigusa tu vazi lake,
532 Acts 13 6 | Myahudi aitwaye Baryesu ambaye alijisingizia kuwa nabii.~
533 Acts 7 13 | safari yao ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao
534 Luke 2 38 | 38 Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu,
535 Hebr 9 14 | za Roho wa milele, Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu
536 Luke 8 41 | Yairo, ofisa wa sunagogi. Alijitupa miguuni pa Yesu, akamwomba
537 Acts 17 2 | 2 Paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi
538 Rev 19 12 | ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.~
539 Rev 6 4 | mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani
540 Acts 12 20 | 20 Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na
541 Hebr 11 24 | Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.~
542 Hebr 12 17 | ile baraka iliyokuwa yake, alikataliwa, maana hakupata tena nafasi
543 Matt 25 5 | 5 Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote
544 Acts 28 5 | 5 Lakini Paulo alikikung`utia kile kiumbe motoni
545 Acts 16 29 | taa, huyo askari wa gereza alikimbilia ndani, akajitupa mbele ya
546 Acts 8 1 | 1 Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua
547 John 12 1 | Pasaka, Yesu alifika Bethania alikoishi Lazaro ambaye Yesu alikuwa
548 Luke 9 11 | Lakini wale watu walipojua alikokwenda, walimfuata. Yesu akawakaribisha
549 Luke 2 4 | mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi.~
550 John 9 26 | 26 Basi, wakamwuliza, "Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho
551 John 9 26 | wakamwuliza, "Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?"~
552 Luke 11 38 | alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.~
553 Luke 8 29 | Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke
554 2Cor 3 13 | hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa
555 Acts 7 20 | Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa nyumbani kwa muda wa miezi
556 Hebr 8 13 | juu ya agano jipya, Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote
557 Acts 7 19 | 19 Alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea
558 Acts 7 16 | ikazikwa katika kaburi Abrahamu alilonunua kutoka kwa kabila la Hamori
559 Hebr 1 4 | malaika, kama vile jina alilopewa na Mungu ni kuu zaidi kuliko
560 Hebr 8 6 | kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni
561 Luke 2 15 | tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."~
562 Acts 13 32 | Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu amelitimiza sasa
563 Ephe 1 18 | mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi
564 Colo 3 24 | kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo
565 Mark 6 19 | 19 Basi Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumwua,
566 2Cor 11 3 | nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa, fikira zenu zaweza
