110-alifu | aligu-aliyo | alizi-anaye | anayo-bwana | chagu-havit | haviw-ilien | ilifu-kitak | kitam-kuthu | kutib-mahem | majah-mnaos | mnaot-niazi | nichu-nitak | nital-tulip | tulis-ukims | ukimw-utaka | utaku-wakii | wakij-wamej | wamek-watai | wataj-zimee | zimef-zungu
Book, Chapter, Verse
7155 John 19 12 | Wayahudi wakapiga kelele: "Ukimwachilia huyu mtu, wewe si rafiki
7156 Rev 21 11 | 11 uking`aa kwa utukufu wa Mungu.
7157 Luke 4 7 | vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."~
7158 Luke 22 42 | 42 "Baba, kama wapenda, ukiondoe kwangu kikombe hiki; hata
7159 1Cor 15 36 | Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza
7160 1Cor 7 21 | ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata fursa ya kuwa huru, itumie.~
7161 Matt 5 23 | 23 Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu
7162 Rev 1 11 | kitabu yote unayoyaona, ukipeleke kwa makanisa haya saba:
7163 Matt 17 4 | vizuri sana kwamba tupo hapa! Ukipenda nitajenga vibanda vitatu:
7164 Matt 4 9 | Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu."~
7165 Luke 18 36 | Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, "Kuna nini?"~
7166 Gala 3 15 | ya watu wawili. Mkataba ukisha fanyika na kutiwa sahihi
7167 Luke 5 10 | Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu."~
7168 Acts 22 15 | utamshuhudia kwa watu wote ukiwaambia yale uliyoyaona na kuyasikia.~
7169 Luke 14 12 | yule aliyemwalika, "Kama ukiwaandalia watu karamu mchana au jioni,
7170 John 15 18 | 18 "Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba
7171 Titus 2 15| tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji
7172 1Tim 4 6 | 6 Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya,
7173 2Tim 1 6 | Ndio maana nakukumbusha ukiweke motomoto kile kipaji ulichopewa
7174 Luke 13 9 | 9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema;
7175 2Cor 12 16 | ni mwerevu, amewafanyieni ulaghai."~
7176 Rev 18 24 | 24 Mji huo uliadhibiwa kwani humo mlipatikana damu
7177 Acts 5 4 | utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo
7178 Matt 26 50 | akamwambia, "Rafiki, fanya ulichokuja kufanya." Hapo wale watu
7179 John 17 7 | Sasa wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka kwako.~
7180 Luke 14 12 | nawe ukawa umelipwa kile ulichowatendea.~
7181 Acts 21 30 | 30 Mji wote ulienea ghasia; watu wakaja kutoka
7182 Luke 13 26 | kunywa pamoja nawe; na wewe ulifundisha katika vijiji vyetu.`~
7183 Acts 2 26 | 26 Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele
7184 Acts 17 16 | Timotheo huko Athene, moyo wake ulighadhibika sana alipoona jinsi mji
7185 Hebr 11 7 | Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu
7186 Acts 27 15 | 15 Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza
7187 Acts 16 26 | mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara,
7188 Matt 27 40 | 40 "Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga
7189 Luke 19 22 | wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali,
7190 Rev 4 3 | unang`aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.~
7191 John 20 15 | wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua."~
7192 John 21 18 | mshipi na kwenda kokote ulikotaka. Lakini utakapokuwa mzee
7193 Mark 8 1 | huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula.
7194 Acts 4 28 | ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo
7195 1Tim 6 12 | tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako
7196 2Tim 1 14 | 14 Jambo lile bora ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho
7197 Acts 17 19 | Tunataka kujua jambo hili jipya ulilokuwa unazungumzia.~
7198 Hebr 2 7 | 7 Ulimfanya kwa kitambo kidogo kuwa
7199 John 12 18 | Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba
7200 John 17 2 | 2 Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu
7201 John 3 26 | ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na
7202 Acts 9 3 | ghafla mwanga kutoka angani ulimwangazia pande zote.~
7203 1Joh 2 16 | 16 Vitu vyote vya ulimwengu-tamaa mbaya za mwili, vitu wanavyoviona
7204 Mark 4 1 | ziwa. Umati mkubwa wa watu ulimzunguka hata ikambidi aingie katika
7205 Rev 1 16 | makali kuwili. Uso wake uling`aa kama jua kali.~
7206 Matt 18 32 | ni mtumishi mbaya sana! Uliniomba, nami nikakusamehe deni
7207 John 17 24 | wangu ulionipa; kwa kuwa ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu.~
7208 1Cor 7 29 | nataka kusema hivi: muda uliobaki ni mfupi. Na tangu sasa
7209 1Joh 1 2 | milele uliokuwa kwa Baba na uliodhihirishwa kwetu.~
7210 Luke 11 17 | akawaambia, "Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu;
7211 Acts 23 11 | 11 Usiku uliofuata, Bwana alisimama karibu
7212 2Tim 3 14 | wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua
7213 Rev 1 2 | ujumbe wa Mungu na ukweli uliofunuliwa na Yesu Kristo.~
7214 Matt 12 25 | akawaambia, "Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana,
7215 John 21 8 | mashua huku wanauvuta wavu uliojaa samaki; hawakuwa mbali na
7216 2Cor 3 10 | umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari
7217 Roma 15 28 | kuwakabidhi mchango huo uliokusanywa kwa ajili yao, nitawatembeleeni
