110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu
Book, Chapter, Verse
6140 Mark 14 58 | Tulimsikia mtu huyu akisema, `Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa
6141 Acts 7 7 | 7 Lakini mimi nitalihukumu taifa hilo litakalowafanya
6142 Matt 18 29 | akamwomba, `Unisubiri nami nitalipa deni langu lote.`~
6143 John 12 28 | mbinguni, "Nimelitukuza, na nitalitukuza tena."~
6144 John 20 15 | niambie ulikomweka, nami nitamchukua."~
6145 Roma 9 15 | Maana alimwambia Mose: "Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia;
6146 Matt 10 33 | atakayenikana hadharani, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye
6147 Matt 10 32 | yeye ni wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye
6148 Rev 21 6 | na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka
6149 John 14 21 | atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake."~
6150 Luke 19 8 | nimenyang`anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne."~
6151 Luke 18 5 | huyu mjane ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika
6152 John 12 32 | nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu."~
6153 Luke 23 16 | nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia."*ff* mmoja.~
6154 Hebr 2 13 | 13 Tena asema: "Nitamwekea Mungu tumaini langu." Na
6155 John 7 33 | nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.~
6156 Roma 9 15 | yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka."~
6157 Acts 9 16 | 16 Mimi mwenyewe nitamwonyesha mengi yatakayomlazimu kuteswa
6158 2Cor 12 21 | niaibike mbele yenu, nami nitaomboleza kwa ajili ya wengi wa wale
6159 Acts 23 35 | 35 akasema, "Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki
6160 Acts 2 19 | 19 Nitatenda miujiza juu angani, na ishara
6161 Hebr 12 26 | lakini sasa ameahidi: "Nitatetemesha nchi tena, lakini si nchi
6162 Acts 24 22 | kesi hiyo. Akawaambia, "Nitatoa hukumu juu ya kesi hiyo
6163 Luke 5 5 | lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu."~
6164 Matt 16 21 | wakuu na walimu wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa."~
6165 2Pet 1 14 | 14 Najua kwamba karibu nitauweka kando mwili huu wenye kufa,
6166 Luke 13 8 | tuuache tena mwaka huu; nitauzungushia mtaro na kuutilia mbolea.~
6167 1Cor 14 6 | chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni ufunuo wa Mungu au ujuzi
6168 Acts 18 6 | jambo hilo. Na tangu sasa nitawaendea watu na mataifa mengine."~
6169 Luke 7 31 | akaendelea kusema, "Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu
6170 John 14 14 | chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.~
6171 Roma 9 25 | waliokuwa `Si watu wangu` nitawaita: `Watu wangu!` Naye `Sikupendi`
6172 John 16 22 | mna huzuni sasa; lakini nitawajieni tena, nanyi mtajaa furaha
6173 Luke 22 29 | Ufalme, vivyo hivyo nami nitawakabidhi ninyi Ufalme.~
6174 Rev 3 21 | 21 "Wale wanaoshinda nitawaketisha pamoja nami juu ya kiti
6175 Rev 3 5 | katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya
6176 2Cor 12 20 | huenda nitakapokuja kwenu nitawakuta katika hali nisiyopenda,
6177 Roma 15 29 | Najua ya kuwa nikija kwenu nitawaletea wingi wa baraka za Kristo.~
6178 Luke 11 49 | ya Mungu ilisema hivi: `Nitawapelekea manabii na mitume, lakini
6179 Luke 24 49 | 49 Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi
6180 2Cor 6 17 | msiguse kitu najisi, nami nitawapokea.~
6181 Matt 11 28 | kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.~
6182 Hebr 8 12 | 12 Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka
6183 John 5 46 | 45 Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi
6184 Hebr 2 12 | kama asemavyo: "Ee Mungu, nitawatangazia ndugu zangu matendo yako.
6185 Roma 15 28 | uliokusanywa kwa ajili yao, nitawatembeleeni ninyi nikiwa safarini kwenda
6186 Acts 7 7 | litakalowafanya watumwa. Kisha nitawatoa katika nchi hiyo ili waje
6187 Rev 2 23 | 23 Tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa
6188 3Joh 1 10 | 10 Basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno
6189 Acts 15 16 | nyumba ya Daudi iliyoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kuijenga
6190 Roma 15 9 | miongoni mwa watu wa mataifa. Nitaziimba sifa za jina lako."~
6191 1Cor 9 17 | kwamba ni jukumu nililopewa nitekeleze.~
6192 Matt 14 28 | ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji nije kwako."~
6193 Luke 1 38 | Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema." Kisha
6194 Acts 13 2 | Roho Mtakatifu alisema: "Niteulieni Barnaba na Saulo kwa ajili
6195 John 17 5 | 5 Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu
6196 Luke 12 50 | ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika
6197 2Cor 11 1 | mjinga kiasi fulani! Naam, nivumilieni kidogo.~
6198 1Cor 11 22 | kuwaaibisha hao wasio na kitu? Niwaambie nini? Niwasifu? La hasha!