567 Gala 4 29 | aliyezaliwa kwa njia ya kawaida alimdhulumu yule aliyezaliwa kwa uwezo
568 Luke 3 19 | 19 Lakini Yohane alimgombeza Herode, mkuu wa mkoa, kwa
569 John 13 11 | 11 Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti,
570 Mark 9 25 | unaongezeka upesi mbele yake, alimkemea yule pepo mchafu, "Pepo
571 Gala 3 18 | Mungu. Kumbe, lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa sababu aliahidi.~
572 Acts 11 26 | 26 Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili
573 Hebr 11 19 | namna fulani kweli Abrahamu alimpata tena mwanae kutoka wafu.~
574 Luke 2 28 | 28 Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake
575 Acts 23 19 | 19 Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka
576 Acts 28 15 | Mitatu. Paulo alipowaona alimshukuru Mungu, akapata moyo.~
577 Acts 7 27 | aliyekuwa anampiga mwenzake alimsukuma Mose kando akisema: `Ni
578 Luke 5 3 | moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini,
579 Acts 13 24 | kuja kwake Yesu, Yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa
580 Acts 27 3 | bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu
581 Acts 13 22 | ya kumwondoa Saulo, Mungu alimteua Daudi kuwa mfalme wao. Mungu
582 John 19 34 | 34 Lakini askari mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara
583 Hebr 11 4 | 4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu iliyokuwa
584 Luke 23 39 | waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: "Je, si kweli kwamba
585 Matt 27 43 | 43 Alimtumainia Mungu na kusema eti yeye
586 Roma 4 13 | 13 Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake
587 Acts 7 5 | iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia kumpa nchi hii iwe yake
588 Luke 7 36 | 36 Mfarisayo mmoja alimwalika Yesu kula chakula nyumbani
589 Luke 9 42 | anamjia Yesu, yule pepo alimwangusha chini na kumtia kifafa.
590 Acts 2 30 | nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza
591 Acts 24 10 | 10 Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo
592 Acts 10 26 | 26 Lakini Petro alimwinua, akamwambia, "Simama, kwa
593 Mark 6 17 | ya Herodia ambaye Herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa
594 Mark 6 20 | 20 Herode alimwogopa Yohane kwa maana alijua
595 Matt 4 1 | 1 Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili
596 Acts 12 2 | 2 Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu
597 Luke 13 22 | 22 Yesu alindelea na safari yake kwenda Yerusalemu
598 Acts 8 18 | 18 Hapo Simoni aling`amua kwamba kwa kuwekewa
599 Acts 11 12 | 12 Roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita.
600 2Tim 1 16 | ya Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha rohoni mara nyingi, wala
601 2Tim 3 11 | mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.~
602 John 9 15 | kuona?" Naye akawaambia, "Alinipaka tope machoni, nami nikanawa
603 Acts 26 22 | 22 Lakini Mungu alinisaidia; na hivyo mpaka siku ya
604 Acts 27 23 | ambaye mimi ninamwabudu alinitokea,~
605 Acts 1 18 | 18 "Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata
606 Acts 18 18 | na Akula. Huko Kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya
607 Acts 26 1 | Unaruhusiwa kujitetea." Hapo Paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi:~
608 Acts 10 37 | Galilaya baada ya ule ubatizo aliohubiri Yohane.~
609 Hebr 11 7 | akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake.
610 Acts 28 3 | 3 Paulo aliokota mzigo mdogo wa kuni akawa
611 Acts 10 41 | wote ila kwa wale Mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi
612 James 5 17| alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo mvua isinyeshe,
613 Hebr 2 4 | 4 Mungu pia aliongeza hapo ushahidi wake kwa kufanya
614 Acts 13 12 | wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa muumini; akastaajabia
615 Hebr 11 7 | 7 Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya
616 Matt 2 16 | hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu
617 Luke 2 14 | na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!"~
618 Matt 25 41 | Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake.~
619 1Cor 11 23 | kwamba, usiku ule Bwana Yesu aliotolewa, alitwaa mkate,~
620 Luke 12 13 | ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba."~
621 Ephe 1 8 | 8 aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima
622 2Cor 10 8 | kwangu juu ya ule uwezo aliotupa - uwezo wa kuwajenga na
623 1Pet 1 11 | tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa
624 Acts 10 36 | Huu ndio ule ujumbe Mungu alioupeleka kwa watu wa Israeli, akitangaza
625 Matt 28 16 | Galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza Yesu.~
626 Roma 8 30 | aliwakubali kuwa waadilifu; na hao aliowakubali kuwa waadilifu aliwashirikisha
627 Luke 19 15 | akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze
628 Mark 3 13 | kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,~
629 Acts 7 52 | hawakumtesa? Waliwaua hao Mungu aliowatuma watangaze kuja kwake yule
630 Ephe 4 9 | 9 Basi, inaposemwa: "alipaa juu," ina maana gani? Maana
631 John 18 2 | Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi
632 James 2 21| 21 Je, Abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake Mungu?
633 Acts 10 10 | kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa na usingizi mzito akaona
634 Acts 9 39 | akaenda pamoja nao. Alipofika alipelekwa ghorofani katika kile chumba.
635 2Pet 2 15 | mwana wa Beori, ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya
636 2Cor 3 17 | Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo
637 Mark 7 6 | alitabiri ukweli juu yenu alipoandika: `Watu hawa, asema Mungu,
638 Hebr 3 18 | 18 Mungu alipoapa: "Hawataingia huko ambako
639 Mark 15 45 | 45 Pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba
640 Acts 23 34 | Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa
641 John 9 14 | 14 Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho
642 Hebr 5 9 | 9 Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo
643 Mark 16 9 | 9 Yesu alipofufuka mapema Jumapili, alijionyesha
644 John 2 22 | 22 Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake
645 Acts 9 8 | 8 Saulo aliinuka, na alipofumbua macho yake hakuweza kuona
646 John 4 46 | mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa
647 Matt 2 16 | 16 Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa
648 Mark 2 25 | alichofanya Daudi wakati alipohitaji chakula? Yeye pamoja na
649 John 8 10 | 10 Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, "
650 Acts 23 34 | 34 Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo
651 Matt 1 25 | kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu
652 Luke 1 80 | rohoni. Alikaa jangwani mpaka alipojionyesha rasmi kwa watu wa Israeli.~ ~~ ~
653 Hebr 7 27 | hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha
654 Rev 17 15 | Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa,
655 Matt 19 12 | kulipokea fundisho hili na alipokee."~
656 Luke 24 30 | 30 Alipoketi kula chakula pamoja nao,
657 Matt 2 15 | Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika
658 Luke 19 44 | hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa."~
659 Hebr 7 10 | Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.~
660 Luke 4 13 | 13 Ibilisi alipokwishamjaribu kwa kila njia, akamwacha
661 Mark 15 47 | yake Yose walipaona hapo alipolazwa.~ ~ ~~ ~
662 Luke 4 16 | alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia
663 Mark 2 3 | wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa
664 Hebr 11 17 | Isaka sadaka wakati Mungu alipomjaribu. Huyo Abrahamu ndiye aliyekuwa
665 John 9 35 | wamemfukuzia mbali, naye alipomkuta akamwuliza, "Je, wewe unamwamini
666 John 11 30 | bado mahali palepale Martha alipomlaki.~
667 Roma 11 2 | Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung`unikia Mungu kuhusu Israeli:~
668 Hebr 6 13 | 13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa
669 Acts 11 26 | 26 Alipompata, alimleta Antiokia. Nao
670 James 2 21| Kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae Isaka sadaka juu
671 Luke 11 14 | kuwa bubu. Basi, huyo pepo alipomtoka, yule mtu akaweza kuongea
672 Rev 16 18 | halijapata kutokea tangu Mungu alipomuumba mtu.~
673 Hebr 7 21 | kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza
674 John 12 17 | waliokuwa pamoja naye wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini,
675 John 5 5 | baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa
676 Matt 4 23 | juu ya ufalme wa Mungu. Aliponya kila namna ya maradhi na
677 Luke 2 36 | mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.~
678 Luke 17 29 | 29 Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, moto na kiberiti
679 Ephe 4 8 | Kama yasemavyo Maandiko: "Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua
680 Rev 10 3 | kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia
681 2Pet 1 17 | 17 Sisi tulikuwapo wakati alipopewa heshima na kutukuzwa na
682 Hebr 12 17 | Ninyi mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile baraka
683 John 6 5 | 5 Basi, Yesu na alipotazama na kuona umati wa watu ukija
684 1Pet 2 23 | yeye hakujibu kwa tukano; alipoteseka yeye hakutoa vitisho, bali
685 Hebr 7 9 | kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (
686 1Pet 2 23 | 23 Alipotukanwa yeye hakujibu kwa tukano;
687 Mark 7 17 | 17 Alipouacha umati wa watu na kuingia
688 Mark 11 13 | ulikuwa na tunda lolote. Alipoufikia, aliukuta bila tunda lolote
689 John 18 6 | 6 Basi, Yesu alipowaambia: "Mimi ndiye", wakarudi
690 Mark 14 41 | 41 Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, "
691 1Pet 3 20 | waliokataa kumtii Mungu alipowangoja kwa saburi wakati Noa alipokuwa
692 Mark 2 17 | 17 Yesu alipowasikia, akawaambia, "Watu wenye
693 Mark 1 30 | kali. Wakamwarifu Yesu mara alipowasili.~
694 Matt 5 1 | 1 Yesu alipoyaona makundi ya watu, alipanda
695 John 8 12 | 12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, "Mimi
696 Hebr 4 4 | kuhusu siku ya saba: "Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi
697 Acts 14 16 | 16 Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.~
698 Luke 1 44 | mtoto mchanga tumboni mwangu aliruka kwa furaha.~
699 John 8 56 | 56 Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona,
700 Luke 8 23 | wanasafiri kwa mashua, Yesu alishikwa na usingizi, akalala. Dhoruba
701 Hebr 5 7 | kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.~
702 Mark 10 22 | 22 Aliposikia hayo, alisikitika, akaenda zake akiwa na huzuni,
703 2Pet 2 7 | Loti, mtu mwema, ambaye alisikitishwa sana na mwenendo mbaya wa
704 Matt 27 11 | 11 Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi,
705 Acts 2 40 | maneno mengine mengi, Petro alisisitiza na kuwahimiza watu akisema, "
706 Hebr 6 15 | 15 Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea
707 Roma 4 11 | 11 Abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko
708 Acts 9 15 | nimemchagua awe chombo changu, alitangaze jina langu kwa mataifa na
709 Luke 19 4 | 4 Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu
710 Ephe 1 9 | 9 Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha
711 Matt 9 35 | 35 Yesu alitembelea miji yote na vijiji, akafundisha
712 Acts 15 12 | na maajabu ambayo Mungu alitenda kwa mikono yao kati ya watu
713 Hebr 13 12 | kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.~
714 Titus 1 13| 13 Naye alitoboa ukweli kwa sababu hiyo,
715 Acts 16 15 | na jamaa yake kubatizwa, alitualika akisema, "Kama kweli mmeona
716 Luke 20 28 | 28 "Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu
717 Acts 11 13 | 13 Yeye alitueleza jinsi alivyokuwa amemwona
718 Ephe 2 6 | kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale
719 2Cor 7 13 | tulifarijika tu, ila pia Tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo
720 Acts 21 11 | 11 Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo,
721 Acts 28 7 | mkuu wa kile kisiwa. Publio alitukaribisha kirafiki, tukawa wageni
722 Gala 3 13 | 13 Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya Sheria
723 Acts 20 14 | 14 Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha
724 Luke 1 26 | wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji
725 1The 2 4 | atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi
726 Roma 5 10 | tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae.
727 1Joh 5 11 | wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uzima wa milele, na uzima
728 2Cor 5 5 | 5 Mungu mwenyewe alitutayarishia mabadiliko hayo, naye ametupa
729 Ephe 1 4 | kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana
730 Ephe 2 10 | kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha
731 James 1 18| Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa kwa neno lake la ukweli,
732 1The 2 18 | mara moja, lakini Shetani alituzuia.~
733 Ephe 2 16 | 16 Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake
734 Ephe 2 14 | mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha
735 Acts 16 14 | rangi ya zambarau. Bwana aliufungua moyo wake hata akayapokea
736 Acts 9 37 | Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili
737 Mark 11 21 | 21 Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, "Mwalimu,
738 Luke 19 41 | na kuuona ule mji, Yesu aliulilia~
739 Rev 16 19 | haukusahauliwa na Mungu. Aliunywesha kikombe cha divai ya ghadhabu
740 John 12 41 | alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema
741 John 3 16 | 16 Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa
742 2Tim 4 15 | Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.~
743 John 5 34 | mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli.~
744 Hebr 2 3 | huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu huu, na wale waliomsikia
745 Acts 19 41 | 41 Baada ya kusema hayo aliuvunja mkutano.~ ~~ ~
746 Luke 15 13 | siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na
747 Matt 3 4 | 4 Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya
748 Luke 10 30 | Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang`
749 Mark 7 19 | Kwa kusema hivyo, Yesu alivihalalisha vyakula vyote.)~
750 Colo 1 20 | 20 Kwa njia yake Mungu alivipatanisha naye vitu vyote naam, viumbe
751 Mark 6 6 | kutoamini kwao. Kisha Yesu alivitembelea vijiji vya pale karibu akiwafundisha
752 1Tim 4 3 | vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale
753 Luke 8 29 | pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa
754 John 6 1 | 1 Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au Ziwa Tiberia).~
755 Mark 5 21 | 21 Yesu alivukia tena upande wa pili wa ziwa
756 Hebr 12 2 | iliyokuwa inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, bila kujali
757 Acts 19 9 | Njia ya Bwana. Hapo Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua
758 Acts 27 11 | 11 Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha
759 Acts 13 23 | wake mtu huyu, Mungu, kama alivyoahidi, amewapelekea watu wa Israeli
760 2Cor 9 7 | mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa
761 Mark 1 44 | ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose, iwe uthibitisho kwao
762 Matt 2 5 | mkoani Yudea. Ndivyo nabii alivyoandika:~
763 Jude 1 11 | wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.~
764 Jude 1 11 | Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye
765 Roma 6 4 | naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka wafu kwa kitendo
766 1Cor 7 17 | aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa
767 1Tim 3 6 | kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.~
768 1Joh 2 6 | Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.~
769 1Cor 7 17 | alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo
770 Acts 15 14 | ameeleza jinsi Mungu hapo awali alivyojishughulisha na watu wa mataifa mengine,
771 Matt 12 40 | 40 Jinsi Yona alivyokaa siku tatu kutwa kucha tumboni
772 Mark 5 19 | Bwana aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma."~
773 Mark 15 39 | mbele yake aliona jinsi Yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho,
774 Ephe 5 25 | wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe
775 John 5 27 | asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai.~
776 John 11 36 | wakasema, "Tazameni jinsi alivyompenda!"~
777 James 5 11| Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa
778 Acts 10 38 | Nazareti na jinsi Mungu alivyomteua kwa kummiminia Roho Mtakatifu
