Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

(Hapax - words occurring once)


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

     Book, Chapter, Verse
3117 Roma 7 9 | lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,~ 3118 Hebr 7 18 | Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu 3119 Roma 5 12 | njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha 3120 Hebr 9 2 | ambayo sehemu yake ya nje iliitwa Mahali Patakatifu. Humo 3121 Roma 7 13 | dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo 3122 James 2 22| matendo yake; imani yake ilikamilishwa kwa matendo yake.~ 3123 John 2 9 | kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi 3124 Matt 25 27 | 27 Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu 3125 Roma 5 13 | ya Sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi 3126 Matt 14 24 | na wakati huo ile mashua ilikwishafika karibu katikati ya ziwa, 3127 Acts 26 23 | 23 yaani ilimpasa Kristo ateseke na kuwa wa 3128 John 4 52 | Jana saa saba mchana, homa ilimwacha."~ 3129 Rev 1 15 | 15 miguu yake iling`aa kama shaba iliyosafishwa 3130 1Cor 3 2 | 2 Ilinibidi kuwalisheni kwa maziwa, 3131 Gala 2 19 | nimekufa; Sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili 3132 Gala 3 19 | 19 Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu 3133 Roma 7 8 | kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina 3134 Acts 13 20 | Miaka mia nne na hamsini ilipita, halafu akawapatia waamuzi 3135 John 7 14 | 14 Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda 3136 Roma 7 9 | mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,~ 3137 2Pet 1 17 | Mungu Baba, wakati sauti ilipomjia kutoka kwake yeye aliye 3138 Roma 5 20 | uhalifu; lakini pale dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi.~ 3139 Colo 1 5 | kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata 3140 Matt 2 7 | akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea.~ 3141 Roma 5 15 | ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili 3142 Rev 13 3 | lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.~ 3143 Acts 12 20 | amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula.~ 3144 Hebr 9 6 | 6 Mipango hiyo ilitekelezwa kisha ikawa desturi kwa 3145 Rev 16 12 | yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa 3146 Hebr 12 26 | 26 Wakati ule sauti ilitetemesha nchi, lakini sasa ameahidi: " 3147 Acts 18 22 | 22 Meli ilitia nanga Kaisarea, naye Paulo 3148 Luke 15 32 | 32 Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, 3149 Gala 3 23 | ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo 3150 Gala 2 9 | ishara ya ushirikiano. Sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu 3151 2Pet 3 5 | na nchi zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa 3152 Luke 23 56 | Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.~ ~ ~~ ~ 3153 Colo 1 6 | ulimwenguni kote kama vile ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile 3154 Hebr 4 2 | imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini 3155 John 3 29 | akisema. Ndivyo furaha yangu ilivyokamilishwa.~ 3156 Luke 22 22 | Mtu anakwenda kuuawa kama ilivyopangwa, lakini ole wake mtu anayemsaliti."~ 3157 Roma 5 21 | 21 Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema 3158 Luke 17 28 | 28 Itakuwa kama ilivyotokea wakati wa Loti. Watu waliendelea 3159 1The 3 4 | na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.~ 3160 Acts 22 11 | sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza 3161 Rev 11 11 | ya uhai kutoka kwa Mungu iliwaingia, nao wakasimama; wote waliowaona 3162 Luke 11 42 | upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila 3163 Acts 19 24 | aitwaye Artemi. Shughuli hiyo iliwapatia mafundi faida kubwa.~ 3164 Matt 2 9 | wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu 3165 2Cor 7 8 | naona kwamba barua hiyo iliwatia huzuni lakini kwa muda.~ 3166 Matt 8 4 | kuhani, na ukatoe sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia 3167 2Cor 2 7 | 7 Iliyobakia ni afadhali kwenu kumsamehe 3168 Acts 12 21 | 21 Siku moja iliyochaguliwa, Herode akiwa amevaa mavazi 3169 Mark 15 23 | 23 Wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini yeye 3170 Roma 16 25 | Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika 3171 Matt 12 25 | mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, 3172 1Pet 1 25 | hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.~~ ~ 3173 Matt 10 15 | adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji ya Sodoma na Gomora.~ 3174 Hebr 9 3 | la pili, kulikuwa na hema iliyoitwa Mahali Patakatifu Kupita 3175 Hebr 8 2 | ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. 3176 Roma 16 11 | kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.