110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu
Book, Chapter, Verse
3620 Luke 2 12 | 12 Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga
3621 Roma 14 20 | haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.~
3622 2Cor 3 14 | bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.~
3623 Matt 23 36 | Nawaambieni kweli, kizazi hiki kitapata adhabu kwa sababu ya ~mambo
3624 Matt 9 16 | kuukuu. Maana kiraka hicho kitararua hilo vazi kuukuu, na pale
3625 Mark 2 21 | hivyo, hicho kiraka kipya kitararuka kutoka hilo vazi kuukuu,
3626 Hebr 8 13 | kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.~ ~~ ~
3627 1Cor 3 15 | lakini kama alichojenga kitaunguzwa, basi, atapoteza tuzo lake;
3628 1Cor 3 14 | alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;~
3629 Rev 9 6 | watatamani kufa lakini kifo kitawakimbia.~
3630 1Cor 14 32 | ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.~
3631 Mark 7 34 | akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, "Efatha," maana
3632 Matt 15 11 | kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho
3633 Acts 1 25 | nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali
3634 Acts 12 10 | 10 Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na
3635 1Cor 10 25 | 25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza
3636 Acts 5 15 | akipita, walau kivuli chake kiwaguse baadhi yao.~
3637 2Cor 8 14 | mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao
3638 2Cor 11 23 | Hata mimi - nanena hayo kiwazimu - ni mtumishi wa Kristo
3639 Acts 27 28 | iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita
3640 2Tim 4 21 | baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu
3641 1Cor 1 11 | watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna
3642 Acts 16 12 | Makedonia, na ambao pia ni koloni la Waroma. Tulikaa katika
3643 Colo 1 2 | ninyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika
3644 Roma 6 22 | 22 Lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi
3645 Colo 3 5 | 5 Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho
3646 Matt 18 28 | moja. Akamkamata, akamkaba koo akisema, `Lipa deni lako!`~
3647 Luke 6 35 | zenu, na kuwatendea mema; kopesheni bila kutazamia malipo, na
3648 Jude 1 11 | wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa
3649 Mark 7 11 | akasema kwamba kitu hicho ni Korbani (yaani ni zawadi kwa Mungu),~
3650 Luke 3 28 | mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana
3651 Acts 21 1 | tukaenda moja kwa moja mpaka Kosi. Kesho yake tulifika Rodo,
3652 John 20 25 | kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu
3653 2Tim 4 10 | kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito
3654 Rev 21 20 | la sita akiki, la saba krisolito, la nane zabarijadi, la
3655 Rev 21 20 | la tisa topazi, la kumi krisopraso, la kumi na moja yasinto,
3656 Matt 19 7 | apewe hati ya talaka na kuachwa?"~
3657 2Cor 10 6 | kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.~
3658 Acts 16 16 | na pepo mwenye uwezo wa kuagua alikutana nasi. Msichana
3659 Roma 10 11 | amwaminiye hatakuwa na sababu ya kuaibika."~
3660 Acts 5 41 | furaha, kwani walistahili kuaibishwa kwa ajili ya jina la Yesu.~
3661 John 10 12 | 12 Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na
3662 Luke 7 32 | waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: `
3663 1Cor 7 25 | huruma yake Bwana nastahili kuaminiwa.~
3664 Roma 7 8 | dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya
3665 Luke 1 63 | 63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: "Yohane
3666 Luke 2 2 | 2 Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza,
3667 Acts 28 4 | mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, `Haki` haitamwacha
3668 James 4 12| yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata
3669 Rev 21 23 | hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu
3670 Roma 10 3 | waadilifu, na wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo
3671 Roma 11 30 | huruma yake kutokana na kuasi kwao.~
3672 Matt 11 20 | humo, watu wake hawakutaka kubadili nia zao mbaya:~
3673 Hebr 6 18 | kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu
3674 Rev 3 20 | Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti
3675 Acts 3 20 | ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule
3676 2Cor 7 1 | tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua miili na roho zetu, tuwe