779 Acts 12 17 | akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Kisha akawaambia
780 John 3 14 | 14 "Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule
781 Acts 9 27 | na kuwaeleza jinsi Saulo alivyomwona Bwana njiani na jinsi Bwana
782 Matt 27 10 | la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza."~
783 2Pet 1 14 | huu wenye kufa, kama Bwana alivyoniambia waziwazi.~
784 2Cor 12 1 | nitasema juu ya maono na ufunuo alivyonijalia Bwana.~
785 Luke 22 29 | na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi Ufalme, vivyo hivyo nami
786 John 15 9 | nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo
787 Luke 1 25 | 25 "Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana; ameniangalia na kuniondolea
788 John 20 21 | Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi."~
789 Acts 9 27 | Bwana njiani na jinsi Bwana alivyoongea naye. Aliwaambia pia jinsi
790 Acts 20 13 | tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko
791 Acts 4 9 | aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,~
792 Luke 8 47 | cha kumgusa Yesu na jinsi alivyoponyeshwa mara moja.~
793 Luke 8 36 | waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.~
794 Hebr 4 10 | yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake.~
795 Hebr 2 2 | hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.~
796 Hebr 12 3 | yaliyompata Yesu, jinsi alivyostahimili upinzani mkubwa kwa watu
797 John 6 11 | kila mtu akapata kadiri alivyotaka.~
798 Hebr 7 4 | moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani.~
799 Acts 9 22 | kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha wazi kwamba Yesu ndiye Kristo,
800 Acts 3 18 | 18 Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani
801 1Cor 11 12 | 12 Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume, vivyo hivyo
802 Acts 15 8 | nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa sisi.~
803 Acts 11 15 | Mtakatifu aliwashukia kama alivyotushukia sisi pale awali.~
804 Matt 23 36 | mambo haya. ~ Jinsi Yesu alivyoupenda mji wa Yerusalemu ~\r ~\
805 Luke 1 55 | 55 Kama alivyowaahidia wazee wetu Abrahamu na wazawa
806 Luke 19 32 | wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.~
807 Mark 16 7 | Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni."~
808 2Pet 3 15 | Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa
809 Luke 11 1 | kusali kama Yohane mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake."~
810 Acts 14 27 | aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia mlango watu wa mataifa mengine
811 Roma 15 7 | wa Mungu kama naye Kristo alivyowakaribisheni.~
812 Mark 7 36 | jambo hilo. Lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza
813 Acts 11 23 | huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na
814 Jude 1 5 | yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa
815 Rev 10 7 | mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii."~
816 Rev 18 6 | 6 Mtendeeni kama alivyowatendea ninyi; mlipeni mara mbili
817 Acts 2 4 | lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.~
818 Mark 14 8 | 8 Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi
819 Matt 1 18 | hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa
820 Mark 10 5 | 5 Yesu akawaambia, "Mose aliwaandikia amri hiyo kwa sababu ya
821 Jude 1 5 | ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.~
822 Luke 10 1 | 1 Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili,
823 Acts 28 23 | asubuhi mpaka jioni Paulo aliwaeleza na kuwafafanulia juu ya
824 Colo 2 15 | pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani
825 Mark 6 21 | kuzaliwa kwake Herode. Herode aliwafanyia karamu wazee wa baraza lake,
826 Rev 14 9 | 9 Na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti
827 Mark 1 34 | na magonjwa mbalimbali; aliwafukuza pepo wengi, lakini hakuwaruhusu
828 Mark 4 2 | 2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano,
829 1Pet 1 12 | 12 Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa
830 Mark 4 33 | 33 Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine
831 2The 2 14 | 14 Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari
832 Ephe 4 11 | aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii,
833 1The 3 5 | Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya
834 John 2 24 | na imani nao kwa sababu aliwajua wote.~
835 Roma 3 2 | kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi ujumbe wake.~
836 Hebr 11 31 | waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi.~
837 Mark 9 9 | wakishuka mlimani, Yesu aliwakataza wasimwambie mtu yeyote mambo
838 Acts 23 1 | 1 Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu
839 Roma 8 30 | amewateua; na hao aliowaita aliwakubali kuwa waadilifu; na hao aliowakubali
840 Acts 19 25 | 25 Demetrio aliwakusanya hao wafanyakazi pamoja na
841 Hebr 8 8 | 8 Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "Siku
842 Rev 13 16 | 16 Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa,
843 John 6 31 | kama yasemavyo Maandiko: `Aliwalisha mkate kutoka mbinguni."`~
844 Acts 10 45 | walishangaa kuona kuwa Mungu aliwamiminia zawadi ya Roho Mtakatifu
845 1Joh 2 27 | upande wenu ninyi, Kristo aliwamiminieni Roho wake. Na kama akiendelea
846 2Cor 12 18 | yetu mwingine. Je, Tito aliwanyonyeni? Je, hamjui kwamba sisi
847 John 19 38 | lakini kwa siri, maana aliwaogopa viongozi wa Wayahudi). Basi,
848 Acts 3 3 | Yohane wakiingia Hekaluni, aliwaomba wampe chochote.~
849 Matt 9 36 | watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa
850 Acts 2 47 | watu wote. Kila siku Bwana aliwaongezea idadi ya watu waliokuwa
851 Matt 2 12 | 12 Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie
852 John 7 22 | 22 Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (
853 James 2 25| kuwa mwadilifu kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi na kuwasaidia
854 Colo 2 15 | 15 Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala
855 Rev 13 14 | 14 Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza
856 Luke 22 45 | 45 Baada ya kusali, aliwarudia wanafunzi wake, akawakuta
857 Matt 19 8 | 8 Yesu akawajibu, "Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu
858 Acts 19 16 | Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda
859 Acts 11 21 | 21 Bwana aliwasaidia na idadi kubwa ya watu iliamini
860 Luke 7 42 | kulipa madeni yao, huyo mtu aliwasamehe wote wawili. Sasa ni yupi
861 Roma 8 30 | aliowakubali kuwa waadilifu aliwashirikisha pia utukufu wake.~
862 Acts 24 1 | tano, Kuhani Mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee
863 Luke 18 1 | 1 Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonyesha kwamba ni
864 Hebr 9 19 | 19 Kwanza Mose aliwatangazia watu wote amri zote kama
865 Acts 7 8 | alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili
866 Roma 15 8 | Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonyesha
867 2Pet 2 4 | Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa Jehanamu
868 Hebr 7 1 | anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana
869 Acts 13 18 | 18 Aliwavumilia kwa muda wa miaka arobaini
870 Acts 5 37 | wa Galilaya. Huyu naye, aliwavuta watu wakamfuata; lakini
871 Acts 16 24 | maagizo hayo, huyo askari aliwaweka katika chumba cha ndani
872 Acts 27 43 | alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru
873 Ephe 5 26 | hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya
874 Acts 13 19 | 19 Aliyaangamiza mataifa ya nchi ya Kanaani
875 Acts 17 3 | 3 Aliyaeleza na kuonyesha kwamba ilimbidi
876 Acts 7 45 | kwa mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa
877 Acts 18 6 | Walipompinga na kuanza kumtukana, aliyakung`uta mavazi yake mbele yao
878 1Joh 3 16 | upendo ni nini, kwani Kristo aliyatoa maisha yake kwa ajili yetu.
879 Gala 4 27 | mtoto; maana watoto wa yule aliyeachwa ni wengi zaidi kuliko wa
880 Matt 18 23 | umefanana na mfalme mmoja aliyeamua kukagua hesabu za watumishi
881 John 13 28 | wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia
882 Luke 8 43 | yote kwa waganga, hakuna aliyefaulu kumponya.~
883 2The 2 7 | 7 Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini
884 Acts 28 21 | wala hakuna ndugu yeyote aliyefika hapa na kutoa habari rasmi
885 John 8 3 | wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha
886 Mark 5 30 | wa watu, akauliza, "Nani aliyegusa mavazi yangu?"~
887 2Cor 8 6 | sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia
888 Hebr 12 2 | Tumwelekee Yesu ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha.
889 Hebr 4 14 | Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe -
890 1Cor 3 6 | akamwagilia maji; lakini aliyeiotesha mbegu ni Mungu.~
891 Colo 1 22 | sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa duniani, Mungu amewapatanisha
892 1Cor 3 7 | maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota.~
893 John 7 44 | kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.~
894 1Tim 5 10 | aliyewasaidia watu wenye taabu, na aliyejitolea kufanya mambo mema.~
895 1Cor 6 17 | 17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja
896 John 18 26 | Kuhani Mkuu, jamaa wa yule aliyekatwa sikio na Petro, akamwuliza, "
897 2Cor 7 12 | haikuwa kwa ajili ya yule aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa.
