110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu
Book, Chapter, Verse
4620 Acts 21 38 | alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?"~
4621 Luke 2 47 | walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.~
4622 Luke 7 25 | maisha ya anasa, hukaa katika majumba ya wafalme!~
4623 Acts 21 38 | yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza
4624 Luke 15 30 | aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia
4625 Matt 23 13 | 23:13 ~\f ~\is Baadhi ya makala zina aya ya 14: ~\ie Ole
4626 Rev 3 2 | sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu.~
4627 Mark 6 48 | wake wakitaabika kwa kupiga makasia, maana upepo ulikuwa unawapinga.
4628 Luke 2 24 | watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa
4629 Roma 3 13 | 13 Makoo yao ni kama kaburi wazi,
4630 Rev 17 3 | ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba
4631 1Cor 4 11 | twapigwa makofi, hatuna malazi.~
4632 1Joh 2 16 | majivuno yasababishwayo na mali-vyote hivyo havitoki kwa Baba,
4633 John 10 9 | ataingia na kutoka, na kupata malisho.~
4634 Mark 5 11 | na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.~
4635 Rev 11 7 | 7 Lakini wakisha maliza kutangaza ujumbe huo, mnyama
4636 Hebr 4 3 | kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu.~
4637 John 18 10 | Mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko.~
4638 Acts 28 1 | kwamba kile kisiwa kinaitwa Malta.~
4639 2Pet 3 8 | miaka elfu; kwake yote ni mamoja.~
4640 Acts 13 1 | Mweusi, Lukio wa Kurene, Manaeni ambaye alikuwa amelelewa
4641 Rev 18 17 | wako umetoweka!" Halafu manahodha wote na wasafiri wao, wanamaji
4642 Mark 8 20 | elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?" Wakamjibu, "
4643 John 19 23 | zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari.
4644 Acts 6 1 | inazidi kuongezeka, kulitokea manung`uniko kati ya wanafunzi
4645 Roma 9 10 | pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka,
4646 Ephe 3 18 | upendo wa Kristo ueneavyo kwa mapana na marefu, kwa kimo na kina.~
4647 Rev 6 15 | na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani.~
4648 James 4 1 | 1 Mapigano na magombano yote kati yenu
4649 Luke 16 6 | 6 Yeye akamjibu: `Mapipa mia ya mafuta ya zeituni.`
4650 Jude 1 13 | yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama
4651 1Cor 16 22 | asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANA THA - BWANA, njoo!~
4652 Acts 24 2 | bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima yanafanywa kwa
4653 Mark | Mark~
4654 Rev 18 12 | kubwa, vya shaba, chuma na marmari;~
4655 Rev 13 17 | 17 Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza
4656 2Cor 12 20 | wivu, uhasama, ubishi, masengenyano, kunong`ona, majivuno na
4657 Ephe 6 13 | itakapofika muweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana
4658 Rev 18 2 | umeanguka! Sasa umekuwa makao ya mashetani na pepo wachafu; umekuwa
4659 Hebr 11 38 | mlimani, wakaishi katika mashimo na mapango ya ardhi.~
4660 Hebr 11 39 | hawa wote walionekana kuwa mashujaa kwa sababu ya imani yao.
4661 James 5 7 | hungojea kwa subira mvua za masika na za vuli.~
4662 Titus 3 2 | bali waishi kwa amani na masikizano, wawe daima wapole kwa kila
4663 Luke 20 46 | kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima
4664 John 16 33 | nami. Ulimwenguni mtapata masumbuko; lakini jipeni moyo! Mimi
4665 Acts 28 10 | safari, walitia ndani ya meli masurufu tuliyohitaji.~
4666 1Cor 14 19 | napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe
4667 John 5 2 | lilikuwa na baraza tano zenye matao.~
4668 2Pet 2 22 | isemayo: "Mbwa huyarudia matapishi yake mwenyewe," na nyingine
4669 1Tim 3 3 | 3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye
4670 Luke 3 31 | mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana
4671 2Cor 4 17 | itatupatia utukufu upitao matazamio yote, utukufu ambao hauna
4672 Luke 3 37 | 37 mwana wa Mathusala, mwana wa Henoki, mwana
4673 Luke 22 44 | na jasho likamtoka, kama matone ya damu, likatiririka mpaka
4674 2Pet 2 22 | oshwa hugaagaa tena katika matope!" Ndivyo ilivyo kwao sasa.~~ ~
4675 Matt | Matthew~
4676 Acts 26 26 | yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako
4677 Luke 5 18 | wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu
4678 1Pet 5 8 | simba angurumaye akitafuta mawindo.~
4679 1Pet 1 11 | Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati
4680 John 12 7 | ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.~
4681 2Cor 10 10 | ni kali na zenye maneno mazito, lakini yeye mwenyewe anapokuwa
4682 Acts 25 7 | wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.~
4683 Colo 4 6 | 6 Mazungumzo yenu yanapaswa kuwa daima
4684 2Cor 7 9 | kuwa huzuni yenu imewafanya mbadili nia zenu na kutubu. Mmehuzunishwa