3677 John 6 18 | 18 Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa
3678 Rev 14 10 | kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka
3679 Acts 27 29 | nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi.~
3680 Acts 10 33 | nilikutumia ujumbe bila kuchelewa, nawe umefanya vyema kuja.
3681 Luke 21 30 | Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba
3682 Acts 17 13 | wakaanza kufanya fujo na kuchochea makundi ya watu.~
3683 Ephe 6 18 | nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu
3684 Mark 16 2 | Jumapili, jua lilipoanza kuchomoza, walienda kaburini.~
3685 Hebr 1 9 | Wewe wapenda uadilifu na kuchukia uovu. Ndiyo maana Mungu,
3686 Matt 24 10 | imani yao, watasalitiana na kuchukiana.~
3687 Mark 10 41 | waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.~
3688 2Tim 3 13 | kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.~
3689 Roma 9 23 | 23 Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao
3690 Mark 9 50 | na chumvi ndani yenu na kudumisha amani kati yenu."~ ~~ ~
3691 Hebr 11 32 | zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, Baraki,
3692 1The 5 3 | anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.~
3693 Roma 8 29 | ndio aliowateua wapate kufanana na Mwanae, ili Mwana awe
3694 Roma 1 24 | tamaa mbaya za mioyo yao na kufanyiana mambo ya aibu kwa miili
3695 2Cor 1 5 | kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye.~
3696 Hebr 10 33 | Mara nyingine mlitukanwa na kufedheheshwa hadharani; mara nyingine
3697 1The 2 5 | hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni
3698 1Pet 1 4 | haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.~
3699 Roma 9 21 | kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo
3700 2Pet 3 1 | barua hizo mbili nimejaribu kufufua fikira safi akilini mwenu
3701 James 3 7 | kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga viumbe vyote-wanyama wa
3702 Luke 1 10 | nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.~
3703 Mark 1 39 | akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.~
3704 1Cor 15 52 | mwisho, kwa nukta moja, kufumba na kufumbua. Maana mbiu
3705 1Cor 15 52 | kwa nukta moja, kufumba na kufumbua. Maana mbiu itakapolia,
3706 John 9 10 | Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?"~
3707 2Tim 3 16 | Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha
3708 Luke 16 17 | hata herufi moja ya Sheria kufutwa.~
3709 Luke 11 22 | silaha zake alizotegemea na kugawanya nyara.~
3710 1Tim 1 6 | Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.~
3711 James 3 4 | husukumwa na upepo mkali, huweza kugeuzwa kwa usukani mdogo sana,
3712 Acts 17 21 | wanatumia wakati wao wote kuhadithiana na kusikiliza habari mpyampya.
3713 Matt 28 14 | hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo."~
3714 Acts 28 8 | kitandani, mgonjwa, ana homa na kuhara. Paulo alikwenda kumwona
3715 Acts 5 37 | baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea Yuda wa Galilaya.
3716 Acts 10 22 | mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote ametutuma.
3717 Ephe 4 3 | 3 Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa
3718 Luke 12 17 | Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu?~
3719 1Tim 1 5 | 5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika
3720 Hebr 4 6 | 6 Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata
3721 Luke 1 23 | 23 Zamu yake ya kuhudumu ilipokwisha, alirudi nyumbani.~
3722 Roma 14 13 | 13 Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa
3723 Ephe 4 32 | Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe
3724 Rev 3 17 | wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu tena uko
3725 Acts 20 9 | Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia
3726 Hebr 12 11 | jambo la kufurahisha bali la kuhuzunisha. Lakini wale waliofunzwa
3727 2Cor 2 3 | sikutaka kuja kwenu na kuhuzunishwa na ninyi ambao ndio mngepaswa
3728 Gala 1 23 | ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza."~
3729 2Cor 4 6 | kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia
3730 Matt 23 4 | kunyosha hata kidole wapate kuibeba. ~
3731 Jude 1 8 | ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau
3732 Luke 13 21 | aliyoitwaa mama mmoja na kuichanganya pamoja na unga debe moja
3733 Hebr 10 29 | anayempuuza Mwana wa Mungu na kuidharau damu ya agano la Mungu iliyomtakasa,
3734 Matt 23 33 | nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto ~wa Jehanamu? ~
3735 1Cor 2 16 | Maandiko yasema: "Nani awezaye kuifahamu akili ya Bwana? Nani awezaye
3736 Roma 8 28 | yote, Mungu hufanya kazi na kuifanikisha pamoja na wote wampendao,
3737 Colo 2 14 | inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.~
3738 1Cor 5 10 | wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!~
