Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

(Hapax - words occurring once)


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

     Book, Chapter, Verse
2117 Acts 6 3 | 3 Hivyo, ndugu zetu, chagueni miongoni mwenu watu saba 2118 Colo 3 5 | kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, 2119 Mark 4 28 | matunda: kwanza huchipua jani changa, kisha suke, na mwishowe 2120 Luke 17 6 | ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza 2121 Rev 20 11 | nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. 2122 Acts 11 7 | ikiniambia: `Petro amka, chinja, ule.`~ 2123 Matt 22 4 | ombe ~wanono wamekwisha chinjwa; kila kitu ni tayari, njoni 2124 Matt 18 9 | kuingia katika uzima ukiwa chongo, kuliko kutupwa katika moto 2125 Acts 15 12 | 12 Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza 2126 John 2 8 | Kisha akawaambia, "Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu."~ 2127 Rev 13 2 | niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama 2128 1Joh 4 1 | ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu 2129 Colo | Colossians~ 2130 1Cor 4 11 | 11 Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, 2131 Matt 16 3 | kuangalia anga, lakini kutambua dalili za nyakati hizi hamjui.~ 2132 Mark 8 10 | wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.~ 2133 2Tim 4 10 | Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia.~ 2134 Acts 1 19 | wakaliita lile shamba `Hekeli Dama`, maana yake, `Shamba la 2135 Acts 17 34 | mwanamke mmoja aitwaye Damari na wengineo.~ ~~ ~ 2136 Colo 2 18 | amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia~ 2137 Matt 24 15 | Haribifu` lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, ( 2138 Rev 22 2 | mwezi; na majani yake ni dawa ya kuwaponya watu wa mataifa.~ 2139 Acts 26 7 | wakimtumikia Mungu kwa dhati mchana na usiku. Mheshimiwa 2140 Gala 6 7 | Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho 2141 Roma 3 21 | kuwa waadilifu imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea Sheria. 2142 Roma 1 29 | Wamejaa kila aina ya uovu, dhuluma, ulafi na ufisadi. Wamejaa 2143 Acts 17 34 | Miongoni mwao walikuwa Dionisio wa Areopago, mwanamke mmoja 2144 3Joh 1 9 | kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe, ambaye hupenda kuwa kiongozi 2145 Acts 20 9 | aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea 2146 Mark 9 3 | yakawa meupe sana, jinsi dobi yeyote duniani asingeweza 2147 2Tim 2 17 | Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni 2148 Acts 24 24 | alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. 2149 1Tim 2 1 | Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za 2150 Rev 4 4 | 4 Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne 2151 Rev 13 2 | miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha 2152 Matt 25 9 | na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!`~ 2153 2Tim 3 14 | 14 Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, 2154 Colo 4 2 | 2 Dumuni katika sala, na mnaposali 2155 Colo 1 20 | viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani kwa damu 2156 Hebr 8 4 | Kama yeye angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, 2157 Luke 3 35 | mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,~ 2158 2Tim 4 21 | kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; 2159 Mark 7 34 | akapiga kite, akamwambia, "Efatha," maana yake, "Funguka."~ 2160 John 11 54 | jangwa, katika mji uitwao Efraimu. Akakaa huko pamoja na wanafunzi 2161 Luke 3 29 | mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana 2162 Acts 13 8 | 8 Lakini huyo mchawi Elima (kama alivyokuwa anaitwa 2163 Luke 4 27 | nchi ya Israeli nyakati za Elisha kulikuwa na wenye ukoma 2164 Luke 3 28 | mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,~ 2165 Matt 1 23 | mtoto wa kiume, naye ataitwa Emanueli" (maana yake, "Mungu yu 2166 Luke 24 13 | kijiji kimoja kiitwacho Emau, umbali wa kilomita kumi 2167 Luke 3 38 | 38 mwana wa Enosi, mwana wa Sethi, mwana wa 2168 Roma 16 5 | zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika 2169 1Cor 10 14 | Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.~ 2170 Ephe | Ephesians~ 2171 Acts 17 18 | Wengine waliofuata falsafa ya Epikuro na Stoiki walibishana naye. 2172 2Tim 2 23 | 23 Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; 2173 1Joh 5 21 | 21 Watoto wangu, epukaneni na sanamu za miungu.~ ~ 2174 1The 5 22 | 22 na epukeni kila aina ya uovu.