Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

(Hapax - words occurring once)


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

     Book, Chapter, Verse
1616 1Pet 4 11 | anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo 1617 Roma 6 23 | dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uzima wa milele 1618 3Joh 1 10 | anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. 1619 Acts 14 17 | kujidhihirisha kwa mambo mema anayowatendea: huwanyeshea mvua toka angani, 1620 Mark 6 2 | anatendaje maajabu haya anayoyafanya?~ 1621 Roma 3 26 | lakini sasa, wakati huu, anazikabili dhambi za watu apate kuonyesha 1622 Acts 28 3 | mzigo mdogo wa kuni akawa anazitia motoni. Hapo, kwa sababu 1623 Ephe 6 11 | 11 Vaeni silaha anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu 1624 Acts 19 9 | wale wanafunzi wake, akawa anazungumza nao kila siku katika jumba 1625 Luke 22 12 | ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo."~ 1626 Luke 4 21 | Naye akaanza kuwaambia, "Andiko hili mlilosikia likisomwa, 1627 Roma 16 7 | 7 Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu 1628 Hebr 12 1 | na dhambi ile inayotung`ang`ania. Tupige mbio kwa uvumilivu 1629 2Cor 11 16 | nipate kuwa na cha kujivunia angaa kidogo.~ 1630 Luke 16 24 | nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake 1631 Luke 14 32 | wakati mfalme huyo mwingine angali mbali.~ 1632 Hebr 9 26 | ingalikuwa hivyo, Kristo angalipaswa kuteswa mara nyingi tangu 1633 Hebr 4 8 | 8 Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu 1634 Rev 17 10 | saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na 1635 Acts 28 6 | kwamba angevimba au hapohapo angeanguka chini na kufa. Baada ya 1636 Luke 9 51 | ulipokaribia ambapo Yesu angechukuliwa juu mbinguni, yeye alikata 1637 Luke 16 31 | hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka wafu."`~ ~ ~~ ~ 1638 Luke 24 21 | tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, 1639 Luke 9 31 | juu ya kifo chake ambacho angekikamilisha huko Yerusalemu.~ 1640 Matt 11 14 | Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja.~ 1641 John 4 10 | ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai."~ 1642 Luke 11 7 | 7 Naye, akiwa ndani angemjibu: `Usinisumbue! Nimekwisha 1643 Luke 6 7 | wakawa wanangojea waone kama angemponya mtu siku ya Sabato.~ 1644 Acts 12 6 | ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa 1645 Acts 7 25 | wangeelewa kwamba Mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini 1646 Matt 26 53 | kumwomba Baba yangu naye mara angeniletea zaidi ya majeshi kumi na 1647 Matt 24 22 | hakuna binadamu yeyote ambaye angeokoka; lakini siku hizo zitapunguzwa 1648 Mark 13 20 | hakuna binadamu ambaye angeokolewa. Lakini kwa ajili ya wateule 1649 Mark 15 24 | kuyapigia kura waamue nani angepata nini.~ 1650 Acts 25 20 | nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu 1651 Acts 23 10 | jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. Kwa hiyo, 1652 Acts 2 23 | alikwisha amua kwamba Yesu angetiwa mikononi mwenu; nanyi mkamuua 1653 Ephe 1 10 | 10 Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya 1654 Acts 28 6 | walikuwa wakitazamia kwamba angevimba au hapohapo angeanguka chini 1655 Mark 4 12 | wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe."`~ 1656 1Pet 5 8 | huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.~ 1657 Hebr 12 1 | dhambi ile inayotung`ang`ania. Tupige mbio kwa uvumilivu 1658 Matt 7 21 | 21 "Si kila aniambiaye, `Bwana, Bwana,` ataingia 1659 2Cor 12 6 | sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona 1660 Ephe 6 19 | pia ili niongeapo Mungu anijalie cha kusema, niweze kuwajulisha 1661 John 10 15 | 15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi 1662 John 6 57 | sababu yake; vivyo hivyo anilaye mimi ataishi pia kwa sababu 1663 Roma 1 10 | Namwomba Mungu akipenda, anipatie nafasi nzuri ya kuja kwenu 1664 Rev 10 9 | huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye 1665 Matt 10 37 | baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye 1666 Matt 12 18 | niliyemteua, mpendwa wangu anipendezaye moyoni. Nitaiweka Roho yangu 1667 Hebr 13 19 | sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.~ 1668 Rev 2 13 | yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi wangu mwaminifu, 1669 Acts 23 31 | wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.~ 1670 1Cor 11 6 | asiyefunika kichwa chake, afadhali anyoe nywele zake. Lakini ni aibu 1671 1Joh 2 8 | mwanga wa ukweli umekwisha anza kuangaza.~ 1672 1Cor 15 34 | 34 Amkeni! Anzeni kuishi vema, na acheni kutenda 1673 1Cor 7 9 | hawezi kujizuia basi, na aoe; maana ni afadhali zaidi 1674 John 1 29 | ndiye Mwana-kondoo wa Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu!~ 1675 Luke 1 79 | katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya 1676 Acts 8 31 | Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye.~ 1677 1Cor 7 11 | abaki bila kuolewa; ama la, apatanishwe na mume wake. Mume naye 1678 Acts 9 2 | 2 akaomba apatiwe barua za utambulisho kwa 1679 Mark 8 31 | Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa 1680 Roma 16 10 | 10 Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa 1681 Acts 11 29 | kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia 1682 1Tim 3 3 | matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda 1683 Luke 9 39 | anamshambulia, na mara humfanya apige kelele; humtia kifafa, na 1684 Acts 28 15 | kutulaki kwenye soko la Apio na Mikahawa Mitatu. Paulo 1685 Rev 9 11 | Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi.~ 1686 Acts 17 1 | Kwa kupitia Amfipoli na Apolonia, walisafiri mpaka Thesalonika 1687 2Cor 11 32 | aliyekuwa chini ya mfalme Areta, alikuwa akiulinda mji wa 1688 Luke 3 36 | mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa 1689 Roma 16 10 | wote walio nyumbani mwa Aristobulo.~ 1690 Matt 2 22 | Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme 1691 Colo 4 17 | 17 Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma 1692 Phil 1 2 | Afia, na askari mwenzetu Arkupo.~ 1693 Luke 3 33 | mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana 1694 Titus 3 12| 12 Baada ya kumtuma kwako Artema au Tukiko, fanya bidii kuja 1695 Matt 4 4 | mikate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu."`~ 1696 John 8 44 | ukweli haumo ndani yake. Kila asemapo uongo, husema kutokana na 1697 Rev 2 1 | ujumbe kutoka kwake yeye ashikaye nyota saba katika mkono 1698 Titus 1 9 | 9 Ni lazima ashike kikamilifu ujumbe ule wa 1699 Acts 1 17 | chetu maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.~ 1700 1The 4 11 | maisha ya utulivu, kila mmoja ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye 1701 John 6 33 | Maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye 1702 1Cor 7 10 | yangu, ila ni ya Bwana: mke asiachane na mumewe;~ 1703 1Cor 10 12 | amesimama imara ajihadhari asianguke.~ 1704 Hebr 3 13 | mtu yeyote miongoni mwenu asidanganywe na dhambi na kuwa mkaidi.~ 1705 James 1 7 | katika mwenendo wake wote, asidhani ya kwamba atapata chochote 1706 Luke 6 49 | anayesikia maneno yangu lakini asifanye chochote, huyo anafanana 1707 1Tim 3 6 | hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, 1708 John 11 37 | hakuweza kumfanya Lazaro asife?"~ 1709 2Tim 2 24 | 24 Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa mpole kwa 1710 Ephe 4 28 | 28 Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya 1711 Mark 14 35 | kwamba, kama ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso.~ 1712 Acts 1 20 | ibaki mahame; mtu yeyote asiishi ndani yake.` Tena imeandikwa: ` 1713 Acts 19 31 | walimtumia Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kwenda kwenye ukumbi 1714 1Cor 7 18 | akiwa ametahiriwa, basi asijisingizie kwamba hakutahiriwa; na 1715 1Cor 3 21 | 21 Basi, mtu asijivunie watu. Maana kila kitu ni 1716 Acts 20 16 | meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa 1717 Acts 10 22 | akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha 1718 Matt 19 6 | alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe."~ 1719 Titus 2 15| wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.~ ~ ~~ ~ 1720 Luke 8 8 | mzuri, zikaota na kuzaa asilimia mia." Baada ya kusema hayo, 1721 Rev 10 8 | kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya 1722 Roma 12 8 | kwa ukarimu. Msimamizi na asimamie kwa bidii; naye mwenye kutenda 1723 Roma 14 3 | hula tu mboga za majani asimhukumu anayekula kila kitu, maana 1724 1Cor 14 38 | asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.~ 1725 1The 4 6 | 6 Basi, mtu yeyote asimkosee au kumpunja mwenzake kuhusu 1726 1The 5 15 | 15 Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, 1727 Luke 9 39 | Huendelea kumtesa sana, asimwache upesi.~ 1728 Acts 23 22 | alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea 1729 Acts 26 32 | angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari."~ ~ ~~ ~ 1730 Roma 9 29 | Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, 1731 Hebr 8 4 | angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako 1732 Mark 13 20 | 20 Kama Bwana asingepunguza siku hizo, hakuna binadamu 1733 Mark 9 3 | jinsi dobi yeyote duniani asingeweza kuyafanya meupe.~ 1734 2Cor 11 16 | 16 Tena nasema: Mtu asinifikirie kuwa mpumbavu. Lakini kama 1735 Gala 6 17 | 17 Basi, sasa mtu yeyote asinisumbue tena, maana alama nilizo 1736 Luke 4 42 | wakajaribu kumzuia ili asiondoke kwao.~ 1737 1Pet 4 16 | sababu ni Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, 1738 Luke 14 33 | atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.~ 1739 Luke 14 27 | 27 Mtu asipochukua msalaba wake na kunifuata 1740 John 15 6 | 6 Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje 1741 Matt 18 16 | 16 Asipokusikia, chukua mtu mmoja au wawili 1742 John 3 2 | ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye."~ 1743 John 6 44 | kwangu, Baba aliyenituma asipomvuta kwangu; nami nitamfufua 1744 1Cor 12 3 | kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.~ 1745 Luke 11 24 | akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, hujisemea: `Nitarudi kwenye 1746 John 3 27 | Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu.~ 1747 John 3 16 | pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.~ 1748 Luke 14 26 | Mtu yeyote akija kwangu, asipowachukia baba na mama yake, mke wake, 1749 Matt 18 17 | 17 Asipowasikia hao, liambie kanisa. Na 1750 John 6 65 | hakuna awezaye kuja kwangu asipowezeshwa na Baba yangu."~ 1751 2Tim 2 5 | kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo.~ 1752 James 1 13| 13 Kama mtu akijaribiwa, asiseme: "Ninajaribiwa na Mungu." 1753 1Cor 10 24 | 24 Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila 1754 1Cor 7 18 | hakuwa ametahiriwa, basi na asitahiriwe.~ 1755 John 20 14 | Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.~ 1756 Mark 10 9 | alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe."~ 1757 Luke 8 31 | 31 Hao pepo wakamsihi asiwaamuru wamtoke na kwenda kwenye 1758 Mark 5 10 | 10 Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.~ 1759 2Tim 4 16 | wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo!~ 1760 Colo 2 8 | 8 Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa 1761 Hebr 11 28 | yule Malaika Mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa Israeli.~ 1762 Hebr 12 7 | wanawe. Maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?~ 1763 Matt 10 38 | 38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, 1764 2The 3 10 | tulikuwa tukiwaambieni, "Mtu asiyefanya kazi, asile."~ 1765 1Cor 11 6 | 6 Mwanamke asiyefunika kichwa chake, afadhali anyoe 1766 John 10 1 | nawaambieni, yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa 1767 Hebr 10 28 | 28 Mtu yeyote asiyeitii Sheria ya Mose, huuawa bila 1768 Acts 17 23 | Kwa ajili ya Mungu yule Asiyejulikana.` Basi, huyo mnayemwabudu 1769 Rev 15 4 | 4 Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza 1770 1Cor 9 7 | wake jeshini? Mkulima gani asiyekula matunda ya shamba lake la 1771 1Cor 9 7 | mizabibu? Mchungaji gani asiyekunywa maziwa ya mifugo yake?~ 1772 Rev 15 4 | nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako 1773 Hebr 12 16 | na mtu mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza 1774 John 5 24 | vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye 1775 1Joh 4 3 | 3 Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo 1776 John 3 36 | Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima 1777 John 14 24 | 24 Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na 1778 1Cor 7 34 | naye amegawanyika. Mwanamke asiyeolewa au bikira hujishughulisha 1779 Gala 3 10 | Matakatifu yasema: "Yeyote asiyeshika na kutimiza yote yaliyoandikwa 1780 Colo 3 11 | Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa 1781 1Cor 14 38 | 38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali 1782 Roma 4 5 | 5 Lakini mtu asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali 1783 1Joh 3 10 | 10 Lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda 1784 John 12 48 | 48 Asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: 1785 2Joh 1 9 | 9 Asiyezingatia na kudumu katika mafundisho 1786 Luke 4 16 | desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu kwa 1787 Roma 16 14 | 14 Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, 1788 Gala 5 10 | awe nani au nani - hakika ataadhibiwa.~ 1789 Hebr 10 38 | mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi 1790 Luke 11 8 | mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji.~ 1791 Rev 20 8 | 8 Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote 1792 James 1 25| bali anaitekeleza, mtu huyo atabarikiwa katika kila kitu anachofanya.~ 1793 Rev 18 8 | ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu 1794 Matt 1 23 | 23 "Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa 1795 John 16 2 | ambapo kila atakayewaua ninyi atadhani anamhudumia Mungu.~ 1796 John 12 34 | Sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje basi, kusema 1797 Luke 18 5 | ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha 1798 Matt 16 26 | yangu, atayapata. Je, mtu atafaidi nini akiupata utajiri wote 1799 Mark 11 23 | yote anayosema yanafanyika, atafanyiwa jambo hilo.~ 1800 Luke 12 45 | Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: ` 1801 Roma 2 26 | matakwa ya Sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.~ 1802 John 9 22 | atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi.~ 1803 Rev 20 7 | moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.~ 1804 1Pet 3 11 | ajiepushe na uovu, atende mema, atafute amani na kuizingatia.