4685 Mark 9 36 | akamsimamisha kati yao, akamku mbatia, halafu akawaambia,~
4686 Luke 23 31 | kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa
4687 Matt 5 19 | kabisa katika Ufalme wa mbiguni. Lakini yule atakayezishika
4688 Ephe 6 11 | anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za Ibilisi.~
4689 Roma 3 15 | 15 Miguu yao iko mbioni kumwaga damu,~
4690 James 1 21| mwenendo mchafu na tabia zote mbovu; jiwekeni chini ya Mungu
4691 Acts 27 41 | ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu
4692 Luke 11 42 | majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku
4693 Luke 15 23 | 23 Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!~
4694 1Cor 5 11 | mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa
4695 Hebr 12 15 | Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua
4696 Rev 18 13 | 13 mdalasini, viungo, ubani, manemane,
4697 Luke 16 7 | 7 Kisha akamwuliza mdeni mwingine: `Wewe unadaiwa
4698 Rev 12 10 | mamlaka yake! Maana yule mdhalimu wa ndugu zetu, aliyesimama
4699 Hebr 7 22 | tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.~
4700 Rev 21 18 | ulikuwa umejengwa kwa mawe mekundu ya thamani, na mji wenyewe
4701 Luke 3 31 | 31 mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa
4702 Luke 3 31 | mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana
4703 Colo 3 23 | 23 Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote,
4704 2The 2 13 | kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa
4705 2The 3 14 | hii. Ikiwa hivyo, basi, mfichueni mtu huyo na msiwe na uhusiano
4706 2Cor 10 9 | 9 Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha
4707 Acts 23 24 | kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu
4708 Ephe 5 5 | mwasherati yeyote au mchafu au mfisadi, (ufisadi ni sawa na kuabudu
4709 Luke 10 30 | wakamwacha amelala pale nusu mfu.~
4710 Acts 19 24 | 24 Kulikuwa na mfua fedha mmoja aitwaye Demetrio,
4711 Gala 4 30 | Matakatifu yasemaje? Yasema: "Mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe;
4712 1Cor 5 13 | 13 Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!~~ ~
4713 Acts 16 36 | Mahakimu wametuma ujumbe ili mfunguliwe. Sasa mnaweza kutoka na
4714 John 19 36 | Matakatifu yatimie: "Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."~
4715 Mark 14 70 | mmoja wao, maana wewe ni Mgalilaya."~
4716 Luke 4 23 | shaka mtaniambia msemo huu: `Mganga jiponye mwenyewe`, na pia
4717 Luke 22 17 | akashukuru akasema, "Pokeeni, mgawanye ninyi kwa ninyi.~
4718 1Pet 2 17 | zenu waumini, mcheni Mungu, mheshimuni mfalme.~
4719 2The 1 8 | 8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale
4720 James 1 17| hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala
4721 Luke 6 44 | watu hawachumi tini katika michongoma, wala hawachumi zabibu katika
4722 Acts 7 29 | akaenda kukaa katika nchi ya Midiani na huko akapata watoto wawili.~
4723 Roma 3 13 | zao zimejaa udanganyifu, midomoni mwao mwatoka maneno yenye
4724 2Pet 3 3 | mwisho watakuja watu ambao mienendo yao inatawaliwa na tamaa
4725 John 18 3 | bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.~
4726 Luke 12 33 | maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni
4727 Matt 10 9 | 9 Msichukue mifukoni mwenu dhahabu, wala fedha,
4728 Acts 26 3 | wa desturi za Wayahudi na migogoro yao, ninakuomba basi unisikilize
4729 Roma 11 10 | yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!"~
4730 Acts 1 8 | Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia."~
4731 Acts 28 15 | kutulaki kwenye soko la Apio na Mikahawa Mitatu. Paulo alipowaona
4732 Hebr 11 34 | 34 Walizima mioto mikali, waliepuka kuuawa kwa upanga.
4733 Hebr 9 9 | ya wale wanaoabudu kuwa mikamilifu,~
4734 Acts 27 41 | Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana,
4735 Acts 23 23 | sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende Kaisarea; muwe tayari
4736 Acts 21 21 | wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi.~
4737 Rev 9 16 | majeshi wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili.~