6199 Ephe 3 9 | 9 tena niwaangazie watu wote waone jinsi mpango
6200 Luke 20 43 | 43 mpaka niwafanye adui zako kama kiti cha
6201 John 6 39 | kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.~
6202 1Cor 14 19 | matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno
6203 John 18 39 | mnayo desturi kwamba mimi niwafungulie mfungwa mmoja wakati wa
6204 Luke 4 18 | watapata kuona tena; amenituma niwakomboe wanaoonewa,~
6205 Roma 1 5 | mtume, ili kwa ajili yake niwaongoze watu wa mataifa yote wapate
6206 Matt 11 30 | 30 Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo
6207 Phil 1 13 | anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya
6208 1Cor 11 22 | na kitu? Niwaambie nini? Niwasifu? La hasha! Si kuhusu jambo
6209 Luke 4 18 | Habari Njema. Amenituma niwatangazie mateka watapata uhuru, vipofu
6210 Phil 1 22 | sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.~
6211 Acts 22 5 | Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta
6212 John 12 50 | tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme."~ ~ ~~ ~
6213 John 5 37 | ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia
6214 Rev 9 17 | zenye rangi ya samawati na njano kama kiberiti. Vichwa vya
6215 Rev 9 17 | wapanda farasi katika hiyo njozi: Walikuwa na ngao vifuani
6216 Roma 3 29 | 29 Au je, Mungu nu Mungu wa Wayahudi tu, ama
6217 Rev 3 18 | kufunika aibu ya uchi wako. Nunua pia mafuta ukapake machoni
6218 Matt 17 2 | mavazi yake yakawa meupe kama nuru.~
6219 Titus 1 3 | nilikabidhiwa ujumbe huo nuutangaze kufuatana na amri ya Mungu,
6220 Matt 12 40 | kutwa kucha tumboni mwa nyangumi, ndivyo naye Mwana wa Mtu
6221 2Tim 1 5 | kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama
6222 Luke 11 22 | alizotegemea na kugawanya nyara.~
6223 Matt 7 14 | inayoongoza kwenye uzima ni nyembamba, na mlango wa kuingilia
6224 Matt 27 34 | mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa
6225 Luke 3 4 | Mtayarishieni Bwana njia yake; nyosheni mapito yake.~
6226 Matt 26 27 | Mungu, akawapa akisema, "Nyweni nyote;~
6227 Matt 23 24 | Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini
6228 Acts 27 43 | 43 Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo,
6229 Luke 5 27 | mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, "Nifuate!"~
6230 John 13 10 | akamwambia, "Aliyekwisha oga hana lazima ya kunawa isipokuwa
6231 Roma 16 15 | Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa
6232 James 5 16| ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. Sala
6233 Matt 7 5 | 5 Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyoko jichoni
6234 Matt 10 27 | jambo mlilosikia likinong`onezwa, litangazeni hadharani.~
6235 Acts 7 17 | watu kule Misri ilikwisha ongezeka na kuwa kubwa zaidi.~
6236 Matt 24 12 | 12 Kwa sababu ya ongezeko la uhalifu, upendo wa watu
6237 2Pet 1 5 | fadhila katika imani yenu: ongezeni elimu katika fadhila yenu,~
6238 2Tim 4 2 | wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha
6239 John 18 23 | Kama nimesema vibaya, onyesha huo ubaya; lakini ikiwa
6240 James 4 8 | naye atakuja karibu nanyi. Osheni mikono yenu enyi wakosefu!
6241 2Pet 2 22 | isemayo: "Nguruwe aliyekwisha oshwa hugaagaa tena katika matope!"