~ 1805 Gala 2 4 | wengine wa uongo waliotaka atahiriwe. Watu hawa walijiingiza 1806 Mark 16 16 | kubatizwa ataokolewa; asiyeamini atahukumiwa.~ 1807 1The 3 13 | 13 Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa 1808 Hebr 12 2 | aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha. Kwa ajili ya furaha iliyokuwa 1809 Luke 13 25 | utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Ninyi 1810 John 3 14 | jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo,~ 1811 Roma 8 11 | aliyemfufua Kristo kutoka wafu ataipa uzima miili yenu yenye hali 1812 Luke 17 33 | anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na yeyote anayeipoteza, 1813 Roma 9 28 | 28 maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili 1814 Luke 1 15 | Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni 1815 Luke 12 37 | Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha 1816 Matt 1 21 | 21 Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa 1817 John 11 10 | Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani 1818 2Tim 2 21 | 21 Basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo 1819 John 8 22 | Wayahudi wakasema, "Je, atajiua? Mbona anasema: `Niendako 1820 1Cor 14 8 | kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa vita?~ 1821 John 7 17 | kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka 1822 Rev 21 3 | makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu 1823 Matt 14 7 | kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.~ 1824 Matt 7 2 | kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu.~ 1825 Gala 6 7 | Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.~ 1826 1Joh 2 17 | unapita; lakini mtu atendaye atakalo Mungu, anaishi milele.~ 1827 John 6 6 | Filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.)~ 1828 John 2 5 | akawaambia watumishi, "Lolote atakalowaambieni, fanyeni."~ 1829 Rev 10 7 | atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama 1830 Luke 12 9 | anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.~ 1831 Roma 16 2 | Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye 1832 Luke 12 36 | arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha hodi.~ 1833 Matt 17 9 | mliyoyaona mpaka Mwana wa Mtu atakapofufuliwa kutoka wafu."~ 1834 Roma 2 16 | itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu 1835 Matt 12 20 | ufukao moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya hukumu ya haki itawale.~ 1836 1Cor 15 28 | Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka 1837 Matt 19 28 | Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha 1838 James 2 13| Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. 1839 Matt 16 27 | malaika wake, na hapo ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo 1840 1Pet 1 13 | mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!~ 1841 Rev 10 7 | atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha 1842 Hebr 9 10 | yake hukoma wakati Mungu atakaporekebisha vitu vyote.~ 1843 Rev 10 7 | wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga 1844 1Cor 15 25 | sharti atawale mpaka Mungu atakapowashinda adui zake na kuwaweka chini 1845 Acts 1 8 | Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na 1846 Rev 12 4 | kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.~ 1847 Matt 10 14 | 14 Kama mtu yeyote atakataa kuwakaribisheni au kuwasikilizeni, 1848 Matt 12 40 | ndivyo naye Mwana wa Mtu atakavyokaa ndani ya ardhi siku tatu 1849 John 21 19 | alionyesha jinsi Petro atakavyokufa na kumtukuza Mungu.) Kisha 1850 Luke 22 4 | walinzi wa Hekalu kuhusu atakavyomsaliti Yesu kwao.~ 1851 Rev 18 21 | akisema, "Ndivyo, Babuloni atakavyotupwa na kupotea kabisa.~ 1852 1Cor 10 27 | kwenda, basi, kuleni vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu 1853 Titus 1 9 | unavyofundishwa. Ndivyo atakavyoweza kuwatia wengine moyo kwa 1854 1Cor 15 26 | 26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.~ 1855 Matt 26 23 | 23 Yesu akajibu, "Atakayechovya mkate pamoja nami katika 1856 Luke 22 23 | kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo hilo.~ 1857 Hebr 12 20 | kustahimili amri iliyotolewa: "Atakayegusa mlima huu, hata kama ni 1858 John 16 22 | na furaha hiyo hakuna mtu atakayeiondoa kwenu.~ 1859 John 7 27 | Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini 1860 John 14 16 | atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.~ 1861 Mark 10 40 | 40 Lakini ni nani atakayeketi kulia au kushoto kwangu 1862 John 9 22 | wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa 1863 Luke 14 15 | akasema, "Ana heri mtu yule atakayekula chakula katika Ufalme wa 1864 John 4 14 | 14 Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona 1865 John 21 20 | kumwuliza: "Bwana ni nani atakayekusaliti?")