4738 Roma 5 5 | kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake
4739 Rev 3 12 | wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika Hekalu la Mungu wangu,
4740 Roma 11 1 | watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni Mwisraeli mzawa
4741 John 7 12 | 12 Kulikuwa na minong`ono mingi katika umati wa
4742 Hebr 11 34 | 34 Walizima mioto mikali, waliepuka kuuawa
4743 Luke 17 11 | kwenda Yerusalemu alipitia mipakani mwa Samaria na Galilaya.~
4744 Luke 12 33 | mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa,
4745 Ephe 6 16 | mwenu, iwawezeshe kuizima mishale ya moto ya yule Mwovu.~
4746 Colo 2 19 | kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo
4747 Luke 21 9 | mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima
4748 John 20 25 | mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu
4749 2Pet 2 14 | watu walio dhaifu mpaka mitegoni. Mioyo yao imezoea kuwa
4750 2Pet 2 22 | 22 Ipo mithali isemayo: "Mbwa huyarudia
4751 Acts 20 14 | tukampandisha melini, tukaenda Mitulene.~
4752 Roma 7 24 | 24 Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka
4753 Acts 28 30 | Kwa muda wa miaka miwili mizima Paulo aliishi katika nyumba
4754 1Cor 6 4 | 4 Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida,
4755 Roma 11 16 | wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri
4756 1Cor 10 13 | mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja
4757 John 2 15 | 15 Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote
4758 Matt 16 6 | akawaambia, "Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo
4759 Roma 6 11 | Hali kadhalika nanyi lazima mjione kuwa mmekufa kuhusu dhambi,
4760 Ephe 6 6 | wakati wanapowatazama ili mjipendekeze kwao, bali tumikieni kwa
4761 Rev 5 5 | Simba wa kabila la Yuda, mjukuu maarufu wa Daudi, ameshinda.
4762 Matt 15 22 | 22 Basi, mama mmoja Mkaanani wa nchi hiyo alimjia, akapaaza
4763 Gala 5 15 | wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!~
4764 1Cor 5 5 | 5 mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili
4765 Matt 2 8 | Bethlehemu akisema, "Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto
4766 Luke 21 8 | akawajibu, "Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na
4767 Mark 7 14 | akawaambia, "Nisikilizeni nyote, mkaelewe.~
4768 Matt 6 1 | 1 "Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele
4769 1Cor 6 11 | hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa
4770 Gala 1 6 | aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.~
4771 Ephe 4 21 | zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.~
4772 John 21 12 | Yesu akawaambia, "Njoni mkafungue kinywa." Hakuna hata mmoja
4773 Mark 16 15 | Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu.~
4774 Hebr 13 7 | Fikirieni juu ya mwenendo wao, mkaige imani yao.~
4775 Rev 18 4 | katika dhambi zake, msije mkaipata adhabu yake.~
4776 1Cor 15 1 | niliyowahubirieni nanyi mkaipokea na kusimama imara ndani
4777 1Cor 1 2 | kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja
4778 Matt 13 30 | Lakini ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu."`~
4779 Gala 6 1 | tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.~
4780 1Pet 2 5 | Mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho,
4781 Matt 11 29 | 29 Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole
4782 Matt 25 9 | Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!`~
4783 Roma 11 25 | ukweli huu uliofichika msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi
4784 Luke 17 14 | Alipowaona akawaambia, "Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani." Basi, ikawa
4785 2Cor 6 17 | pia: "Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse kitu najisi,
4786 Acts 16 15 | karibuni nyumbani kwangu mkakae." Akatuhimiza twende.~
4787 Hebr 12 25 | Basi, jihadharini msije mkakataa kumsikiliza yeye ambaye
4788 1Cor 10 27 | muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda, basi, kuleni vyote