3739 1Cor 13 2 | imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina
3740 James 4 11| kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu Sheria. Kama ukiihukumu
3741 Acts 14 17 | wake, huwapa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha."~
3742 Rev 6 17 | yao imefika. Nani awezaye kuikabili?"~ ~~ ~
3743 2Cor 8 11 | hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.~
3744 Rev 19 15 | atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha
3745 Gala 2 21 | 21 Sipendi kuikataa neema ya Mungu. Kama mtu
3746 Matt 12 44 | nilikotoka.` Lakini anaporudi na kuikuta tupu, imefagiwa na kupambwa,~
3747 Matt 11 20 | 20 Kisha Yesu akaanza kuilaumu miji ambayo, ingawaje alifanya
3748 John 12 34 | ati Mwana wa Mtu anapaswa kuinuliwa? Huyo Mwana wa Mtu ni nani?"~
3749 Luke 17 33 | 33 Yeyote anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza;
3750 Acts 16 27 | Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa,
3751 Luke 7 38 | zake. Kisha akaibusu na kuipaka yale marashi.~
3752 Luke 13 19 | haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota hata
3753 Hebr 12 17 | mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile baraka iliyokuwa
3754 Colo 2 14 | yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.~
3755 2Cor 10 5 | cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka
3756 1Cor 16 15 | ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika
3757 Gala 1 7 | wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.~
3758 Rev 13 15 | 15 Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule
3759 James 1 25| kuizingatia, na si kuisikia tu na kuisahau baadaye, bali anaitekeleza,
3760 Acts 21 27 | hizo saba zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka
3761 2Pet 1 4 | zilizomo duniani, na mpate kuishiriki hali yake ya kimungu.~
3762 Rev 10 3 | 3 na kuita kwa sauti kubwa kama ya
3763 Luke 15 8 | Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.~
3764 Ephe 6 20 | niweze kuwa hodari katika kuitangaza kama inipasavyo.~
3765 Hebr 8 5 | Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza ile hema, Mungu alimwambia: "
3766 Luke 6 48 | nyumba ile, lakini haukuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa
3767 John 4 34 | anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.~
3768 Hebr 13 11 | katika Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi;
3769 Roma 7 8 | 8 Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata
3770 Matt 10 28 | wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa
3771 Ephe 6 16 | mikononi mwenu, iwawezeshe kuizima mishale ya moto ya yule
3772 James 1 13| Mungu." Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu
3773 Acts 6 5 | mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na Roho Mtakatifu, Filipo,
3774 Acts 9 17 | ili upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu."~
3775 Roma 14 19 | amani, na yanayotusaidia kujengana.~
3776 1Cor 14 5 | asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.~
3777 Luke 9 25 | dunia kwa kujipoteza au kujiangamiza yeye mwenyewe?~
3778 2Cor 10 12 | wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia,
3779 James 5 5 | Mmeishi duniani maisha ya kujifurahisha na ya anasa. Mmejinenepesha
3780 1Pet 4 1 | kimwili, nanyi pia mnapaswa kujiimarisha kwa nia hiyo yake; maana
3781 Luke 23 2 | kulipa kodi kwa Kaisari na kujiita ati yeye ni Kristo, Mfalme."~
3782 2Tim 2 13 | daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe."~
3783 Mark 5 5 | milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa mawe.~
3784 2Tim 4 3 | watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia
3785 Luke 10 15 | wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa
3786 Matt 26 74 | 74 Hapo Petro akaanza kujilaani na kuapa akisema, "Simjui
3787 James 1 27| wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na
3788 Matt 11 21 | wangalikwisha vaa mavazi ya gunia na kujipaka majivu zamani, ili kuonyesha
3789 2Cor 10 12 | kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia, na watu wanaojilinganisha
3790 Luke 9 25 | utajiri wote wa dunia kwa kujipoteza au kujiangamiza yeye mwenyewe?~
3791 Acts 28 3 | akamnasa Paulo mkononi na kujishikilia hapo.~
3792 Matt 23 13 | Mnawanyonya ~wajane na kujisingizia kuwa watu wema kwa kusali
3793 Colo 1 29 | hayo mimi nafanya kazi na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya
3794 Colo 2 23 | katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa
3795 Hebr 9 26 | moja tu, kuondoa dhambi kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu.~
3796 Luke 8 28 | Yesu, alipiga kelele na kujitupa chini mbele yake, na kusema
3797 Acts 16 27 | akauchomoa upanga wake, akataka kujiua.~
3798 Acts 5 3 | umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata
3799 1Cor 7 9 | Hata hivyo, kama mtu hawezi kujizuia basi, na aoe; maana ni afadhali