7218 1Cor 3 11 | msingi mwingine badala ya ule uliokwisha wekwa, yaani Yesu Kristo.~
7219 John 17 2 | uzima wa milele wote hao uliompa.~
7220 Matt 14 31 | mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?"~
7221 Gala 4 13 | kwamba ugonjwa wangu ndio ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari
7222 Hebr 2 2 | waliopewa wazee wetu na malaika ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote
7223 Hebr 8 5 | kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani."~
7224 Acts 23 3 | kofi wewe uliye kama ukuta uliopakwa chokaa! Unawezaje kukaa
7225 James 1 21| Mungu na kupokea ule ujumbe uliopandwa mioyoni mwenu, ambao waweza
7226 1Tim 6 15 | kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na
7227 1Pet 4 3 | 3 Wakati uliopita mlikuwa na muda mrefu wa
7228 Matt 12 20 | 20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi
7229 Rev 15 8 | 8 Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu,
7230 Rev 19 21 | yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda
7231 Matt 13 47 | mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki
7232 Mark 11 21 | Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!"~
7233 Hebr 9 11 | yaani isiyo ya ulimwengu huu ulioumbwa.~
7234 Rev 18 18 | walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: "Hakujapata
7235 1Pet 1 17 | Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha
7236 1Cor 10 4 | kutoka ule mwamba wa kiroho uliowafuata; mwamba huo ulikuwa Kristo
7237 Luke 7 30 | walikataa mpango wa Mungu uliowahusu wakakataa kubatizwa na Yohane.~
7238 Ephe 2 14 | mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.~
7239 Matt 13 27 | Mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba
7240 Matt 18 24 | 24 Ukaguzi ulipoanza, akaletewa mtu mmoja aliyekuwa
7241 Titus 3 4 | wa Mungu, Mwokozi wetu, ulipofunuliwa,~
7242 1Cor 7 21 | wewe ulikuwa mtumwa wakati ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata
7243 Matt 13 48 | 48 Ulipojaa, watu waliuvuta pwani, wakaketi,
7244 Luke 9 51 | 51 Wakati ulipokaribia ambapo Yesu angechukuliwa
7245 Luke 16 25 | Kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha,
7246 1Tim 6 12 | milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi
7247 Acts 21 5 | 5 Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. Wote pamoja
7248 Acts 13 43 | 43 Mkutano huo ulipomalizika, Wayahudi wengi na watu
7249 Mark 9 15 | Mara tu ule umati wa watu ulipomwona, wote walishangaa sana,
7250 Matt 15 31 | wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa
7251 Matt 9 25 | 25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika
7252 Matt 22 33 | 33 Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho ~
7253 1Joh 1 2 | 2 Uzima huo ulipotokea sisi tuliuona na sasa tunasema
7254 Luke 11 29 | 29 Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu akawaambia, "
7255 Mark 11 18 | kwa sababu umati wa watu ulishangazwa na mafundisho yake.~
7256 Rev 20 9 | Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.~
7257 Roma 6 6 | kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali
7258 Rev 22 2 | 2 Mto huo ulitiririka kupitia katikati ya barabara
7259 John 12 28 | 28 Baba, ulitukuze jina lako." Hapo sauti ikasema
7260 Matt 8 13 | Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini." Na mtumishi wake akapona
7261 Luke 14 22 | Bwana mambo yamefanyika kama ulivyoamuru, lakini bado iko nafasi.`~
7262 Rev 2 5 | madhambi yako, na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja
7263 Luke 12 20 | itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia vitakuwa vya nani?"`~
7264 Acts 7 28 | Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?`~
7265 John 17 18 | 18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma
7266 Luke 1 38 | wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema." Kisha yule malaika akaenda
7267 Luke 23 55 | na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa~
7268 Rev 3 3 | uliyofundishwa na jinsi ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako
7269 John 2 6 | mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe
7270 Ephe 5 14 | Maandiko yasema: "Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye
7271 Acts 1 24 | yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua~
7272 Acts 4 25 | 25 Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu
7273 John 17 3 | kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma.~
7274 John 11 42 | kuamini kwamba wewe ndiwe uliyenituma."~
7275 Luke 1 45 | 45 Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana
7276 John 3 2 | tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu
7277 1Tim 6 20 | tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. Jiepushe na majadiliano
7278 John 17 4 | nimeikamilisha ile kazi uliyonipa nifanye.~
7279 2Tim 2 2 | 2 Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi
7280 Rev 18 14 | wanamwambia: "Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na
7281 Rev 16 5 | mwenye haki katika hukumu hii uliyotoa.~
7282 Rev 18 20 | ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi!~
7283 John 9 34 | 34 Wao wakamjibu, "Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi;
7284 Acts 23 10 | 10 Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa
7285 Acts 5 3 | kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba?~
7286 Acts 5 3 | ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea
7287 John 1 50 | 50 Yesu akamwambia, "Je, umeamini kwa kuwa nimekwambia kwamba
7288 Mark 15 26 | Na mshtaka wake ulikuwa umeandikwa: "Mfalme wa Wayahudi."~
7289 Luke 1 42 | akasema kwa sauti kubwa, "Umebarikiwa kuliko wanawake wote, naye
7290 Rev 5 9 | mihuri yake. Kwa sababu wewe umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia
7291 2Cor 3 10 | Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja
7292 Rev 12 10 | na Utawala wa Mungu wetu umedhihirika. Na Kristo wake ameonyesha
7293 Roma 16 26 | amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote
7294 John 12 38 | wetu? Na uwezo wa Bwana umedhihirishwa kwa nani?"~
7295 Acts 4 16 | kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo
7296 Colo 3 3 | ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika
7297 Hebr 7 11 | mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa
7298 Rev 4 1 | nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia
7299 John 11 44 | miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni,
7300 Luke 14 10 | pazuri zaidi.` Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi
7301 Phil 1 7 | na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.~
7302 Matt 22 12 | Mfalme akamwuliza, <Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la arusi?> ~
7303 James 2 11| hukuzini lakini umeua, wewe umeivunja Sheria.~
7304 John 2 10 | ile hafifu. Lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!"~
7305 Luke 1 28 | akamwambia, "Salamu Maria! Umejaliwa neema nyingi! Bwana yu pamoja
7306 Luke 20 39 | Sheria wakasema, "Mwalimu, umejibu vema kabisa."~
7307 Mark 3 32 | 32 Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, "
7308 Rev 11 2 | Hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine,
7309 Acts 25 12 | wake, akamwambia Paulo, "Umekata rufani kwa Kaisari, basi,
7310 Luke 13 34 | mabawa yake, Lakini wewe umekataa.~
7311 Acts 11 3 | watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!~
7312 Luke 8 45 | Mwalimu, umati wa watu umekuzunguka na kukusonga!"~
7313 Acts 11 3 | 3 "Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa
7314 John 7 49 | huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!"~
7315 Mark 14 37 | akamwuliza Petro, "Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa
7316 John 20 12 | mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili
7317 Acts 13 26 | Mungu! Ujumbe huu wa wokovu umeletwa kwetu.~
7318 Luke 14 12 | nao wakakualika nawe ukawa umelipwa kile ulichowatendea.~
7319 Rev 3 8 | umezishika amri zangu, umelitii neno langu wala hukulikana
7320 Matt 5 26 | nakwambia, hutatoka humo mpaka umemaliza kulipa senti ya mwisho.~
7321 Luke 15 30 | makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.`~
7322 Acts 5 4 | hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!"~
7323 Rev 5 9 | umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu watu kutoka katika
7324 Matt 18 15 | yenu. Akikusikia utakuwa umempata ndugu yako.~
7325 Acts 4 27 | Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.~
7326 John 8 57 | miaka hamsini bado, nawe umemwona Abrahamu?"~
7327 John 20 15 | Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami
7328 John 15 18 | ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia
7329 Luke 22 34 | jogoo hajawika leo utakuwa umenikana mara tatu."~
7330 John 20 29 | Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona,
7331 Acts 2 28 | 28 Umenionyesha njia za kuufikia uzima,
7332 Luke 15 29 | amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana
7333 Acts 23 11 | akamwambia, "Jipe moyo! Umenishuhudia katika Yerusalemu, utafanya
7334 Hebr 10 5 | dhabihu wala sadaka, lakini umenitayarishia mwili.~
7335 Roma 9 20 | mfinyanzi wake: "Kwa nini umenitengeneza namna hii?"~
7336 Gala 2 14 | wa Habari Njema haukuwa umenyooka, nikamwambia Kefa mbele
7337 1Cor 7 27 | 27 Je, umeoa? Basi, usitake kuachana
7338 John 17 10 | yangu; na utukufu wangu umeonekana ndani yao.~
7339 Acts 22 10 | huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya.`~
7340 Acts 28 28 | ujumbe wa Mungu juu ya wokovu umepelekwa kwa watu wa mataifa. Wao
7341 1Cor 4 7 | ambacho hukupewa? Na ikiwa umepewa, ya nini kujivunia kana
7342 Luke 13 11 | hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama
7343 Luke 13 12 | alimwita, akamwambia, "Mama, umeponywa ugonjwa wako."~
7344 Luke 6 6 | mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.~
7345 Rev 18 19 | Kwa muda wa saa moja tu umepoteza kila kitu!"~
7346 Mark 10 21 | akampenda, akamwambia, "Umepungukiwa na kitu kimoja: nenda ukauze
7347 1The 1 8 | bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na
7348 Rev 2 3 | 3 Wewe unayo saburi, umestahimili taabu nyingi kwa ajili ya
7349 Gala 6 14 | ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa
7350 Roma 2 27 | unayo maandishi ya Sheria na umetahiriwa, hali wao wanaitii Sheria
7351 Rev 21 2 | Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa
7352 1Cor 7 28 | Lakini ikiwa utaoa hutakuwa umetenda dhambi; na msichana akiolewa