6242 Gala 4 27 | ewe uliye tasa usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata kujifungua
6243 Matt 6 17 | Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa
6244 Acts 4 31 | walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho
6245 Rev 2 5 | 5 Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya
6246 Luke 4 17 | akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:~
6247 Luke 3 5 | na kilima vitasawazishwa; palipopindika patanyooshwa, njia mbaya
6248 Hebr 9 2 | 2 Palitengenezwa hema ambayo sehemu yake
6249 2Pet 2 1 | 1 Palitokea manabii wa uongo kati ya
6250 Luke 1 78 | mwenye huruma. Atasababisha pambazuko angavu la ukombozi litujie
6251 Matt 9 16 | kuukuu, na pale palipokuwa pameraruka pataongezeka.~
6252 Rev 17 9 | 9 "Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa
6253 Matt 23 5 | maandishi ya Sheria juu ya panda la uso na mikononi na hupanua
6254 Mark 4 32 | 32 Lakini ikisha pandwa, huota na kuwa mmea mkubwa
6255 Colo 3 1 | mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo
6256 Acts 6 5 | Prokoro, Nikanora, Timona, Parmena na Nikolao wa Antiokia ambaye
6257 Matt 5 25 | 25 "Patana na mshtaki wako upesi mkiwa
6258 1Cor 1 10 | Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo
6259 Luke 3 5 | vitasawazishwa; palipopindika patanyooshwa, njia mbaya zitatengenezwa.~
6260 Matt 9 16 | pale palipokuwa pameraruka pataongezeka.~
6261 Acts 21 1 | na kutoka huko tulikwenda Patara.~
6262 1The 4 16 | 16 Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu,
6263 Rev 1 9 | Mimi nilikuwa kisiwani Patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe
6264 Roma 16 14 | Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio
6265 Luke 3 35 | mwana wa Reu, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa
6266 Luke 5 4 | kufundisha, akamwambia Simoni, "Peleka mashua mpaka kilindini,
6267 Acts 19 9 | uhusiano nao, akawachukua pembeni wale wanafunzi wake, akawa
6268 1Cor 16 17 | Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako
6269 Roma 11 24 | mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa asili
6270 Roma 16 12 | wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa
6271 Acts 10 32 | Simoni, kwa jina lingine Petroi; yuko nyumbani kwa Simoni
6272 Phil | Philemon~
6273 1Tim 6 12 | 12 Piga mbio kadiri uwezavyo katika
6274 Ephe 6 13 | mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, muwe bado
6275 1The 5 21 | 21 Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho
6276 Acts 20 4 | 4 Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana
6277 Acts 13 14 | waliendelea na safari toka Pisga hadi mjini Antiokia Pisidia.
6278 Acts 17 23 | yenyewe ni kwamba katika pitapita yangu niliangalia sanamu
6279 Luke 12 58 | naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani.~
6280 Titus 2 3 | wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo
6281 Luke 12 19 | matumizi kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi.`~
6282 2Pet 2 20 | 20 Watu waliokwisha ponyoka katika upotovu wa ulimwengu
6283 Acts 24 27 | 27 Baada ya miaka miwili, Porkio Festo alichukua nafasi ya
6284 Rev 1 15 | yake ilikuwa, kama sauti ya poromoko la maji.~
6285 Acts 8 20 | Lakini Petro akamjibu, "Potelea mbali na fedha zako kwa
6286 Acts 28 13 | mbili tulifika bandari ya Potioli.~
6287 1Tim 5 15 | wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.~
6288 Roma 1 28 | amewaacha katika fikira zao potovu, wakafanya yale ambayo hawangestahili
6289 Acts 6 5 | Roho Mtakatifu, Filipo, Prokoro, Nikanora, Timona, Parmena
6290 2Tim 4 21 | majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu;
6291 Matt 5 22 | Anayemwita ndugu yake: `Pumbavu` atastahili kuingia katika
6292 Ephe 4 19 | katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu.~
6293 John 20 16 | akamwambia kwa Kiebrania, "Raboni" (yaani "Mwalimu").~
6294 Hebr 11 25 | wa Mungu kuliko kufurahia raha ya dhambi kwa kitambo kidogo.~
6295 Matt 2 18 | kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake,
6296 Matt 2 18 | 18 "Sauti imesikika mjini Rama, kilio na maombolezo mengi.
6297 Acts 27 7 | upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa
6298 Acts 7 43 | sanamu ya nyota ya mungu wenu Refani. Sanamu mlizozifanya ndizo
6299 Rev 6 11 | Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi
6300 Acts 28 13 | nanga, tukazunguka na kufika Regio. Baada ya siku moja, upepo
6301 James 5 11| Maana Bwana amejaa huruma na rehema.~
6302 Luke 3 27 | mwana wa Yohanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana
6303 Luke 3 35 | mwana wa Serugi, mwana wa Reu, mwana wa Pelegi, mwana
6304 Rev 7 5 | na mbili elfu; kabila la Reubeni, kumi na mbili elfu, kabila
6305 Rev | Revelation~
6306 Gala 1 14 | wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia
6307 Hebr 13 17 | usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya
6308 Rev 6 8 | walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu
6309 Acts 12 13 | mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.~
6310 Acts 21 1 | Kosi. Kesho yake tulifika Rodo, na kutoka huko tulikwenda
6311 Roma | Romans~
6312 1Cor 7 5 | nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije
6313 Matt 1 5 | alikuwa Rahabu). Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi,
6314 James 4 8 | mikono yenu enyi wakosefu! Safisheni mioyo yenu enyi wanafiki!~
6315 Ephe 5 27 | kanisa lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na
6316 Gala 6 2 | 2 Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo
6317 John 19 13 | hukumu, mahali paitwapo: "Sakafu ya Mawe" (kwa Kiebrania,
6318 James 2 3 | simama huko," au "Keti hapa sakafuni miguuni pangu,"~
6319 James 1 1 | yaliyotawanyika ulimwenguni! Salaam!~
6320 Acts 13 5 | 5 Walipofika Salami walihubiri neno la Mungu
6321 Luke 15 27 | kuwa amempata akiwa salama salimini.`~
6322 Acts 27 7 | wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.~
6323 Mark 11 25 | 25 Mnaposimama kusali, sameheni kila mtu aliyewakosea chochote,
6324 Acts 20 15 | Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.~
6325 Acts 16 11 | meli moja kwa moja mpaka Samothrake, na kesho yake tukatia nanga
6326 Hebr 11 32 | juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli
6327 Rev 21 20 | 20 la tano sardoniki, la sita akiki, la saba
6328 Luke 4 26 | ila kwa mwanamke mjane wa Sarepta, Sidoni.~
6329 Acts 9 35 | 35 Wakazi wote wa Luda na Saroni walimwona Enea, na wote
6330 Acts 20 4 | aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonika, Gayo
6331 Acts 13 4 | Mtakatifu, walishuka hadi Seleukia, na kutoka huko walipanda
6332 Matt 5 31 | 31 "Ilikwisha semwa pia: `Anayemwacha mke wake,
6333 Luke 3 35 | 35 mwana wa Serugi, mwana wa Reu, mwana wa
6334 Luke 3 38 | mwana wa Enosi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa
6335 Acts 14 13 | ya mji akaleta fahali na shada za maua mbele ya mlango
6336 Acts 13 41 | Sikilizeni enyi wenye madharau, shangaeni mpotee! Kwa maana kitu ninachofanya
6337 Colo 3 5 | kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao
6338 Acts 7 16 | Miili yao ililetwa mpaka Shekemu, ikazikwa katika kaburi
6339 Luke 3 26 | mwana wa Matathia, mwana wa Shemeni, mwana wa Yoseki, mwana
6340 Luke 3 36 | mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Noa, mwana wa
6341 1Cor 4 8 | 8 Haya, mmekwisha shiba! Mmekwisha kuwa matajiri!