3800 Roma 9 22 | kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa
3801 2Cor 5 4 | ya duniani, tunalia kwa kukandamizwa; si kwamba tunataka kuuvua
3802 Luke 10 19 | Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng`e, na uwezo
3803 Acts 2 35 | nitakapowafanya adui zako kibao cha kukanyagia miguu yako.`~
3804 Matt 5 13 | tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu.~
3805 Luke 15 25 | shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo
3806 Luke 9 4 | Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka
3807 1Tim 6 16 | katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata
3808 James 1 19| wa kusema wala mwepesi wa kukasirika.~
3809 Luke 5 6 | hata nyavu zao zikaanza kukatika.~
3810 Rev 9 2 | ikafungua shimo la Kuzimu, kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua
3811 1Cor 11 6 | Lakini ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa;
3812 Rev 12 7 | 7 Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na
3813 Acts 7 41 | ndama, wakaitambikia na kukifanyia sherehe kitu ambacho ni
3814 1Cor 8 8 | zaidi na Mungu. Tukiacha kukila hatupungukiwi kitu, tukikila
3815 Mark 6 27 | mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari
3816 2Tim 1 12 | hakika kwamba yeye aweza kukilinda salama kile alichonikabidhi,
3817 Matt 26 42 | hiki kinipite bila mimi kukinywa, basi, mapenzi yako yafanyike."~
3818 Luke 6 41 | 41 Unawezaje kukiona kibanzi kilicho katika jicho
3819 Rev 2 5 | La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako mahali pake.~
3820 1Cor 3 2 | kigumu, kwani hamkuwa tayari kukipokea. Hata sasa hamko tayari.~
3821 Mark 2 21 | kutoka katika nguo mpya na kukishonea katika nguo kuukuu. Kama
3822 1Joh 1 3 | 3 Tulichokiona na kukisikia ndicho tunachowatangazieni
3823 Luke 5 36 | kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama
3824 1Tim 4 14 | 14 Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani
3825 Rev 5 9 | huu mpya: "Wewe unastahili kukitwaa hicho kitabu na kuivunja
3826 Luke 11 42 | zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani
3827 Titus 1 11| 11 Lazima kukomesha maneno yao, kwani wanavuruga
3828 Rev 15 4 | Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki
3829 John 6 30 | ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani?~
3830 Phil 1 8 | ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.~
3831 James 2 21| Abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake Mungu? Kwa matendo
3832 Matt 5 40 | akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue
3833 Acts 18 10 | Hakuna mtu atakayejaribu kukudhuru maana hapa mjini pana watu
3834 Acts 5 3 | Shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu
3835 John 13 37 | Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Niko tayari kufa kwa
3836 John 19 10 | kwamba ninayo mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukusulubisha?"~
3837 John 10 33 | jema, ila kwa sababu ya kukufuru! Maana wajifanya kuwa Mungu
3838 Matt 25 44 | au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?`~
3839 John 17 3 | uzima wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako Mungu
3840 Matt 5 42 | Akuombaye mpe, na mtu akitaka kukukopa kitu usimnyime.~
3841 Phil 1 14 | bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako
3842 Luke 14 14 | kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo
3843 Hebr 1 9 | wako amekuweka wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko
3844 Luke 19 44 | wakati Mungu alipokujia kukuokoa."~
3845 Roma 2 4 | wake huo una shabaha ya kukuongoza upate kutubu?~
3846 2Tim 3 15 | Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa
3847 John 21 18 | mtu mwingine atakufunga na kukupeleka usikopenda kwenda."~
3848 Acts 8 22 | umwombe Bwana naye anaweza kukusamehe fikira kama hizo.~
3849 2The 2 1 | Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye.
3850 Acts 17 32 | wengine walisema, "Tunataka kukusikia tena juu ya jambo hili!"~
3851 John 19 10 | kukufungua na mamlaka ya kukusulubisha?"~
3852 Matt 11 10 | asema Bwana, akutangulie na kukutayarishia njia yako.`~
3853 Matt 25 39 | mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?`~
3854 John 17 1 | Mwanao ili naye Mwana apate kukutukuza.~
3855 Mark 14 71 | 71 Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, "Mimi
3856 Roma 9 3 | faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.~
3857 Luke 16 21 | mbwa walikuwa wanakuja na kulamba vidonda vyake!~
3858 2Cor 6 8 | heshima na kudharauliwa, kulaumiwa na kusifiwa. Twadhaniwa
3859 John 9 34 | wakamjibu, "Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi; unawezaje
3860 Matt 11 28 | ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.~
3861 1Tim 5 16 | anapaswa kuwatunza na si kuliachilia kanisa mzigo huo, ili kanisa
