Table of Contents | Words: Alphabetical - Frequency - Inverse - Length - Statistics | Help | IntraText Library

Swahili New Testament

IntraText - Concordances

(Hapax - words occurring once)


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

     Book, Chapter, Verse
4120 John 5 5 | kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote 4121 Acts 27 41 | ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli 4122 Rev 22 10 | kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.~ 4123 1Cor 1 11 | zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.~ 4124 Roma 8 20 | viliwekwa katika hali ya kutojiweza kabisa, si kwa hiari yao, 4125 Acts 23 21 | tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa 4126 1Cor 16 17 | wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.~ 4127 2Cor 2 13 | Lakini nilifadhaika sana kwa kutomkuta ndugu yetu Tito. Ndiyo maana 4128 1Cor 7 38 | anafanya vema; naye anayeamua kutomwoa anafanya vema zaidi.~ 4129 Rev 14 4 | wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao 4130 Luke 24 41 | Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, 4131 James 4 3 | mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu.~ 4132 Luke 17 2 | jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza 4133 Acts 16 37 | walitutia ndani na sasa wanataka kutufungulia kwa siri! Hata kidogo! Ni 4134 Roma 5 5 | 5 Tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia 4135 2Cor 1 21 | Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika 4136 Acts 27 4 | ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande 4137 1The 2 2 | jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika 4138 Acts 28 15 | walipopata habari zetu, wakaja kutulaki kwenye soko la Apio na Mikahawa 4139 Ephe 1 5 | alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa 4140 Matt 2 18 | watoto wake, wala hataki kutulizwa, maana wote wamefariki."~ 4141 Acts 20 5 | 5 Hao walitutangulia na kutungojea kule Troa.~ 4142 1Tim 5 14 | waolewe, wapate watoto na kutunza nyumba zao ili adui zetu 4143 2Cor 1 11 | mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa 4144 1The 3 6 | daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na 4145 1Joh 4 10 | akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.~ 4146 2Cor 1 14 | Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea 4147 1Cor 10 11 | wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati 4148 Titus 3 5 | kuwa na maisha mapya kwa kutuosha kwa maji.~ 4149 2Cor 5 18 | ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye kwa njia ya Kristo, 4150 2Cor 4 6 | kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu 4151 1Cor 8 8 | Lakini chakula hakiwezi kutupeleka karibu zaidi na Mungu. Tukiacha 4152 Roma 8 31 | upande wetu, nani awezaye kutupinga?~ 4153 James 1 6 | bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo.~ 4154 Roma 3 8 | wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. 4155 1Joh 1 9 | atatusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote.~ 4156 Roma 9 23 | yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.~ 4157 Roma 8 38 | kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo, 4158 Matt 8 29 | Mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya wakati wake?"~ 4159 Hebr 4 15 | wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, 4160 2Cor 4 14 | sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.~ 4161 Acts 5 28 | Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo."~ 4162 1The 2 16 | 16 Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria watu wa mataifa 4163 Matt 10 28 | zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika 4164 Acts 15 10 | zetu, wala sisi hatukuweza kuubeba?~ 4165 Ephe 5 29 | auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo 4166 2Cor 13 8 | ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.~ 4167 1Pet 2 16 | lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama 4168 James 3 8 | Lakini hakuna mtu aliyeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, 4169 Rev 3 8 | ambao hakuna mtu awezaye kuufunga; najua kwamba ingawa huna 4170 Acts 12 14 | akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia 4171 2Cor 3 13 | Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili 4172 Colo 4 3 | ili Mungu atupe fursa ya kuuhubiri ujumbe wake kuhusu siri 4173 Roma 3 6 | hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?~ 4174 Ephe 4 10 | juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.~ 4175 Luke 13 9 | la sivyo, basi utaweza kuukata."`~ 4176 Luke 22 23 | 23 Hapo wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati 4177 John 16 30 | kila kitu, na huna haja ya kuulizwa maswali na mtu yeyote; kwa 4178 Luke 6 6 | mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.~ 4179 Colo 2 19 | mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa 4180 Matt 11 12 | na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu.~ 4181 John 12 47 | kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.~ 4182 Matt 6 27 | na wasiwasi sana anaweza kuuongeza muda wa maisha yake?~ 4183 Gala 3 15 | mtu anayeuweka kando au kuuongezea kitu.~ 4184 2The 2 10 | kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.~ 4185 Rev 21 15 | cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na 4186 2Cor 13 8 | 8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao 4187 Mark 15 15 | 15 Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, 4188 Acts 27 16 | tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli.~ 4189 Ephe 1 12 | kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!~ 4190 2Tim 4 4 | 4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi 4191 John 8 50 | mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.~ 4192 1Cor 14 7 | kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo 4193 James 1 26| mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai 4194 Mark 14 8 | ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa maziko.~ 4195 2Cor 3 7 | wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya 4196 Ephe 1 9 | ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.~ 4197 Matt 22 7 | wakawaangamize ~wauaji hao na kuuteketeza mji wao. ~ 4198 Colo 2 23 | unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini 4199 1Pet 1 22 | 22 Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa 4200 Luke 13 8 | nitauzungushia mtaro na kuutilia mbolea.~ 4201 John 10 18 | mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na uwezo wa kuuchukua tena. 4202 John 13 29 | Yuda alikuwa na wajibu wa kuutunza mfuko wa fedha, baadhi yao 4203 Matt 18 8 | wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Ni afadhali 4204 Ephe 5 29 | ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza 4205 2Cor 5 4 | kukandamizwa; si kwamba tunataka kuuvua mwili huu wa kufa, ila tuna 4206 John 21 6 | wavu lakini sasa hawakuweza kuuvuta tena kwa wingi wa samaki.~ 4207 Rev 18 16 | kwa mji huu mkuu. Ulizoea kuvalia nguo za kitani, za rangi 4208 2Cor 5 4 | wa kufa, ila tuna hamu ya kuvalishwa ule usiokufa, ili kile chenye 4209 Rev 9 20 | mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza 4210 Luke 14 2 | aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.~ 4211 Rev 18 14 | vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!"~ 4212 1Joh 2 16 | vitu wanavyoviona watu na kuvitamani, majivuno yasababishwayo 4213 Jude 1 8 | kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko 4214 John 21 25 | ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.~ ~ 4215 Acts 27 41 | ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo 4216 John 4 35 | mashamba; mazao yako tayari kuvunwa.~ 4217 Colo 2 2 | kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili 4218 Acts 2 23 | mwenu; nanyi mkamuua kwa kuwaachia watu wabaya wamsulubishe.~ 4219 Matt 20 1 | alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba 4220 Mark 6 8 | 8 na kuwaamuru, "Msichukue chochote mnapokwenda 4221 Acts 18 27 | ndugu walimtia moyo kwa kuwaandikia wafuasi kule Akaya wampokee. 4222 1Pet 2 8 | jiwe la kujikwaa, mwamba wa kuwaangusha watu." Watu hujikwaa kwa 4223 Colo 2 15 | cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara 4224 Rev 16 8 | jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake.~ 4225 John 7 7 | 7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia 4226 John 14 3 | kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale 4227 2Tim 3 13 | waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika 4228 Acts 9 27 | akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi Saulo alivyomwona 4229 Hebr 5 11 | jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi 4230 1Cor 5 10 | kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi 4231 Acts 28 23 | jioni Paulo aliwaeleza na kuwafafanulia juu ya Ufalme wa Mungu akijaribu 4232 Matt 9 28 | mnaamini kwamba naweza kuwafanyia jambo hilo?" Nao wakamjibu, " 4233 1The 3 2 | Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,~ 4234 James 3 7 | 7 Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga 4235 Acts 22 4 | wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani.~ 4236 Luke 9 34 | mara wingu likatokea na kuwafunika; na wingu hilo lilipowajia, 4237 Ephe 1 17 | wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.~ 4238 Hebr 2 4 | miujiza na maajabu, na kwa kuwagawia watu vipaji vya Roho Mtakatifu 4239 Roma 1 11 | sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi ya kiroho na kuwaimarisha.~ 4240 Acts 19 26 | Asia. Yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu 4241 Gala 4 18 | kweli ni jambo jema daima kuwahangaikia wengine katika mambo mema, 4242 Luke 6 22 | watawatenga, watawatukana na kuwaharibieni jina kwa ajili ya Mwana 4243 1Tim 6 1 | 1 Watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na 4244 Jude 1 3 | lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili 4245 Roma 11 32 | katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote.~ 4246 2Cor 1 23 | Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni.~ 4247 Acts 2 14 | wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: "Ndugu 4248 2Cor 2 4 | mengi, haikuwa kwa ajili ya kuwahuzunisha ninyi, bali kwa ajili ya 4249 2Cor 5 12 | fahari juu yenu, ili mpate kuwajibu wale wanaojivunia hali yao 4250 1The 5 4 | gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.~ 4251 1Cor 7 9 | afadhali zaidi kuoa kuliko kuwaka tamaa.~ 4252 2Cor 11 20 | mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye kuwadharau na kuwapiga 4253 Titus 1 13| kwa sababu hiyo, unapaswa kuwakaripia vikali, ili wawe na imani 4254 2Cor 12 13 | msaada wenu? Samahani kwa kuwakoseeni haki hiyo!~ 4255 Roma 3 21 | Lakini sasa, njia ya Mungu ya kuwakubali watu kuwa waadilifu imekwisha 4256 1Cor 16 18 | yenu pia. Kwa hiyo inafaa kuwakumbuka watu wa namna hii.~ 4257 1The 1 2 | ajili yenu ninyi nyote na kuwakumbukeni daima katika sala zetu.~ 4258 2Cor 11 7 | nilijinyenyekeza ili nipate kuwakweza ninyi. Je, nilifanya vibaya?~ 4259 Jude 1 16 | wananung`unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa 4260 Acts 5 15 | wakipeleka wagonjwa barabarani na kuwalaza juu ya vitanda na mikeka 4261 Acts 3 20 | za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye 4262 1Cor 3 2 | 2 Ilinibidi kuwalisheni kwa maziwa, na si kwa chakula 4263 1Joh 2 15 | upendo wa Baba hauwezi kuwamo ndani yake.~ 4264 Roma 11 9 | Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.~ 4265 Jude 1 23 | 23 waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine 4266 Acts 19 35 | Hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, "Wananchi wa 4267 Matt 5 45 | watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu.~ 4268 2Cor 11 20 | ninyi watumwa, mtu mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye 4269 John 7 13 | habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi.~ 4270 2Cor 9 5 | hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie 4271 2Cor 2 4 | ninyi, bali kwa ajili ya kuwaonyesheni kwamba nawapenda mno.~ 4272 John 13 5 | maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na 4273 Roma 11 23 | Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.~ 4274 2Pet 1 15 | 15 Basi, nitajitahidi kuwapatieni njia ya kuyakumbuka mambo 4275 Acts 24 17 | nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu msaada 4276 Luke 21 12 | watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia 4277 Luke 22 31 | Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta ninyi kama mtu anavyopepeta 4278 Mark 13 9 | watawapelekeni mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. Mtapelekwa 4279 Acts 13 8 | kwa Kigiriki), alijaribu kuwapinga ili kumzuia huyo mkuu wa 4280 Mark 6 48 | akitembea juu ya maji. Alitaka kuwapita.~ 4281 Rev 15 5 | ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.~ 4282 Luke 10 16 | ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea 4283 Matt 7 6 | vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua ninyi; wala msiwatupie nguruwe 4284 Matt 23 34 | katika masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji. ~ 4285 Acts 21 19 | 19 Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili 4286 1Tim 5 13 | ubaya zaidi ni kwamba huanza kuwasengenya watu, na kujitia katika 4287 Luke 12 49 | 49 "Nimekuja kuwasha moto duniani, laiti ungekuwa 4288 Acts 8 9 | katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa Samaria, akijiona 4289 Acts 18 13 | Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa 4290 Mark 8 4 | itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?"~ 4291 Acts 28 19 | ingawa sikuwa na chochote cha kuwashtaki wananchi wenzangu.~ 4292 2Cor 7 14 | Tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia ninyi mbele ya Tito kumekuwa 4293 Matt 5 11 | wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili 4294 Titus 3 1 | 1 Wakumbushe watu kuwastahi watawala na wenye mamlaka, 4295 Matt 23 34 | hekima ~na walimu; mtawaua na kuwasulubisha baadhi yao, na wengine mtawapiga ~ 4296 Hebr 13 12 | maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, 4297 Acts 14 13 | ule umati wa watu akataka kuwatambikia mitume.~ 4298 Luke 1 77 | 77 kuwatangazia watu kwamba wataokolewa 4299 Acts 20 27 | maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.~ 4300 John 10 12 | mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya.~ 4301 Ephe 4 12 | 12 Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili 4302 Luke 6 10 | 10 Baada ya kuwatazama wote waliokuwa pale, akamwambia 4303 Acts 5 35 | kutekeleza hicho mnachotaka kuwatenda watu hawa!~ 4304 2Tim 2 16 | kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu.~ 4305 Gala 4 17 | nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha nami ili ninyi muwahangaikie 4306 Matt 8 4 | sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona."~ 4307 Hebr 13 22 | kwa utulivu ujumbe huu wa kuwatieni moyo. Hii ni barua fupi 4308 2Cor 10 9 | Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha ninyi kwa barua zangu.~ 4309 John 21 14 | ilikuwa mara ya tatu Yesu kuwatokea wanafunzi wake baada ya 4310 Matt 15 33 | tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?"~ 4311 2Pet 2 11 | wa uongo, hawawashtaki na kuwatukana hao mbele ya Bwana.~ 4312 Rev 11 18 | kuwahukumu wafu. Ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii, 4313 2Cor 1 6 | ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili 4314 1Cor 7 35 | kwa faida yenu, na si kwa kuwawekeeni kizuio. Nataka tu muwe na 4315 Hebr 6 1 | kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya 4316 Mark 4 39 | akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, "Kimya! 4317 Jude 1 8 | kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana 4318 1Cor 14 5 | kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili 4319 1Pet 1 12 | hata malaika wangependa kuyafahamu.~ 4320 Titus 1 9 | kwa mafundisho ya kweli na kuyafichua makosa ya wale wanaoyapinga 4321 1Cor 2 9 | ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu 4322 John 10 21 | mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua macho ya vipofu?"~ 4323 Luke 10 34 | kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu 4324 Luke 3 8 | Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyageuza mawe haya yawe watoto wa 4325 2Cor 5 8 | imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa 4326 Luke 22 30 | mtaketi katika viti vya enzi kuyahukumu makabila kumi na mawili 4327 Roma 4 6 | amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake:~ 4328 1Pet 2 15 | Maana Mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu 4329 2Pet 1 15 | nitajitahidi kuwapatieni njia ya kuyakumbuka mambo haya kila wakati, 4330 Mark 6 11 | kuwasikiliza, ondokeni hapo na kuyakung`uta mavumbi miguuni mwenu 4331 Acts 22 20 | nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa 4332 Rev 12 16 | ikajifunua kama mdomo na kuyameza maji hayo yaliyotoka kinywani 4333 Gala 4 15 | wakati ule mngaliweza hata kuyang`oa macho yenu na kunipa 4334 Luke 23 56 | wakatayarisha manukato na marashi kuyapaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato 4335 Matt 23 29 | makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya watu wema. ~ 4336 Mark 8 36 | kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?~ 4337 Luke 11 42 | muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.~ 4338 Gala 1 14 | Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.~ 4339 John 6 60 | mambo magumu! Nani awezaye kuyasikiliza?"~ 4340 2Cor 1 13 | Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini 4341 John 16 12 | kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.~ 4342 Luke 2 19 | Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.~ 4343 Ephe 5 12 | yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.~ 4344 2Cor 12 4 | ambayo binadamu hastahili kuyatamka.~ 4345 Matt 24 2 | akawaambia, "Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, 4346 Acts 13 22 | atatimiza yale yote ninayotaka kuyatenda.`~ 4347 John 5 5 | majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa 4348 1Tim 6 14 | nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku 4349 Luke 6 47 | akasikia maneno yangu na kuyatimiza:~ 4350 1Joh 3 16 | Nasi vilevile tunapaswa kuyatoa maisha yetu kwa ajili ya 4351 Rev 2 26 | mataifa kwa fimbo ya chuma na kuyavunjavunja kama chombo cha udongo. 4352 Acts 17 26 | aliumba mataifa yote na kuyawezesha kuishi duniani kote. Aliamua 4353 Luke 8 3 | 3 Yoana, mke wa Kuza, mfanyakazi mkuu wa Herode; 4354 Matt 14 30 | upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, "Bwana, 4355 Matt 18 6 | jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari.~ 4356 2Pet 1 4 | ili kwa zawadi hizo mpate kuziepa kabisa tamaa mbaya zilizomo 4357 2Cor 10 5 | tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.~ 4358 Roma 14 5 | nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila 4359 Acts 16 21 | haturuhusiwi kuzikubali wala kuzifuata."~ 4360 Acts 13 25 | yangu na mimi sistahili hata kuzifungua kamba za viatu vyake.`~ 4361 Roma 3 25 | Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali dhambi za watu;~ 4362 1Cor 8 12 | ndugu zenu jinsi hiyo na kuzijeruhi dhamiri zao dhaifu, mtakuwa 4363 Acts 16 21 | raia wa Roma haturuhusiwi kuzikubali wala kuzifuata."~ 4364 Acts 13 36 | wakati wake; kisha akafa na kuzikwa karibu na wazee wake, na 4365 Luke 5 11 | 11 Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa 4366 1The 5 23 | watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu - roho, mioyo 4367 Rev 5 13 | mbinguni, duniani, chini kuzimuni na baharini - viumbe vyote 4368 James 1 21| mioyoni mwenu, ambao waweza kuziokoa nafsi zenu.