6342 Roma 14 22 | 22 Basi, shikilia unachoamini kati yako na
6343 2Cor 7 6 | Lakini Mungu, mwenye kuwapa shime wanyonge alitupa moyo sisi
6344 1Tim 6 12 | mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie
6345 Matt 27 37 | ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "
6346 Luke 12 31 | 31 Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu,
6347 Luke 1 69 | 69 Ametupatia Mwokozi shujaa, mzawa wa Daudi mtumishi
6348 1Tim 6 4 | husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,~
6349 John 7 15 | amepataje elimu naye hakusoma shuleni?"~
6350 Acts 26 5 | mmoja wa kikundi chenye siasa kali zaidi katika dini yetu,
6351 John 7 8 | kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana
6352 1Cor 14 11 | 11 Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu
6353 Ephe 1 16 | 16 sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa
6354 John 20 17 | akamwambia, "Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini
6355 Luke 7 9 | uliokuwa unamfuata, akasema, "Sijaona imani kubwa namna hii hata
6356 Acts 10 14 | akajibu, "La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni
6357 Matt 8 10 | wanamfuata, "Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika
6358 John 18 20 | wakutanikiapo Wayahudi wote; na wala sijasema chochote kwa siri.~
6359 Luke 15 29 | Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja.
6360 Rev 3 2 | kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu
6361 1Cor 4 3 | mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu.~
6362 John 8 50 | 50 Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe;
6363 2Cor 10 8 | wa kubomoa - hata hivyo sijutii hata kidogo.~
6364 Roma 7 15 | maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia
6365 2Cor 2 4 | katika hali ya huzuni na sikitiko moyoni na kwa machozi mengi,
6366 Acts 20 31 | mitatu, usiku na mchana, sikuchoka kumwonya kila mmoja wenu
6367 2Cor 7 14 | yake, na katika jambo hilo sikudanganyika. Tumewaambieni ukweli daima,
6368 Gala 1 12 | kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe
6369 1Cor 12 21 | haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi
6370 John 8 11 | Yesu akamwambia, "Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa
6371 Gala 1 12 | 12 Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala
6372 Luke 7 7 | 7 Ndio maana sikujiona nastahili hata kuja kwako;
6373 Gala 1 22 | Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo
6374 Acts 25 17 | 17 Basi, walipofika hapa sikukawia, ila nilifanya kikao mahakamani
6375 John 18 26 | Petro, akamwuliza, "Je, mimi sikukuona wewe bustanini pamoja naye?"~
6376 Matt 20 13 | akamjibu mmoja wao, `Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami
6377 John 11 40 | 40 Yesu akamwambia, "Je, sikukwambia kwamba ukiamini utaona utukufu
6378 1Cor 1 14 | Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu
6379 John 1 31 | 31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza
6380 John 1 33 | 33 Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma
6381 Luke 23 14 | kuchunguza jambo hilo mbele yenu, sikumpata na kosa lolote kuhusu mashtaka
6382 John 18 9 | aliyosema: "Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.")~
6383 2Cor 11 9 | 9 Nilipokuwa nanyi sikumsumbua mtu yeyote nilipohitaji
6384 1Cor 9 1 | mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Je, ninyi
6385 John 12 49 | 49 Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe,
6386 Matt 25 26 | mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo
6387 Roma 9 25 | nitawaita: `Watu wangu!` Naye `Sikupendi` ataitwa: `Mpenzi wangu!`~
6388 2Cor 2 3 | Ndiyo maana niliwaandikia - sikutaka kuja kwenu na kuhuzunishwa
6389 Acts 20 33 | 33 Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala
6390 Matt 25 26 | na hukusanya pale ambapo sikutawanya.~
6391 1Cor 9 15 | 15 Lakini, mimi sikutumia hata mojawapo ya haki hizo.