3862 Luke 14 18 | kwa hiyo sina budi kwenda kuliangalia; nakuomba uniwie radhi.`~
3863 Acts 8 3 | huohuo, Saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika
3864 Matt 27 61 | mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.~
3865 Acts 6 2 | Si vizuri sisi tuache kulihubiri neno la Mungu ili tushughulikie
3866 2Cor 3 6 | yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano
3867 Mark 12 9 | kuwaangamiza hao wakulima na kulikodisha hilo shamba la mizabibu
3868 Acts 24 6 | 6 Tena alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni.
3869 Ephe 2 21 | kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu
3870 Luke 2 8 | wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.~
3871 Ephe 4 15 | tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;~
3872 1Joh 1 1 | Sisi tumepata kulisikia na kuliona kwa macho yetu wenyewe;
3873 Ephe 5 26 | baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,~
3874 Hebr 4 6 | wengine ambao wangejaliwa kulipata.~
3875 Matt 22 19 | 19 Nionyesheni fedha ya kulipia kodi." Nao wakamtolea sarafu
3876 Acts 26 9 | wangu kufanya mambo mengi kulipinga jina la Yesu wa Nazareti.~
3877 John 21 4 | 4 Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama
3878 Matt 20 8 | 8 "Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia
3879 Acts 19 23 | 23 Wakati huo ndipo kulipotokea ghasia kubwa huko Efeso
3880 2Cor 4 2 | kwa udanganyifu, wala kwa kulipotosha neno la Mungu; bali tunaudhihirisha
3881 Roma 11 35 | yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?"~
3882 Roma 11 15 | Maana ikiwa kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na
3883 Acts 18 22 | Paulo akaenda Yerusalemu kulisalimia lile kanisa, kisha akaenda
3884 Luke 15 15 | akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.~
3885 Matt 16 18 | kifo chenyewe hakitaweza kulishinda.~
3886 1Joh 1 1 | tangu mwanzo. Sisi tumepata kulisikia na kuliona kwa macho yetu
3887 Mark 4 19 | kila namna huwaingia na kulisonga hilo neno, nao hawazai matunda.~
3888 Gala 3 17 | thelathini baadaye, haiwezi kulitangua hilo agano wala kuibatilisha
3889 Roma 7 18 | kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.~
3890 Ephe 2 21 | 21 Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata
3891 Gala 2 2 | 2 Kwenda kwangu kulitokana na ufunuo alionipa Mungu.
3892 1Tim 3 5 | vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?~
3893 Acts 22 16 | uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.`~
3894 Matt 27 40 | 40 "Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga kwa
3895 Mark 4 17 | mizizi ndani yao; huendelea kulizingatia kwa kitambo tu, na wakati
3896 Acts 7 11 | 11 Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote
3897 Acts 21 35 | ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.~
3898 Acts 14 19 | wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani
3899 Matt 5 43 | Mpende jirani yako na kumchukia adui yako.`~
3900 Matt 23 25 | nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata ~kwa unyang'
3901 2Cor 7 14 | kuwasifia ninyi mbele ya Tito kumekuwa jambo la ukweli mtupu.~
3902 1Cor 15 21 | nako kufufuka kutoka wafu kumesababishwa na mtu mmoja.~
3903 Luke 16 26 | hayo, kati yetu na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka
3904 Acts 3 16 | nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya
3905 Acts 17 27 | kwa kupapasapapasa, yapate kumfikia. Hata hivyo lakini, Mungu
3906 Acts 17 29 | watoto wa Mungu, haifai kumfikiria Mungu kuwa kama dhahabu,
3907 Mark 3 23 | mifano,"Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?~
3908 John 9 14 | Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa
3909 John 1 27 | lakini mimi sistahili hata kumfungua kamba za viatu vyake."~
3910 Luke 10 22 | yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo."~
3911 Roma 12 8 | na afanye hivyo. Mwenye kumgawia mwenzake alicho nacho na
3912 Acts 11 21 | kubwa ya watu iliamini na kumgeukia Bwana.~
3913 Roma 9 20 | binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza
3914 1Joh 2 20 | 20 Ninyi, lakini, mlipata kumiminiwa Roho Mtakatifu na Kristo,
3915 Luke 18 2 | hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.~
3916 Acts 7 46 | akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa
3917 Acts 3 13 | mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada
3918 Mark 6 26 | wake karamuni, hakutaka kumkatalia.~
3919 Acts 20 37 | walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu.~
3920 Roma 9 19 | yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga
3921 Luke 23 27 | waliokuwa wanaomboleza na kumlilia.~
3922 Acts 28 16 | pamoja na askari mmoja wa kumlinda. ic~
3923 Rev 12 4 | kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.~
3924 Acts 10 38 | jinsi Mungu alivyomteua kwa kummiminia Roho Mtakatifu na nguvu.
3925 Matt 20 11 | Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung`unikia yule bwana.~
3926 James 5 14| kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.~
3927 John 11 2 | aliyempaka Bwana marashi na kumpangusa kwa nywele zake. Lazaro,
3928 1Tim 5 21 | bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.~
3929 Acts 22 24 | kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.~
3930 Roma 16 20 | chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu.
3931 1The 4 6 | mtu yeyote asimkosee au kumpunja mwenzake kuhusu jambo hili.