4789 Matt 27 65 | Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo."~
4790 1The 1 9 | jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli,~
4791 Acts 14 15 | kuziacha hizi sanamu tupu, mkamgeukie Mungu aliye hai, Mungu aliyeumba
4792 John 18 31 | mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na Sheria yenu."
4793 Mark 14 44 | nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini ya ulinzi."~
4794 John 2 8 | akawaambia, "Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu."~
4795 Acts 3 19 | 19 Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.~
4796 John 19 6 | Mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana mimi sikuona
4797 Matt 22 13 | Mfungeni miguu na mikono ~mkamtupe nje gizani; huko atalia
4798 Luke 15 22 | Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!~
4799 John 11 44 | akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."~
4800 Rev 16 1 | wale malaika saba, "Nendeni mkamwage mabakuli hayo saba ya ghadhabu
4801 Ephe 1 13 | Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili
4802 John 4 29 | 29 "Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote
4803 Matt 10 4 | 4 Simoni Mkanaani, na Yuda Iskarioti ambaye
4804 Mark 3 18 | Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na~
4805 Matt 13 29 | labda mnapokusanya magugu, mkang`oa na ngano pia.~
4806 Matt 25 35 | maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;~
4807 Luke 24 39 | mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana mzimu hauna mwili
4808 Matt 25 36 | 36 nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi
4809 Matt 28 6 | amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.~
4810 James 2 16| kuwaambia hao: "Nendeni salama mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia
4811 Roma 11 24 | lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika mzeituni bustanini
4812 Acts 13 40 | Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:~
4813 Luke 13 14 | Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije
4814 2Joh 1 8 | ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia,
4815 2Pet 3 17 | muwe na tahadhari msije mkapotoshwa na makosa ya waasi, mkaanguka
4816 Mark 6 31 | pa faragha kula chakula, mkapumzike kidogo."~
4817 James 4 8 | 8 Mkaribieni Mungu, naye atakuja karibu
4818 John 6 26 | sababu mlikula ile mikate mkashiba.~
4819 Acts 5 20 | 20 "Nendeni mkasimame Hekaluni na kuwaambia watu
4820 Acts 3 14 | lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa muuaji
4821 Mark 6 38 | mikate mingapi? Nendeni mkatazame." Walipokwisha tazama, wakamwambia, "
4822 Luke 22 8 | Yohane, akawaambia, "Nendeni mkatuandalie karamu ili tupate kula Pasaka."~
4823 Rev 6 16 | majabali, "Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu
4824 Gala 4 8 | hamkumjua Mungu na hivyo mkatumikia miungu isiyo miungu kweli.~
4825 2Cor 11 3 | zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa
4826 Gala 3 27 | Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa
4827 1The 2 13 | wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa
4828 Colo 3 10 | 10 mkavaa utu mpya. Huu unaendelea
4829 John 4 38 | 38 Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea
4830 Matt 28 19 | 19 Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe
4831 Matt 21 2 | na mtoto wake. Wafungueni mkawalete kwangu.~
4832 Luke 12 33 | 33 Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni
4833 Luke 19 27 | mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu."`~
4834 Matt 13 30 | kusanyeni kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu ya kuchomwa.
4835 John 15 16 | niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo,
4836 Titus 3 8 | kweli. Ninakutaka uyatilie mkazo mambo haya, ili wale wanaomwamini
4837 Rev 12 4 | Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota
4838 John 5 40 | huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata
4839 Acts 15 29 | Mtakuwa mmefanya vema kama mkiepa kufanya mambo hayo. Wasalaam!"~
4840 John 15 14 | 14 Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.~
4841 Luke 10 8 | 8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha,
4842 2Cor 11 16 | kuwa mpumbavu. Lakini kama mkifikiri hivyo, basi, nichukueni
4843 Luke 12 29 | Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula
4844 2Pet 3 12 | 12 mkiingojea Siku ile ya Mungu na kuifanya
4845 Acts 23 15 | jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari
4846 Roma 6 16 | 16 Mnajua kwamba mkijitolea ninyi wenyewe kama watumwa
4847 John 15 7 | 7 Mkikaa ndani yangu na maneno yangu
4848 Ephe 4 26 | 26 Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye
4849 Gala 5 2 | Paulo ninayesema nanyi! Kama mkikubali kutahiriwa, Kristo hatawafaidia
4850 Luke 10 7 | Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni,
4851 Matt 2 13 | mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka
4852 2Cor 2 10 | 10 Mkimsamehe mtu, nami pia ninamsamehe.