~ 2175 Luke 3 28 | mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,~ 2176 Acts 8 27 | hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko 2177 2Tim 1 5 | Loisi, na pia mama yako Eunike. Nina hakika kwamba wewe 2178 2Tim 2 26 | 26 Hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka 2179 Acts 17 18 | 18 Wengine waliofuata falsafa ya Epikuro na Stoiki walibishana 2180 Luke 2 36 | sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa 2181 2Cor 13 7 | tuonekane kama watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, 2182 Luke 3 33 | mwana wa Hesroni, mwana wa Feresi, mwana wa Yuda,~ 2183 Luke 13 14 | sita za kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa 2184 1Tim 4 15 | 15 Fikiri kwa makini juu ya hayo yote 2185 2Tim 2 7 | 7 Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana 2186 Hebr 13 7 | waliowatangazieni ujumbe wa Mungu. Fikirieni juu ya mwenendo wao, mkaige 2187 2Tim 2 17 | waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.~ 2188 Roma 16 15 | 15 Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada 2189 Matt 23 13 | wanaotaka kuingia waingie.*fj* ~\fm j ~\fr 23:13 ~\f ~\ 2190 Matt 24 33 | kwamba yuko karibu sana.*fk*~ 2191 Roma 16 14 | 14 Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na 2192 Matt 26 28 | yangu inayothibitisha agano,*fn* damu inayomwagwa kwa ajili 2193 Matt 26 39 | inawezekana, aacha kikombe*fo* hiki cha mateso kinipite; 2194 Roma 16 1 | kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika 2195 1Cor 16 17 | Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza 2196 Matt 26 42 | kama haiwezekani kikombe*fp* hiki kinipite bila mimi 2197 Matt 27 17 | kati ya wawili hawa, Baraba*fq* ama Yesu aitwae Kristo?"~ 2198 2Tim 2 22 | Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, 2199 1Cor 4 16 | 16 Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.~ 2200 Matt 10 8 | 8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, 2201 Roma 6 9 | kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na hafi tena; 2202 2Tim 1 15 | wameniacha, miongoni mwao wakiwa Fugelo na Hermogene. ~ 2203 Titus 2 15| 15 Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka 2204 Colo 3 16 | pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima 2205 Matt 17 27 | wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa chake, na ndani utakuta 2206 Mark 7 34 | Efatha," maana yake, "Funguka."~ 2207 Hebr 13 23 | yetu Timotheo amekwisha funguliwa gerezani. Kama akifika hapa 2208 Mark 1 14 | 14 Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda 2209 Acts 10 30 | amevaa mavazi yenye kun`gaa alisimama mbele yangu,~ 2210 John 19 13 | ya Mawe" (kwa Kiebrania, Gabatha).~ 2211 Rev 7 5 | na mbili elfu, kabila la Gadi, kumi na mbili elfu;~ 2212 Gala | Galatians~ 2213 Acts 8 26 | inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza." (Njia hiyo hupita jangwani.)~ 2214 Hebr 11 32 | hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, 2215 Luke 8 37 | 37 Wakazi wa nchi ya Gerase walishikwa na hofu kubwa. 2216 Acts 20 9 | akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha 2217 Acts 27 39 | kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua 2218 Rev 20 8 | kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya 2219 Acts 6 13 | ambao walisema, "Mtu huyu haachi kamwe kusema maneno ya kupakashifu 2220 Matt 10 29 | tano. Lakini hata mmoja wao haanguki chini bila kibali cha Baba 2221 James 1 17| Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala hana alama yoyote ya 2222 2Cor 8 12 | hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.~ 2223 John 7 10 | alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.~ 2224 Acts 19 36 | msifanye chochote bila hadhari.~ 2225 1Cor 14 16 | kwa kusema: "Amina," kama haelewi unachosema?~ 2226 Luke 9 62 | na huku anaangalia nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu."~ ~ ~~ ~ 2227 Matt 27 24 | Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi 2228 Gala 6 7 | 7 Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu 2229 Roma 2 13 | 13 Mtu hafanywi kuwa mwadilifu mbele yake 2230 1Cor 13 6 | 6 hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.~ 2231 Gala 3 20 | 20 Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu 2232 Gala 2 6 | kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje - 2233 1Pet 4 1 | mtu akisha teseka kimwili hahusiki tena na dhambi.~ 2234 Hebr 9 8 | kuingia Mahali Patakatifu haijafunguliwa.~ 2235 1Joh 3 2 | Mungu sasa, lakini bado haijaonekana wazi jinsi tutakavyokuwa. 2236 Matt 24 21 | kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa ulimwengu 2237 John 9 32 | Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho 2238 Mark 13 19 | kutakuwa na dhiki ambayo haijatokea tangu Mungu alipoumba ulimwengu 2239 John 10 34 | 34 Yesu akawajibu, "Je, haikuandikwa katika Sheria yenu: `Mimi 2240 Matt 7 25 | kuipiga nyumba hiyo. Lakini haikuanguka kwa sababu ilikuwa imejengwa 2241 Roma 4 13 | ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii 2242 Roma 4 19 | moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua kwamba mwili 2243 Roma 10 2 | Mungu; lakini bidii hiyo haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli.~ 2244 Matt 18 33 | 33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi 2245 Luke 24 26 | 26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo 2246 James 5 17| moyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wa miaka 2247 Rev 16 20 | vikatoweka, nayo milima haikuonekena tena.~ 2248 John 12 30 | akawaambia, "Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila 2249 Rev 21 1 | vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena.~ 2250 1Cor 9 21 | walio nje ya Sheria. Hii haimaanishi kwamba mimi niko nje ya 2251 Roma 7 2 | mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.~ 2252 Acts 2 24 | maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.~ 2253 1Cor 15 27 | ni dhahiri kwamba Mungu haingii katika kundi hilo la vitu, 2254 1Cor 13 3 | uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote.~ 2255 1Cor 4 4 | 4 Dhamiri yangu hainishtaki kwa jambo lolote, lakini 2256 1The 5 4 | hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile 2257 Roma 14 22 | katika kujiamulia la kufanya, haipingi dhamiri yake.~ 2258 1Cor 9 8 | kibinadamu tu? Je, Sheria nayo haisemi hivyo?~ 2259 2The 2 3 | yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu 2260 1Cor 14 17 | bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.~ 2261 Acts 28 4 | kuangamia baharini, `Haki` haitamwacha aendelee kuishi!"~ 2262 1Cor 15 36 | mbegu, isipokufa kwanza haitaota.~ 2263 Matt 24 21 | ulimwengu mpaka leo, wala haitapata kutokea tena.~ 2264 1Cor 15 58 | katika utumishi wa Bwana haitapotea bure.~ ~ ~~ ~ 2265 Luke 12 33 | jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, 2266 Mark 13 19 | ulimwengu mpaka leo, wala haitatokea tena.~ 2267 1Cor 14 6 | lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama 2268 Roma 6 14 | 14 Maana, dhambi haitawatawala ninyi tena, kwani hamko 2269 Gala 3 12 | 12 Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: " 2270 Roma 8 7 | mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi 2271 James 3 15| 15 Hekima ya namna hiyo haitoki juu mbinguni; hekima hiyo 2272 Mark 9 24 | Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie!"~ 2273 John 6 7 | denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila 2274 Roma 5 13 | ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.~ 2275 Acts 18 14 | 14 Kabla tu Paulo hajaanza kusema, Galio aliwaambia 2276 Luke 2 21 | amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.~ 2277 Acts 7 2 | alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.~ 2278 John 3 24 | huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)~ 2279 Acts 22 25 | viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?"~ 2280 John 11 30 | 30 Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado 2281 1Joh 4 18 | wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani 2282 1Tim 3 6 | 6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe 2283 John 1 48 | mtini hata kabla Filipo hajakuita, nilikuona."~ 2284 Acts 25 16 | aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na washtaki wake ana kwa 2285 John 10 13 | 13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu 2286 Luke 7 10 | walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.~ 2287 Matt 17 25 | ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, " 2288 1Tim 5 9 | wajane, mjane yeyote ambaye hajatimiza miaka sitini. Tena awe amepata 2289 Matt 11 11 | mwa watoto wote wa watu, hajatokea aliye mkuu kuliko Yohane 2290 John 7 39 | kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)~ 2291 John 6 17 | limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia bado.~ 2292 John 8 58 | nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi niko."~ 2293 1Cor 13 4 | mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.~ 2294 1Cor 13 4 | hana wivu, hajidai, wala hajivuni.~ 2295 Luke 12 47 | matakwa ya bwana wake lakini hajiweki tayari kufanya anavyotakiwa, 2296 Roma 11 29 | zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba amefanya hivyo.~ 2297 Acts 17 24 | wa mbingu na nchi; yeye hakai katika hekalu zilizojengwa 2298 2Pet 3 9 | 9 Bwana hakawii kutimiza yale aliyoahidi 2299 Acts 11 8 | kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.`~ 2300 Rev 3 2 | kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, 2301 Colo 4 16 | 16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo 2302 John 20 7 | kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali 2303 Roma 6 9 | wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.~ 2304 Mark 7 19 | 19 kwa maana hakimwingii moyoni, ila tumboni, na 2305 Matt 17 20 | Hakuna chochote ambacho hakingewezekana kwenu."*fg* kuondolewa ila 2306 Luke 5 36 | vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.