~ 3177 Acts 9 25 | kubwa kwa kupitia nafasi iliyokuwako ukutani. ic~ 3178 2Cor 3 9 | utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma 3179 Acts 7 53 | Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini 3180 Acts 3 16 | kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona 3181 Hebr 10 29 | kuidharau damu ya agano la Mungu iliyomtakasa, mtu anayemtukana Roho wa 3182 Matt 23 35 | damu yote ya watu wema ~iliyomwagwa juu ya ardhi. Naam, tangu 3183 Roma 7 11 | dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya 3184 2Cor 12 2 | ambaye miaka kumi na minne iliyopita alinyakuliwa mpaka katika 3185 1Cor 7 26 | Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu 3186 Luke 15 9 | nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.`~ 3187 Rev 2 18 | yake inang`aa kama shaba iliyosuguliwa.~ 3188 Rev 19 8 | kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung`aa!" (Nguo 3189 Acts 19 26 | wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.~ 3190 Acts 27 44 | kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika 3191 Acts 16 26 | ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana.~ 3192 Ephe 1 13 | kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; 3193 Mark 5 26 | hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.~ 3194 Roma 15 19 | tangu kule Yerusalemu mpaka Iluriko, nimeihubiri kikamilifu 3195 Rev 3 2 | 2 Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia 3196 James 5 8 | mnapaswa kuwa na subira; imarisheni mioyo yenu, maana siku ya 3197 Colo 3 16 | kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi 3198 Rev 9 1 | nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. 3199 Luke 21 30 | 30 Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua 3200 2Tim 4 8 | 8 Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi 3201 Roma 9 6 | Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli 3202 Rev 15 2 | kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale 3203 Hebr 9 4 | fimbo ya Aroni iliyokuwa imechanua majani, na vile vibao viwili 3204 John 12 27 | 27 "Sasa roho yangu imefadhaika, na niseme nini? Je, niseme: ` 3205 2Cor 3 7 | ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi 3206 Roma 10 4 | kuja kwake Kristo, Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu 3207 John 19 23 | yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila 3208 Acts 27 28 | kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina 3209 Acts 16 27 | kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa 3210 2Tim 1 10 | 10 lakini sasa imefunuliwa kwetu kwa kuja kwake Mwokozi 3211 Mark 3 25 | 25 Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, 3212 Hebr 4 2 | 2 Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa 3213 Rev 15 1 | saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa.~ 3214 Roma 7 13 | dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha 3215 Luke 7 50 | yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani."~ ~ ~~ ~ 3216 Rev 18 10 | saa moja tu adhabu yako imekupata."~ 3217 Acts 2 8 | 8 Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja 3218 Roma 7 10 | ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.~ 3219 Rev 14 10 | ghadhabu ya Mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu 3220 Hebr 7 28 | imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu 3221 Mark 5 30 | alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia ule umati 3222 Hebr 9 22 | zaondolewa tu ikiwa damu imemwagwa.~ 3223 Roma 8 2 | kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya 3224 Luke 8 46 | aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka."~ 3225 Ephe 6 2 | ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,~ 3226 Rev 21 4 | maana ile hali ya kale imepita!"~ 3227 Roma 7 7 | kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani."~ 3228 Acts 10 11 | inateremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne.~ 3229 Mark 8 17 | hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?~ 3230 Luke 1 13 | usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia 3231 Hebr 9 8 | ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia Mahali 3232 Rev 21 21 | Barabara kuu ya mji ilikuwa imetengenezwa kwa dhahabu safi, angavu 3233 Luke 7 35 | Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale 3234 Acts 28 11 | Pacha". Meli hiyo ilikuwa imetia nanga kisiwani wakati wote 3235 2The 2 2 | barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.~ 3236 Mark 14 41 | bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu 3237 Rev 18 14 | Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; 3238 Acts 14 11 | lugha ya Kilukaonia: "Miungu imetujia katika sura za binadamu!"~ 3239 Ephe 4 24 | hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo 3240 1The 2 16 | Lakini sasa hasira ya Mungu imewaangukia.~ 3241 2Cor 7 9 | ila kwa kuwa huzuni yenu imewafanya mbadili nia zenu na kutubu. 3242 Acts 27 41 | Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. 