3932 Rev 3 19 | ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa
3933 Acts 23 10 | lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome.~
3934 2Cor 2 7 | Iliyobakia ni afadhali kwenu kumsamehe mtu huyo na kumpa moyo ili
3935 Luke 11 53 | walimu wa Sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali
3936 1Cor 2 16 | akili ya Bwana? Nani awezaye kumshauri?" Lakini sisi tunayo akili
3937 Acts 21 14 | 14 Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: "
3938 2Tim 1 8 | 8 Basi, usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione
3939 Luke 15 28 | Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.~
3940 Roma 14 4 | imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha.~
3941 Luke 11 53 | wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi~
3942 Ephe 5 33 | mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.~ ~~ ~
3943 Mark 15 19 | mate; wakampigia magoti na kumsujudia.~
3944 Matt 5 28 | atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni
3945 Roma 1 28 | Kwa vile watu walikataa kumtambua Mungu, Mungu amewaacha katika
3946 Gala 3 8 | Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: "
3947 Luke 1 76 | Mkuu, utamtangulia Bwana kumtayarishia njia yake;~
3948 2Cor 1 9 | kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu,
3949 Rev 17 16 | watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.~
3950 Mark 15 36 | tuone kama Eliya atakuja kumteremsha msalabani!"~
3951 Luke 18 4 | mrefu huyo hakimu hakupenda kumtetea huyo mjane; lakini, mwishowe
3952 Hebr 8 3 | Kila Kuhani Mkuu ameteuliwa kumtolea Mungu vipawa na dhabihu,
3953 Ephe 1 12 | Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu
3954 Acts 23 21 | ya arobaini walio tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa
3955 Luke 6 38 | kikashindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika. Kwa maana kipimo kilekile
3956 Acts 21 18 | Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa
3957 John 11 11 | lakini mimi nitakwenda kumwamsha."~
3958 Mark 8 26 | akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, "Usirudi kijijini!"~
3959 Acts 25 26 | habari kamili ambayo naweza kumwandikia Kaisari juu yake. Ndiyo
3960 Luke 4 35 | Basi, huyo pepo baada ya kumwangusha yule mtu chini, akamtoka
3961 Luke 14 21 | Mtumishi huyo akarudi na kumwarifu bwana wake jambo hilo. Yule
3962 Ephe 2 18 | mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.~
3963 1The 1 6 | mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana,
3964 Rev 12 13 | chini duniani, likaanza kumwinda yule mama aliyekuwa amejifungua
3965 Luke 11 26 | kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. Hivyo, basi hali
3966 Luke 5 18 | amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.~
3967 1Cor 7 38 | mengine: yule anayeamua kumwoa huyo mchumba wake anafanya
3968 1Joh 5 16 | isiyompeleka kwenye kifo anapaswa kumwombea kwa Mungu, naye Mungu atampatia