~ 1866 Mark 9 42 | 42 "Mtu yeyote atakayemfanya mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini 1867 Hebr 8 11 | 11 Hakuna mtu atakayemfundisha mwananchi mwenzake, wala 1868 Matt 18 6 | 6 "Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, 1869 Luke 10 42 | zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag`anya."~ ~ ~~ ~ 1870 Matt 10 42 | Kweli nawaambieni, yeyote atakayempa mmojawapo wa wadogo hawa 1871 Matt 5 28 | Lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, 1872 Matt 19 9 | Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu 1873 Hebr 8 11 | mwananchi mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: `Mjue Bwana.` 1874 Hebr 12 14 | utakatifu, kwa sababu hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama 1875 Matt 17 27 | chukua samaki wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa chake, na 1876 2Cor 2 2 | nikiwahuzunisha ninyi, basi, ni nani atakayenifariji? Ni walewale niliowahuzunisha!~ 1877 Matt 10 33 | 33 Lakini yeyote atakayenikana hadharani, nami nitamkana 1878 Roma 7 24 | 24 Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu 1879 Acts 20 25 | najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena.~ 1880 Luke 14 24 | mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu."`~ 1881 Rev 18 22 | fundi wa namna yoyote ile atakayepatikana tena ndani yako; wala sauti 1882 Rev 21 7 | 7 Yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa 1883 Hebr 4 11 | asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa 1884 Rev 19 15 | atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua 1885 Mark 16 3 | wakawa wanaambiana, "Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?"~ 1886 Matt 5 21 | kale waliambiwa: `Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.`~ 1887 Matt 5 19 | 19 Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko 1888 Matt 2 6 | kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu, Israeli."`~ 1889 Ephe 1 17 | mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni 1890 John 16 2 | wakati unakuja ambapo kila atakayewaua ninyi atadhani anamhudumia 1891 1Pet 3 15 | Muwe tayari kumjibu yeyote atakayewaulizeni juu ya matumaini yaliyo 1892 Luke 9 24 | mwenyewe, atayapoteza; lakini atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, 1893 Luke 1 35 | kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana 1894 Matt 5 19 | wa mbiguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, 1895 Matt 24 42 | kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.~ 1896 Matt 25 31 | wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi 1897 Mark 9 41 | 41 Mtu yeyote atakeyewapeni kikombe cha maji ya kunywa 1898 Matt 12 42 | hiki kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. Maana 1899 Mark 9 49 | 49 "Maana kila mmoja atakolezwa kwa moto.~ 1900 Acts 11 14 | 14 Yeye atakuambia maneno ambayo kwayo wewe 1901 Ephe 5 14 | kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza."~ 1902 John 21 18 | mikono yako, na mtu mwingine atakufunga na kukupeleka usikopenda 1903 Roma 11 21 | matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?~ 1904 Rev 3 20 | chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami.~ 1905 Rev 14 10 | 10 yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, 1906 Acts 23 3 | akamwambia, "Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye kama ukuta 1907 Luke 1 35 | akamjibu, "Roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu 1908 Roma 13 3 | mamlaka? Fanya mema naye atakusifu;~ 1909 Mark 1 2 | wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako.~ 1910 2Tim 2 7 | ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote.~ 1911 Luke 1 13 | imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa 1912 Colo 3 25 | 25 Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; 1913 Luke 15 5 | 5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.~ 1914 1Cor 3 17 | akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu; maana hekalu la Mungu ni 1915 1Cor 15 24 | utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi Mungu Baba Utawala, baada 1916 Rev 22 19 | katika kitabu hiki, Mungu atamnyang`anya sehemu yake katika 1917 Mark 11 3 | Mwambieni, `Bwana anamhitaji na atamrudisha hapa mara."` ic\is Bethania ( 1918 Luke 1 17 | 17 Atamtangulia Bwana akiongozwa na nguvu 1919 Acts 2 30 | Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa 1920 John 14 26 | Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni 1921 Roma 9 12 | kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi 1922 2The 2 8 | lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake 1923 Matt 19 5 | Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, 1924 Acts 2 39 | ambaye Bwana Mungu wetu atamwita kwake."~ 1925 Rev 1 7 | katika mawingu! Kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. 