~ 2307 Rev 20 6 | wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa 2308 Mark 16 18 | kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, 2309 James 3 8 | ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.~ 2310 Matt 16 18 | langu; wala kifo chenyewe hakitaweza kulishinda.~ 2311 Acts 14 17 | 17 Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha kwa mambo 2312 Acts 2 31 | Kristo wakati aliposema: `Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.`~ 2313 1Joh 5 10 | yeye kuwa mwongo, maana hakuamini ushahidi alioutoa Mungu 2314 Hebr 11 31 | Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi 2315 1Tim 6 3 | cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana 2316 John 7 10 | Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.~ 2317 Hebr 7 16 | 16 Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na 2318 1Cor 15 17 | 17 Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya 2319 John 2 25 | 25 Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya 2320 2Pet 2 5 | 5 Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali 2321 Roma 4 20 | 20 Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; 2322 Acts 18 17 | ya mahakama. Lakini Galio hakujali kitendo hicho hata kidogo.~ 2323 Rev 18 18 | uliouteketeza, wakalia kwa sauti: "Hakujapata kuwako mji kama mji huu 2324 Roma 15 3 | 3 Maana Kristo hakujipendelea mwenyewe; ila alikuwa kama 2325 Hebr 5 5 | Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa 2326 John 1 20 | 20 Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali 2327 1Cor 15 2 | niliyowahubirieni, na kama kuamini kwenu hakukuwa bure.~ 2328 Acts 24 18 | ile ibada ya kujitakasa. Hakukuwako kundi la watu wala ghasia.~ 2329 Gala 2 3 | Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa,~ 2330 Hebr 7 14 | kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya 2331 Luke 14 30 | alianza kujenga, lakini hakumalizia.`~ 2332 1Cor 15 15 | kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua - kama ni kweli kwamba wafu 2333 Roma 8 32 | 32 Mungu hakumhurumia hata mwanae wa pekee, bali 2334 Acts 7 18 | Mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua Yosefu alianza kutawala 2335 Matt 15 20 | chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu najisi."~ 2336 John 3 17 | 17 Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu 2337 John 3 18 | amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.~ 2338 Acts 8 39 | atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea 2339 Hebr 8 7 | halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.~ 2340 John 8 29 | aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya 2341 2Cor 2 5 | aliyemhuzunisha mwingine, hakunihuzunisha mimi - ila amewahuzunisha 2342 1Cor 1 17 | 17 Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri 2343 Hebr 11 5 | na Mungu, asipate kufa. Hakuonekana tena kwa sababu Mungu alikuwa 2344 Mark 4 34 | 34 Hakuongea nao chochote bila kutumia 2345 Acts 2 34 | 34 Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye 2346 Acts 15 38 | 38 Lakini Paulo hakupendelea kumchukua Marko, ambaye 2347 2Cor 8 15 | yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa."~ 2348 Hebr 11 27 | hasira ya mfalme; na wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama 2349 John 7 15 | huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?"~ 2350 Rev 21 4 | machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, 2351 John 11 54 | 54 Kwa hiyo, Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, 2352 John 19 41 | kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakutiwa bado mtu yeyote ndani yake.~ 2353 John 7 52 | nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!" [[[~ 2354 1The 4 7 | 7 Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, 2355 Luke 4 26 | 26 Hata hivyo, Eliya hakutumwa kwa mjane yeyote ila kwa 2356 2Tim 1 7 | 7 Kwa maana Mungu hakutupa Roho wa kutufanya tuwe waoga, 2357 1The 5 9 | 9 Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu 2358 Hebr 2 2 | hata mtu yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa 2359 1Cor 11 9 | 9 Mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, ila 2360 Acts 28 5 | utia kile kiumbe motoni na hakuumizwa hata kidogo.~ 2361 Matt 15 13 | Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang`olewa.~ 2362 Hebr 2 2 | yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.~ 2363 Matt 22 11 | akamwona mtu mmoja ambaye ~hakuvaa mavazi ya arusi. ~ 2364 Matt 13 34 | watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,~ 2365 Roma 11 2 | 2 Mungu hakuwakataa watu wake aliowateua tangu 2366 James 5 6 | mtu asiye na hatia, naye hakuwapigeni.~ 2367 Hebr 2 5 | 5 Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu 2368 Matt 21 30 | akamjibu, `Naam baba!` Lakini hakwenda kazini.~ 2369 Mark 7 12 | 12 basi, halazimiki tena kuwasaidia wazazi wake.