3243 2Pet 2 14 | mpaka mitegoni. Mioyo yao imezoea kuwa na tamaa ya mali. Wapo 3244 Ephe 5 2 | harufu nzuri na tambiko impendezayo Mungu.~ 3245 1Pet 4 17 | mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia kwetu sisi, basi mwisho 3246 Roma 13 5 | bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo.~ 3247 2The 2 2 | Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana 3248 Hebr 7 14 | 14 Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa 3249 Matt 22 39 | 39 Ya pili inafanana na hiyo: <Mpende jirani 3250 Acts 8 13 | maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.~ 3251 Luke 1 47 | wamtukuza Bwana, roho yangu inafurahi kwa sababu ya Mungu Mwokozi 3252 1Cor 15 12 | 12 Sasa, maadam inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa 3253 Colo 2 11 | Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika 3254 Luke 12 6 | 6 Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa 3255 2The 1 3 | kufanya hivyo kwani imani yenu inakua sana na kupendana kwenu 3256 Rev 10 11 | 11 Kisha nikaambiwa, "Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa 3257 Roma 1 3 | 3 Hii Habari Njema inamhusu Mwana wa Mungu, Bwana wetu 3258 Hebr 12 2 | ajili ya furaha iliyokuwa inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, 3259 Roma 14 2 | huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine 3260 2Cor 2 6 | pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.~ 3261 Acts 19 27 | ambaye Asia na dunia yote inamwabudu, zitakwisha." ic~ 3262 Rev 2 18 | kama moto, na miguu yake inang`aa kama shaba iliyosuguliwa.~ 3263 John 10 16 | ambao hawamo zizini humu. Inanibidi kuwaleta hao pia, nao wataisikia 3264 Roma 9 1 | ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.~ 3265 Roma 1 17 | 17 Kwa maana Habari Njema inaonyesha wazi jinsi Mungu anavyowakubali 3266 Hebr 13 4 | 4 Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, 3267 James 3 17| mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali 3268 Mark 4 29 | 29 Nafaka inapoiva, huyo mtu huanza kutumia 3269 Acts 27 2 | meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa 3270 Hebr 12 24 | ambaye damu yake iliyomwagika inasema mambo mema zaidi kuliko 3271 Roma 1 8 | nyote, kwa sababu imani yenu inasikika duniani kote.~ 3272 Colo 4 16 | hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; 3273 Roma 5 21 | kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na 3274 2Pet 3 3 | watu ambao mienendo yao inatawaliwa na tamaa zao mbaya. Watawadhihaki 3275 Gala 3 18 | Maana, kama urithi ya Mungu inategemea Sheria, basi, haiwezi kutegemea 3276 Acts 10 11 | na kitu kama shuka kubwa inateremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe 3277 Matt 11 19 | Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa kuwa njema kutokana na matendo 3278 Luke 6 19 | kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake na kuwaponya 3279 Roma 10 17 | 17 Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza ujumbe, na 3280 2Cor 1 12 | kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni 3281 Hebr 3 13 | inayosemwa katika Maandiko bado inatuhusu sisi, mnapaswa kusaidiana 3282 Colo 2 14 | ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta 3283 1Joh 1 7 | yake Yesu Kristo, Mwanae, inatutakasa dhambi zote.~ 3284 2Cor 4 15 | kama vile neema ya Mungu inavyoenea kwa watu wengi zaidi na 3285 Mark 4 27 | zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.~ 3286 Luke 11 36 | kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake."~ 3287 Rev 6 14 | likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote 3288 Luke 12 55 | hali ya joto` na ndivyo inavyokuwa.~ 3289 1Cor 8 2 | kweli hajui chochote kama inavyompasa.~ 3290 Colo 4 4 | ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha 3291 Matt 26 54 | Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"~ 3292 Roma 13 13 | Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe 3293 Luke 5 14 | ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho 3294 Roma 8 26 | udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe 3295 Roma 12 18 | 18 Kadiri inavyowezekana kwa upande wenu, muwe na 3296 James 2 9 | mwatenda dhambi, nayo Sheria inawahukumu ninyi kuwa mna hatia.~ 3297 Luke 24 32 | Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa 3298 Matt 26 39 | akasali: "Baba yangu, kama inawezekana, aacha kikombe*fo* hiki 3299 Matt 6 34 | wasiwasi juu ya kesho; kesho inayo yake. Matatizo ya siku moja 3300 2Pet 1 19 | mkiuzingatia, maana ni kama taa inayoangaza mahali penye giza mpaka 3301 Acts 27 12 | Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; 3302 Roma 7 23 | kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria 3303 1Pet 3 21 | bali ni ahadi kwa Mungu inayofanyika katika dhamiri njema. Huwaokoeni 3304 Colo 2 11 | ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo 3305 Luke 11 17 | kadhalika, jamaa yeyote inayofarakana huangamia.