1926 Rev 22 18 | katika mambo haya, Mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika 1927 John 5 21 | anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, 1928 Matt 1 23 | Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, naye ataitwa 1929 Acts 26 23 | kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi 1930 Luke 18 5 | ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha kabisa!"`~ 1931 Phil 1 22 | kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.~ 1932 2Tim 4 18 | 18 Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na 1933 2Tim 4 8 | ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si 1934 Roma 14 11 | niishivyo, asema Bwana kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri 1935 John 15 26 | kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.~ 1936 John 16 14 | 14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawaambieni 1937 Matt 24 13 | atakayevumilia mpaka mwisho, ataokoka.~ 1938 John 4 13 | Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.~ 1939 2The 2 6 | hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.~ 1940 Luke 8 18 | mnavyosikia; maana aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, 1941 Acts 6 14 | eti huyo Yesu wa Nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia 1942 Mark 9 12 | Matakatifu kwamba Mwana wa Mtu atapatwa na mateso mengi na kudharauliwa?~ 1943 Matt 5 22 | Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu 1944 Matt 11 27 | yeyote yule ambaye Mwana atapenda kumjulisha.~ 1945 John 14 21 | anipendaye. Naye anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda 1946 1Cor 14 25 | wake zitafichuliwa, naye atapiga magoti na kumwabudu Mungu 1947 Rev 11 7 | mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.~ 1948 John 12 31 | mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa.~ 1949 2The 2 4 | 4 Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu 1950 James 5 15| Wakiomba kwa imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana atampatia nafuu, 1951 1Cor 8 11 | alikufa kwa ajili yake, atapotea kwa sababu ya ujuzi wako.~ 1952 1Cor 3 15 | alichojenga kitaunguzwa, basi, atapoteza tuzo lake; lakini yeye mwenyewe 1953 Hebr 4 10 | pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama 1954 Luke 1 78 | mpole na mwenye huruma. Atasababisha pambazuko angavu la ukombozi 1955 John 14 23 | akamjibu, "Mtu akinipenda atashika neno langu, na Baba yangu 1956 Luke 11 31 | hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye 1957 Roma 14 4 | shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza 1958 Matt 5 22 | Anayemwita ndugu yake: `Pumbavu` atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.~ 1959 Rev 7 15 | aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda.~ 1960 Matt 12 18 | Roho yangu juu yake, naye atatangaza hukumu yangu kwa mataifa 1961 Rev 11 15 | wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!"~ 1962 Acts 3 23 | hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali na watu wa Mungu na 1963 Rev 14 10 | kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti 1964 Acts 13 22 | na moyo wangu; mtu ambaye atatimiza yale yote ninayotaka kuyatenda.`~ 1965 James 1 10| anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.~ 1966 Luke 1 73 | Abrahamu baba yetu, ni kwamba atatujalia sisi~ 1967 John 4 25 | Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu."~ 1968 2Tim 2 12 | naye. Tukimkana, naye pia atatukana.~ 1969 Luke 6 38 | wengine ndicho ambacho Mungu atatumia kwenu."~ 1970 2Cor 5 1 | itakapong`olewa, Mungu atatupa makao mengine mbinguni, 1971 1Joh 1 9 | mwaminifu na mwadilifu, naye atatusamehe dhambi zetu na kututakasa 1972 John 13 32 | Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake 1973 Acts 17 31 | amekwisha weka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki kwa njia 1974 Roma 11 26 | Mkombozi atakuja kutoka Sioni, atauondoa uovu wa Yakobo.~ 1975 Luke 1 33 | 33 Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na 1976 1Cor 6 13 | chakula." Sawa; lakini Mungu ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu 1977 Luke 20 18 | akianguka juu ya jiwe hilo, atavunjika vipandevipande; na likimwangukia 1978 Matt 21 3 | Bwana anawahitaji,` naye atawaachieni mara."~ 1979 1The 4 6 | na kuwaonya kwamba Bwana atawaadhibu wanaofanya mambo hayo.~ 1980 Matt 21 41 | 41 Wao wakamjibu, "Atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile 1981 Rev 22 5 | wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na 1982 Mark 1 8 | ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu."~ 1983 Luke 1 16 | 16 Atawaelekeza wengi wa watu wa Israeli 1984 1Pet 2 19 | anataka hivyo, basi Mungu atawafadhili.~ 1985 Matt 21 40 | la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?"~ 1986 Matt 18 19 | Baba yangu wa mbinguni atawafanyia jambo hilo.~ 1987 Matt 18 35 | baba yangu aliye mbinguni atawafanyieni vivyo hivyo kama kila mmoja 1988 Gala 1 8 | malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na 1989 Luke 1 72 | 72 Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka 1990 1Cor 1 8 | 8 Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate 1991 2The 3 3 | Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule 1992 James 4 10| Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.