4853 Colo 4 2 | mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.~
4854 Gala 6 1 | 1 Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi,
4855 John 14 14 | 14 Mkiniomba chochote kwa jina langu,
4856 John 14 15 | 15 "Mkinipenda mtazishika amri zangu.~
4857 Ephe 6 18 | 18 Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini
4858 Gala 5 18 | 18 Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena
4859 John 13 35 | 35 Mkipendana, watu wote watajua kwamba
4860 Acts 18 6 | yake mbele yao akisema, "Mkipotea ni shauri lenu wenyewe;
4861 Ephe 6 18 | Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa
4862 2Cor 1 7 | ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki
4863 James 5 10| 10 Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na
4864 Acts 1 11 | Galilaya! Mbona mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu ambaye
4865 1Pet 3 6 | mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda mema bila kuogopa tisho
4866 Colo 4 5 | wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri kila nafasi mliyo
4867 Matt 21 21 | kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: `Ng`oka ukajitose
4868 2Pet 1 19 | nanyi mwafanya vema kama mkiuzingatia, maana ni kama taa inayoangaza
4869 1Pet 2 20 | Maana, mtapata tuzo gani mkivumilia mapigo mnayostahili kwa
4870 James 2 9 | 9 Lakini mkiwabagua watu, basi, mwatenda dhambi,
4871 Matt 28 19 | yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la
4872 1Cor 8 12 | 12 Kama mkiwakosesha ndugu zenu jinsi hiyo na
4873 Matt 5 47 | 47 Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya
4874 Hebr 13 17 | wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha,
4875 Matt 19 28 | katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili
4876 Ephe 3 4 | 4 nanyi mkiyasoma maneno yangu mtaweza kujua
4877 John 13 17 | mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.~
4878 John 8 31 | Wayahudi waliomwamini, "Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa
4879 John 15 8 | Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi
4880 1Pet 3 13 | atakayeweza kuwadhuru ninyi kama mkizingatia kutenda mema?~
4881 John 15 10 | 10 Mkizishika amri zangu mtakaa katika
4882 Colo 4 12 | ili mpate kusimama imara, mkomae na kuwa thabiti kabisa katika
4883 Titus 1 7 | mwepesi wa hasira, mlevi, mkorofi au mchoyo.~
4884 1Tim 1 15 | kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote,~
4885 Jude 1 11 | fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi
4886 Titus 1 12| wao, ambaye naye pia ni Mkrete, alisema: "Wakrete, husema
4887 John 19 34 | mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara ikatoka damu na
4888 Acts 2 46 | hicho kwa furaha na moyo mkunjufu.~
4889 Titus 1 7 | vile kiongozi wa kanisa ni mkurugenzi wa kazi ya Mungu, anapaswa
4890 Luke 9 41 | Kisha akamwambia huyo mtu, "Mlete mtoto wako hapa."~
4891 Gala 3 3 | wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote kwa msaada wa Roho
4892 1Cor 1 13 | aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?~
4893 2Cor 8 14 | 14 Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie
4894 2Joh 1 8 | ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.~
4895 Matt 25 40 | Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu
4896 Acts 5 8 | kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata kwa kuuza lile shamba?"
4897 1Pet 5 2 | 2 mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa,
4898 1The 2 14 | wake Kristo Yesu. Ninyi mlidhulumiwa na wananchi wenzenu kama
4899 1The 1 6 | 6 Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana.
4900 Colo 2 12 | Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani
4901 Acts 7 53 | 53 Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu
4902 Acts 1 11 | atakuja tena namna hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni."~
4903 Matt 16 9 | wale watu elfu tano? Je, mlijaza vikapu vingapi vya makombo?~
4904 Colo 1 7 | 7 Mlijifunza juu ya neema ya Mungu kutoka
4905 Hebr 10 34 | mlistahimili kwa furaha, maana mlijua kwamba mnayo mali bora zaidi
4906 Matt 25 45 | mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.`~
4907 Acts 7 43 | 43 Ninyi mlikibeba kibanda cha mungu Moloki,
4908 John 6 26 | ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.~
4909 Hebr 9 20 | damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii."~
4910 Ephe 4 4 | mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja.~
4911 1Pet 5 2 | mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika,
4912 Acts 4 11 | Matakatifu yanasema: `Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa
4913 Colo 1 23 | kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari
4914 James 2 7 | wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa?~
4915 Acts 3 14 | mtakatifu na mwema; lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa
4916 1Cor 6 19 | aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Ninyi
4917 Acts 4 10 | wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua
4918 John 11 34 | 34 Kisha akawauliza, "Mlimweka wapi?" Wakamwambia, "Bwana,
4919 Gala 4 14 | mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama
4920 Luke 2 49 | Yeye akawajibu, "Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa
4921 Matt 25 40 | hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.`~
4922 1Cor 6 20 | 20 Mlinunuliwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo,
4923 Luke 22 28 | 28 "Ninyi ndio mliobaki nami wakati wote wa majaribu
4924 Matt 25 34 | wake wa kulia, `Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme
4925 Gala 3 27 | 27 Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama
4926 Jude 1 1 | Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi
4927 Colo 1 8 | alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.~
4928 Ephe 2 17 | watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa
4929 Matt 25 41 | Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa
4930 2Cor 7 7 | bali pia kwa sababu ya moyo mliompa ninyi. Yeye ametuarifu jinsi
4931 Matt 19 28 | katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi
4932 Hebr 6 10 | kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika
4933 Matt 25 34 | Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.~
4934 1Pet 2 9 | watu wake Mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu
4935 2Pet 1 12 | mko imara katika ukweli mlioupokea.~
4936 John 21 10 | Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua."~
4937 Acts 5 25 | akawaambia, "Wale watu mliowafunga gerezani, hivi sasa wamo
4938 Rev 18 24 | huo uliadhibiwa kwani humo mlipatikana damu ya manabii, damu ya
4939 Hebr 10 32 | Mungu. Ingawa siku zile mlipatwa na mateso mengi, ninyi mlistahimili.~
4940 Rev 18 6 | kama alivyowatendea ninyi; mlipeni mara mbili kwa yale aliyoyatenda.
4941 Hebr 10 32 | yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa mwanga wa Mungu. Ingawa
4942 Colo 2 12 | 12 Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo,
4943 Colo 1 23 | tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo
4944 1Cor 1 26 | Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye
4945 Matt 25 45 | Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo
4946 Acts 10 29 | 29 Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi,
4947 Hebr 10 34 | Mlishiriki mateso ya wafungwa, na mliponyang`anywa mali yenu mlistahimili
4948 Acts 19 2 | 2 Akauliza, "Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho
4949 Colo 1 6 | kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema ya Mungu na
4950 Colo 3 7 | kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.~
4951 2Cor 12 13 | 13 Je, mlipungukiwa nini zaidi kuliko makanisa
4952 Gala 4 14 | ya udhaifu wangu ingawa mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea
4953 Hebr 10 34 | 34 Mlishiriki mateso ya wafungwa, na mliponyang`
4954 Ephe 4 21 | 21 Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na
4955 Colo 2 11 | kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo
4956 1Cor 12 2 | kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu
4957 Acts 3 17 | kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda hayo kwa sababu ya kutojua
4958 1The 1 6 | na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo
4959 Hebr 9 20 | agano mliloamriwa na Mungu mlitii."~
4960 Luke 22 35 | fedha wala mkoba wala viatu, mlitindikiwa chochote?" Wakajibu, "La."~
4961 Rev 1 16 | saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili.
4962 Hebr 10 33 | 33 Mara nyingine mlitukanwa na kufedheheshwa hadharani;
4963 John 5 34 | 33 Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia
4964 1Pet 5 2 | la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali
4965 Colo 2 7 | imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.~
4966 Roma 6 19 | Kama vile wakati fulani mlivyojitolea ninyi wenyewe kutumikia
4967 2Cor 7 13 | aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo.~
4968 2Cor 7 15 | mlivyo tayari kutii, na jinsi mlivyomkaribisha kwa hofu nyingi na kutetemeka.~
4969 Matt 23 25 | ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata ~kwa unyang'anyi na uchoyo. ~
4970 1The 1 9 | ziara yetu kwenu: jinsi mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu
4971 1The 1 9 | mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu
4972 Roma 8 15 | 15 Kwa maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya
4973 Acts 2 36 | hakika kwamba huyo Yesu mliyemsulubisha ninyi, ndiye huyo ambaye
4974 Acts 3 13 | wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa
4975 Acts 7 42 | watu wa Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda
4976 2Cor 9 5 | tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba
4977 Jude 1 17 | wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa
4978 Luke 17 10 | ninyi mkisha fanya yote mliyoamriwa, semeni: `Sisi ni watumishi
4979 1Cor 7 1 | 1 Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: naam, ni vizuri kama mtu
4980 2Cor 8 10 | kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa
4981 Roma 16 17 | kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,~
4982 Hebr 6 10 | haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa
4983 1Pet 2 21 | 21 Hayo ndiyo mliyoitiwa; maana Kristo mwenyewe aliteseka
4984 Roma 11 31 | kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi wanamwasi
4985 Luke 7 22 | Nendeni mkamwambie Yohane yale mliyojionea na kuyasikia: vipofu wanaona,
4986 1Joh 2 7 | ni amri ileile ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Amri
4987 Luke 12 3 | watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong`ona faraghani milango imefungwa,
4988 Matt 23 23 | imani. Haya ~ndiyo hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau
4989 2Pet 3 2 | amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu.~