~ 3306 2Cor 2 15 | anamtolea Mungu, harufu nzuri inayofikia wote wanaookolewa na wanaopotea.~ 3307 Mark 12 26 | kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka kilichokuwa 3308 Hebr 13 9 | kigeni. Neema ya Mungu ndiyo inayoimarisha roho zetu na wala si masharti 3309 Hebr 6 7 | ardhi ambayo huipokea mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha 3310 Luke 8 26 | pwani ya nchi ya Wagerase inayokabiliana na Galilaya, ng`ambo ya 3311 2Cor 4 11 | udhihirike katika miili yetu inayokufa.~ 3312 Colo 4 15 | jumuiya yote ya waumini inayokutana nyumbani kwake.~ 3313 Hebr 12 12 | Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu 3314 Hebr 13 15 | sifa zinazotolewa na midomo inayoliungama jina lake.~ 3315 Luke 22 20 | linalothibitishwa kwa damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu.*fd*~ 3316 Acts 18 13 | wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na Sheria."~ 3317 1Cor 14 14 | lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini akili yangu hubaki 3318 2The 2 2 | fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.~ 3319 Hebr 3 13 | 13 Maadamu hiyo "Leo" inayosemwa katika Maandiko bado inatuhusu 3320 Acts 13 28 | Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato 3321 Mark 15 42 | ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato.~ 3322 Acts 7 6 | watapelekwa katika nchi inayotawaliwa na watu wengine, na huko 3323 Mark 8 24 | watu wanaoonekana kama miti inayotembea."~ 3324 Acts 8 26 | uende kusini kupitia njia inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza." ( 3325 Acts 26 7 | Ahadi hiyo ndiyo ileile inayotumainiwa na makabila kumi na mawili 3326 Hebr 12 1 | kinachotuzuia, na dhambi ile inayotung`ang`ania. Tupige mbio kwa 3327 James 3 8 | hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.~ 3328 Rev 3 10 | salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu 3329 John 10 32 | Baba. Ni ipi kati ya hizo inayowafanya mnipige mawe?"~ 3330 Jude 1 4 | bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.~ 3331 Roma 1 16 | yenyewe ni nguvu ya Mungu inayowaokoa wote wanaoamini: Wayahudi 3332 Roma 11 18 | mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza ninyi.~ 3333 Gala 5 23 | na kiasi. Hakuna Sheria inayoweza kupinga mambo hayo.~ 3334 Hebr 9 8 | kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia 3335 1Cor 7 26 | shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo.~ 3336 1Cor 5 10 | Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii 3337 Gala 3 21 | kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi, 3338 Matt 6 6 | 6 Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, 3339 Matt 7 13 | 13 "Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. 3340 Acts 28 4 | walipokiona kile kiumbe kinaning`inia kwenye mkono wake waliambiana, " 3341 John 12 27 | Baba, usiruhusu saa hii inifikie`? Lakini ndiyo maana nimekuja - 3342 Ephe 6 20 | hodari katika kuitangaza kama inipasavyo.~ 3343 Hebr 12 12 | 12 Basi, inueni mikono yenu inayolegea na 3344 Hebr 11 28 | ya Pasaka, akaamuru damu inyunyizwe juu ya milango, ili yule 3345 1Joh 2 2 | 2 Kristo ndiye sadaka iondoayo dhambi zetu; wala si dhambi 3346 John 19 31 | waliosulubiwa ivunjwe na miili yao iondolewe.~ 3347 Roma 6 1 | dhambi ili neema ya Mungu iongezeke?~ 3348 Rev 15 5 | mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.~ 3349 2Cor 9 5 | yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa 3350 Acts 21 3 | ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.~ 3351 Roma 11 10 | wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!"~ 3352 Acts 7 59 | akiwa anasali: "Bwana Yesu, ipokee roho yangu!"~ 3353 2Cor 6 1 | mliyopokea kutoka kwa Mungu ipotee bure.~ 3354 Rev 7 7 | na mbili elfu, kabila la Isakari, kumi na mbili elfu;~ 3355 1Cor 1 17 | kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.~ 3356 Roma 6 12 | 12 Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, 3357 John 19 31 | Kwa hiyo, kusudi miili isikae msalabani siku ya Sabato, 3358 Roma 7 7 | kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani."~ 3359 1Cor 15 36 | kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.~ 3360 Luke 22 32 | nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, watie 3361 3Joh 1 10 | uongo anaosema juu yetu. Isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha 3362 John 7 23 | Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa 3363 Luke 12 33 | misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni 3364 Luke 11 46 | maana mnawatwika watu mizigo isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi 3365 1Pet 1 8 | mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,~ 3366 Hebr 7 18 | sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.~ 3367 Hebr 9 11 | bora na kamilifu zaidi, isiyofanywa kwa mikono ya watu, yaani 3368 1Pet 5 4 | mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.