3969 Acts 13 22 | 22 Baada ya kumwondoa Saulo, Mungu alimteua Daudi
3970 1Joh 3 17 | akawa na moyo mgumu bila kumwonea huruma, anawezaje kusema
3971 Luke 6 39 | huu: "Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? La! Wote
3972 Luke 20 12 | tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.~
3973 Acts 10 30 | aliyekuwa amevaa mavazi yenye kun`gaa alisimama mbele yangu,~
3974 Acts 26 24 | wazimu! Kusoma kwako kwingi kunakutia wazimu!"~
3975 2The 1 3 | sana na kupendana kwenu kunaongezeka sana.~
3976 1Cor 15 32 | wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki,
3977 Gala 3 21 | Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa
3978 1The 3 5 | Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma
3979 Luke 12 24 | 24 Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni wala
3980 Acts 28 18 | na hatia yeyote, walitaka kuniacha.~
3981 Luke 7 45 | 45 Wewe hukunisalimu kwa kunibusu, lakini huyu mwanamke tangu
3982 Acts 15 7 | hapo awali Mungu alipenda kunichagua mimi miongoni mwenu niihubiri
3983 2Tim 4 18 | na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala
3984 Hebr 3 9 | wazee wenu walinijaribu na kunichunguza, asema Bwana, ingawa walikuwa
3985 Acts 8 31 | Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?" Hapo akamwalika Filipo
3986 Gala 1 16 | 16 Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri
3987 Acts 7 50 | namna gani basi mnayoweza kunijengea, na ni mahali gani nitakapopumzika?
3988 John 1 48 | Nathanieli akamwuliza, "Umepataje kunijua?" Yesu akamwambia, "Ulipokuwa
3989 Acts 25 11 | watu hawa, hakuna awezaye kunikabidhi kwao. Nakata rufani kwa
3990 Luke 16 4 | nitakapofukuzwa kazi, watu waweze kunikaribisha nyumbani kwao.`~
3991 Gala 4 14 | wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu ya udhaifu wangu
3992 Roma 15 30 | Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu.~
3993 Luke 1 25 | alivyonitendea Bwana; ameniangalia na kuniondolea aibu niliyokuwa nayo mbele
3994 Acts 22 11 | iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka
3995 Luke 7 44 | yangu kwa machozi yake na kunipangusa kwa nywele zake.~
3996 John 5 8 | Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa.
3997 2Cor 12 7 | mjumbe wa Shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita kiasi.~
3998 John 13 18 | chakula changu amegeuka kunishambulia.`~
3999 Acts 22 11 | wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko.~
4000 Mark 13 9 | kwa sababu yangu ili mpate kunishuhudia kwao.~
4001 2Cor 12 11 | Ninyi ndio mngalipaswa kunisifu. Maana, ingawa mimi si kitu,
4002 3Joh 1 9 | kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza.~
4003 2Tim 1 17 | alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata. ~
4004 Matt 26 12 | amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.~
4005 Matt 25 36 | nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.`~
4006 Matt 25 45 | wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.`~
4007 2Cor 7 7 | na huzuni, na mnavyotaka kunitetea. Jambo hili linanifurahisha
4008 Roma 15 18 | Kristo Yesu amekifanya kwa kunitumia mimi ili watu wa mataifa
4009 2Cor 12 20 | uhasama, ubishi, masengenyano, kunong`ona, majivuno na fujo kati
4010 Ephe 1 5 | Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.~
4011 John 11 39 | akamwambia, "Bwana, amekwishaanza kunuka; amekaa kaburini siku nne!"~
4012 1Cor 12 17 | ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?~
4013 Matt 13 19 | njiani; yule Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni
4014 Acts 8 33 | 33 Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza
4015 1Cor 11 6 | mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa; basi, afadhali afunike
4016 Luke 23 29 | ambao hawakupata kuzaa wala kunyonyesha watoto!`~
4017 Matt 23 4 | lakini wao wenyewe hawataki kunyosha hata kidole wapate kuibeba. ~
4018 Luke 24 42 | Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.~
4019 Luke 16 3 | Kwenda kulima siwezi; kwenda kuombaomba kama maskini ni aibu.~
4020 Matt 10 10 | 10 Msichukue mkoba wa kuombea njiani, wala koti la ziada,
4021 Gala 5 26 | tusijivune, tusichokozane wala kuoneana wivu.~ ~~ ~
4022 Hebr 10 24 | kushughulikiana kwa ajili ya kuongezeana bidii ya kupendana na kutenda
4023 2Cor 8 13 | 13 Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe
4024 1Cor 12 2 | Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa
4025 2Tim 3 16 | katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na
4026 James 2 20| Mpumbavu wee! Je, wataka kuonyeshwa kwamba imani bila matendo
4027 Matt 2 22 | kwenda huko. Naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda
4028 Mark 7 4 | walizopokea kama vile namna ya kuosha vikombe, sufuria na vyombo
4029 John 13 14 | miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu.~
4030 Hebr 6 7 | inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha mimea ya faida kwa mkulima.~
4031 Acts 6 13 | haachi kamwe kusema maneno ya kupakashifu mahali hapa patakatifu na
4032 Roma 9 11 | hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,~
4033 John 21 4 | 4 Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya
4034 Roma 11 24 | jambo rahisi zaidi kwao kupandikizwa tena katika mti huohuo wao.~
4035 Acts 17 27 | kumfuata, na kama vile kwa kupapasapapasa, yapate kumfikia. Hata hivyo
4036 1Cor 6 11 | mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana
4037 Acts 21 28 | mataifa mengine Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu."~
4038 Luke 18 39 | anyamaze; lakini yeye akazidi kupaza sauti: "Mwana wa Daudi,
4039 Acts 11 30 | Basi, wakafanya hivyo na kupeleka mchango wao kwa wazee wa
4040 Rev 11 10 | wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi maana manabii hawa
4041 Gala 2 4 | walijiingiza kwa ujanja na kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika
4042 Matt 23 7 | kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na ~watu: <Mwalimu.> ~
4043 Luke 2 52 | hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.~ ~~ ~