7353 Rev 21 21 | mbili; kila mlango ulikuwa umetengenezwa kwa lulu moja. Barabara
7354 Mark 1 15 | 15 "Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia.
7355 Luke 2 29 | 29 "Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu
7356 Rev 18 17 | saa moja tu utajiri wako umetoweka!" Halafu manahodha wote
7357 Rev 11 17 | uliyekuwako! Tunakushukuru, maana umetumia nguvu yako kuu ukaanza kutawala!~
7358 Luke 2 48 | akamwuliza, "Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi
7359 Matt 20 12 | muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia
7360 James 2 11| hata ikiwa hukuzini lakini umeua, wewe umeivunja Sheria.~
7361 Luke 2 31 | 31 ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:~
7362 Matt 4 16 | kivuli cha kifo, mwanga umewaangazia!"~
7363 Rev 5 10 | 10 Wewe umewafanya wawe ufalme wa makuhani
7364 Roma 11 11 | Kutokana na kosa lao ukombozi umewajia watu wa mataifa mengine,
7365 Luke 12 49 | duniani, laiti ungekuwa umewaka tayari!~
7366 Rev 16 6 | wako na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; wamestahili
7367 Rev 2 2 | kuwavumilia watu waovu, na kwamba umewapima wale wanaojisemea kuwa mitume
7368 Roma 11 16 | kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa
7369 Luke 4 23 | mtasema: `Yote tuliyosikia umeyafanya kule Kafarnaumu, yafanye
7370 2Tim 3 15 | kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo
7371 Rev 3 10 | 10 Kwa kuwa wewe umezingatia agizo langu la kuwa na uvumilivu,
7372 Rev 3 8 | nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu, umelitii neno
7373 Luke 21 20 | Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue
7374 Hebr 2 6 | Mtu ni nini ee Mungu, hata umfikirie; mwanaadamu ni nini hata
7375 James 4 12| Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?~
7376 Hebr 2 6 | mwanaadamu ni nini hata umjali?~
7377 Colo 2 9 | Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,~
7378 Acts 23 20 | Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia
7379 Luke 17 4 | akisema `Nimetubu`, lazima umsamehe."~
7380 Acts 9 11 | na katika nyumba ya Yuda umtake mtu mmoja kutoka Tarso aitwaye
7381 2Cor 5 11 | 11 Basi, sisi tunajua umuhimu wa kumcha Bwana, na hivyo
7382 Luke 9 38 | akasema, "Mwalimu! Ninakusihi umwangalie mwanangu - mwanangu wa pekee!~
7383 Matt 9 18 | Lakini, tafadhali njoo umwekee mkono wako naye ataishi."~
7384 Ephe 4 22 | utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.~
7385 Roma 14 22 | 22 Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako.
7386 Roma 14 15 | yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi
7387 1Cor 15 37 | 37 Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano
7388 John 13 27 | Basi Yesu akamwambia, "Unachotaka kufanya, kifanye haraka!"~
7389 1Tim 5 21 | kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.~
7390 Roma 2 22 | na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu hali wewe
7391 Acts 8 30 | Filipo akamwuliza, "Je, unaelewa hayo unayosoma?"~
7392 Luke 10 26 | Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?"~
7393 Colo 3 10 | 10 mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba
7394 2Cor 3 13 | mwisho wa mng`ao uliokuwa unafifia.~
7395 Acts 8 20 | mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama
7396 Matt 6 18 | mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba
7397 Luke 10 41 | akamjibu, "Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.~
7398 Rev 3 17 | kwamba wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu
7399 Roma 14 17 | la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani
7400 Roma 2 21 | lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba.~
7401 Matt 14 24 | kwa sababu upepo ulikuwa unaipinga.~
7402 Roma 2 17 | mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria na kujivunia kuwa
7403 Roma 2 17 | wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria
7404 Roma 2 1 | kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe
7405 Roma 2 5 | ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo
7406 Matt 21 16 | watoto wadogo na wanyonyao unajipatia sifa kamilifu."`~
7407 Rev 3 17 | 17 Wewe unajisema, `Mimi ni tajiri; ninajitosheleza,
7408 John 8 13 | Mafarisayo wakamwambia, "Wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi
7409 Roma 2 22 | sanamu za miungu hali wewe unajitajirisha kwa kuiba katika nyumba
7410 Acts 26 14 | Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama punda anayepiga
7411 Rev 3 1 | Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa!~
7412 1Joh 4 12 | muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.~
7413 Rev 2 13 | 13 Najua unakoishi: Wewe unaishi kwenye makao
7414 John 3 8 | sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo
7415 John 10 36 | ulimwenguni, mnamwambia: `Unakufuru`, eti kwa sababu nilisema: `
7416 Matt 5 30 | kama mkono wako wa kulia unakukosesha, ukate ukautupe mbali. Afadhali
7417 1Cor 8 10 | akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu
7418 2Tim 3 15 | 15 Unakumbuka kwamba tangu utoto wako
7419 Matt 26 73 | mmoja wao, maana msemo wako unakutambulisha."~
7420 Roma 13 12 | 12 Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi,
7421 Colo 2 19 | uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa
7422 Roma 2 23 | kwamba kwa kuivunja Sheria unamdharau Mungu?~
7423 Roma 3 7 | uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi
7424 Luke 22 48 | Yesu akamwambia, "Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?"~
7425 3Joh 1 12 | Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa ushahidi
7426 John 20 15 | Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?" Maria, akidhani kwamba
7427 Acts 23 4 | pale wakamwambia Paulo, "Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!"~
7428 Rev 2 20 | hoja moja juu yako: wewe unamvumilia yule mwanamke Yezabeli anayejiita
7429 John 9 35 | alipomkuta akamwuliza, "Je, wewe unamwamini Mwana wa Mtu?"~
7430 Luke 7 44 | mwanamke na kumwambia Simoni, "Unamwona huyu mwanamke, sivyo? Basi,
7431 Rev 4 3 | Upinde wa mvua ulikuwa unang`aa kama zumaridi na ulikizunguka
7432 Mark 10 18 | 18 Yesu akamjibu, "Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema
7433 John 11 42 | 42 Najua kwamba unanisikiliza daima. Lakini nimesema hayo
7434 Matt 19 17 | Yesu akamwambia, "Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna
7435 Roma 2 5 | 5 Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo,
7436 1Cor 14 7 | anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi
7437 Ephe 1 19 | sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa
7438 Matt 17 25 | akamwuliza, "Simoni, wewe unaonaje? Wafalme wa dunia hukusanya
7439 1Joh 2 8 | amri mpya, na ukweli wake unaonekana ndani ya Kristo na ndani
7440 John 4 27 | Unataka nini?" au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?"~
7441 Roma 7 24 | kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?~
7442 Roma 2 15 | 15 Mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya Sheria
7443 2Cor 9 13 | Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu
7444 1Cor 15 46 | 46 Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho,
7445 Rev 18 9 | watakapoona moshi wa mji huo unaoteketea.~
7446 James 4 14| kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka
7447 Luke 22 19 | akisema, "Huu ni mwili wangu, unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni
7448 Rev 19 10 | ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii."~
7449 Rev 8 8 | Na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto ukatupwa baharini.
7450 1Pet 3 21 | yalikuwa mfano wa ubatizo unaowaokoa ninyi sasa. Ubatizo si shauri
7451 Rev 17 18 | uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia."~ ~~ ~
7452 Rev 14 11 | 11 Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele.
7453 Rev 22 2 | kulikuwa na mti wa uzima unaozaa matunda mara kumi na mbili
7454 Matt 19 21 | 21 Yesu akamwambia, "Kama unapenda kuwa mkamilifu, nenda ukauze
7455 Luke 14 13 | 13 Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini,
7456 1Cor 15 44 | Unapozikwa ni mwili wa kawaida, unapofufuliwa ni mwili wa kiroho. Kuna
7457 Matt 6 17 | 17 Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta,
7458 Matt 6 6 | 6 Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga
7459 John 8 33 | yeyote yule. Una maana gani unaposema: `mtakuwa huru?"`~
7460 Acts 7 33 | Vua viatu vyako maana hapa unaposimama ni mahali patakatifu.~
7461 Rev 6 13 | yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.~
7462 3Joh 1 5 | wewe ni mwaminifu kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.~