~ 1993 1Pet 5 10 | na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu 1994 Luke 12 37 | atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia.~ 1995 James 4 7 | Mungu; mpingeni Ibilisi naye atawakimbieni.~ 1996 Ephe 1 14 | latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. 1997 Ephe 4 30 | siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.~ 1998 1Cor 4 17 | mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia ninayofuata katika 1999 Roma 9 5 | ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe 2000 1The 4 14 | sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote 2001 2The 1 6 | atafanya jambo la haki: atawalipa mateso wale wanaowatesa 2002 Matt 1 21 | jina Yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika 2003 Mark 14 15 | 15 Naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani 2004 Luke 22 12 | 12 Naye atawaonyesheni chumba kikubwa ghorofani 2005 Luke 1 17 | nguvu na roho kama Eliya. Atawapatanisha kina baba na watoto wao; 2006 Acts 3 22 | alisema, `Bwana Mungu wenu atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati 2007 Matt 6 14 | yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.~ 2008 Luke 15 8 | akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta 2009 Matt 6 7 | Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno 2010 2Cor 9 11 | 11 Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, 2011 Roma 15 12 | katika ukoo wa Yese, naye atawatawala watu wa mataifa; nao watamtumainia."~ 2012 Matt 25 32 | yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha 2013 Luke 18 8 | 8 Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako 2014 Acts 7 37 | watu wa Israeli: `Mungu atawateulieni nabii kama mimi kutoka katika 2015 John 16 8 | 8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea 2016 Matt 25 33 | 33 Atawaweka kondoo upande wake wa kulia 2017 Luke 20 35 | lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa 2018 Luke 2 23 | mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana."~ 2019 1Cor 4 5 | Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, 2020 Hebr 3 5 | juu ya mambo ambayo Mungu atayasema hapo baadaye.~ 2021 Rev 12 5 | akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya 2022 John 12 25 | yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uzima wa milele.~ 2023 John 15 5 | yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila 2024 2Cor 9 10 | pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno 2025 John 12 35 | ili giza lisiwapate; maana atembeaye gizani hajui aendako.~ 2026 1Cor 16 2 | Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya 2027 Mark 6 17 | alikuwa ameamuru Yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. 2028 Mark 9 18 | humwangusha chini na kumfanya atokwe na povu kinywani, akisaga 2029 Luke 24 7 | Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, 2030 Acts 8 39 | wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona 2031 2Cor 2 11 | ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake 2032 Titus 2 14| mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote 2033 1Cor 14 26 | kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha 2034 Roma 12 7 | Mwenye kipaji cha utumishi na atumikie. mwenye kipaji cha kufundisha 2035 2The 3 2 | 2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, 2036 1Cor 4 1 | 1 Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa 2037 1Joh 5 15 | tunapomwomba, twajua pia kwamba atupatia yote tunayomwomba.~ 2038 1The 3 10 | mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa 2039 Luke 19 14 | wakaseme: `Hatumtaki huyu atutawale.`~ 2040 1The 3 11 | mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.~ 2041 1Cor 2 12 | Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa 2042 Luke 16 24 | kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka 2043 Ephe 5 29 | 29 Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, 2044 John 3 17 | hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe 2045 John 3 17 | auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.~ 2046 Ephe 2 15 | kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja 2047 John 6 33 | ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima."~ 2048 Rev 20 9 | wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka 2049 Gala 6 4 | 4 Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. 2050 Matt 13 23 | udongo mzuri ni mfano wa mtu ausikiaye ujumbe huo na kuuelewa, 2051 Rev 8 3 | Naye akapewa ubani mwingi autoe sadaka pamoja na sala za 2052 Luke 22 36 | yeyote asiye na upanga, auze koti lake anunue mmoja.~ 2053 Hebr 1 2 | aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu vyote.