6392 Matt 15 24 | 24 Yesu akajibu, "Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli
6393 John 16 4 | mkumbuke kwamba niliwaambieni. "Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo
6394 John 6 70 | 70 Yesu akawaambia, "Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Hata
6395 1Cor 2 1 | Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria siri ya ujumbe wa Mungu
6396 Hebr 8 9 | agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.~
6397 Matt 7 23 | 23 Hapo nitawaambia: `Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele
6398 John 11 15 | nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini.
6399 Gala 1 19 | 19 Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa
6400 2Cor 12 13 | kwamba mimi kwa upande wangu sikuwasumbueni kupata msaada wenu? Samahani
6401 Acts 25 10 | Kama unavyojua vizuri, sikuwatendea Wayahudi ubaya wowote.~
6402 1Cor 2 4 | zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na
6403 Jude 1 10 | yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua
6404 Luke 18 4 | akajisemea: `Ingawa mimi simchi Mungu wala simjali binadamu,~
6405 John 8 15 | kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.~
6406 Luke 18 4 | Ingawa mimi simchi Mungu wala simjali binadamu,~
6407 John 17 11 | 11 Na sasa naja kwako; simo tena ulimwenguni, lakini
6408 1Tim 2 12 | 12 Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale
6409 Roma 3 7 | hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!"~
6410 Acts 28 12 | 12 Tulifika katika mji wa Sirakusa, tukakaa hapo kwa siku tatu.~
6411 Mark 7 26 | alikuwa Mgiriki, mwenyeji wa Sirofoinike. Basi, akamwomba Yesu amtoe
6412 2Tim 4 2 | 2 hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati
6413 Phil 1 14 | 14 Lakini sitafanya chochote bila kibali chako.
6414 1Cor 9 16 | nililopewa. Na, ole wangu kama sitaihubiri Habari Njema!~
6415 Luke 22 16 | 16 Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika
6416 2Cor 12 6 | nasema ukweli mtupu. Lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie
6417 Gala 6 14 | 14 Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa
6418 1Cor 4 18 | majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.~
6419 1Cor 8 13 | kuanguka kwa ndugu yangu, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya
6420 Hebr 13 5 | Sitakuacha kamwe, wala sitakutupa."~
6421 John 12 47 | yangu lakini hayashiki mimi sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu
6422 John 6 37 | Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu,~
6423 Hebr 13 6 | Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa. Binadamu atanifanya nini?"~
6424 Rev 18 7 | malkia. Mimi si mjane, wala sitapatwa na uchungu!`~
6425 Hebr 10 38 | walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye."~
6426 John 20 25 | mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki."~
6427 Acts 2 25 | wangu wa kulia, na hivyo sitatikisika.~
6428 John 14 18 | 18 "Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja tena
6429 Luke 20 8 | Yesu akawaambia, "Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa
6430 Rev 2 24 | Shetani`, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine.~
6431 2Cor 12 14 | kuja kwenu mara ya tatu, na sitawasumbua. Maana ninachotafuta si
6432 Rev 3 5 | mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika
6433 Roma 15 18 | 18 Sithubutu kusema kitu kingine chochote
6434 John 17 9 | 9 "Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea
6435 Acts 20 24 | 24 Lakini, siuthamini uhai wangu kuwa ni kitu
6436 John 16 26 | mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa
6437 1Cor 12 21 | hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."~
6438 John 15 15 | 15 Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi
6439 Matt 25 12 | akawajibu, `Nawaambieni kweli, siwajui ninyi."`~
6440 John 17 20 | 20 "Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia
6441 2Cor 11 11 | nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi ninyi? Mungu anajua kwamba