`~ 2370 Rev 20 15 | yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu 2371 1Pet 2 22 | wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.~ 2372 Acts 26 26 | yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.~ 2373 John 9 3 | Yesu akajibu, "Jambo hili halikutukia kwa sababu ya dhambi zake 2374 Luke 23 53 | limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.~ 2375 Hebr 9 18 | hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.~ 2376 1Joh 1 10 | Mungu mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.~ ~~ ~ 2377 Roma 8 24 | tumekombolewa; lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile 2378 Hebr 8 7 | kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa 2379 Acts 13 38 | dhambi zote, jambo ambalo halingewezekana kwa njia ya Sheria ya Mose.~ 2380 Matt 16 22 | hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!"~ 2381 Hebr 8 9 | 9 Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na 2382 Rev 7 16 | kiu; jua wala joto kali halitawachoma tena,~ 2383 James 1 23| anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia 2384 Ephe 2 9 | 9 Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, 2385 Mark 4 17 | 17 Lakini haliwaingii na kuwa na mizizi ndani 2386 Matt 19 26 | Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo 2387 Roma 2 11 | 11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.~ 2388 1The 4 8 | anayedharau mafundisho hayo hamdharau mtu, bali amdharau Mungu 2389 Rev 2 24 | mlioko huko Thuatira ambao hamfuati mafundisho yake Yezabeli, 2390 John 5 24 | Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.~ 2391 1Joh 2 27 | akiendelea kukaa ndani yenu, hamhitaji kufundishwa na mtu yeyote. 2392 John 5 23 | 22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote 2393 Mark 8 17 | kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo 2394 Luke 16 12 | 12 Na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya 2395 Acts 27 33 | katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.~ 2396 Luke 11 42 | majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa 2397 1Pet 1 8 | Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni 2398 John 16 24 | 24 Mpaka sasa hamjaomba chochote kwa jina langu. 2399 Hebr 12 4 | kupambana na dhambi, ninyi hamjapigana mpaka kiasi cha kumwaga 2400 James 1 13| kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote.~ 2401 Luke 16 11 | 11 Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za 2402 James 4 2 | kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa Mungu.~ 2403 Matt 21 32 | ya kuona hayo yote ninyi hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki."~ 2404 John 3 11 | tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.~ 2405 Hebr 12 18 | walivyofanya watu wa Israeli, hamkufika kwenye moto uwakao, penye 2406 Luke 11 52 | wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia 2407 Acts 7 53 | kwenu na Malaika, lakini hamkuitii."~ 2408 Matt 25 43 | mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.`~ 2409 Luke 2 49 | Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika 2410 Gala 4 8 | 8 Zamani hamkumjua Mungu na hivyo mkatumikia 2411 John 7 45 | nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?"~ 2412 John 15 16 | 16 Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni 2413 Gala 4 14 | 14 Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu 2414 Matt 25 43 | 43 Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa 2415 Gala 4 12 | mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea ubaya wowote.~ 2416 Luke 22 53 | nanyi kila siku Hekaluni hamkunitia nguvuni. Lakini, huu ndio 2417 1Pet 2 10 | watu wake; wakati mmoja hamkupewa huruma ya Mungu, lakini 2418 Matt 21 32 | hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki."~ 2419 John 9 27 | Nimekwisha waambieni, nanyi hamkusikiliza; kwa nini mwataka kusikia 2420 James 5 4 | 4 Hamkuwalipa mishahara watumishi waliofanya 2421 Hebr 12 18 | 18 Ninyi hamkuwasili mlimani Sinai, ambao unaweza 2422 Matt 26 40 | Akamwambia Petro, "Ndiyo kusema hamkuweza kukesha pamoja nami hata 2423 John 4 38 | nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya 2424 John 9 41 | Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa ninyi 2425 Matt 12 7 | huruma wala si dhabihu`, hamngewahukumu watu wasio na hatia.~ 2426 John 8 49 | Baba yangu, lakini ninyi hamniheshimu.~ 2427 John 8 19 | Yesu akawajibu "Ninyi hamnijui mimi wala hamumjui Baba. 2428 John 5 44 | mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija 2429 Luke 11 46 | isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.~ 2430 Acts 7 16 | alilonunua kutoka kwa kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.