~ 2054 1Cor 12 4 | namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.~ 2055 Luke 14 17 | ulipofika alimtuma mtumishi wake awaambie walioalikwa, `Njoni, kila 2056 John 11 57 | akijua mahali aliko Yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.~ ~ ~~ ~ 2057 Acts 3 26 | mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja 2058 Roma 8 19 | vinatazamia kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.~ 2059 Hebr 1 7 | malaika, Mungu alisema: "Mungu awafanya malaika wake kuwa pepo, 2060 1The 5 23 | Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila 2061 Mark 15 11 | wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.~ 2062 Matt 18 13 | humfurahia huyo kuliko awafurahiavyo wale tisini na tisa ambao 2063 Mark 10 13 | walimletea Yesu watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea.~ 2064 1The 3 2 | ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,~ 2065 1Pet 5 6 | mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.~ 2066 Hebr 2 14 | kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na 2067 Acts 9 2 | wanaofuata Njia ya Bwana, awakamate na kuwaleta Yerusalemu.~ 2068 Hebr 13 21 | 21 Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili 2069 Hebr 2 15 | 15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha 2070 Luke 3 3 | watubu na kubatizwa ili Mungu awaondolee dhambi.~ 2071 Acts 27 3 | Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji 2072 Luke 16 28 | ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye 2073 1Pet 3 18 | kwa ajili ya waovu, ili awapeleke ninyi kwa Mungu. Aliuawa 2074 2Cor 8 6 | Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii 2075 2Cor 8 9 | kutokana na umaskini wake, awatajirishe.~ 2076 Rev 22 16 | nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. 2077 Mark 3 14 | mitume,*fb* wakae naye, awatume kuhubiri~ 2078 Matt 9 17 | 17 Wala hakuna mtu awekaye divai mpya katika viriba 2079 1Cor 14 27 | zaidi, tena mmojammoja; na aweko mtu wa kufafanua yanayosemwa.~ 2080 Acts 23 35 | kufika." Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani ya 2081 Matt 23 13 | is Baadhi ya makala zina aya ya 14: ~\ie Ole wenu walimu 2082 1Cor 1 28 | hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira 2083 John 12 7 | Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi 2084 Matt 5 32 | sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mtu akimwoa mwanamke 2085 John 14 21 | 21 Azipokeaye amri zangu na kuzishika, 2086 Acts 8 40 | 40 Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote 2087 Ephe 2 21 | hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.~ 2088 Jude 1 11 | wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi 2089 Roma 11 4 | saba ambao hawakumwabudu Baali."~ 2090 Acts 26 2 | Agripa, ninajiona mwenye bahati leo kujitetea mbele yako 2091 Roma 5 16 | 16 Kuna tofauti baina ya zawadi ya Mungu, na dhambi 2092 Roma 3 9 | kidogo! Kwa maana nimekwisha bainisha hapo mwanzoni kwamba Wayahudi 2093 Rev 2 14 | wa Balaamu aliyemfundisha Balaki kuwatega wana wa Israeli 2094 Acts 19 1 | Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso ambako aliwakuta 2095 Hebr 11 32 | kueleza juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, Daudi, 2096 Matt 23 35 | kuuawa kwa Zakariya, mwana wa Barakia, ambaye mlimuua ~Hekaluni 2097 Acts 14 21 | 21 Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko 2098 Mark 10 46 | kipofu mwombaji aitwaye Bartimayo mwana wa Timayo alikuwa 2099 Acts 13 6 | mchawi mmoja Myahudi aitwaye Baryesu ambaye alijisingizia kuwa 2100 Mark 3 18 | 18 Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo 2101 Roma 1 21 | yake, fikira zao zimekuwa batili na akili zao tupu zimejaa 2102 2Pet 2 15 | aliyofuata Balaamu, mwana wa Beori, ambaye alipendelea kupata 2103 John 5 2 | maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza 2104 Rev 18 11 | hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao;~ 2105 Colo 4 10 | anawasalimuni; hali kadhalika Marko, binamu yake Barnaba, (mmekwisha 2106 1Cor 1 20 | mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati 2107 Luke 12 53 | baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; 2108 Matt 23 23 | majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku ~mnaacha 2109 Mark 3 17 | aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake "wanangurumo"),~ 2110 Gala 2 18 | tena kile nilichokwisha bomoa, basi nahakikisha kwamba 2111 Luke 3 5 | 5 Kila bonde litafukiwa, kila mlima na 2112 1Cor 9 26 | ninavyopigana, na si kama bondia anayetupa ngumi zake hewani.~ 2113 Rev 8 10 | nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto, ikaanguka kutoka 2114 Phil 1 20 | ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika 2115 John 3 29 | 29 Bibiarusi ni wake bwanaarusi, lakini rafiki yake bwana 2116 Acts 17 18 | Anataka kusema nini huyu bwanamaneno?" Kwa kuwa Paulo alikuwa


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License