~ 3369 Rev 5 11 | malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. Walikuwa 3370 2Cor 5 1 | mbinguni, nyumba ya milele isiyotengenezwa kwa mikono.~ 3371 1Tim 6 17 | tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee 3372 Jude 1 12 | kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira 3373 2Cor 3 15 | Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao 3374 John 3 10 | wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya?~ 3375 Matt 23 38 | 38 Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame. ~ 3376 Mark 3 25 | yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.~ 3377 Matt 12 25 | makundimakundi yanayopingana, itaanguka.~ 3378 Luke 12 20 | wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia 3379 1Cor 16 4 | 4 Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda 3380 Matt 21 21 | oka ukajitose baharini,` itafanyika hivyo.~ 3381 Luke 12 52 | sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, 3382 John 16 20 | huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.~ 3383 Luke 8 17 | kitafichuliwa na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.~ 3384 Mark 14 9 | ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo hiki alichofanya 3385 1Cor 3 13 | wakati Siku ile ya Kristo itakapoifichua. Maana, Siku hiyo itatokea 3386 Luke 22 16 | sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika Ufalme wa Mungu."~ 3387 1Cor 15 52 | na kufumbua. Maana mbiu itakapolia, wafu watafufuliwa katika 3388 2Cor 5 1 | duniani, yaani mwili wetu, itakapong`olewa, Mungu atatupa makao 3389 2Pet 1 19 | penye giza mpaka Siku ile itakapopambazuka na mwanga wa nyota ya asubuhi 3390 Gala 4 19 | mpaka hapo hali yake Kristo itakapoundwa ndani yenu.~ 3391 1Cor 16 12 | kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana.~ 3392 Colo 4 4 | inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.~ 3393 Matt 5 18 | sehemu ndogo kabisa ya Sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia.~ 3394 Luke 2 34 | Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;~ 3395 Acts 27 22 | maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea.~ 3396 Acts 21 26 | kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili ya kila mmoja 3397 Acts 7 40 | Aroni: `Tutengenezee miungu itakayotuongoza njiani, maana hatujui yaliyompata 3398 Luke 17 20 | wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana.~ 3399 Roma 8 10 | yenu, ingawa miili yenu itakufa kwa sababu ya dhambi, kwenu 3400 1Tim 3 15 | nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa 3401 James 5 3 | ushahidi dhidi yenu, nayo itakula miili yenu kama vile moto. 3402 Rev 2 10 | hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. Sikiliza! Ibilisi 3403 Hebr 6 8 | magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake 3404 Luke 5 37 | itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.~ 3405 Roma 1 12 | tutaimarishana: imani yenu itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha 3406 Luke 12 54 | magharibi, mara mwasema: `Mvua itanyesha`, na kweli hunyesha.~ 3407 Matt 24 30 | ishara ya Mwana wa Mtu itaonekana angani, na hapo makabila 3408 Mark 8 4 | wakamwuliza, "Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha 3409 1Cor 13 8 | vitakoma; kama kuna elimu, nayo itapita.~ 3410 2Cor 9 12 | watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu.~ 3411 2Cor 9 12 | mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, 3412 John 7 38 | mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!"`~ 3413 1Cor 3 13 | itakapoifichua. Maana, Siku hiyo itatokea na moto, na huo moto utaipima 3414 2Cor 4 17 | tena ya muda tu: lakini itatupatia utukufu upitao matazamio 3415 Hebr 9 14 | kamilifu kwa Mungu. Damu yake itatutakasa dhamiri zetu kutokana na 3416 Ephe 5 18 | kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.~ 3417 1Pet 1 6 | sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya 3418 1Cor 14 6 | kusema nanyi kwa lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, 3419 Roma 1 12 | itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha ninyi.~ 3420 Luke 21 34 | haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.~ 3421 1Pet 3 14 | 14 Lakini, hata kama itawapasa kuteseka kwa sababu ya kutenda 3422 Matt 23 35 | 35 Hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya 3423 James 1 3 | imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.~ 3424 Luke 21 13 | 13 Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari 3425 Matt 10 13 | hawaipokei, basi amani yenu itawarudia ninyi.~ 3426 Luke 10 6 | yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.~ 3427 John 14 22 | Iskarioti) akamwambia, "Bwana, itawezekanaje wewe kujidhihirisha kwetu 3428 2Cor 10 15 | tunatumaini kwamba imani yenu itazidi miongoni mwenu kufuatana 3429 James 5 7 | anavyongoja kwa subira mimea yake itoe mavuno mazuri. Yeye hungojea 3430 1Cor 7 21 | ukipata fursa ya kuwa huru, itumie.