~ 4369 Ephe 2 16 | jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.~ 4370 Ephe 6 11 | anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za Ibilisi.~ 4371 Acts 13 10 | hata mara moja kujaribu kuzipotosha njia za Bwana zilizonyoka.~ 4372 Roma 13 14 | tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.~ ~ ~~ ~ 4373 1Pet 3 12 | huwatazama kwa wema waadilifu na kuzisikiliza sala zao. Lakini huwapa 4374 1Cor 7 37 | mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna 4375 John 6 28 | Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?"~ 4376 Mark 12 41 | walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya Hekalu. 4377 Rev 12 4 | moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama 4378 Mark 5 4 | kuikata hiyo minyororo na kuzivunja hizo pingu, wala hakuna 4379 Matt 27 6 | fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu 4380 2Cor 6 5 | Tumepigwa, tumetiwa gerezani na kuzomewa hadharani; tumefanya kazi 4381 Rev 5 11 | maelfu. Walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe 4382 Acts 17 5 | sokoni, wakafanya kikundi na kuzusha fujo mjini kote. Wakaivamia 4383 1Cor 6 7 | kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! 4384 2Cor 13 11 | 11 Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni 4385 Hebr 7 19 | lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.~ 4386 Acts 2 28 | kuufikia uzima, kuwako kwako kwanijaza furaha!`~ 4387 Roma 16 23 | hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.*fb*~ 4388 Acts 26 24 | Una wazimu! Kusoma kwako kwingi kunakutia wazimu!"~ 4389 Luke 3 36 | mwana wa Noa, mwana wa Lameki,~ 4390 Gala 3 20 | hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.~ 4391 1Tim 2 3 | 3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,~ 4392 Hebr 6 19 | ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la 4393 Acts 27 8 | Nzuri", karibu na mji wa Lasea.~ 4394 Hebr 4 5 | 5 Tena jambo hili lasemwa pia: "Hawataingia huko ambako 4395 Roma 4 16 | sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi 4396 Ephe 1 14 | watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa 4397 Acts 19 12 | Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi 4398 Matt 18 17 | 17 Asipowasikia hao, liambie kanisa. Na kama hatalisikia 4399 John 11 50 | watu, kuliko taifa zima liangamizwe?"~ 4400 Acts 20 28 | ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia 4401 Acts 14 16 | Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.~ 4402 Matt 6 10 | Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.~ 4403 Rev 20 3 | ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi 4404 John 5 2 | kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, 4405 James 3 3 | 3 Sisi huwatia farasi lijamu kinywani mwao ili watutii; 4406 Acts 15 18 | Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.`~ 4407 Luke 23 44 | yapata saa sita mchana; jua likaacha kuangaza, giza likafunika 4408 Rev 12 17 | huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa wengine 4409 Acts 13 49 | 49 Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu 4410 Rev 11 19 | Hekalu la Mungu mbinguni likafunguliwa, na Sanduku la Agano lake 4411 Luke 23 44 | likaacha kuangaza, giza likafunika nchi yote mpaka saa tisa,~ 4412 Acts 6 5 | 5 Jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. 4413 Luke 22 47 | anaongea, kundi la watu likaja likiongozwa na yule aliyeitwa 4414 Rev 15 8 | 8 Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na 4415 Rev 12 17 | likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa 4416 Rev 12 18 | 18 Na likajisimamia ukingoni mwa bahari.~ ~~ ~ 4417 John 15 6 | tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la 4418 Acts 1 9 | alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone tena.~ 4419 Rev 12 17 | 17 Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, 4420 Rev 13 2 | kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, 4421 Acts 8 24 | niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema."~ 4422 Rev 11 19 | na Sanduku la Agano lake likaonekana Hekaluni mwake. Kisha kukatokea 4423 Roma 11 17 | pake tawi la mzeituni mwitu likapandikizwa. Ninyi watu wa mataifa mengine 4424 Rev 16 8 | bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu 4425 Rev 12 15 | 15 Basi, joka likatapika maji mengi kama mto, yakamfuata 4426 Luke 22 44 | likamtoka, kama matone ya damu, likatiririka mpaka chini.*fe* ic~ 4427 Rev 6 14 | 14 Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; 4428 Rev 12 9 | 9 Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule 4429 Rev 16 10 | makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma 4430 Acts 11 5 | limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu.~ 4431 1Cor 14 8 | 8 La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, 4432 Matt 10 27 | mwanga; na jambo mlilosikia likinong`onezwa, litangazeni hadharani.