4990 Hebr 6 10 | jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake.~
4991 Matt 17 9 | akawaonya: "Msimwambie mtu mambo mliyoyaona mpaka Mwana wa Mtu atakapofufuliwa
4992 Colo 2 12 | 12 Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika
4993 Acts 7 43 | Sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. Kwa sababu hiyo nitakupeleka
4994 1Pet 1 14 | kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.~
4995 Acts 7 43 | mungu wenu Refani. Sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. Kwa sababu
4996 Hebr 12 16 | ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja.~
4997 John 16 27 | ninyi mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.~
4998 John 7 47 | wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika?~
4999 Colo 3 1 | 1 Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni
5000 1The 4 9 | zenu waumini. Ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa
5001 Hebr 13 3 | waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao. Wakumbukeni
5002 1Pet 2 3 | yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mmegundua kwamba Bwana ni mwema."~
5003 2Cor 7 9 | nafurahi, si kwa sababu mmehuzunika, ila kwa kuwa huzuni yenu
5004 2Cor 7 9 | mbadili nia zenu na kutubu. Mmehuzunishwa kadiri ya mpango wa Mungu,
5005 1Pet 2 10 | huruma ya Mungu, lakini sasa mmeipokea.~
5006 James 5 5 | 5 Mmeishi duniani maisha ya kujifurahisha
5007 Ephe 2 20 | 20 Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa
5008 1The 4 1 | 1 Hatimaye, ndugu zangu, mmejifunza kutoka kwetu namna mnavyopaswa
5009 James 5 3 | yenu kama vile moto. Ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za
5010 James 5 5 | kujifurahisha na ya anasa. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.~
5011 Gala 5 4 | kwa njia ya Sheria, basi, mmejitenga mbali na Kristo; mko nje
5012 Ephe 2 13 | hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.~
5013 Mark 11 24 | kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa.~
5014 Ephe 2 8 | Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo
5015 Roma 8 10 | Roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa kuwa waadilifu.~
5016 Acts 5 9 | Petro akamwambia, "Mbona mmekula njama kumjaribu Roho wa
5017 Acts 13 46 | kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima
5018 James 5 6 | 6 Mmemhukumu na kumwua mtu asiye na hatia,
5019 1Cor 8 12 | dhamiri zao dhaifu, mtakuwa mmemkosea Kristo.~
5020 Colo 2 6 | 6 Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana,
5021 Luke 23 14 | 14 akawaambia, "Mmemleta mtu huyu kwangu mkisema
5022 Roma 8 15 | kuwatia tena hofu; sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya ninyi
5023 1Pet 2 25 | waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho
5024 Acts 7 52 | Mwenye Haki. Na sasa, ninyi mmemsaliti, mkamuua.~
5025 John 5 46 | Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.~
5026 Gala 3 27 | mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa Kristo.~
5027 Roma 11 30 | Hapo awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata
5028 2Cor 1 14 | 14 maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua
5029 Acts 10 29 | Basi, nawaulizeni: kwa nini mmeniita?"~
5030 2Cor 12 11 | mpumbavu, lakini, ninyi mmenilazimisha kuwa hivyo. Ninyi ndio mngalipaswa
5031 John 6 36 | niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.~
5032 John 16 27 | ninyi, kwa sababu ninyi mmenipenda mimi na mmeamini kwamba
5033 1Cor 7 23 | 23 Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe
5034 Ephe 2 5 | Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.~
5035 Roma 11 24 | la mzeituni mwitu, lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika
5036 1Cor 6 11 | mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na
5037 1The 2 14 | 14 Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo yaleyale yaliyoyapata
5038 Hebr 6 9 | hali yenu. Tunajua kwamba mmepokea baraka zile bora za wokovu
5039 1Pet 2 24 | Kwa majeraha yake, ninyi mmeponywa.~
5040 Hebr 12 5 | 5 Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo
5041 Matt 20 6 | Basi, akawauliza, `Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?`~
5042 1Cor 1 5 | kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa
5043 1Pet 1 1 | wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi
5044 1Pet 2 20 | mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu atawapeni baraka
5045 2Cor 7 11 | haki yatekelezwa. Ninyi mmethibitisha kwa kila njia kwamba hamna