~ 3431 1Cor 6 20 | kwa bei kubwa. Kwa hiyo, itumieni miili yenu kwa ajili ya 3432 Luke 3 1 | alikuwa mkuu wa mikoa ya Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa 3433 Matt 5 15 | huiweka juu ya kinara ili iwaangazie wote waliomo nyumbani.~ 3434 Ephe 4 26 | mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae 3435 Gala 3 14 | baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine 3436 Ephe 6 16 | kama ngao mikononi mwenu, iwawezeshe kuizima mishale ya moto 3437 Hebr 10 26 | kufahamu ukweli, hakuna dhabihu iwezayo kutolewa tena kwa ajili 3438 Matt 23 13 | kuingia waingie.*fj* ~\fm j ~\fr 23:13 ~\f ~\is Baadhi 3439 James | James~ 3440 Rev 18 6 | mbili kwa yale aliyoyatenda. Jazeni kikombe chake kwa kinywaji 3441 Luke 9 62 | akamwambia, "Yeyote anayeshika jembe tayari kulima na huku anaangalia 3442 Luke 7 14 | akaenda, akaligusa lile jeneza, na wale waliokuwa wanalichukua 3443 Rev 13 3 | kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha 3444 1Cor 9 7 | anayelipia utumishi wake jeshini? Mkulima gani asiyekula 3445 Rev 6 12 | kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa 3446 1Cor 10 15 | nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.~ 3447 John 7 4 | unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."~ 3448 Acts 12 8 | 8 Malaika akamwambia, "Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako." 3449 John 16 21 | maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu 3450 2Tim 4 15 | 15 Jihadhari naye kwa sababu aliupinga 3451 Acts 2 40 | kuwahimiza watu akisema, "Jiokoeni katika kizazi hiki kiovu."~ 3452 Luke 4 23 | mtaniambia msemo huu: `Mganga jiponye mwenyewe`, na pia mtasema: ` 3453 Ephe 4 23 | 23 Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira 3454 Roma 12 16 | Msijitakie makuu, bali jishugulisheni na watu wadogo. Msijione 3455 1Cor 5 7 | 7 Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya 3456 Matt 4 6 | wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini; maana imeandikwa: ` 3457 Acts 21 24 | 24 Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa, 3458 1Tim 5 22 | Usishiriki dhambi za wengine; jiweke katika hali safi.~ 3459 1Tim 4 7 | na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji 3460 Luke 14 19 | akasema: `Nimenunua ng`ombe jozi tano wa kulima; sasa nimo 3461 Jude | Jude~ 3462 Acts 20 7 | 7 Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega 3463 Luke 3 36 | 36 mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi, mwana 3464 Matt 9 13 | 13 Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: `Nataka 3465 3Joh 1 13 | lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.~ 3466 Acts 7 4 | Abrahamu alihama nchi ya Kaldayo, akaenda kukaa Harani. Baada 3467 Rev 21 19 | yakuti samawati, la tatu kalkedoni, la nne zamaradi,~ 3468 Acts 8 27 | ofisa maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa 3469 Acts 8 20 | unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!~ 3470 Roma 15 7 | 7 Basi, karibishaneni kwa ajili ya utukufu wa 3471 2Cor 8 20 | usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.~ 3472 2Tim 4 2 | kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha 3473 Roma 16 25 | ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita.~ 3474 2Tim 4 13 | koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile 3475 Acts 27 4 | upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia 3476 Acts 27 14 | upepo mkali uitwao "Upepo wa Kaskazi" ulianza kuvuma kutoka kisiwani.~ 3477 Acts 27 12 | inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa 3478 Ephe 5 27 | kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo.~ 3479 John 7 52 | umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe 3480 Rev 3 19 | yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako.~ 3481 Matt 21 30 | Naam baba!` Lakini hakwenda kazini.~ 3482 John 18 1 | alikwenda ng`ambo ya kijito Kedroni, pamoja na wanafunzi wake. 3483 Luke 3 37 | wa Mahalaleli, mwana wa Kenani,~ 3484 1Cor 13 1 | kama sauti ya debe tupu au kengele.~ 3485 Roma 5 18 | kadhalika kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima.~ 3486 Rev 6 6 | hai vinne. Nayo ilisema, "Kibaba kimoja cha unga wa ngano 3487 Acts 7 43 | 43 Ninyi mlikibeba kibanda cha mungu Moloki, na sanamu 3488 Mark 6 8 | wala mkoba, wala fedha kibindoni.~ 3489 Acts 25 27 | Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja 3490 Rev 10 9 | kidogo. Naye akaniambia, "Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa 3491 Roma 14 16 | kuwa kwenu ni kitu chema kidharauliwe.~ 3492 Acts 20 9 | Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, 3493 John 6 27 | kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. 3494 2Cor 9 15 | ya zawadi yake isiyo na kifani!~ ~~ ~ 3495 John 13 27 | akamwambia, "Unachotaka kufanya, kifanye haraka!"~ 3496 1Cor 16 14 | 14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.