6442 John 14 10 | Maneno ninayowaambieni nyote siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba
6443 Colo 4 16 | 16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba
6444 2Tim 4 14 | 14 Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea
6445 Acts 20 4 | 4 Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea,
6446 Roma 16 21 | kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.~
6447 1Cor 3 10 | nimefaulu, kama mwashi stadi mwenye busara, kuweka msingi
6448 Roma 16 9 | zangu pia kwa rafiki yangu Staku.~
6449 Acts 17 18 | waliofuata falsafa ya Epikuro na Stoiki walibishana naye. Wengine
6450 Mark 7 4 | namna ya kuosha vikombe, sufuria na vyombo vya shaba.~
6451 John 4 5 | 5 Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu
6452 Mark 5 26 | Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi.
6453 Luke 8 3 | mfanyakazi mkuu wa Herode; Susana na wengine kadhaa. Hao wanawake
6454 Luke 22 71 | kwa mdomo wake mwenyewe."sw4323~ ~ ~~ ~
6455 Hebr 4 7 | katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: "Kama mkisikia sauti ya
6456 Matt 10 8 | wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo.
6457 2Pet 1 9 | amesahau kwamba alikwisha takaswa dhambi zake za zamani.~
6458 John 13 10 | isipokuwa miguu, maana amekwisha takata mwili wote. Ninyi mmetakata,
6459 Mark 5 41 | akamshika mkono, akamwambia, "Talitha, kumi," maana yake, "Msichana,
6460 Matt 1 3 | na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Faresi alimzaa Hesroni,
6461 1Cor 4 9 | waliohukumiwa kuuawa, maana tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote,
6462 Luke 6 17 | alisimama mahali palipokuwa tambarare. Hapo palikuwa na kundi
6463 Acts 23 6 | Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza
6464 Acts 27 40 | usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo,
6465 Luke 2 1 | 1 Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari
6466 Gala 1 21 | Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.~
6467 Matt 17 27 | na ndani utakuta fedha taslimu ya zaka. Ichukue ukawape
6468 Luke 9 44 | 44 "Tegeni masikio, myasikie mambo
6469 Acts 26 14 | bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake.`~
6470 Roma 15 28 | 28 Nitakapokwisha tekeleza kazi hiyo na kuwakabidhi
6471 John 12 35 | uko nanyi kwa muda mfupi. Tembeeni mngali mnao huo mwanga ili
6472 Hebr 8 5 | hema, Mungu alimwambia: "Tengeneza kila kitu kufuatana na ule
6473 Matt 23 5 | ili watu wawaone. Huvaa tepe zenye ~maandishi ya Sheria
6474 Luke 3 34 | mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,~
6475 Roma 16 22 | 22 Nami Tertio, ninayeandika barua hii
6476 1Pet 2 4 | lakini mbele ya Mungu ni jiwe teule, na la thamani kubwa.~
6477 1Cor 16 22 | Bwana, na alaaniwe. MARANA THA - BWANA, njoo!~
6478 Acts 5 36 | kulitokea mtu mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana
6479 Ephe 4 30 | kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo
6480 Rev 14 18 | mundu wenye makali, "Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate
6481 Luke 3 1 | tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alikuwa anatawala
6482 Mark 10 46 | aitwaye Bartimayo mwana wa Timayo alikuwa ameketi kando ya
6483 1Cor 4 17 | 17 Ndiyo maana nimemtuma Timetheo kwenu. Yeye ni mtoto wangu
6484 Hebr 10 22 | kwa moyo mnyofu na imani timilifu, kwa mioyo iliyotakaswa
6485 2Tim 4 5 | mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.~
6486 Acts 6 5 | Filipo, Prokoro, Nikanora, Timona, Parmena na Nikolao wa Antiokia
6487 1Pet 3 6 | mkitenda mema bila kuogopa tisho lolote.~
6488 Titus | Titus~
6489 Hebr 7 15 | na Melkisedeki amekwisha tokea.~
6490 Acts 21 7 | yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu
6491 1Cor 5 7 | Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.~
6492 Rev 21 20 | nane zabarijadi, la tisa topazi, la kumi krisopraso, la
6493 John 2 10 | nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. Lakini
6494 Acts 8 27 | kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri
6495 2Cor 3 10 | ambao fahari yake imekwisha toweka.~
6496 Luke 3 1 | mkuu wa mikoa ya Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa mkuu wa
6497 Roma 16 12 | 12 Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi
6498 Roma 16 12 | 12 Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi
6499 Mark 1 32 | Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa
6500 Luke 9 54 | wakasema, "Bwana, wataka tuamuru moto ushuke kutoka mbinguni
6501 Mark 14 15 | kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni humo."~
6502 1The 5 9 | Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate
6503 Roma 14 13 | tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa
6504 Gala 5 1 | Kristo alitupa uhuru akataka tubaki huru. Basi, simameni imara
6505 Acts 8 22 | 22 Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu na umwombe
6506 2Cor 3 18 | wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake
6507 Gala 4 5 | chini ya Sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu.~
6508 2Cor 7 3 | ninyi mko mioyoni mwetu, tufe pamoja, tuishi pamoja.~
6509 2Cor 1 9 | waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye
6510 Luke 23 30 | Tuangukieni!` na vilima, `Tufunikeni!`~
6511 Rev 19 7 | 7 Tufurahi na kushangilia; tumtukuze,
6512 Luke 12 13 | Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba."~
6513 Luke 22 9 | Nao wakamwuliza, "Unataka tuiandae wapi?"~
6514 Acts 14 22 | katika taabu nyingi ili tuingie katika ufalme wa Mungu."~
6515 John 6 30 | Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya
6516 John 19 24 | wakashauriana: "Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani." Jambo
6517 2Cor 8 13 | wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.~
6518 2Cor 7 1 | tumepewa ahadi hizi zote, na tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua
6519 Acts 28 22 | kichwani mwako. Kwa maana tujualo sisi kuhusu hicho kikundi
6520 Acts 27 2 | kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji
6521 2Cor 6 5 | hadharani; tumefanya kazi tukachoka; tumekesha na kukaa bila
6522 Acts 21 3 | tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea Siria. Tulitia nanga katika
6523 Acts 21 15 | tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.~
6524 Gala 2 9 | ushirikiano. Sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa
6525 John 11 16 | wenzake, "Twendeni nasi tukafe pamoja naye!"~