898 2Cor 7 12 | aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa. Niliandika kusudi ionekane
899 Matt 16 17 | Yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila Baba yangu
900 Mark 5 31 | wanavyokusonga; mbona wauliza nani aliyekugusa?"~
901 John 8 10 | watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?"~
902 1Joh 5 6 | 6 Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji ya ubatizo wake
903 Luke 15 30 | 30 Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba,
904 Mark 11 28 | haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo
905 Acts 9 17 | ambaye ndiye Yesu mwenyewe aliyekutokea ulipokuwa njiani kuja hapa,
906 John 5 13 | Nao wakamwuliza, "Huyo mtu aliyekwambia: `Chukua mkeka wako, tembea,`
907 Acts 5 31 | 31 Huyu ndiye yule aliyekwezwa na Mungu mpaka upande wake
908 John 17 12 | aliyepotea, isipokuwa yule aliyelazimika kupotea ili Maandiko Matakatifu
909 Acts 14 10 | kwa miguu yako!" Huyo mtu aliyelemaa akainuka ghafla, akaanza
910 Rev 2 17 | jipya ambalo hakuna mtu aliyelijua isipokuwa tu wale wanaolipokea.~
911 Rev 2 14 | yenu ni wafuasi wa Balaamu aliyemfundisha Balaki kuwatega wana wa
912 Luke 8 45 | wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa. Naye Petro akasema, "Mwalimu,
913 2Cor 2 5 | 5 Ikiwa kuna mtu aliyemhuzunisha mwingine, hakunihuzunisha
914 Acts 7 47 | 47 Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.~
915 John 4 33 | wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"~
916 John 11 2 | 2 Maria ndiye yule aliyempaka Bwana marashi na kumpangusa
917 John 20 8 | yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia
918 John 8 20 | Hekaluni. Wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa
919 Acts 7 35 | Kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa
920 Matt 19 4 | Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya
921 John 7 48 | au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?~
922 Matt 22 2 | mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe ~karamu ya arusi. ~
923 Gala 2 8 | 8 Maana, yule aliyemwezesha Petro kuwa mtume kwa Wayahudi,
924 Luke 10 37 | Sheria akamjibu, "Ni yule aliyemwonea huruma." Yesu akamwambia, "
925 John 12 44 | akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila
926 John 12 49 | ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.~
927 Gala 1 12 | Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.~
928 John 19 11 | Mungu. Kwa sababu hiyo, yule aliyenikabidhi kwako ana dhambi kubwa zaidi."~
929 Rev 22 8 | ya miguu ya huyo malaika aliyenionyesha mambo hayo, nikataka kumwabudu.~
930 Gala 2 20 | imani katika Mwana wa Mungu aliyenipenda hata akayatoa maisha yake
931 John 5 12 | yeye akawaambia, "Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: `Chukua
932 Luke 12 14 | akamjibu, "Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi mwamuzi au msuluhishi
933 Gala 2 8 | mtume kwa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha nami pia kuwa mtume kwa
934 1Cor 11 5 | hivyo ni sawa tu na mwanamke aliyenyoa kichwa chake.~
935 John 19 35 | 35 Naye aliyeona tukio hilo ametoa habari
936 Acts 6 10 | kwa sababu ya yule Roho aliyeongoza maneno yake.~
937 Luke 10 36 | Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa
938 Ephe 4 10 | aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate
939 Rev 21 2 | umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa tayari kukutana na mumewe.~
940 John 21 7 | 7 Hapo yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu akamwambia Petro, "
941 Hebr 9 15 | 15 Kwa hiyo, Kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa
942 Luke 17 18 | 18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu
943 Gala 5 8 | 8 Aliyesababisha hali hiyo si Mungu ambaye
944 Luke 7 43 | Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda
945 John 13 18 | Matakatifu yasemayo: `Yule aliyeshiriki chakula changu amegeuka
946 John 21 24 | 24 Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika.
947 Ephe 4 10 | 10 Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa
948 Rev 5 4 | sababu hakupatikana mtu aliyestahili kukifungua, au kukitazama
949 Colo 3 11 | kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi
950 Luke 4 27 | Hata hivyo, hakuna yeyote aliyetakaswa ila tu Naamani, mwenyeji
951 John 9 2 | wakamwuliza, "Mwalimu! Ni nani aliyetenda dhambi: mtu huyu, ama wazazi
952 Acts 10 42 | kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu awe Mwamuzi wa
953 Matt 21 31 | nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" Wakamjibu, "
954 Acts 4 34 | 34 Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na
955 Rev 13 17 | kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la
956 1Tim 6 13 | na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli
957 Ephe 1 13 | kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.~
958 Matt 20 7 | Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri.` Yeye akawaambia, `Nendeni
959 2Pet 1 3 | kumcha Mungu kwa kumjua yeye aliyetuita tuushiriki utukufu na wema