~ 4433 Luke 22 47 | anaongea, kundi la watu likaja likiongozwa na yule aliyeitwa Yuda, 4434 Acts 11 5 | niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa 4435 Luke 4 21 | Andiko hili mlilosikia likisomwa, limetimia leo."~ 4436 Acts 9 31 | kumcha Bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu.~ 4437 Roma 9 33 | Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu 4438 Acts 8 1 | hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini 4439 Rev 12 4 | 4 Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja 4440 Acts 7 45 | aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa mpaka nyakati za Daudi.~ 4441 Acts 2 6 | hiyo, kundi kubwa la watu lilikusanyika. Wote walishtuka sana kwani 4442 Luke 9 37 | mlimani, kundi kubwa la watu lilikutana na Yesu.~ 4443 Acts 17 29 | dhahabu, fedha au hata jiwe lililochongwa na kutiwa nakshi na binadamu.~ 4444 Gala 4 24 | mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani Sinai, mwakilishi 4445 Mark 1 6 | Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na 4446 Acts 6 9 | walikuwa wa sunagogi moja lililoitwa "Sunagogi la Watu Huru", 4447 Mark 14 58 | Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku 4448 1Pet 2 4 | Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa na watu; lakini mbele ya 4449 Rev 14 20 | ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka 4450 Luke 11 27 | sauti kubwa: "Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa yaliyokunyonyesha!"~ 4451 Mark 4 15 | huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.~ 4452 Matt 4 14 | Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:~ 4453 Matt 3 4 | 4 Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia, na 4454 Acts 7 44 | zetu walikuwa na lile hema lililoshuhudia kuweko kwa Mungu. Lilitengenezwa 4455 Roma 7 6 | tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia 4456 Acts 10 37 | 37 Ninyi mnajua jambo lililotukia katika nchi yote ya Wayahudi 4457 Acts 20 38 | 38 Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema 4458 Hebr 6 18 | kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.~ 4459 Luke 8 40 | mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa 4460 Rev 13 4 | wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. 4461 2Tim 1 14 | lile bora ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu 4462 Acts 20 28 | 28 Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu 4463 Matt 27 64 | 64 Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi 4464 Matt 27 37 | wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa 4465 Mark 16 2 | mapema siku ya Jumapili, jua lilipoanza kuchomoza, walienda kaburini.~ 4466 Mark 1 32 | 32 Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa 4467 Luke 3 2 | huo ndipo neno la Mungu lilipomjia Yohane, mwana wa Zakariya, 4468 Rev 12 13 | 13 Joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, 4469 Luke 9 34 | kuwafunika; na wingu hilo lilipowajia, wale wanafunzi waliogopa 4470 Matt 18 25 | alivyokuwa navyo, ili deni lilipwe.~ 4471 Acts 15 2 | 2 Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada 4472 Rev 12 4 | na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa 4473 Rev 15 2 | yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao 4474 John 19 36 | 36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu 4475 Acts 7 44 | lililoshuhudia kuweko kwa Mungu. Lilitengenezwa kama Mungu alivyomwambia 4476 Luke 2 1 | Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka 4477 Acts 11 24 | imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.~ 4478 1The 1 3 | katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.~ 4479 Roma 5 18 | kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, 4480 Luke 21 5 | wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja 4481 Acts 14 16 | aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.~ 4482 Matt 4 14 | 14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa 4483 Acts 15 3 | 3 Basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia 4484 Luke 12 16 | mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.~ 4485 Acts 19 20 | namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu 4486 1Cor 15 20 | amefufuliwa kutoka wafu, limbuko lao wale waliolala katika 4487 Luke 9 45 | huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao 4488 Rev 15 5 | Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake 4489 Acts 5 23 | wakisema, "Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda 4490 John 11 38 | lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.~ 4491 John 6 17 | Kafarnaumu. Giza lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia 4492 John 19 29 | Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo 4493 Rev 19 13 | Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake 4494 1Joh 2 11 | anakokwenda, maana giza limempofusha.