~ 3497 Roma 7 24 | katika mwili huu unaonipeleka kifoni?~ 3498 Luke 18 13 | mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: `Ee 3499 Acts 26 31 | kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo."~ 3500 1The 2 17 | na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, tulishikwa na hamu 3501 Matt 15 11 | kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho 3502 1The 2 5 | wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; 3503 Matt 20 15 | yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?"`~ 3504 John 18 1 | hayo, alikwenda ng`ambo ya kijito Kedroni, pamoja na wanafunzi 3505 1Cor 15 53 | lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili 3506 Rev 6 8 | farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi 3507 Acts 5 36 | wakatawanyika na kikundi chake kikafa.~ 3508 Rev 20 12 | yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri 3509 Matt 14 11 | 11 Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule 3510 Rev 18 6 | kikombe chake kwa kinywaji kikali mara mbili zaidi ya kile 3511 Luke 6 38 | mwenu kipimo kilichojaa, kikashindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika. 3512 Acts 15 12 | Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza 3513 Rev 6 1 | cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, " 3514 1Cor 12 26 | pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi 3515 Ephe 4 16 | vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili 3516 1Tim 4 5 | sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.~ 3517 Hebr 8 13 | chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.~ ~~ ~ 3518 John 19 20 | imeandikwa kwa Kiebrania, Kilatini, na Kigiriki.~ 3519 Luke 13 16 | ambaye Shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na 3520 Luke 1 15 | Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu 3521 Roma 5 17 | dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu ya huyo 3522 Luke 18 31 | Yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu Mwana 3523 Ephe 5 14 | 14 na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana 3524 1Cor 15 50 | ndugu, nasema hivi: kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi 3525 Rev 10 8 | ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika 3526 Luke 6 38 | mtapokea mikononi mwenu kipimo kilichojaa, kikashindiliwa na kusukwasukwa 3527 Matt 7 5 | cha kuweza kuondoa kibanzi kilichoko jichoni mwa ndugu yako.~ 3528 Rev 3 2 | Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka 3529 Roma 7 8 | bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.~ 3530 Rev 22 3 | 3 Hapana kitu chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa katika mji 3531 Hebr 12 13 | njia iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.~ 3532 2Pet 3 10 | itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake.~ 3533 Matt 13 19 | Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake.~ 3534 1Cor 12 24 | heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,~ 3535 Mark 14 15 | chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni 3536 John 1 3 | hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.~ 3537 Luke 22 66 | kikao cha wazee wa watu kilifanyika, ambacho kilihudhuriwa na 3538 Luke 22 66 | watu kilifanyika, ambacho kilihudhuriwa na makuhani wakuu na walimu 3539 Acts 15 12 | 12 Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba 3540 Rev 13 3 | mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini 3541 Mark 3 13 | 13 Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. 3542 Matt 18 6 | kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari.~ 3543 Luke 5 4 | Simoni, "Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate 3544 Rev 13 3 | kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa 3545 Acts 10 10 | kupata chakula. Chakula kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa 3546 Acts 27 16 | Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na 3547 1Cor 15 21 | 21 Maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na mtu mmoja, vivyo 3548 Acts 12 3 | Alipoona kuwa kitendo hiki kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata 3549 Roma 5 14 | mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda 3550 Acts 14 11 | kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: "Miungu imetujia katika 3551 Matt 10 23 | wakiwadhulumu katika mji mmoja, kimbilieni mji mwingine. Kweli nawaambieni, 3552 Rev 5 1 | nikaona kitabu; nacho kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa 3553 1Cor 15 54 | neno lililoandikwa: "Kifo kimeangamizwa ushindi umekamilika!"~ 3554 Roma 5 12 | ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, 3555 James 5 4 | wanaovuna mashamba yenu kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye 3556 Rev 10 2 | mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia 3557 Hebr 4 13 | mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. 