7463 1Cor 15 44 | 44 Unapozikwa ni mwili wa kawaida, unapofufuliwa
7464 Acts 26 1 | Agripa akamwambia Paulo, "Unaruhusiwa kujitetea." Hapo Paulo alinyosha
7465 Matt 11 12 | hii, Ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu
7466 Rev 17 7 | malaika akaniambia, "Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana
7467 Rev 2 13 | ya Shetani! Lakini bado unashikilia jina langu; hukuikana imani
7468 Roma 11 20 | kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune;
7469 Luke 18 22 | aliposikia hayo akamwambia, "Unatakiwa bado kufanya kitu kimoja:
7470 1Joh 5 19 | Mungu ingawa ulimwengu wote unatawaliwa na yule Mwovu.~
7471 Roma 9 12 | Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe,
7472 Luke 16 25 | lakini, yeye anatulizwa, nawe unateswa.~
7473 Roma 3 5 | Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa
7474 John 4 22 | tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi.~
7475 Luke 4 34 | Yesu wa Nazareti! Kwa nini unatuingilia? Je, umekuja kutuangamiza?
7476 1Cor 10 11 | ambao mwisho wa nyakati unatukabili.~
7477 Acts 27 7 | sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja
7478 Roma 2 4 | 4 Au labda unaudharau wema wake mkuu, uvumilivu
7479 1Tim 5 23 | ajili ya tumbo lako, kwani unaugua mara kwa mara.~
7480 Titus 1 9 | ujumbe ule wa kuaminika kama unavyofundishwa. Ndivyo atakavyoweza kuwatia
7481 1The 5 3 | ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala
7482 John 18 22 | kofi akisema, "Je, ndivyo unavyomjibu Kuhani Mkuu?"~
7483 John 17 23 | kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda mimi.~
7484 Matt 15 28 | kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka." Yule binti yake akapona
7485 Ephe 3 9 | mpango wa Mungu uliofichika unavyotekelezwa. Mungu aliye Muumba wa vitu
7486 Luke 17 24 | Kwa maana kama vile umeme unavyotokea ghafla na kuangaza anga
7487 1The 1 3 | matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii,
7488 Acts 26 23 | kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, Wayahudi
7489 1Joh 3 13 | msishangae kama ulimwengu unawachukia ninyi.~
7490 John 15 19 | kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.~
7491 Roma 2 21 | 21 Basi, wewe unawafundisha wengine; kwa nini hujifundishi
7492 Roma 2 21 | hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe, lakini
7493 Roma 2 1 | 1 Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea
7494 2Tim 3 14 | uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.~
7495 John 17 23 | wewe ulinituma, na kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda mimi.~
7496 Mark 6 48 | makasia, maana upepo ulikuwa unawapinga. Karibu na mapambazuko,
7497 Rev 2 6 | juu ya kitu kimoja: wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai
7498 Acts 26 26 | 26 Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza
7499 2Tim 3 11 | udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko
7500 Mark 13 2 | 2 Yesu akamwambia, "Je, unayaona majengo haya makubwa? Hakuna
7501 John 4 18 | na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako.
7502 Mark 9 25 | yule pepo mchafu, "Pepo unayemfanya huyu mtoto kuwa bubu-kiziwi,
7503 Mark 12 14 | kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali
7504 Roma 2 3 | 3 Lakini wewe, rafiki, unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama
7505 Roma 2 1 | unayafanya mambo yaleyale unayohukumu.~
7506 Mark 14 68 | akakana, "Sijui, wala sielewi unayosema!" Kisha Petro akaondoka,
7507 Phil 1 6 | 6 Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa
7508 Acts 8 30 | akamwuliza, "Je, unaelewa hayo unayosoma?"~
7509 Roma 2 22 | Msizini," na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu
7510 2Tim 1 8 | Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu. ~
7511 Acts 17 19 | jambo hili jipya ulilokuwa unazungumzia.~
7512 Roma 2 25 | Sheria, basi, ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa.~
7513 John 4 10 | Yesu akamjibu, "Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani
7514 Matt 11 23 | ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo.~
7515 John 4 10 | Nipatie maji ninywe,` ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji
7516 John 15 19 | wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini
7517 James 5 16| 16 Basi, ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni,
7518 Luke 19 11 | si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)~
7519 1Cor 12 15 | 15 Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono,
7520 1Cor 12 15 | mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La
7521 Luke 19 42 | 42 akisema: "Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani!
7522 Phil 1 17 | mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.~
7523 Acts 25 9 | hivyo akamwuliza Paulo, "Je, ungependa kwenda Yerusalemu na huko
7524 Roma 11 6 | Maana, kama uteuzi wake ungetegemea matendo ya watu, neema yake
7525 Luke 17 6 | ukajipandikize baharini`, nao ungewatii.~
7526 Phil 1 18 | alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.~
7527 Acts 23 3 | Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe
7528 1Cor 10 10 | 10 Wala msinung`unike kama baadhi yao walivyonung`
7529 James 5 9 | 9 Ndugu zangu, msinung`unikiane ninyi kwa ninyi msije mkahukumiwa
7530 Acts 6 1 | kuongezeka, kulitokea manung`uniko kati ya wanafunzi waliosema
7531 Luke 23 42 | Kisha akasema, "Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika
7532 Mark 14 36 | mambo yote yanawezekana. Uniondolee kikombe hiki; lakini isiwe
7533 Titus 3 12| fanya bidii kuja Nikopoli unione, maana nimeamua kukaa huko
7534 Luke 18 13 | huzuni, alisema: `Ee Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.`~
7535 Mark 6 25 | mbio akamwomba, "Nataka unipe sasa hivi katika sinia kichwa
7536 Phil 1 14 | chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa
7537 Acts 26 3 | migogoro yao, ninakuomba basi unisikilize kwa uvumilivu.~
7538 Matt 23 25 | kumejaa vitu mlivyopata ~kwa unyang'anyi na uchoyo. ~
7539 Luke 7 24 | kitu gani? Mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo?~
7540 Hebr 4 15 | hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu
7541 Acts 22 16 | zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama
7542 Ephe 5 2 | 2 Upendo uongoze maisha yenu, kama vile Kristo
7543 Gala 5 16 | nasema hivi: mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata
7544 Roma 11 15 | kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati
7545 2Tim 2 10 | wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo,
7546 John 3 8 | 8 Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini
7547 Acts 7 46 | 46 Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu
7548 Gala 3 22 | sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi;
7549 Ephe 6 17 | 17 Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya
7550 Mark 5 34 | imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako."~
7551 Acts 4 30 | 30 Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu
7552 1Cor 15 33 | 33 Msidanganyike! Urafiki mbaya huharibu tabia njema.~
7553 Roma 16 9 | 9 Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika
7554 Titus 1 5 | 5 Nilikuacha Krete ili urekebishe yale mambo ambayo hayakuwa
7555 1Tim 2 9 | wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele,
7556 Matt 1 6 | Solomoni alikuwa mke wa Uria).~
7557 Roma 3 4 | Matakatifu yasemavyo: "Kila usemapo, maneno yako ni ya haki;
7558 Roma 12 21 | kushindwa na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.~ ~ ~~ ~
7559 1Cor 10 20 | Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na pepo.~
7560 1Tim 4 14 | 14 Usiache kukitumia kile kipaji cha
7561 John 19 21 | wakuu wakamwambia Pilato, "Usiandike: `Mfalme wa Wayahudi`, ila `
7562 Matt 5 36 | 36 Wala usiape kwa kichwa chako, maana
7563 James 1 27| zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.~ ~~ ~
7564 Mark 10 19 | Usitoe ushahidi wa uongo; Usidanganye; Waheshimu baba na mama
7565 Hebr 12 5 | kuwa wanawe? "Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife
7566 Matt 6 2 | unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo
7567 Hebr 12 5 | usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.~
7568 3Joh 1 11 | 11 Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano
7569 1Tim 5 22 | 22 Usiharakishe kumwekea mtu yeyote mikono
7570 Rev 6 6 | kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!"~
7571 Roma 14 20 | 20 Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu
7572 1Cor 7 21 | wakati ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata fursa ya