~ 4495 Matt 8 18 | Yesu alipoona kundi la watu limemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake 4496 John 20 1 | kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.~ 4497 Hebr 9 4 | la Agano, ambalo lilikuwa limepakwa dhahabu pande zote, na ndani 4498 Roma 11 12 | 12 Kosa la Wayahudi limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, 4499 Acts 11 5 | chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa 4500 Luke 4 21 | hili mlilosikia likisomwa, limetimia leo."~ 4501 1Cor 14 36 | mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni 4502 2The 2 2 | inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri 4503 Luke 23 53 | mwamba, ambalo halikuwa limetumika.~ 4504 Luke 23 45 | 45 na pazia lililokuwa limetundikwa Hekaluni likapasuka vipande 4505 Rev 12 13 | Joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, likaanza 4506 Luke 24 2 | 2 Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi.~ 4507 1Cor 14 36 | limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni ninyi peke yenu?~ 4508 Luke 3 9 | Lakini, sasa hivi shoka limewekwa tayari kukata mizizi ya 4509 1Joh 2 14 | mna nguvu; neno la Mungu limo ndani yenu na mmemshinda 4510 Luke 9 12 | 12 Jua lilipokuwa linaanza kutua, wale kumi na wawili 4511 Matt 27 8 | maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.~ 4512 Matt 5 29 | kama jicho lako la kulia linakukosesha, ling`oe ukalitupe mbali. 4513 Luke 8 4 | Kundi kubwa la watu lilikuwa linakusanyika, na watu walikuwa wanamjia 4514 Hebr 10 27 | 27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu 4515 Matt 23 17 | zaidi: dhahabu au ~Hekalu linalofanya hiyo dhahabu kuwa takatifu? ~ 4516 2Tim 2 17 | aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao 4517 Roma 12 2 | kutambua jambo lililo jema, linalompendeza na kamilifu.~ 4518 Luke 23 22 | Sioni kosa lolote kwake linalomstahili auawe; kwa hiyo nitampiga 4519 Colo 1 5 | kusikia juu ya lile tumaini linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani 4520 Acts 25 11 | ikiwa nimepatikana na kosa linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa 4521 1The 2 3 | tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala 4522 Acts 12 5 | gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.~ 4523 2Cor 7 7 | mnavyotaka kunitetea. Jambo hili linanifurahisha sana.~ 4524 1Cor 14 23 | 23 Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza 4525 1Joh 2 8 | ndani yenu pia. Maana giza linatoweka, na mwanga wa ukweli umekwisha 4526 Luke 4 40 | 40 Jua lilipokuwa linatua, wote waliokuwa na wagonjwa 4527 Roma 4 24 | 24 Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao tunamwamini 4528 Hebr 12 27 | 27 Neno hili: "tena" linatuonyesha kwamba vitu vyote vilivyoumbwa 4529 Ephe 5 24 | 24 Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake 4530 John 6 61 | akawauliza, "Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?~ 4531 Acts 19 27 | tu, bali pia jambo hilo linaweza kuifanya nyumba ya mungu 4532 Rev 3 11 | 11 Naja kwako upesi! Linda, basi, ulicho nacho sasa, 4533 Rev 4 6 | ya kioo, angavu kama jiwe linga`aalo sana. Katika pande 4534 1Cor 15 32 | 32 Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana 4535 1Cor 12 16 | 16 Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, 4536 1Cor 12 16 | mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!~ 4537 Acts 23 20 | wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi 4538 2Cor 12 8 | tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.~ 4539 2Tim 4 21 | ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; 4540 Matt 18 28 | akamkaba koo akisema, `Lipa deni lako!`~ 4541 Hebr 4 9 | 9 Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu 4542 Matt 10 27 | Ninalowaambieni ninyi katika giza, lisemeni katika mwanga; na jambo 4543 Acts 4 17 | tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye 4544 Matt 26 5 | Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije 4545 Acts 8 24 | Tafadhali, niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya 4546 Matt 12 36 | kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema.~ 4547 Mark 14 58 | siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa kwa mikono."`~ 4548 1Cor 5 7 | ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa 4549 Luke 1 37 | 37 Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu."~ 4550 John 15 2 | huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo 4551 Acts 8 38 | ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo 4552 John 15 4 | peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika 4553 John 12 35 | mnao huo mwanga ili giza lisiwapate; maana atembeaye gizani 4554 Rev 20 3 | huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa 4555 2Cor 3 14 | zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko 4556 Rev 22 4 | Watauona uso wake, na jina lake litaandikwa juu ya paji za nyuso zao.