960 Roma 5 5 | kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia.~
961 Luke 7 5 | analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi."~
962 John 1 18 | ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari za Mungu.~
963 Gala 3 13 | Maandiko yanasema: "Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa."~
964 Acts 7 40 | hatujui yaliyompata Mose huyu aliyetuongoza kutoka Misri!`~
965 Roma 8 37 | mkubwa kwa msaada wake yeye aliyetupenda.~
966 2Cor 1 22 | 22 ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake
967 2Cor 3 6 | 6 maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya
968 John 12 38 | yakatimia: "Bwana, nani aliyeuamini ujumbe wetu? Na uwezo wa
969 Hebr 11 10 | Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga.~
970 Hebr 9 16 | hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.~
971 Hebr 12 16 | asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza haki yake ya mzaliwa wa
972 Luke 7 25 | nini? Mlikwenda kumwona mtu aliyevalia mavazi maridadi? La hasha!
973 Luke 10 36 | aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?"~
974 Rev 12 1 | Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu
975 Acts 7 37 | 37 Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: `Mungu
976 Gala 1 6 | umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata
977 1Tim 5 10 | aliyewalea watoto wake vizuri, aliyewakaribisha wageni nyumbani kwake, aliyewaosha
978 2Pet 2 1 | maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha
979 Mark 11 25 | kusali, sameheni kila mtu aliyewakosea chochote, ili Baba yenu
980 1Tim 5 10 | na awe mwenye sifa nzuri: aliyewalea watoto wake vizuri, aliyewakaribisha
981 Gala 3 1 | mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa
982 2Tim 2 26 | katika mtego wa Ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa
983 Acts 7 36 | 36 Ndiye aliyewaongoza wale watu watoke Misri kwa
984 Hebr 12 25 | walikataa kumsikiliza yule aliyewaonya hapa duniani hawakuokoka,
985 1Tim 5 10 | aliyewakaribisha wageni nyumbani kwake, aliyewaosha miguu watu wa Mungu, aliyewasaidia
986 1Tim 5 10 | aliyewaosha miguu watu wa Mungu, aliyewasaidia watu wenye taabu, na aliyejitolea
987 Acts 9 21 | Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba
988 1Cor 1 30 | 30 Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu
989 Colo 1 12 | furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu
990 Gala 5 7 | ulikuwa mzuri! Nani, basi aliyewazuia kuuzingatia ukweli?~
991 Hebr 13 9 | hayakumsaidia kamwe mtu yeyote aliyeyafuata.~
992 Acts 1 25 | hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake
993 Hebr 11 9 | aliishi kama mgeni katika nchi aliyoahidiwa na Mungu. Aliishi huko katika
994 Matt 26 75 | Petro akakumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu: "Kabla jogoo hajawika,
995 Luke 17 9 | mtumishi kwa sababu ametimiza aliyoamriwa?~
996 John 5 48 | Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini
997 Acts 28 30 | Paulo aliishi katika nyumba aliyoipanga yeye mwenyewe; akawa anawakaribisha
998 2Cor 3 3 | ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe
999 Luke 13 21 | 21 Ni kama chachu aliyoitwaa mama mmoja na kuichanganya
1000 Rev 13 14 | wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama
1001 Colo 4 17 | aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.~
1002 Luke 1 45 | kwamba yatatimia yale Bwana aliyokwambia."~
1003 2Cor 2 6 | 6 Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu
1004 Ephe 1 20 | 20 aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu,
1005 Roma 12 3 | na kipimo cha imani Mungu aliyomgawia kila mmoja.~
1006 Acts 7 17 | ulipotimia Mungu aitimize ahadi aliyompa Abrahamu, idadi ya wale
1007 John 12 50 | mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme."~ ~ ~~ ~
1008 2Tim 1 18 | Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso. ~ ~~ ~
1009 John 8 28 | ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha.~
1010 John 8 38 | 38 Mimi nasema yale aliyonionyesha Baba, lakini ninyi mwafanya
1011 Luke 15 13 | wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako
1012 Acts 13 12 | akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana.~
1013 Luke 7 1 | 1 Baada ya kusema yale aliyotaka watu wasikie, Yesu alikwenda
1014 Acts 3 18 | Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii
1015 Hebr 10 10 | ile dhabihu ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha.~
1016 1Joh 2 25 | 25 Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: uzima wa
1017 1Cor 2 10 | 10 Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana
1018 Ephe 2 7 | baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana
1019 2Cor 10 13 | katika kile kipimo cha kazi aliyotukabidhi Mungu, kazi ambayo tunaifanya
1020 Ephe 2 10 | kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.~
1021 2Cor 5 5 | wake awe dhamana ya yote aliyotuwekea.~
1022 Ephe 1 14 | kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili
1023 Luke 2 50 | hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.~
1024 Colo 1 26 | 26 ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele,
1025 2The 1 11 | awawezeshe muyastahili maisha aliyowaitia myaishi. Tunamwomba, kwa
1026 2Cor 9 14 | sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu.~
1027 1Cor 2 9 | moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao."~
1028 Acts 9 13 | nimesikia juu ya mabaya aliyowatendea watu wako huko Yerusalemu.~
1029 Acts 28 25 | hili, "Kweli ni sawa yale aliyoyanena Roho Mtakatifu kwa wazee
1030 John 21 24 | kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.~
1031 Rev 18 6 | mlipeni mara mbili kwa yale aliyoyatenda. Jazeni kikombe chake kwa
|