~ 2431 1Cor 1 7 | 7 hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho 2432 Luke 6 40 | 40 Mwanafunzi hamshindi mwalimu wake, lakini kila 2433 Mark 8 18 | hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki~ 2434 John 8 47 | maneno ya Mungu. Lakini ninyi hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu 2435 Luke 9 14 | waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini."~ 2436 John 4 48 | Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!"~ 2437 2Pet 1 10 | kama mkiishi namna hiyo hamtaanguka kamwe.~ 2438 Gala 5 16 | uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia.~ 2439 John 5 45 | kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye 2440 Luke 17 22 | za Mwana wa Mtu, lakini hamtaiona.~ 2441 John 5 41 | 40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima. 2442 Acts 13 41 | nyakati zenu, ni kitu ambacho hamtakiamini hata kama mtu akiwaelezeni."`~ 2443 Luke 6 37 | msiwalaumu wengine, nanyi hamtalaumiwa; wasameheni wengine, nanyi 2444 Matt 10 23 | mwingine. Kweli nawaambieni, hamtamaliza ziara yenu katika miji yote 2445 John 4 21 | Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala 2446 Luke 22 68 | kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu.~ 2447 John 16 23 | 23 Siku hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, 2448 John 7 36 | anaposema: `Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa 2449 Acts 27 31 | hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka."~ 2450 Matt 28 14 | na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo."~ 2451 Luke 22 67 | Hata kama nikiwaambieni, hamtasadiki;~ 2452 Acts 15 1 | wale ndugu wakisema, "Kama hamtatahiriwa kufuatana na mapokeo ya 2453 Luke 6 46 | Bwana, Bwana,` na huku hamtimizi yale ninayosema?~ 2454 Matt 15 3 | mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu?~ 2455 Roma 8 9 | 9 Lakini ninyi hamuishi kufuatana na matakwa ya 2456 1Pet 1 8 | hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa 2457 1Joh 2 21 | nawaandikieni, si kwa kuwa hamuujui ukweli, bali kwa sababu 2458 John 5 48 | 47 Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje 2459 John 8 37 | mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu.~ 2460 1Pet 4 4 | wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya 2461 Matt 23 13 | wenyewe ~hamwingii ndani, wala hamwaruhusu wanaotaka kuingia waingie.* 2462 Matt 23 13 | ya watu. Ninyi wenyewe ~hamwingii ndani, wala hamwaruhusu 2463 John 18 30 | 30 Wakamjibu, "Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako."~ 2464 Hebr 4 8 | hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.~ 2465 Luke 13 15 | wanafiki! Nani kati yenu hangemfungua ng`ombe au punda wake kutoka 2466 Luke 14 5 | wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?"~ 2467 John 9 33 | huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!"~ 2468 John 12 44 | kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini 2469 Mark 9 37 | mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea 2470 James 2 7 | 7 Je, si haohao wanaolitukana hilo jina 2471 1Cor 7 1 | naam, ni vizuri kama mtu haoi;~ 2472 James 2 14| kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani 2473 Hebr 7 20 | wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.~ 2474 Hebr 7 11 | Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea 2475 Matt 15 6 | 6 basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! 2476 John 4 44 | waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake."~ 2477 1Cor 16 12 | na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja 2478 Acts 28 6 | wakitazamia kwamba angevimba au hapohapo angeanguka chini na kufa. 2479 1Cor 2 14 | 14 Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. 2480 1Cor 16 7 | 7 Sipendi kupita kwenu harakaharaka na kuendelea na safari. 2481 Rev 18 12 | nguo za rangi ya zambarau, hariri na nguo nyekundu; vyombo 2482 Rev 16 16 | mahali paitwapo kwa Kiebrania Harmagedoni.~ 2483 Mark 2 19 | Yesu akajibu, "Walioalikwa harusini wanawezaje kufunga kama 2484 Luke 12 6 | sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.~ 2485 Ephe 5 5 | mtu yeyote wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala 2486 Luke 11 8 | 8 Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni 2487 Hebr 6 17 | wale aliowaahidia kwamba hatabadili nia yake.~ 2488 Matt 6 30 | kesho latupwa motoni, je, hatafanya zaidi kwenu ninyi? Enyi 2489 1Cor 13 5 | Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala 2490 John 5 25 | aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita 2491 Hebr 7 21 | alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: `Wewe ni kuhani 2492 Hebr 6 10 | Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo 2493 Matt 4 4 | Maandiko Matakatifu: `Binadamu hataishi kwa mikate tu, ila kwa kila 2494 John 16 7 | maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, 2495 Luke 1 15 | Atakuwa mkuu mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa 2496 Matt 18 17 | liambie kanisa. Na kama hatalisikia kanisa, na awe kwako kama 2497 Luke 4 24 | Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake.~ 2498 Matt 18 35 | hivyo kama kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kwa moyo wake 2499 Matt 12 11 | ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?~ 2500 Acts 3 23 | 23 Yeyote yule ambaye hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali 2501 2The 2 7 | anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe.~ 2502 1Cor 15 30 | Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?~ 2503 Gala 4 30 | mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama 2504 1Cor 10 13 | Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, 2505 John 16 13 | kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, 2506 1Cor 8 10 | ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa 2507 Roma 8 32 | Ikiwa amefanya hivyo, je, hatatujalia pia mema yote?~ 2508 2The 3 14 | kwamba huko kuna mtu ambaye hatautii huu ujumbe tunaowapelekeeni 2509 Matt 12 20 | 20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi ufukao moshi 2510 Matt 12 20 | wala utambi ufukao moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya hukumu 2511 Gala 5 2 | mkikubali kutahiriwa, Kristo hatawafaidia chochote.~ 2512 Luke 12 28 | kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? Enyi watu wenye 2513 Matt 6 1 | Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.~ 2514 Luke 18 7 | 7 Je, ndio kusema Mungu hatawatetea wale aliowachagua, ambao 2515 Roma 4 8 | Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu."~ 2516 John 8 12 | ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa 2517 2Cor 4 9 | 9 twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa 2518 John 4 42 | Wakamwambia yule mama, "Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno 2519 John 16 18 | Bado kitambo kidogo?` Hatuelewi anaongelea nini."~ 2520 2Cor 3 13 | 13 Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika 2521 2Cor 4 8 | Daima twapata taabu, lakini hatugandamizwi; twapata mashaka, lakini 2522 2Cor 4 2 | ya aibu na ya kisirisiri. Hatuishi tena kwa udanganyifu, wala 2523 Roma 8 25 | tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea 2524 2Cor 7 2 | Hatujamkosea mtu yeyote, hatujamdhuru wala kumdanganya mtu yeyote.~ 2525 2Cor 7 2 | mtupe nafasi mioyoni mwenu! Hatujamkosea mtu yeyote, hatujamdhuru 2526 Acts 28 21 | 21 Wao wakamwambia, "Sisi hatujapokea barua yoyote kutoka Yudea, 2527 Acts 19 2 | kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia."~ 2528 1Joh 1 10 | 10 Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, tutakuwa tumemfanya 2529 2Cor 4 5 | 5 Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri 2530 2Cor 10 15 | 15 Basi, hatujivunii kazi waliyofanya wengine 2531 2Cor 4 8 | twapata mashaka, lakini hatukati tamaa;~ 2532 Roma 6 15 | tutende dhambi ati kwa sababu hatuko chini ya Sheria bali chini 2533 2Cor 4 9 | ingawa tumeangushwa chini, hatukuangamizwa.~ 2534 Matt 16 7 | Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate."~ 2535 2Cor 10 14 | ninyi mu katika mipaka hiyo, hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni 2536 1Cor 2 12 | 12 Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali 2537 1Cor 9 12 | kuliko hao? Lakini, sisi hatukuitumia haki hiyo, Badala yake, 2538 Gala 2 5 | 5 Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli 2539 2The 3 8 | 8 hatukula chakula kwa mtu yeyote bila 2540 1Tim 6 7 | 7 Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, 2541 2Cor 8 5 | Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea 2542 Acts 5 23 | milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani."~ 2543 2Cor 1 12 | unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu 2544 John 10 33 | 33 Wayahudi wakamjibu, "Hatukupigi mawe kwa ajili ya tendo 2545 John 8 48 | Wayahudi wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria, 2546 2Cor 13 6 | kwamba ninyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.~ 2547 1The 2 6 | 6 Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala 2548 2Pet 1 16 | Bwana wetu Yesu Kristo, hatukutegemea hadithi tupu zisizo na msingi. 2549 1The 2 5 | matamu ya kubembeleza wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha 2550 2Cor 6 10 | 10 Ingawa tumeadhibiwa, hatukuuawa; ingawa tunayo huzuni, twafurahi 2551 2Cor 7 9 | Mungu, na kwa sababu hiyo hatukuwadhuru ninyi kwa vyovyote.~ 2552 Acts 17 25 | 25 Wala hatumikiwi kwa mikono ya watu kana 2553 John 9 21 | kuona, hatujui; na wala hatumjui yule aliyemfumbua macho. 2554 Hebr 10 39 | 39 Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi 2555 2Cor 5 16 | 16 Basi, tangu sasa, sisi hatumpimi mtu yeyote kibinadamu. Hata 2556 Luke 19 14 | wajumbe waende wakaseme: `Hatumtaki huyu atutawale.