~ 4557 Luke 3 5 | 5 Kila bonde litafukiwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa; 4558 Mark 2 21 | kutoka hilo vazi kuukuu, nalo litaharibika zaidi.~ 4559 Acts 7 7 | nitalihukumu taifa hilo litakalowafanya watumwa. Kisha nitawatoa 4560 Roma 11 26 | ndipo taifa lote la Israeli litakapookolewa, kama yesemavyo Maandiko 4561 Luke 6 35 | kutazamia malipo, na tuzo lenu litakuwa kubwa, nanyi mtakuwa watoto 4562 Matt 21 43 | likimwangukia mtu yeyote, litamponda."~ 4563 Luke 20 18 | likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa."~ 4564 Matt 10 27 | mlilosikia likinong`onezwa, litangazeni hadharani.~ 4565 Roma 9 17 | ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani."~ 4566 Roma 3 3 | waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?~ 4567 2The 1 12 | jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka kwenu, nanyi 4568 2Cor 13 1 | kuja kwenu. "Kila tatizo litatatuliwa kwa ushahidi wa watu wawili 4569 Matt 18 16 | wawili au watatu, kila tatizo litatuliwe.~ 4570 James 1 22| kusikiliza tu neno lake, bali litekelezeni kwa vitendo.~ 4571 Luke 1 78 | pambazuko angavu la ukombozi litujie kutoka juu,~ 4572 John 15 6 | yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu 4573 John 15 6 | hiyo na kulitupa motoni liungue.~ 4574 Acts 13 46 | ni lazima neno la Mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa 4575 Roma 12 12 | 12 Tumaini lenu liwaweke daima wenye furaha; muwe 4576 1Tim 5 16 | kanisa mzigo huo, ili kanisa liweze kuwatunza wajane wale waliobaki 4577 John 15 2 | lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa 4578 2Tim 1 5 | aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama yako Eunike. 4579 Acts 24 22 | juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja 4580 Acts 14 6 | Lustra na Derbe, miji ya Lukaonia, na katika sehemu za jirani,~ 4581 Luke | Luke~ 4582 Acts 27 5 | tukatia nanga Mura, mji wa Lukia.~ 4583 Luke 3 1 | ya Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa mkuu wa mkoa wa 4584 Acts 23 26 | 26 "Mimi Klaudio Lusia ninakuandikia wewe Mheshimiwa 4585 Matt 22 44 | chini ya miguu yako.> ~\m ~ 4586 Roma 9 29 | Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora."~ 4587 Gala 4 24 | mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile 4588 Gala 4 4 | 4 Lakini wakati ule maalumu ulipotimia, Mungu alimtuma 4589 2Cor 5 19 | njia ya Kristo, bila kutia maanani dhambi zao binadamu. Yeye 4590 Rev 22 1 | akanionyesha mto wa maji ya uzima maangavu kama kioo yakitoka kwenye 4591 1Cor 1 17 | niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi 4592 Matt 27 24 | hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua 4593 Luke 23 11 | 11 Basi, herode pamoja na maaskari wake, wakamwaibisha Yesu 4594 Luke 3 26 | 26 mwana wa Maathi, mwana wa Matathia, mwana 4595 Roma 6 17 | mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea.~ 4596 Rev 8 7 | ikaungua, na majani yote mabichi yakaungua.~ 4597 Luke 19 43 | adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga 4598 Rev 2 14 | 14 Lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu 4599 Rev 17 4 | ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha 4600 2The 2 2 | msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha 4601 John 2 6 | uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. Ilikuwa 4602 Luke 7 42 | 42 Waliposhindwa kulipa madeni yao, huyo mtu aliwasamehe 4603 Jude 1 12 | adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano 4604 1Cor 11 34 | mambo mengine, nitawapeni maelezo nitakapokuja.~ ~ ~~ ~ 4605 1Tim 4 15 | yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.~ 4606 Acts 26 26 | jambo hili halikutendeka mafichoni.~ 4607 John 19 23 | walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila 4608 Matt 13 30 | kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu ya kuchomwa. Lakini ngano 4609 Matt 15 39 | akaenda katika eneo la Magadani.~ ~~ ~ 4610 Acts 9 18 | 18 Mara vitu kama magamba vikaanguka kutoka macho 4611 Luke 15 16 | 16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, 4612 Mark 15 40 | akiwa Maria toka mji wa Magdala, Salome, na Maria mama wa 4613 Acts 15 16 | iliyoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kuijenga tena.~ 4614 Rev 20 8 | mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja 4615 2Tim 2 23 | wajua kwamba hayo huleta magomvi.~ 4616 Luke 3 37 | mwana wa Yaredi, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Kenani,~ 4617 Matt 26 37 | akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko.~ 4618 2Pet 2 1 | hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, 4619 Acts 18 3 | walikuwa mafundi wa kushona mahema kama alivyokuwa yeye, Paulo


110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu

Best viewed with any browser at 800x600 or 768x1024 on Tablet PC
IntraText® (V89) - Some rights reserved by EuloTech SRL - 1996-2007. Content in this page is licensed under a Creative Commons License