5046 Roma 6 17 | lakini - namshukuru Mungu - mmetii kwa moyo wote yale maazimio
5047 Luke 13 28 | Mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!~
5048 2The 1 10 | mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.~
5049 Luke 11 52 | walimu wa Sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa
5050 Acts 19 37 | 37 Mmewaita watu hawa hapa ingawaje
5051 Luke 11 52 | ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie."~
5052 Colo 1 5 | lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama mbinguni.~
5053 Acts 5 28 | kwa jina la mtu huyu; sasa mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika
5054 Luke 11 42 | Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.~
5055 1Pet 1 23 | neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa
5056 1Pet 1 22 | kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu
5057 Acts 2 33 | mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo Roho.~
5058 Gala 4 10 | 10 Bado mnaadhimisha siku, miezi na miaka!~
5059 1Cor 7 5 | haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo
5060 Luke 24 41 | wanastaajabu, akawauliza, "Mnacho chakula chochote hapa?"~
5061 1Cor 15 11 | tunachuhubiri, na hiki ndicho mnachoamini.~
5062 Roma 14 16 | 16 Basi, msikubalie kitu mnachokiona kuwa kwenu ni kitu chema
5063 Mark 10 38 | Yesu akawaambia, "Hamjui mnachoomba! Je, mnaweza kunywa kikombe
5064 Acts 2 33 | yaani Roho Mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko
5065 Luke 12 12 | Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema."~
5066 Mark 4 24 | Sikilizeni kwa makini mnachosikia! Kipimo kilekile mnachowapimia
5067 Mark 4 24 | mnachosikia! Kipimo kilekile mnachowapimia watu wengine, ndicho mtakachopimiwa;
5068 Luke 24 38 | yeye akawaambia, "Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka
5069 John 4 38 | walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao."~
5070 2Cor 12 19 | 19 Labda mnafikiri kwamba mpaka sasa tumekuwa
5071 James 4 2 | lakini hamvipati, hivyo mnagombana na kupigana. Hampati kile
5072 1Cor 4 10 | ninyi ni wenye nguvu. Ninyi mnaheshimika, sisi tunadharauliwa.~
5073 John 8 15 | 15 Ninyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu,
5074 Mark 7 8 | 8 Ninyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia
5075 1Cor 16 15 | 15 Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni
5076 James 2 8 | 8 Kama mnaitimiza ile sheria ya Utawala kama
5077 Ephe 2 22 | kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine,
5078 Luke 16 15 | Hapo akawaambia, "Ninyi mnajifanya wema mbele ya watu, lakini
5079 Gala 4 9 | mnamjua Mungu, au tuseme mnajulikana na Mungu, mnawezaje tena
5080 Acts 27 34 | ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi.
5081 2Cor 11 4 | mwampokea kwa mikono miwili; au mnakubali roho au habari njema tofauti
5082 John 7 28 | mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa
5083 Luke 5 30 | wafuasi wake wakisema: "Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza
5084 Acts 5 28 | pote katika Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo
5085 1Cor 11 20 | 20 Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya
5086 Luke 22 10 | Sikilizeni! Mtakapokuwa mnakwenda mjini, mtakutana na mwanamume
5087 1Cor 11 22 | kunywa nyumbani kwenu! Au je, mnalidharau kanisa la Mungu na kuwaaibisha
5088 1Pet 1 5 | zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu
5089 John 7 21 | moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia.~
5090 Acts 13 15 | ujumbe huu: "Ndugu, kama mnalo jambo la kuwaambia watu
5091 Colo 1 5 | wenu vinategemea jambo lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama
5092 Matt 23 24 | katika kinywaji, lakini mnameza ngamia! ~\il 5 ~ic ~\is
5093 Matt 23 15 | dini yenu. ~Mnapompata, mnamfanya astahili maradufu kwenda
5094 Jude 1 21 | katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni
5095 Acts 7 51 | kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.~
5096 Ephe 2 2 | wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu
5097 Ephe 6 5 | unyofu wa moyo kana kwamba mnamtumikia Kristo.~
5098 2Cor 11 20 | 20 Mnamvumilia hata mtu anayewafanya ninyi
5099 John 4 22 | 22 Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi
5100 John 10 36 | na kumtuma ulimwenguni, mnamwambia: `Unakufuru`, eti kwa sababu
5101 Gala 1 6 | mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema
5102 Acts 24 21 | niliposimama mbele yao: `Mnanihukumu leo hii kwa sababu ya kushikilia
5103 Mark 12 15 | wao, akawaambia, "Mbona mnanijaribu? Nionyesheni sarafu."~
5104 John 7 23 | ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu
5105 1Cor 11 2 | Nawapeni hongera kwa sababu mnanikumbuka na kwa sababu mnayashikilia
5106 Luke 6 25 | mtasikia njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka kwa furaha sasa, maana baadaye
5107 1Cor 6 8 | badala yake, ninyi ndio mnaodhulumu na kunyang`anya; tena, hayo
5108 Roma 11 18 | kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo
5109 Ephe 2 11 | watu wa mataifa mengine - mnaoitwa, "wasiotahiriwa" na Wayahudi
5110 Acts 2 14 | Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni
5111 1Cor 15 2 | 2 Kwa njia yake mnaokolewa, ikiwa mnayazingatia maneno
5112 Luke 6 21 | baadaye mtashiba. Heri ninyi mnaolia sasa, maana baadaye mtacheka
5113 Matt 23 28 | 28 Hali kadhalika ninyi mnaonekana na watu kwa nje kuwa wema,
5114 Luke 6 27 | Lakini nawaambieni ninyi mnaonisikiliza: wapendeni adui zenu, watendeeni
5115 Gala 6 1 | fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo
5116 2The 2 13 | yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu
5117 Ephe 6 17 | neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.~
5118 James 4 13| Basi, sasa sikilizeni ninyi mnaosema: "Leo au kesho tutakwenda
5119 Luke 6 25 | 25 Ole wenu ninyi mnaoshiba sasa, maana baadaye mtasikia
5120 Luke 6 21 | 21 Heri ninyi mnaosikia njaa sasa, maana baadaye
5121 Colo 2 5 | ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani
|