7573 Acts 16 28 | akaita kwa sauti kubwa: "Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi
7574 Luke 7 6 | wamwambie Yesu: "Bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili
7575 Matt 6 2 | Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki
7576 Matt 27 19 | wake akampelekea ujumbe: "Usijitie katika shauri la mtu huyu
7577 Roma 11 20 | unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe na tahadhari.~
7578 Roma 1 18 | mbaya wanaupinga ukweli usijulikane.~
7579 Luke 14 8 | mtu akikualika arusini, usiketi mahali pa heshima isije
7580 Acts 24 4 | tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi.~
7581 John 21 18 | atakufunga na kukupeleka usikopenda kwenda."~
7582 2Cor 8 20 | zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.~
7583 1Tim 5 1 | 1 Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama
7584 Matt 5 39 | Lakini mimi nawaambieni, usimlipize kisasi mtu mbaya. Mtu akikupiga
7585 Matt 5 42 | mtu akitaka kukukopa kitu usimnyime.~
7586 Luke 6 30 | akikunyang`anya mali yako usimtake akurudishie.~
7587 1Tim 5 9 | 9 Usimtie katika orodha ya wajane,
7588 Mark 9 25 | nakuamuru, mtoke mtoto huyu wala usimwingie tena!"~
7589 Roma 13 3 | watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya
7590 John 21 25 | nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo
7591 John 2 4 | 4 Yesu akamjibu, "Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado."~
7592 John 20 17 | 17 Yesu akamwambia, "Usinishike; sijakwenda bado juu kwa
7593 Luke 11 7 | akiwa ndani angemjibu: `Usinisumbue! Nimekwisha funga mlango.
7594 1Tim 5 23 | 23 Usinywe maji tu, bali unywe divai
7595 Roma 8 26 | Mungu kwa mlio wa huzuni usioelezeka.~
7596 1Pet 3 4 | ndani ya utu wa kweli, uzuri usioharibika wa wema na utulivu wa roho,
7597 2Cor 5 4 | tuna hamu ya kuvalishwa ule usiokufa, ili kile chenye kufa kimezwe
7598 Ephe 3 8 | mataifa utajiri wake Kristo usiopimika,~
7599 Hebr 12 28 | kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu
7600 1Cor 5 8 | na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na
7601 1Tim 6 16 | anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna
7602 Rev 3 3 | ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia ghafla kama mwizi,
7603 Matt 5 20 | maana nawaambieni, wema wenu usipozidi ule wa Mafarisayo na walimu
7604 Mark 8 26 | nyumbani na kumwamuru, "Usirudi kijijini!"~
7605 John 12 27 | nini? Je, niseme: `Baba, usiruhusu saa hii inifikie`? Lakini
7606 1Tim 5 22 | ajili ya kumtumikia Bwana. Usishiriki dhambi za wengine; jiweke
7607 Acts 10 20 | 20 Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana
7608 John 3 7 | 7 Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa
7609 Rev 11 2 | ukumbi ulio nje ya Hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa
7610 Rev 7 1 | pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika
7611 Matt 5 33 | watu wa kale waliambiwa: `Usivunje kiapo chako, bali ni lazima
7612 Luke 14 12 | karamu mchana au jioni, usiwaalike rafiki zako au jamaa zako
7613 1Tim 5 11 | 11 Usiwaandikishe wajane vijana, kwani kama
7614 1Cor 8 9 | jihadharini: huu uhuru wenu usiwafanye walio na imani dhaifu waanguke
7615 Acts 7 60 | kwa sauti kubwa: "Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii."
7616 Rev 10 4 | ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!"~
7617 Rev 22 10 | 10 Tena akaniambia, "Usiyafiche kama siri maneno ya unabii
7618 Gala 4 27 | usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata kujifungua mtoto; maana
7619 Gala 4 27 | Furahi, ewe uliye tasa usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata
7620 Matt 21 19 | matupu. Basi akauambia, "Usizae tena matunda milele!" Papo
7621 Hebr 12 15 | waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi
7622 Luke 13 35 | 35 Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam,
7623 Luke 14 9 | Mwachie huyu nafasi.` Hapo utaaibika mbele ya wote na kulazimika
7624 Mark 3 26 | vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.~
7625 Luke 1 31 | 31 Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa
7626 John 13 7 | sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye."~
7627 Roma 11 22 | ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo,
7628 Matt 25 1 | huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua
7629 Matt 24 12 | uhalifu, upendo wa watu wengi utafifia.~
7630 Matt 5 25 | atakukabidhi kwa askari, nawe utafungwa gerezani.~
7631 John 16 20 | kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi: mtaona huzuni lakini huzuni
7632 Luke 21 20 | wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.~
7633 Roma 2 3 | unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu?~
7634 1Cor 3 13 | itatokea na moto, na huo moto utaipima na kuonyesha ubora wake.~
7635 Luke 10 28 | Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi."~
7636 Matt 11 23 | Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa
7637 1Tim 4 16 | hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.~ ~ ~~ ~
7638 Acts 2 26 | vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini;~
7639 Mark 6 22 | msichana, "Niombe chochote utakacho, nami nitakupa."~
7640 Matt 16 19 | Ufalme wa mbinguni; kila utakachofunga duniani, kitafungwa pia
7641 Matt 16 19 | kitafungwa pia mbinguni; kila utakachofungua duniani, kitafunguliwa pia
7642 John 11 22 | kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa."~
7643 Mark 6 23 | Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni
7644 Luke 10 35 | Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi."`~
7645 Luke 9 57 | Yesu, "Nitakufuata kokote utakakokwenda."~
7646 Matt 6 10 | 10 Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.~
7647 Luke 21 24 | zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine,
7648 Roma 8 18 | tukiyafananisha na ule utukufu utakaodhihirishwa kwetu.~
7649 1Pet 1 11 | yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.~
7650 1Pet 5 1 | natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni~
7651 John 19 36 | Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."~
7652 Hebr 10 27 | hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.~
7653 Luke 2 32 | 32 Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu
7654 Roma 9 33 | Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini
7655 1The 2 16 | wa mataifa mengine ujumbe utakaowaletea wokovu. Ndivyo walivyokamilisha
7656 1Pet 4 13 | tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.~
7657 Luke 23 42 | Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako."~
7658 1Cor 15 54 | mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia hali ya kutoharibika, na
7659 Luke 12 59 | hutatoka huko nakwambia, mpaka utakapomaliza kulipa senti ya mwisho."~ ~~ ~
7660 2Pet 1 19 | mwanga wa nyota ya asubuhi utakapong`ara mioyoni mwenu.~
7661 Luke 22 32 | imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, watie moyo ndugu zako."~
7662 Acts 1 6 | Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha ule ufalme kwa Israeli?"~
7663 Matt 23 39 | hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: ~ <Abarikiwe huyo ajaye
7664 Titus 2 13| tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na
7665 1The 5 3 | salama" ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia
7666 Rev 6 10 | na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi
7667 John 1 33 | alikuwa ameniambia: `Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni
7668 Luke 1 42 | kuliko wanawake wote, naye utakayemzaa amebarikiwa.~
|