`~ 2557 John 18 30 | Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako."~ 2558 Matt 23 30 | tungaliishi nyakati za wazee wetu ~hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!> ~ 2559 1Cor 11 31 | tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.~ 2560 2Cor 10 12 | 12 Kwa vyovyote hatungethubutu kujiweka au kujilinganisha 2561 Acts 19 40 | hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha 2562 1Cor 8 8 | hatupungukiwi kitu, tukikila hatuongezewi kitu.~ 2563 2Cor 10 3 | tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.~ 2564 1Cor 8 8 | na Mungu. Tukiacha kukila hatupungukiwi kitu, tukikila hatuongezewi 2565 Acts 16 21 | ambazo sisi raia wa Roma haturuhusiwi kuzikubali wala kuzifuata."~ 2566 1Joh 4 6 | hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza 2567 1Tim 6 7 | chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.~ 2568 2Cor 10 13 | 13 Lakini sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko 2569 2Cor 1 24 | 24 Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani 2570 1Cor 15 51 | nawaambieni siri: sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa~ 2571 Acts 23 12 | faragha. Wakala kiapo: "Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa 2572 Acts 23 14 | wakasema, "Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu 2573 1The 4 15 | Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki 2574 John 7 35 | huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi 2575 Hebr 2 3 | Basi, sisi tutaokokaje kama hatuujali wokovu mkuu kama huu? Kwanza 2576 2Tim 2 14 | juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu 2577 Rev 21 23 | 23 Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, 2578 John 7 6 | akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi 2579 1Cor 5 1 | tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu 2580 James 2 4 | Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?~ 2581 John 15 18 | kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.~ 2582 Luke 13 6 | matunda yake, lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja.~ 2583 Luke 17 20 | akawajibu, "Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana.~ 2584 John 7 49 | 49 Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!"~ 2585 John 5 39 | 38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini 2586 Acts 8 21 | hiyo kwa maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu.~ 2587 John 17 25 | 25 Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, lakini mimi nakujua. Hawa 2588 John 21 11 | walikuwa wengi hivyo wavu haukukatika.~ 2589 John 1 10 | uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua.~ 2590 Acts 2 31 | Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.`~ 2591 Acts 27 14 | 14 Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao " 2592 Rev 16 19 | ikateketea. Babuloni, mji mkuu, haukusahauliwa na Mungu. Aliunywesha kikombe 2593 Hebr 11 38 | 38 Ulimwengu haukustahili kuwa na watu hao. Walitangatanga 2594 Hebr 4 2 | kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia 2595 Luke 6 48 | ukaipiga nyumba ile, lakini haukuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa 2596 Matt 21 19 | akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. 2597 1Joh 3 1 | haututambui sisi, kwani haumjui Mungu.~ 2598 Matt 13 21 | 21 Lakini haumwingii na kuwa na mizizi ndani 2599 Hebr 11 32 | niseme nini zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, 2600 Hebr 7 24 | anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.~ 2601 Roma 14 15 | unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. Usikubali hata 2602 1Cor 14 9 | na ninyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani 2603 Hebr 7 3 | hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini 2604 Luke 1 33 | Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho."~ 2605 Rev 22 5 | 5 Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji 2606 John 11 4 | hivyo akasema, "Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya 2607 John 14 19 | Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona; 2608 Rev 18 23 | 23 Mwanga wa taa hautaonekana tena ndani yako; sauti za 2609 Luke 12 15 | tamaa; maana uzima wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo."~ 2610 1Joh 3 1 | tulivyo. Ndiyo maana ulimwengu haututambui sisi, kwani haumjui Mungu.~ 2611 1Cor 12 24 | 24 ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe 2612 Rev 20 11 | mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.~ 2613 Roma 4 17 | amri yake, vitu ambavyo havikuwapo huwa.~ 2614 1Cor 12 23 | vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza 2615 1Cor 14 7 | unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi sauti waziwazi vinapopigwa?~ 2616 1Joh 2 16 | yasababishwayo na mali-vyote hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License