6526 2Cor 5 8 | hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana.~
6527 1Cor 11 32 | tuwe na nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.~
6528 Acts 27 15 | kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo.~
6529 Acts 15 36 | tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea."~
6530 Hebr 4 16 | Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia
6531 Roma 13 12 | mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga.~
6532 Hebr 13 13 | tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.~
6533 2Cor 1 8 | zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea
6534 Matt 25 38 | tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?~
6535 Matt 25 37 | chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?~
6536 Matt 25 37 | tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu
6537 Matt 25 38 | tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?~
6538 Luke 2 15 | kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."~
6539 Acts 20 14 | Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha melini, tukaenda Mitulene.~
6540 Acts 24 6 | alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni. Kama ukimhoji wewe
6541 2Cor 8 22 | tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa
6542 1Pet 2 23 | Alipotukanwa yeye hakujibu kwa tukano; alipoteseka yeye hakutoa
6543 1Cor 12 13 | mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.~
6544 Acts 16 13 | mahali pa kusali. Tuliketi, tukaongea na wanawake waliokusanyika
6545 Acts 21 6 | 6 Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao.~
6546 Acts 27 7 | tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na
6547 Hebr 2 1 | tuliyosikia, ili tusije tukapotoshwa.~
6548 Acts 21 2 | Foinike, hivyo tulipanda, tukasafiri.~
6549 Acts 21 5 | pwani, sote tulipiga magoti tukasali.~
6550 Acts 21 14 | kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: "Mapenzi ya Bwana yafanyike"~
6551 2Cor 5 3 | kuvikwa namna hiyo ili tusije tukasimama mbele ya Mungu bila vazi.~
6552 Acts 20 13 | 13 Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua
6553 Ephe 2 6 | alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.~
6554 Roma 6 3 | kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana na Kristo Yesu, tulibatizwa
6555 Titus 3 3 | watu walituchukia nasi tukawachukia.~
6556 Acts 20 6 | Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa. Huko tulikaa
6557 2Cor 9 4 | watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi
6558 Luke 9 13 | wawili. Labda twende wenyewe tukawanunulie chakula watu wote hawa!"~
6559 Acts 15 36 | alimwambia Barnaba, "Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji
6560 Matt 13 28 | wakamwuliza, `Je, unataka twende tukayang`oe`~
6561 Roma 6 4 | tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja naye, ili kama vile
6562 Acts 28 13 | Toka huko tuling`oa nanga, tukazunguka na kufika Regio. Baada ya
6563 Mark 10 37 | 37 Wakamjibu, "Uturuhusu tuketi mmoja upande wako wa kulia
6564 1Cor 8 8 | kutupeleka karibu zaidi na Mungu. Tukiacha kukila hatupungukiwi kitu,
6565 2Cor 4 10 | 10 Kila wakati tumekuwa tukichukua mwilini mwetu kifo cha Kristo,
6566 1Cor 9 11 | yenu, je, ni jambo kubwa tukichuma kwenu faida ya kidunia?~
6567 1Cor 4 12 | Tukitukanwa, tunawatakia baraka; tukidhulumiwa, tunavumilia;~
6568 1Cor 2 13 | tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio
6569 James 4 13| na kukaa huko mwaka mzima tukifanya biashara na kupata faida."~
6570 2Cor 1 6 | ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji
6571 2Cor 12 19 | kwamba mpaka sasa tumekuwa tukijitetea wenyewe mbele yenu! Lakini,
6572 Roma 5 3 | tunafurahi pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi,~
6573 Hebr 4 16 | 16 Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi
6574 Hebr 12 25 | tutawezaje kuokoka kama tukikataa kumsikiliza yule anayetuonya
6575 1Cor 8 8 | kukila hatupungukiwi kitu, tukikila hatuongezewi kitu.~
6576 2Tim 2 13 | 13 Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki
6577 Acts 20 35 | kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: `
6578 Luke 2 48 | Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni."~
6579 2Tim 2 12 | tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana.~
6580 John 11 48 | 48 Tukimwacha tu watu wote watamwamini,
6581 1Joh 5 14 | kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya mapenzi
6582 2Cor 12 18 | hamjui kwamba sisi tumekuwa tukiongozwa na roho yuleyule, na mwenendo
6583 1Joh 4 12 | Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano
6584 1Cor 4 13 | 13 tukisingiziwa, tunajibu kwa adabu. Mpaka
6585 1Cor 4 12 | kwa mikono yetu wenyewe. Tukitukanwa, tunawatakia baraka; tukidhulumiwa,
6586 Ephe 4 14 | hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na
6587 Acts 21 25 | tumekwisha wapelekea barua tukiwaambia mambo tuliyoamua: wasile
6588 2The 3 10 | Tulipokuwa pamoja nanyi tulikuwa tukiwaambieni, "Mtu asiyefanya kazi, asile."~
6589 2Cor 10 14 | hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari Njema juu ya Kristo.~
6590 Colo 1 9 | Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari
6591 Roma 8 18 | sasa si kitu kamwe kama tukiyafananisha na ule utukufu utakaodhihirishwa
6592 Roma 8 17 | pamoja na Kristo; maana, tukiyashiriki mateso yake Kristo, tutaushiriki
6593 Hebr 3 6 | Sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti
6594 1Joh 2 3 | 3 Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza
6595 1Joh 1 9 | 9 Lakini tukiziungama dhambi zetu, basi Mungu
6596 Luke 1 74 | 74 tukombolewe kutoka adui zetu, tupate
6597 Gala 3 24 | ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu.~
6598 Luke 7 20 | Mbatizaji ametutuma kwako tukuulize: `Wewe ndiye yule ajaye,
6599 John 12 16 | lakini Yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba
6600 Acts 21 6 | 6 Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao
6601 Acts 26 14 | 14 Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti
6602 Acts 28 11 | 11 Baada ya miezi mitatu tulianza tena safari yetu kwa meli
6603 Roma 6 3 | tukaungana na Kristo Yesu, tulibatizwa na kuungana na kifo chake.~
6604 1Joh 1 3 | 3 Tulichokiona na kukisikia ndicho tunachowatangazieni
6605 2Cor 10 15 | wengine zaidi ya kipimo tulichopewa; ila tunatumaini kwamba
6606 2Cor 1 18 | ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la "Ndiyo"