4044 Mark 10 25 | 25 Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano,
4045 Ephe 4 14 | kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo
4046 John 2 15 | za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao.~
4047 Acts 13 10 | akasema, "Mdanganyifu wa kupindukia na mlaghai wewe! Wewe ni
4048 2The 3 1 | Bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo
4049 Luke 16 9 | zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele.~
4050 Luke 5 17 | pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.~
4051 Matt 8 6 | amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana."~
4052 Acts 17 25 | watu uhai, anawawezesha kupumua na anawapa kila kitu.~
4053 Acts 19 13 | 13 Wayahudi kadhaa wenye kupunga pepo wabaya, walisafiri
4054 James 1 4 | wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote.~
4055 2Pet 2 10 | tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni washupavu
4056 1The 3 10 | kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika
4057 1Tim 6 8 | chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.~
4058 Acts 19 40 | hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo."~
4059 Ephe 1 14 | Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia
4060 Hebr 6 1 | Hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo
4061 Rev 12 14 | mabawa mawili ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka,
4062 Acts 3 8 | nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu.~
4063 Acts 22 23 | wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.~
4064 1Tim 4 9 | 9 Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.~
4065 1Pet 1 2 | mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni
4066 Matt 23 23 | mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine. ~
4067 2Tim 3 16 | kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu
4068 Rev 19 17 | wanaruka juu angani, "Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya
4069 Luke 15 17 | baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?~
4070 Luke 15 23 | Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!~
4071 James 2 16| Nendeni salama mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia mahitaji
4072 Hebr 12 18 | mlimani Sinai, ambao unaweza kushikika kama walivyofanya watu wa
4073 Hebr 6 4 | onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;~
4074 Acts 18 3 | wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama alivyokuwa yeye,
4075 Acts 19 40 | 40 Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana
4076 Hebr 10 24 | 24 Tujitahidi kushughulikiana kwa ajili ya kuongezeana
4077 1Cor 12 24 | viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka
4078 2The 1 3 | 3 Ndugu, tunapaswa kushukuru Mungu daima kwa ajili yenu.
4079 James 3 10| 10 Maneno ya laana na ya kusifia hutoka katika kinywa kimoja.
4080 Matt 26 5 | lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya
4081 1Cor 15 19 | sasa, basi, sisi ni watu wa kusikitikiwa zaidi kuliko wengine wote
4082 Roma 1 30 | 30 na kusingiziana; ni watu wa kuchukiza kwa
4083 Acts 27 12 | bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi;
4084 Acts 20 9 | kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye
4085 1Cor 11 34 | kwake, ili kukutana kwenu kusisababishe hukumu. Lakini, kuhusu yale
4086 Luke 17 1 | wake, "Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha
4087 1Cor 12 25 | 25 ili kusiweko na utengano katika mwili
4088 Acts 15 21 | yakihubiriwa katika kila mji na kusomwa katika masunagogi yote kila
4089 1Cor 11 27 | kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili, atakuwa na hatia dhidi
4090 Rev 1 15 | katika tanuru ya moto na kusuguliwa, na sauti yake ilikuwa,
4091 Colo 1 23 | imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata
4092 Luke 6 38 | kilichojaa, kikashindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika. Kwa maana
4093 Luke 10 41 | Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.~
4094 2Cor 10 13 | kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki katika kile kipimo cha kazi
4095 John 10 22 | Yerusalemu kulikuwa na sikukuu ya Kutabaruku. Wakati huo ulikuwa wa baridi.~
4096 Luke 12 56 | 56 Enyi wanafiki! Mnajua kutabiri hali ya hewa kwa kuangalia
4097 1Tim 6 15 | 15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa
4098 Gala 5 15 | Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini
4099 John 7 22 | aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo
4100 1Tim 6 9 | 9 Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu,
4101 Ephe 1 21 | juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na
4102 Roma 7 7 | nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa
4103 1Joh 2 17 | vitu vyake vyote vyenye kutamanika unapita; lakini mtu atendaye
4104 Acts 15 20 | vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe
4105 1Cor 11 19 | wale walio thabiti wapate kutambulikana.~
4106 1Cor 2 14 | yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho.~
4107 Matt 28 2 | 2 Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi;
4108 1Cor 6 5 | hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?~
4109 Roma 5 19 | kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi wakubaliwe kuwa waadilifu.~
4110 Acts 8 1 | wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani
4111 1Tim 6 17 | lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu,
4112 Hebr 2 10 | Mungu, ambaye huumba na kutegemeza vitu vyote, alimfanya Yesu
4113 John 4 11 | Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu;
4114 Hebr 9 17 | 17 Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani
4115 James 3 5 | sana. ic Moto mdogo waweza kuteketeza msitu mkubwa.~
4116 Luke 21 32 | hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.~
4117 Acts 7 6 | huko watafanywa watumwa na kutendewa vibaya kwa muda wa miaka
4118 Acts 19 24 | ambaye alikuwa na kazi ya kutengeneza sanamu za nyumba ya mungu
4119 Roma 5 7 | mwadilifu; labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.~
|