3558 John 20 7 | hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.~ 3559 Luke 22 12 | kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo."~ 3560 Rev 4 11 | kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima."~ ~ ~~ ~ 3561 1Cor 10 28 | akiwaambieni: "Chakula hiki kimetambikiwa sanamu," basi, kwa ajili 3562 Hebr 9 16 | yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.~ 3563 John 17 7 | wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka kwako.~ 3564 Hebr 9 15 | Watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa watu 3565 Roma 11 16 | kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa 3566 2Cor 5 4 | usiokufa, ili kile chenye kufa kimezwe kabisa na uhai.~ 3567 Acts 2 24 | haingewezekana kabisa kifo kimfunge.~ 3568 Luke 18 11 | Mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: `Ee Mungu, nakushukuru 3569 Matt 15 11 | kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu najisi."~ 3570 Hebr 8 13 | lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka 3571 1Tim 4 4 | Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe 3572 2Pet 2 19 | mtumwa wa chochote kile kinachomtawala.~ 3573 Mark 7 18 | Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia 3574 2The 2 6 | 6 Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu 3575 3Joh 1 4 | 4 Hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba 3576 1Cor 4 2 | 2 Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa 3577 2Pet 2 13 | mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao 3578 Hebr 12 1 | hiyo tuondoe kila kizuizi kinachotuzuia, na dhambi ile inayotung` 3579 Matt 5 37 | iwe kweli `Siyo`. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.~ 3580 1Cor 6 12 | Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu 3581 2Cor 4 12 | maana kwamba ndani yetu kifo kinafanya kazi, lakini ndani yenu 3582 Acts 28 1 | tuligundua kwamba kile kisiwa kinaitwa Malta.~ 3583 Matt 23 16 | ya Hekalu, kiapo ~hicho kinamshika. ~ 3584 1Cor 14 7 | sauti kama vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua 3585 Acts 28 4 | walipokiona kile kiumbe kinaning`inia kwenye mkono wake waliambiana, " 3586 Acts 28 22 | hicho kikundi ni kwamba kinapingwa kila mahali."~ 3587 Acts 10 10 | chakula. Chakula kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa na usingizi mzito 3588 Acts 19 25 | mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana na biashara hii.~ 3589 1Cor 12 26 | 26 Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja 3590 Roma 5 18 | kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima.~ 3591 Acts 20 20 | kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni.~ 3592 Roma 10 18 | maneno yao yamefika mpaka kingo za ulimwengu."~ 3593 Rev 5 8 | Kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa 3594 Acts 20 15 | huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, 3595 Acts 19 25 | Wananchi, mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana na biashara 3596 2Cor 3 14 | Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa 3597 Hebr 12 13 | kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.~ 3598 Acts 28 7 | kisiwa. Publio alitukaribisha kirafiki, tukawa wageni wake kwa 3599 John 4 11 | kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo 3600 Luke 2 2 | kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa 3601 Acts 21 31 | zilimfikia mkuu wa jeshi la Kiroma kuwa Yerusalemu yote ilikuwa 3602 Matt 23 26 | 26 Mfarisayo kipofu! Kisafishe kikombe ndani kwanza na 3603 James 3 15| na ya kidunia, tena ni ya kishetani.~ 3604 Acts 13 21 | akawapa Saulo, mtoto wa Kishi wa kabila la Benyamini, 3605 John 6 27 | Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili 3606 Mark 8 38 | katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi 3607 2Cor 4 2 | mambo yote ya aibu na ya kisirisiri. Hatuishi tena kwa udanganyifu, 3608 Hebr 12 13 | iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.~ 3609 1Pet 3 12 | sala zao. Lakini huwapa kisogo watu watendao maovu."~ 3610 Acts 4 13 | Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa 3611 Mark 13 2 | juu ya lingine; kila kitu kitabomolewa."~ 3612 Rev 21 27 | chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye 3613 Rev 22 3 | chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa katika mji huo. Kiti cha 3614 Luke 1 18 | huyo malaika, "Ni kitu gani kitakachonihakikishia jambo hilo? Mimi ni mzee, 3615 Luke 10 19 | yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.~ 3616 Luke 18 31 | manabii kuhusu Mwana wa Mtu kitakamilishwa.~ 3617 1Cor 13 10 | kile kilicho kikamilifu kitakapofika, vyote visivyo vikamilifu 3618 1Cor 15 54 | kutoharibika, na kile chenye kufa kitakapojivalia hali ya kutokufa, hapo ndipo 3619 2Pet 3 11 | namna gani? Mnapaswa kuishi kitakatifu na kumcha Mungu,~


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License