6607 Acts 16 13 | tukaenda kando ya mto ambapo tulidhani ya kuwa ni mahali pa kusali.
6608 Acts 27 16 | tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha
6609 Acts 21 15 | ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea
6610 Acts 28 1 | salama kwenye nchi kavu, tuligundua kwamba kile kisiwa kinaitwa
6611 Acts 11 12 | kwenda Kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa Kornelio.~
6612 Acts 16 10 | ya Paulo kuona ono hilo, tulijitayarisha kwenda Makedonia bila kukawia,
6613 2Cor 7 5 | hatukuweza kupumzika. Kila upande tulikabiliwa na taabu: nje ugomvi; ndani
6614 Acts 16 13 | kuwa ni mahali pa kusali. Tuliketi, tukaongea na wanawake waliokusanyika
6615 Acts 15 36 | wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee
6616 2Tim 2 11 | huu ni wa kweli: "Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia
6617 Acts 20 7 | 7 Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile
6618 2Pet 1 17 | 17 Sisi tulikuwapo wakati alipopewa heshima
6619 1Joh 1 1 | kwa macho yetu wenyewe; tulilitazama na kulishika kwa mikono
6620 Hebr 3 14 | tutazingatia kwa uthabiti tumaini tulilokuwa nalo mwanzoni.~
6621 Titus 3 5 | sababu ya jambo lolote jema tulilotenda sisi, bali alituokoa kwa
6622 2Cor 1 19 | mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "Ndiyo"
6623 Luke 23 2 | Wakaanza kumshtaki wakisema: "Tulimkuta mtu huyu akiwapotosha watu
6624 Acts 20 8 | 8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na
6625 2Cor 5 16 | Hata kama kwa wakati mmoja tulimpima Kristo kibinadamu, sasa
6626 Mark 14 58 | 58 "Tulimsikia mtu huyu akisema, `Nitaliharibu
6627 1The 2 11 | 11 Mnajua kwamba sisi tulimtendea kila mmoja wenu kama vile
6628 1The 3 2 | Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,~
6629 Acts 28 13 | 13 Toka huko tuling`oa nanga, tukazunguka na
6630 Acts 21 14 | Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: "Mapenzi ya
6631 2Tim 1 1 | ili niutangaze ule uzima tulioahidiwa katika kuungana na Kristo
6632 Roma 6 3 | Maana, mnajua kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana na Kristo Yesu,
6633 2Cor 1 12 | kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa
6634 1Cor 4 1 | kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za mungu.~
6635 Hebr 6 18 | kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa
6636 Ephe 1 12 | 12 Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa
6637 2Cor 2 17 | mbele ya Mungu, kama watu tuliotumwa na Mungu, tukiwa tumeungana
6638 2The 1 10 | kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.~
6639 Mark 12 14 | kodi kwa Kaisari, au la? Tulipe au tusilipe?"~
6640 Acts 21 5 | Tulipofika pwani, sote tulipiga magoti tukasali.~
6641 Acts 27 8 | 8 Tulipita kando yake polepole tukafika
6642 Luke 9 12 | pa kulala, kwa maana hapa tulipo ni nyikani."~
6643 Roma 6 4 | 4 Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake,
6644 Acts 5 23 | wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani."~
6645 2Cor 10 14 | mipaka hiyo, hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari
6646 Luke 10 17 | Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako."~
6647 Acts 11 17 | zawadi ileile aliyotupa sisi tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, je, mimi
6648 Colo 1 9 | tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba
6649 Acts 27 16 | kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu,
6650 Acts 21 14 | 14 Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza,
6651 Acts 21 12 | 12 Tuliposikia hayo, sisi na wale watu
6652 2Pet 1 16 | 16 Wakati tulipowafundisheni juu ya ukuu wa kuja kwake
6653 1The 1 5 | 5 maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa
|